Helloo Pastor my names are Keragori John from NAIROBI KENYA ...have been listening to most of your sermons but this one has really touched me.My family i.e my mother and siblings especially this YEAR have faced a lot of challenges especially my mother who was involved in an accident but now i understand we should be ready to receive all that comes our way because as Christians our Faith must be tasted..Job says shall we receive good from God and not receive evil- Job 2:10 by this the bible says Job did not sin.AMEN
Ubarikiwe sana PR mmbaga, Mungu azidi kukulinda masomo yako yananibariki sana na kuniongezea imani siku hadi siku yaani najisikia amani na furaha daima,Barikiweni nyote wapendwa katika KRISTO YESU AMIN.
Rehema Luhizo'' ila tunamshukuru Mungu kwa kulirudisha jimbo mikononi mwetu...saivi hana hicho cheo...ashukuriwe Mungu atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo,,Ni upendeleo wa ajabu sana kwetu...
May God bless you and coutinue using you for all the powerful message from heaven,may you b blessed with your family in Jesus name 🙏I believe in God t $start new chapter from now till I depart nothing is impossible when God is in me❤️❤️👏
Nimefunga mdomo wangu mtumishi maan kwa majiribu haya Mungu amenifunz mengi Mimi ninakufuatilia San maan umenitoa maan nasingekuw mahubir yako mim sijui!
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Tangu nianze kukufatilia hakika ninamuelewa Mungu kuliko hapo kabra😢😢maana Ukimuelewa unaweza kustahimili kwa kila tatizo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kitabu cha Ayubu 1 na 2 hakisemi kuwa mahojiano Kati ya shetani na Mungu dhidi Ayubu yalifanyika Mbinguni,,,hata hivyo sio mara zote neno Wana wa Mungu humaanisha malaika au watu wa sayari zingine ambazo hazikuanguka. Shetani alipofukuzwa Mbinguni kulingana na Ellen White hakuruhusiwa tens kuingia Mbinguni
Nahitimisha kwa kusema mkutano unaozungumzwa hapa katika dokezo la kisa uliloanza nacho ni mkutano wa ibaada ulikuwa ukifanyika duniani yaani ibaada ya waliomwamini Yesu......chukua hiyo itakusaidia ktk kazi yako iliyo njema
Jaman mahubiri mazuri sana...ila jaman mfanye more advancements kwenye quality ya sauti.. Voice quality. Voice quality. Voice quality. Mungu awafanyie wepesi katika hilo, Inshaallah.
Kwa kweli mahubiri yako uwa yananipa nguvu sana na nimejifunza kuwa hata ukipata kwenye magumu usidhani kuwa Mungu amekuhacha, bali anakuandalia mazuri kuliko uliyokuwa nayo mwanzo
Eeh mungu wangu na Babaa, nisamehe na uniurumie, najuwa niliwaza na kuongea kinyume na mspenzi yako nioshe unitakase kwa damu ya yesu mwanao. Am blessed thank you my father, ubarikiwe mchungaji from qatar
Amen hili somo imenigusa nilipitia majaribu mengi na nikamuuliza Mungu maswali mengi lakini nina imani amenisamehe kwa jina la Yesu kristo Amen
Nimejifunza mno. Ubarikiwe sana Mchungaji
Mungu akuzidishie mafuta papa yaku tulisha chakula cha rohoni
Mungu nisamehe naomba uniwwzeshe nianze upya
najua umemiamini kuwa naweza
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mchungaji.endapo mimi Si mkristo ila nabarikiwa sana.Mungu anipe maarifa na Akili ili nisiangamie.
Magesh Salha Mungu akutunze,tunakuombea
Karibuni kwa ukritso ndipo kuana uzima
Helloo Pastor my names are Keragori John from NAIROBI KENYA ...have been listening to most of your sermons but this one has really touched me.My family i.e my mother and siblings especially this YEAR have faced a lot of challenges especially my mother who was involved in an accident but now i understand we should be ready to receive all that comes our way because as Christians our Faith must be tasted..Job says shall we receive good from God and not receive evil- Job 2:10 by this the bible says Job did not sin.AMEN
Aa
Good
Asante barikiwa sana umenifundisha sana
Hakika pastor nakukubari sana ww nisaw na yona leta ujumbe babaaaa tuponeeeeeeee tusiangamie zambini
Amen MUNGU akubarki san mtumishi kwa mafundisho mazuri
Amina nimebarikiwa kwa SoMo hili MUNGU akutie nguvu
Ubarikiwe sana PR mmbaga, Mungu azidi kukulinda masomo yako yananibariki sana na kuniongezea imani siku hadi siku yaani najisikia amani na furaha daima,Barikiweni nyote wapendwa katika KRISTO YESU AMIN.
