Yaah aweza kubadilishwa kihuvyo pongezi sana tena sana kwa hili funzo mwanaume habadilishwi kwa magovi kupigana Bali sokolojia yatosha we unadhani huyo jamaa nikipi kimeingia kwa moyo wake ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Bonge la ujumbe jamn, yan leo mmeburudisha huku mkitoa elimu kwa jamii, ndoa nying zinavunjika kwa wanawake kokosa maarifa, mwanamke mpumbav huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyew
😢😢😢 nimeipenda message ya huu mai ambae amemtupia huyo binti mtana na mumbea kam nini ishalla Mungu ndie jibu ,kisasi ha kijengi bali kinabomoa na kureta bifu isio iisha🙏🙏
Mnaigiza tu dy maan unachek kumfumania mmeo yakikukuta kiuharisia hutatoa jino lako lakicheko ata moja umfume alaf usem nakupenda kun wanaum wengn hat umwambie nakupenda kweny maish yak hawez kulizik namwanamk mmj kbsaa yaan kam mim nitakufa nawivuu tu jamn moyo wang moyo wang mimi jamn nitakufa nawivuuu
tangu muanze kuigiza hii mmefunza sana jamii, vitu kama hivi ndivyo watu wanavyo itaji ,mwanamke lazma utafute mbinu ya kuleta mmeo kwenye ndoa ,wala sio tu kupayuka kwa kuleta vurugu , mwanaume lazma utafute mbinu za kumzibiti na sio mitishamba la hasha, vaileti dada hongera sana kwa hali hii umeni bariki sana kwenye part yako, nakupendAGA Sana sijui kama wewe ni mke wamtu ama bado, plz naitaji kujua
Mimi napenda hii kipindi sana mwendelee ivo ivo ndugu zangu na Mungu aendee kuapa elimu zaidi ya kufikiria kufanya vizuri mtakua na pata like kutoka kwangu.
Nshukuru mwenyezi mungu, kwa upendo Aliyetujali hakika maisha ya ndoa kuna milima na mabonde.kenye Nwasi kama uko kwa ndoa tuvumile na kusameana nkupendana tusiji tukatenda dhambi.tusilipize kisasi kuna Mwenye Ata lipiza kisasi ndiyo mungu pekee yake.ukitaka ndoa yako isimame piga magoti chini na uombe mwenyezi mungu Atajibu sala zetu Amina 🙏🙏
Aisee nimekubali sana leo..! Inapendeza kama mkianza movie Single kali kama hii ..! Aisee mtafika mbali sana maana dunia itawajua na kuwatambua ni nini MUNGU kawapa ninyi wasanii kioo cha jamii kwa ajili ya kuwafundisha watu....
Sijui niseme je namwanga matchozi 😥😭 Ila huyu dada Nina hechima mbele zako💖 Ni shukrani kwa video zako ambazo ninajifunza mafunzo yakukaa namume wake 😤😭😥
Masha Allah tabarakallah nime jifunza jambo kuputia hii nami in Sha Allah karibuni Allah akiniezwaha naenda kua mke watu Tanzania duh niwapongeze sana kwa kazi zenu nzuri nikiwa Kenya 🇰🇪
Kwamara ya kwanza najifunza mambo mengi sana kutokana naiyi video 📹 kwa kweli mungu awabariki 10 like kama unakubali watafika mbali 🔥🔥🙌🔥❤
Jaaaaamaaniiii
Nimependa swaga za uyo mlembo ♥╣[-_-]╠♥"kiukwel Dada unafaa kuwa mke,mwema kwenye ndoa,nakukubali mlembo,
May they climb the rada mungu awabaiki
@@mkongolivinus 🎉😢😊❤
Wapili nipeni like zangu apa kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩
awa watu nawapenda sana
Wanaoirudia kama mimi kutoka Zanzibar gonga like hapa. Salute kwenu
MALAYA NDOIGE LEO KATISHA 🔥🔥🔥
😆😆😆😆😆😆😆😆
🤣🤣🤣🤣
Nmejifunza mambo mengi na ambayo n ya msingi ktka maisha yangu kwa hao wachumba wawili, Mungu awabariki sana tena awazidishie hekima
Watoto wadogo mmenifanya nilie.. machozi yana tiri rika.. dadadeki.. Nimekubali.. story kama hizi ndo zenyewe.. ,🙌🏾🙌🏾💥💥💥
Mungu nipe moyo kama wa vaileth
Director mzuri kakutana na waigizaji wazuri....great job
Kabsa yani
Vai nakubali Sana unaigiza vizur good job
35 gonga like kama umemuelewa mwanamke anaepotezea wanafki
Vai na Bailam mmeigiza vizuri sana. Nimeirudia kuitazama mara nne. Ningetamani mtoe hata movie ya masaa 2. You are very talented
From Congo Lubumbashi totomboli bendele 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Munaongea ukweli kabisa. Huu mwanamke ni jasiri kabisa.
