MR HANDSOME (Part 02)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2023
  • #ndoige #kicheche
  • ตลก

ความคิดเห็น • 817

  • @UmmyChilumba-gj7fd
    @UmmyChilumba-gj7fd ปีที่แล้ว +91

    Ila Vai anajua kuigiza uhalisia ongera kwake 👌👌🥰🥰😘mungu amzidishie palipo pungufu

    • @mambogodson1469
      @mambogodson1469 ปีที่แล้ว +3

      Upo sahihi, huyu mdada anajua kweli.

    • @osearmasunga513
      @osearmasunga513 ปีที่แล้ว +5

      Cjui machozi huwa yanatoka wapi maan kila muda tu

    • @UmmyChilumba-gj7fd
      @UmmyChilumba-gj7fd ปีที่แล้ว +2

      Yaan cjui ata machoz yanatoka wapi

    • @happynyoni4298
      @happynyoni4298 ปีที่แล้ว +1

      Inatoka kila j ngani you?🌹🌹🌹mnajua San ,Mr Handsome nisehem ya kutufunza

    • @RevinaDonasian
      @RevinaDonasian 2 หลายเดือนก่อน

      Mamb

  • @ankolt9111
    @ankolt9111 ปีที่แล้ว +146

    Nimelike wote like yangu pia wakenya mwasemaje😂😂😂

  • @ankolt9111
    @ankolt9111 ปีที่แล้ว +38

    Hii imeenda nmekuwa naingoja sana. Tumeipokea kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tunawapenda sana ❤❤❤

    • @yovithareginald6399
      @yovithareginald6399 2 หลายเดือนก่อน

      hasantegaman😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @selebchannel8186
    @selebchannel8186 ปีที่แล้ว +1

    Leo vai wamekukula tako daah pole sana umelia kwauchungu sana
    Mpaka loho imeniuma
    Dhaaaaa😢😢😢😢😢😢😢
    Nimependa snaa

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw ปีที่แล้ว +19

    Muganga doko nakukubal sana 💯

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 ปีที่แล้ว +6

    Kwahy marinda hayapo tenaaaaa,,,,mbwa marindaaaa

  • @DaudAshery-ie2pf
    @DaudAshery-ie2pf ปีที่แล้ว +61

    Duuuu hata kama ndo kupenda haimaanishi ndo ufanye mpaka vitu vya ovyo kiasi hiki
    Wanaume tujitahidi Sana kuwaheshim wanawake hata kama wanatupenda haimaanishi ndo tuwanyanyase kiasi hiki daa😭😭

    • @DaudAshery-ie2pf
      @DaudAshery-ie2pf ปีที่แล้ว +3

      Ndo hivyo kuna watu wanapenda kutumia madhaifu ya mwingine kumuumiza

    • @maryah4601
      @maryah4601 ปีที่แล้ว +1

      Uko sahihi
      Kabisa

    • @DaudAshery-ie2pf
      @DaudAshery-ie2pf ปีที่แล้ว +2

      Mda mwingine ushamba wa wanaume ndo huwafanya wanaume wawageuze wanawake wawapendao kua kama watumwa

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 ปีที่แล้ว +2

      Never and ever akwende tu weeeeh hapana

    • @yumnamohd8807
      @yumnamohd8807 ปีที่แล้ว +1

      ​@@DaudAshery-ie2pf 😢

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 ปีที่แล้ว +35

    Japo ni movie but I feel your pain vai😢😢😢

  • @sefanianaftari6
    @sefanianaftari6 ปีที่แล้ว +1

    asma comedy ya kipuuzi sana wanatoa movi nyingi zinaishia njiani ,,wanakera snaaaa