Mwee nakesha kwa maubiri yako but chakula cha uzima yananisaidia mnoooo...... I pray for you shetani asikuibe
Kweli pastor nimefunguka
Kuamtu wakiraho na si mkristo tu utakua farisayo
Etii cheo cha ubunge
😂😂😂
Amina mchungaji
Rehema Luhizo'' ila tunamshukuru Mungu kwa kulirudisha jimbo mikononi mwetu...saivi hana hicho cheo...ashukuriwe Mungu atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo,,Ni upendeleo wa ajabu sana kwetu...
Ameen MUNGU akubariki sana pastor
Pastor napenda mahubiri yako sana nakuskiza nikiwa Qatar naomba number yako ya what's app
Ahsntee Mungu wa mbinguni kwa ajili ya somo hili la mbaraka
Bwana ni mwema endelea kuyafua yalio fichika usiogope
Daah! Mtumishi ninakuelew sana maan ninapitia majaribu makubw lkn ninakumbuk mahubir yako kwamb kunasehem ulifik ukakata tamaa lkn mchunganj mwenzak akakutia nguv mwenz mzim kwa manen misri sirudi ng'o japo pastor inahitaj bidii sana
Ameni sana paster nafuatilia sana paster Nino kenya
Mungu wetu aliye mbinguni atusaidie sana.
Naomba Mungu awape wanangu wachumba wanangu wakiume nimeomba mpaka nimechoka
Nikweli kabsa watoto wa mungu hawana umoja kabsa mungu wa Neema zote atusaidie saana
Pastor unanibarik sana,,,natiwa nguvu na mafundisho yako,,ulinzi wa Bwana ukufunike
Nikweli kabisa mchungaji namiye niliwayi kumukoseya Mungu wangu nakwasoku yaleo ama usiku yaleo nahomba Ani samehe kweli Mungu wangu
mungu atakulinda sio binadamu,,,usiwaogope watu,,mungu akubariki kwa mafundisho yako
Ubarikiwe pasta wangu n'a kusikia toka Congo / Bukavu
Bwana azidi kutufunulia ili tujue yaliyo mapenzi ya Mungu.
Mungu akulinde kila huendapo hekima na busara hiwe kwako hallelujah amen
Sheila Ombongi Amen
Ubarikiwe🙏
Naguswa Sana namahubiri haya naionanguvu yaajabu nikisikiliza farajayaajabu naiona nilimwacha mungu Sasa ninarudikwake
Nabarikiwa Sana namafundisho haya
Ni kwel kwamba wengi tunajua kwamba kila baya likija kwetu tunasema mungu ametupiga kwa kwel nimeelewa pastor.
Jamani akuna sauti
Jansi Dorkas Angalia kifaa unachotumia,ukisoma comments utajua wengine wanasikia
Yeah nimepata sauti sasa atakama nimechelewa lazima nisikize juu napenda sana maubiri ya uyu mtumishi niko saudi arebia uwa ananipa nguvu sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Hakuna cyakuseme Mungu wetu ni mushindi kira mahali pastor Mungu Akumbaliki sinjuwe niseme nini Yesu mwenyewe atuhulumie 😭😭😭
I'm blessed,
Barikiwa saana mtumushi wa mungu
Mungu akubariki Sana mtumishi wa mungu
Mtumishi wa Bwana Mungu wetu aenderee kukutumia katika kazi yake napata faraja sana kukusikiriza
Mchungaji naomba ufafanuzi wa je yesu ni Mungu? Je ni halali kuamini kwenye utatu mtakatifu? Ubarikiwe sana
Daaah.....neno la mwisho limenigusaaa....jana nimemlaumu sana MUNGU Kwa yaliyonikuta...kwa kweli MUNGU ANISAMEHE...NA NATUBU
May God bless you and coutinue using you for all the powerful message from heaven,may you b blessed with your family in Jesus name 🙏I believe in God t $start new chapter from now till I depart nothing is impossible when God is in me❤️❤️👏
Somo hili limenibariki kwa namna ya pekee kabisa na limegusa nayopitia
Jamani pasta naomba unisaidie mm naitwa Janet lkn nimeinukiwa navita kanisani kila ninapokwenda kanisani nanyooshewa vidole ninajisikia nakiburi mpaka nataka kukataa tamaa kusali
Bwana akubariki kwa mawaita manzuri👏
Nimefunga mdomo wangu mtumishi maan kwa majiribu haya Mungu amenifunz mengi Mimi ninakufuatilia San maan umenitoa maan nasingekuw mahubir yako mim sijui!