Na ameookoa ndoa yake kwa ujasiri wake na hekima yake. Hongera sana Bariam na kundi lako.
This is not comedy, this is serious message.
Congratulations 👏 all characters you did it,you kill it 👏
Nkweli.ata.mm.nawaombea.wafike.mbali.kwa.mafunzo.wanayo.tufundisha
Aaah weeeee!!!!! Ningepita tu hapo nikasalimia ili ajue nimemwona hata nisingepigana !! Ngumu kumeza hii duuh
Yaah aweza kubadilishwa kihuvyo pongezi sana tena sana kwa hili funzo mwanaume habadilishwi kwa magovi kupigana Bali sokolojia yatosha we unadhani huyo jamaa nikipi kimeingia kwa moyo wake ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Hii inafundisha sana hii pacha ya vaileth na bailham noma sana
Nakupenda sana mdada unamaneno mazuri sana kwa ao mashoga wambeaa🥰🥰
Queen eti umefanya mazoezi kwaajili yakupigana😂😂😂🤣🤣
Ww dada unajua kuigiza salutes 💖💖💖
Bonge la ujumbe jamn, yan leo mmeburudisha huku mkitoa elimu kwa jamii, ndoa nying zinavunjika kwa wanawake kokosa maarifa, mwanamke mpumbav huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyew
Wanaume wengi uwa tunapenda mwanamke mwenye uwelewa kama wa uyu dada Mimi mdanga Yangu waga wananambia tulale ad asubuh uwa nakataa sana
Hii ni bonge moja la fundisho tumejifunza 👏👏👏👏
Hii sasa ndo Sanaa, hiki ndo kioo cha jamii. Ni zaidi ya Shehe au Mchungaji mnavyoponya ndoa za watu. Hongereni
UYU DEM YUKO NA TALENT.... PLEASE MLINDENI UYU🙏🙏🙏
We we we hii ni kali ya kufunga mwaka inafundisha na kuelimisha ckutegemea kktana na madin kama haya 👏👏👏utafka mbali
Pongezi kwenu mnajua Sana kuigiza wallah levo zenu inatakiwa mpate movie ya masaa mawili ili tuenjoy watazamaji wenu aisee mko good Sana
Kabisa
😢😢😢 nimeipenda message ya huu mai ambae amemtupia huyo binti mtana na mumbea kam nini ishalla Mungu ndie jibu ,kisasi ha kijengi bali kinabomoa na kureta bifu isio iisha🙏🙏
Mnaigiza tu dy maan unachek kumfumania mmeo yakikukuta kiuharisia hutatoa jino lako lakicheko ata moja umfume alaf usem nakupenda kun wanaum wengn hat umwambie nakupenda kweny maish yak hawez kulizik namwanamk mmj kbsaa yaan kam mim nitakufa nawivuu tu jamn moyo wang moyo wang mimi jamn nitakufa nawivuuu
huyu dada yupo serioz kinoma
nmkubali ,,,akiigz nmkubal mbaya
Mupewe support ya kutosha kbx respect 🇧🇮🇧🇮
Jamni Ila huyu mwana mke vai...Mungu anakuona mamaaaa daaa..Yan anavaa uusika kabisaaaaaaa daaaa...😊😊😊
Aiseeee nimefulahia movie hii fundisho kubwa nzur Sana kweli unaona tatizo bado unachekelea lkn atar
Wallah me mvivu kucoment...Ila we mdada mwenye Mume unatisha
Huy mwana muke anajua kuceza🤣🤣🙏🙏🙏🐘🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮
Dah vai unamoyo dada mpk choz limenitoka mungu akusimamie uwe hivo na kwenye ndoa yako utafika mbali 🥲
tangu muanze kuigiza hii mmefunza sana jamii, vitu kama hivi ndivyo watu wanavyo itaji ,mwanamke lazma utafute mbinu ya kuleta mmeo kwenye ndoa ,wala sio tu kupayuka kwa kuleta vurugu , mwanaume lazma utafute mbinu za kumzibiti na sio mitishamba la hasha, vaileti dada hongera sana kwa hali hii umeni bariki sana kwenye part yako, nakupendAGA Sana sijui kama wewe ni mke wamtu ama bado, plz naitaji kujua
Mskuma wa watu kaambulia kofi kwa vai very sad bairam akil mingi very talented et nampenda mke wangu utadhan alijua vai anamsikiliza
Aise niwachache wanawake wa namna hii hongeleni sana kwa hii kazi
Mimi napenda hii kipindi sana mwendelee ivo ivo ndugu zangu na Mungu aendee kuapa elimu zaidi ya kufikiria kufanya vizuri mtakua na pata like kutoka kwangu.