  • @officialkmoneyvevo3175
    @officialkmoneyvevo3175 ปีที่แล้ว +6

    Haaaaa Kumamake mganga mfiraji huyu 😃😂😂😂

  • @modikenya254
    @modikenya254 ปีที่แล้ว +20

    From Kenya video was elite 😂😂😂

  • @Zaykham
    @Zaykham ปีที่แล้ว +9

    😢😢vai nakuonea huruma San daaaaah😢ila napend kaz zak nakpnd vai ❤❤na Mr.hendsome

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 ปีที่แล้ว +15

    Daaaah abadepa ndo mganga😂😂😂😂😂😂

  • @santiarua4952
    @santiarua4952 ปีที่แล้ว +20

    Congratulations guys,nice work my Allah bless you all,,,,,,,

  • @yusrah6477
    @yusrah6477 ปีที่แล้ว +4

    Mapenzi kama n haya acha nikae bila mwanaume weee subutu kwa mpalange sina wazimu

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm ปีที่แล้ว +11

    Duuh huyo bint Kaz anayo mpaka namuonea huruma jamani 😱

  • @shilathedon7305
    @shilathedon7305 ปีที่แล้ว +1

    Vay hamna tena ikitokea kiuhalisia vay ucje subutu dada angu ila movie tu nakupgia salute we wapekee sana cjaona wa kukufananisha nawe unaweza dada hongela kwa kipaj ulicho kua nacho ❤❤❤❤❤

  • @peradiussuperius1951
    @peradiussuperius1951 ปีที่แล้ว +30

    Naomba like 1000k

  • @ariifrazakh9371
    @ariifrazakh9371 ปีที่แล้ว +2

    Hii series ni nzuri lkiini inahamasisha mapenzi ya kinyume na maumbile

  • @unleloo7616
    @unleloo7616 ปีที่แล้ว +1

    Kwenye kuigiza kuna makosa yanaonekana kabisaa ndio maana wengi wanasema wabongo hawajui kuigiza ila tangia niwafuatilie nyie sijawah kuona makosa yenu , good mnafanya kaz nzuri sana✌🏾✌🏾

  • @halimaiddy8691
    @halimaiddy8691 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe nyuma panauma nyie 😮😊😂😂❤❤❤❤❤

  • @user-ge8mk8is3b
    @user-ge8mk8is3b ปีที่แล้ว

    Utasema kweli hungela my kwakipaji chako

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 ปีที่แล้ว +31

    Mr handsome 🤣

  • @bintisaidmwaganjoni5207
    @bintisaidmwaganjoni5207 ปีที่แล้ว

    ndio mana mm nampenda sana vai kabla sija lala lazima niagalie video zake mashalla mungu akuek

  • @user-cd3nf4bo5k
    @user-cd3nf4bo5k 7 หลายเดือนก่อน

    Kicheche ni vizuri Ku cheza filamu lakini epusha muke wako Nami chezo kama izi n'a wanaume wengine mahana kesho uta Liya juwa kama mke wa mutu ni eshima yako

  • @rachelzephania1898
    @rachelzephania1898 ปีที่แล้ว +1

    Vai unaweza Hadi unaweza Tena big up

  • @ibrahimubaruti1977
    @ibrahimubaruti1977 ปีที่แล้ว +8

    Kawina uskunal mganga ana ugwadu wake anakudanganya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nicolausmgando1047
    @nicolausmgando1047 ปีที่แล้ว

    Huyu mdada vai jaman atakuwa fire sana kwenye michezo mana anajua sana kuigiza

  • @AmonIulangasy-iu6tq
    @AmonIulangasy-iu6tq ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana madam nakupenda sana

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 ปีที่แล้ว +12

    Nimejifunza pakubwa sana,hata Kama unapitia changamoto kwenye mahusiano usitumie waganga Kama mtu akihitaji kukupenda atakupenda tu waganga siyo watu wa kuwategemea sana

    • @mzidimfaume1573
      @mzidimfaume1573 ปีที่แล้ว

      Hawawana lolote km wanavyo jiita mbwa kweli wako hivyo coz wana tangaza ushoga tu

  • @Mrkigoma
    @Mrkigoma ปีที่แล้ว

    Vai ww sijaona mfano wako yaan kazi zote ulizoshiriki sijaona ulipo enda tofauti yaaan ww ni umewiva kweli hongera sana.