Pasta Nina fata mafundicho
Ninasikirisha nikiwa Nairobi🙏
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Tangu nianze kukufatilia hakika ninamuelewa Mungu kuliko hapo kabra😢😢maana Ukimuelewa unaweza kustahimili kwa kila tatizo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu akubariki
@@NickBoy-wt6cw Ameeeeeen
Unapatikana wapi mtumishi
Amen : Hakika huu ujumbe ni wa wakati.
Pasta hubili hili limenigusa mimi nafamilia yangu Kwanzaa upya kuanzia leo.mungu akubaliki
Mungu atuhurumie sana.
Amen..
Mungu anisamehe nimezidi kulalamika badala ya kushukuru.......najifunza kila siku Pastor. 🙏🙏🙏🙏🙏
Utaaibika wewr muusika njo mazara yako
Amina
Nimepata mwanzo mpya
Mungu anibadilishe
Kitabu cha Ayubu 1 na 2 hakisemi kuwa mahojiano Kati ya shetani na Mungu dhidi Ayubu yalifanyika Mbinguni,,,hata hivyo sio mara zote neno Wana wa Mungu humaanisha malaika au watu wa sayari zingine ambazo hazikuanguka. Shetani alipofukuzwa Mbinguni kulingana na Ellen White hakuruhusiwa tens kuingia Mbinguni
Nahitimisha kwa kusema mkutano unaozungumzwa hapa katika dokezo la kisa uliloanza nacho ni mkutano wa ibaada ulikuwa ukifanyika duniani yaani ibaada ya waliomwamini Yesu......chukua hiyo itakusaidia ktk kazi yako iliyo njema
Jaman mahubiri mazuri sana...ila jaman mfanye more advancements kwenye quality ya sauti..
Voice quality.
Voice quality.
Voice quality.
Mungu awafanyie wepesi katika hilo, Inshaallah.
Joseph Urio Hiyo ilitokea kwa bahati mbaya tu!! Tukaona kuliko kukosa somo bora tuliweke hivyo hivyo
Barikiwa sana
MUNGU naiwe
Amin ni kweli kabisa
Amen kubwa
Amina...Amina...ubarikiwe sana mchungaji🙌
Ilibidi ni stop somo niingie internet nitafute Yakobo kwa lugha ya mkoloni.
M N 😂😂😂😂 hata na mimi yalinipata kwa somo tofauti ‘nikagoogle’
Same here
Nabarikiwa sana
amen sana
nafikiri neno la kujaribiwa na Mungu tungetumia THIBITISHA
wilfred byabato Wazo jema
Ashukuriwe Mungu wa miungu kwa kukupa ujumbe huu utuletee.
Haina sauti
amina pastor, Mungu anifungue macho ya rohoni maana changomoto nilizonazo ni kubwa mno kwangu, napenda mahubirtv kila siku
Asante sana pastor, Mungu akubariki 👏👏👏
Nabarikiwa Sana ninapo sikiliza mafundisho yako,be blessed!
Ndio yesu na mimi naomba unisamehe
Pastor Mmbaga Mungu akubariki katika mahubiri yako tunafunguliwa
Love Mahubiri Tv
Amina, Mungu aturehemu.Barikiwa Mch.Mmbaga
🙏🏻,umenena Pastor
Asente Mungu kupitia much.nimebarkia
Asante mch. Kwa kuimarisha imani yangu hata mm nilikuwa na roho ya kulalamika sana.Mungu anisaidie.
Nifundishe kushukuru katika kila jambo na Unirehemu Mungu popote nilipolalamika katika mapito yangu nisaidie niwe mnyenyekevu
Kwa kweli mahubiri yako uwa yananipa nguvu sana na nimejifunza kuwa hata ukipata kwenye magumu usidhani kuwa Mungu amekuhacha, bali anakuandalia mazuri kuliko uliyokuwa nayo mwanzo
Amen pastor David. God bless you
Amen.
Amen Amen🙏🙏🙏
Amen dear pastor much love
Asante sana mchungaji kwa kuniondole dhana nilikuwa nayo kichwani Mungu akuhifadhi hata zaidi
"Kuna mtu wa dini na mtu wa kiroho yes nimeelewa." Mungu akubariki Mch.
Amina
Amina.
Amina
Amen
amina
Amen
Asante paster nimebarikiwa kupitia fundisho hili. Ubarikiwe sana
Amen
Amen
Mungu akulinde Kwa njia zote hadi umalize kazi yake. Am always blessed with your messages
Amen Amen
Eeh mungu wangu na Babaa, nisamehe na uniurumie, najuwa niliwaza na kuongea kinyume na mspenzi yako nioshe unitakase kwa damu ya yesu mwanao. Am blessed thank you my father, ubarikiwe mchungaji from qatar
Mungu anisame nimekufur maranyingitu sana ubarikiwe Mchngj wa Bwana