Daaaaaà safiiii Sana na nmepndaaaaa njikuta Kam n mm michepuko basiiiiiiiii
Vai wewe ndio mwanamke wa pekee tu.hii video naicheki daily. Great 👍
Ni kweli kabisa Ugomvi unavunja ndoa kuna njia ya ku'deal na U'Danga Kutoka North Korea 🇰🇵 from Kenya 🇰🇪
Huyu mdada akiwa na huyu mjamaa anajuaga sana ni kama kazaliwa na content za uigizaji ❤
Nshukuru mwenyezi mungu, kwa upendo Aliyetujali hakika maisha ya ndoa kuna milima na mabonde.kenye Nwasi kama uko kwa ndoa tuvumile na kusameana nkupendana tusiji tukatenda dhambi.tusilipize kisasi kuna Mwenye Ata lipiza kisasi ndiyo mungu pekee yake.ukitaka ndoa yako isimame piga magoti chini na uombe mwenyezi mungu Atajibu sala zetu Amina 🙏🙏
Duh!!sio kwa fumanizi live hivo😑😑😑
Aisee nimekubali sana leo..! Inapendeza kama mkianza movie Single kali kama hii ..! Aisee mtafika mbali sana maana dunia itawajua na kuwatambua ni nini MUNGU kawapa ninyi wasanii kioo cha jamii kwa ajili ya kuwafundisha watu....
Huyu dada aliecheza Kama mkee dah namfwatiliaga ananibariki keakwel Anaweza anatendea haki move
Surely hii comedy imeniliza na nimejifunza kitu.. shukran sana big love from Kenya 🇰🇪💪💪
Sio comedy tena😢
Oui nikweri kabisa kimia ni nzuri sana!