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 ปีที่แล้ว +5

    Huyu #Vai apewe TUZO jamani daghhhhh Anajuwa mpaka Anajuwa tena
    #HONGERA👏👏

  • @LatyTanzania
    @LatyTanzania ปีที่แล้ว

    Wenye mioyo dhaifu yakupenda ikama vai tunatabu sana

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 ปีที่แล้ว +4

    Duuuh Jamaniiiii Mganga nawewe unataka kumtatua Tena Marinda hatariii. Mapenzi shikamoo🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว +1

      😁😁😁😁😁😁😁😁umenichekesha nimecheka kwa nguv sana kama vzr

  • @CharlesMaati-kv4sd
    @CharlesMaati-kv4sd ปีที่แล้ว +20

    Vai you the best actress, as well Queen. May Allah bless you all for the good work you doing

  • @irinemmasy8387
    @irinemmasy8387 ปีที่แล้ว +1

    Hata kama nakupenda vipi siwezi huo ujinga

  • @EspiSimai
    @EspiSimai ปีที่แล้ว +13

    Mimi ndo wa kwnza nipe like yangu

  • @rachelmlisha963
    @rachelmlisha963 ปีที่แล้ว +2

    😢😢😢vai you nailed it....much love from Mombasa Kenya

  • @aminaomary1322
    @aminaomary1322 ปีที่แล้ว +1

    Muendelezo lini jamn maana natamani kujuaa♥️♥️♥️♥️🤣🤣🤣

  • @inviolatahnyakoa6167
    @inviolatahnyakoa6167 ปีที่แล้ว +1

    Eish CAWINA Kenya tunasema ,"KITAKURAMBA"

  • @QueenMinja-zb3os
    @QueenMinja-zb3os ปีที่แล้ว +1

    Jmn naomben niambienj ako ka wimbo kanaitwaje olz

  • @Abuizmee
    @Abuizmee ปีที่แล้ว +15

    Good actor. Love from Kenya 🇰🇪

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 ปีที่แล้ว +1

    At kisa handsome nyoooo handsome yanyoko😅😅😅😅😅😅😅😅 siwez hata ulemizimu yawakwenu mbwa shayaaa

  • @nicksonmwala9855
    @nicksonmwala9855 ปีที่แล้ว

    Huyo jamaa anatumia mikorogo sana

  • @user-hx6ps9ks8k
    @user-hx6ps9ks8k ปีที่แล้ว +45

    Kam unamkubari vai gonga lik ap bora nibaki na strees

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp ปีที่แล้ว +6

    Chakula bure ni hatariiii kupenda you😅😅😅😅😅 mapenz kichaaa

  • @jeckytown907
    @jeckytown907 3 หลายเดือนก่อน

    Nampenda huyo demu white tollu kwan hanamishushuo kuntu.❤❤❤❤🔥🔥

  • @yussuphnassoro3434
    @yussuphnassoro3434 ปีที่แล้ว

    Sema mmezingua ayo Mambo ya kinyume na maumbile

  • @emmanuelmtedzi4368
    @emmanuelmtedzi4368 ปีที่แล้ว +3

    Ni machozi ya furaha tu😂😂🙌

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 ปีที่แล้ว

    Doko nakubali kazi nzuri kwanyi wote

  • @harrywarren61
    @harrywarren61 ปีที่แล้ว

    Hapo umekosea director ungemweka mganga kicheche inge noga

  • @deccosmartboemusic4439
    @deccosmartboemusic4439 ปีที่แล้ว

    Uyu Vai anajuwa sana kuigiza jaman

  • @officialkmoneyvevo3175
    @officialkmoneyvevo3175 ปีที่แล้ว +6

    Ko vai Jamaa amekula Kipira walahi toba Mtoto huyu 😂

  • @emmanuelmwere2361
    @emmanuelmwere2361 ปีที่แล้ว

    Daaah movie nzur cn Bravo Asma comedian

  • @estaphone
    @estaphone ปีที่แล้ว

    Vai una act real na huyo jamaa ni handsome kweli

  • @omarathuman5813
    @omarathuman5813 ปีที่แล้ว +1

    Kenya iko trending namba 23 je Tz ningapi jamaa ...

  • @issahamissiissahamissi7775
    @issahamissiissahamissi7775 ปีที่แล้ว

    Nyie huyu vai ni kwere hahahaha anajuwa harafu anajuwa tena dadeki

  • @khalliddzoro3293
    @khalliddzoro3293 ปีที่แล้ว

    Vaii hongera unasisimua kwakweli haki

  • @mejumaakoja5050
    @mejumaakoja5050 ปีที่แล้ว +1

    Hii inatufundisha tusiamin waganga sana kwenye mishe zako mueke allah mbele Kwa Kila kitu.thanks guyz nawapenda Kwa kazi yenu nzuri.endeleeni kutupa mafunzo🙏🙏🙏💓💓

  • @jeckytown907
    @jeckytown907 3 หลายเดือนก่อน

    Sema vijana wenze2 wa hii miaka wanazngua bhana yan kisha kuihtaj kuw handsome ndyo mtt wa kiume unafikia ha2a ya kujjchubua uchoko huo na akamu pia mtt wa kiume hasiw uzur pia mtt wa kiume havai heren wala kujichubua bhana

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 ปีที่แล้ว +1

    CALWINA ANAJUA SANA AISE

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri

  • @user-ow5dp7vf1u
    @user-ow5dp7vf1u 6 หลายเดือนก่อน

    Vai nakukuali unajua kiigiza
    From Kansas city USA

  • @tammymwaisunga-vy3xq
    @tammymwaisunga-vy3xq ปีที่แล้ว

    Nyiee vai jaman nakupenda

  • @almuftsultanzanzibar
    @almuftsultanzanzibar ปีที่แล้ว

    Uigizaji mzuri kwa vai hongera kwake❤

  • @irenejuma4800
    @irenejuma4800 ปีที่แล้ว

    Mganga nae anatak Tena nyumba jmn 😂😂😂 Vai si utachanika

  • @zamdakiponda1058
    @zamdakiponda1058 ปีที่แล้ว +1

    Jamaniiiiii jamaniii shikamoo Vai 🙌 story tamu kias hiki 👌

  • @alicemuhati2423
    @alicemuhati2423 ปีที่แล้ว

    Vai uko sawa sana part yako Mimi hupenda sana

  • @lilianpeter1631
    @lilianpeter1631 ปีที่แล้ว +1

    Msihicheleweshe San nzur

  • @sijalikigwe9284
    @sijalikigwe9284 ปีที่แล้ว

    Yaaan ad nimependa funzo kubwa sana

  • @reinatave780
    @reinatave780 ปีที่แล้ว +1

    Uo uhandsome kwasababu ya cream au😮

    • @lameckmwansa4785
      @lameckmwansa4785 ปีที่แล้ว

      Hata mm nashangaa sijui uhandsome gani

  • @ankolt9111
    @ankolt9111 ปีที่แล้ว +8

    Naipenda kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Kama umeikubali tuma bendera yako hapa😂😂😂😂

  • @manfromkakamega
    @manfromkakamega ปีที่แล้ว

    Aki vayolet utaesana kweli asiye sikia la mguu uvunjika kuu

  • @jamilahkabelele5427
    @jamilahkabelele5427 ปีที่แล้ว

    Keep the good job.... congratulations

  • @lulutweve3516
    @lulutweve3516 ปีที่แล้ว +1

    duuu! kama Mimi sikubali labisa

  • @DesertTears
    @DesertTears ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂 katolewa marinda 🤣🤣🤣🤣 mganga wa mchongo 🤣🤣🤣🤣