That emotion rollercoaster she made at last scene she killed it completely. 👍🏻👍🏻👍🏻😀😀
I just love Tanzania and her people. Majirani nawapenda sana ❤
Uwiii uyu Mwanamke Kana Moyo wa Pekeake
Nmejifunza jambo kupitia video hii,ila kiukweli munajuwa kuigiza nauwalisia,mungu awabiliki
Yan Vai anaakili kubwa Sana unaulewa mkubwa Yan watu wangekuwa kama Vai ndo zingedum
Nahisi mnajua ila nawaambia BAILAM NA VAI MNA GOOD CHEMISTRY EVER
huyo dada mbali na uzuri wake ni hodari sana na kazi zake pia
Dhaaa uyu dada ajua anajua tena maneno yake ya mwisho adi nimelia❤❤🎉🎉🎉🎉
Jamani mnanichanganya sana kutoka malaya ndoige hadi mke mwenye hekima😃😃😃🙃
Huyu Dada Vaileth na Bhailam Wanajua balaaa
Sana
Mashaallah ❤️ funzo kubwa sana wallai 🎉🎉🎉
Sijui niseme je namwanga matchozi 😥😭 Ila huyu dada Nina hechima mbele zako💖
Ni shukrani kwa video zako ambazo ninajifunza mafunzo yakukaa namume wake 😤😭😥
Jaman achien saiv part 2 coz tam sanaa hiiiii piah mna cheza sanaaa na akiriaa za watu good job ma team
Leo narudia tena iyo nymbo jamn n saidien jina naipenda sana
Dah mungu npatie mke kama huyu mbwa mm ntaenjoy sana 🙏
Niko Burundi hizi movie comedy yan Kati kamaisha yang sijawahi kuche ka il nyie kwer big up sana nawapenda
Dada nimekupenda sana subla niyarazuma kwenyedoa umenikumbusha Dada 😊😊😊
nikit najifunza kutoka kwako vai nakupenda sana napenda uigizaji wako unaweza🙏🙏👋👋
Ungempenda Mkeo Usingeweza Kutongoza Tena Kwasababu Ishia Zako Zingeishia Kwa Mkeo Sasa Unampenda Mkeo Uku Unasaka Wanawake Ulete Ukimwi Nyumbani
Mpo vizuri sana, alafu vailet kafanana na Elizabeth Mike
Vai wewe Ni Moto mwingine ifike muda uigize fully movie na tamthilia hivi vipande Ni vifupi Sana jamen tunataka tukuone zaid
Naomba upewe award brother bailamu you are so special man, hii ni ushauri tosha ♥️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿
Daah
Duh nowma Sanaa uyu demu anakipaji aseeeeeeee
Yaaaàni kaecheka baylm nae kafata Kisha nimemalizia Mimi kwa kucheka alllo
Mnajua beana
Ni wanawake wachache sana ambao wanaweza wengi wao wangetibuana hapo hapo
Dah!!!! Yan hii movie niliangaliag ikapote ghafla naipenda San hii movie
Jman iyo nyimbo naipenda ambayo iko back ground n saidien jina laiyonymbo
Real comedy... I respect you all guys
Ww dada una kipaji kikubwa sana mana kila unapo pangiwa ucheze unafanya vizuri
bairam wewe jembe nahuyo dada kiukweli anaweze sana hongereni sana
Kazi zenu noma sana. munaongeleya maisha za kisasa na sapot sana from. Moz🇲🇿
Nawapenda sana ..from kenya.nimejifunza kitu
Shauri nzuri sana.
Oh oh I ddnt see this one coming 😹😹😹💀🔞
Kweli kabisa ukitaka kuubadilisha mumeo au mkeo hiyvo yani
Aky mko poa sana bt nimependa Huo wimbo sana nani ataniambia unaitwaj
Hongereni KWA video nzr yenye mafunzo
Hongereni sana. Ni wanawake wachache wana moyo kama huyo, love you vai from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Masha Allah tabarakallah nime jifunza jambo kuputia hii nami in Sha Allah karibuni Allah akiniezwaha naenda kua mke watu Tanzania duh niwapongeze sana kwa kazi zenu nzuri nikiwa Kenya 🇰🇪
Wewe mwanamke sijaikuonea mwegine keep it up more love
Mko juu Sana napenda Sana thamthilia zenu watching from Bahrain
sema ule mkofi ulompga mwnzko mungu anakuona
Hakika mmetisha saana.
Tukopamoja leo na kesho yanini milele daima. Kheshima kwenu, salut from Burundi
Powerful message for everyone 💪💪💪💪🙏🙏
J
Sema namkubali huyo mdada anae tendwa huwa anakuwa serious
Am seeing another kanumba in mbailam,,kongole sana bro
Ahh hamjawah kuniangusha aiseh yan mnajua mpk mnakera tupeni rahaa
Huyu dada anajuwa adi anakela
BAILAM NA HUYO ALIYEIGIZA KAMA MKEO LEVEL ZENU NI ZA JUU SANA KATIKA KUIGIZA.YAANI MMEIVA JAPO KUNDI LOTE MKO VIZURI.
Mwanamuke mwenye akili saaaaaana ❤️❤️nafata hiyi films Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️
Am Kenyan watching from Saudi Arabia 💕
Kazi nzuri sana
Hongereni kazi nzuri sana
Leo n mara ya tatu naomba n jue nan ameimba iyo nyimbo ya back groud apa