    • @aronpaul2331
      @aronpaul2331 ปีที่แล้ว +1

      😅😅mgangaaa tako kweli kwann yeye asitolwe

    • @onanarosse9657
      @onanarosse9657 ปีที่แล้ว +1

      Huyu mganga wa mchongo sana ndio masharti Gani hayo😂😂😂

  • @Bilichadieudonne1
    @Bilichadieudonne1 ปีที่แล้ว +11

    Huyu mganga Naye anaitaji Nini jamani🤣🤣🤣

  • @PromiseBeib-cz5xb
    @PromiseBeib-cz5xb ปีที่แล้ว +6

    Kali sana hii😮😢 part 3 l beg😂😂😂😂

  • @shakilabakari6928
    @shakilabakari6928 ปีที่แล้ว

    Jamn hii nyimbo mm naipenda hasaa sema cjuw inaitwaje

  • @sein.208
    @sein.208 ปีที่แล้ว +3

    Hata kama ni movie inatufundisha nini , upuuzi kabisa

  • @soka_la_kulevya
    @soka_la_kulevya 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mganga ameanza tamaa🤣🤣

  • @njassi007
    @njassi007 ปีที่แล้ว

    poa sana,ila mimi naomba jina la mwana musiki wauwo wimbo wa mwichoni, tafadali

  • @AthumaniMitsanze
    @AthumaniMitsanze ปีที่แล้ว +5

    Hata km nikuingiza lakini hii move hainamaana kwa jamii unaifundisha nini.

  • @fatmaally957
    @fatmaally957 ปีที่แล้ว

    Kupenda gn huku sifanyi ujinga huwo na mungu aninusuru

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂 wenzie marinda hawapew hvyooo 😂ila me ningekimbia jmn 😅😅😅😅😅 bolokon kwenye kichochor

  • @lilianwambui1035
    @lilianwambui1035 ปีที่แล้ว +6

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉

  • @methodmathias1315
    @methodmathias1315 ปีที่แล้ว

    Vai anajua kuigiza.... This is big

  • @mariemtambala4441
    @mariemtambala4441 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba namba 3

  • @emmanuelmaziku2018
    @emmanuelmaziku2018 ปีที่แล้ว

    Jamn mganga mkavu kabisa usoni ata haya hana kha!

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 ปีที่แล้ว

    Mganga acha tamaa kuku wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-bn2hi8ot3b
    @user-bn2hi8ot3b ปีที่แล้ว +2

    Wallah nimelia 😢😢😢 kisa unampenda mtu akufanyie ivo daah

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว

    Wanganga sikuzote ndio waaribifu sana jamani funzo Mungu anatosha kabisa maishani

  • @user-gk2qs5cq2g
    @user-gk2qs5cq2g ปีที่แล้ว

    Hongera ujengewe sanamu

  • @yasnaghump5763
    @yasnaghump5763 ปีที่แล้ว +1

    Haiwezekan afaidi peke ake

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 ปีที่แล้ว

    Kufanikiwa kupata ela kwenye ushirikina ni kumuua mtoto wako wau mama ako au mume wako au mke wako ila bila ya ivo kimbia Kwa mganga anakutengenezea matatizo mengine kwenye maisha badala ya kupata ela

  • @unleloo7616
    @unleloo7616 ปีที่แล้ว

    Mnajua hadi kero wakuu nataman hii vdeo ipande 1 on trend, the way vai anachange kila muda kwa kuumia then anafurah muda huo huo n kama KANYE WEST waoh vzr sana

  • @user-vh6lo5tb8d
    @user-vh6lo5tb8d 9 หลายเดือนก่อน

    Ongra sana Vai unajua kuigiz

  • @redemptervictor5006
    @redemptervictor5006 ปีที่แล้ว

    Mahandsome wa Moto kumbe ☹️😧😧Bora ninae sura personal

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud7734 ปีที่แล้ว +1

    Dah 😂😂 huyo mganga muhuni sana anataka na yy Mhh ila maigizo mengine sio poa..

    • @emmanuelmchomvu2676
      @emmanuelmchomvu2676 ปีที่แล้ว

      Wapo wenye tabia hyo kbsaaa kn waganga kavu snaaaa

  • @nyc5595
    @nyc5595 ปีที่แล้ว +3

    Napenda mwajuma 😂😂😂afu ana mdomo saana handsome alikosa nafasi kidogo amu uwe alidhani ni kicheche 😂😂😂😅😅😅