WAKE WENZA (part 2)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- #Bhailam#Rachel#Naomy#comedyplus#2023#
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : www.youtube.co...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Namkubali mbwela anajuw sana uyu mkaka nampenda
leo nimeamukiya sana
Nawapenda sana from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲oman
Wallah hapa mmecheza na mefundisha santeni sanaa
Daaah!!!!naomi hii ndio sababu vifo vya wanandoa vinakua vingi, hapa km mumeo bailam akua na hasira tayari keshakumwaga damu,, nawapenda sana jamani
WAUME wote wangekua kama huyu kaka pepo ingejaa😂😂😂😂
1💯🇧🇮🇧🇮
Wakwanzaa
Ila Naomi ni mzuri aisee.. that smile at the end 🥰😋
Hii hutokea katika uhalisia wa maisha yetu lkn kiukweli inauma zaidi ....hongereni sana ila Recho cjapenda kabisa tabia uliyo nayo
😂😂
Mgeendeleza jamani
Halika ya allah yupo pamoja na wale wanaosubiri 🤲
MI kama mpemba wallah nauwaa mpemba san asee kwa mke wng eeeeeh eeeh
Bwela nakupenda xna kutoka kenya
Bailam umenistua ulipo mpiga Mbuela🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mbwela ilo kofi lenyewe hilo
Kiukweli Kama Ni Kuigiza Tu Hawa Wanajua Kila Mmoja Kacheza Part Yake Ipasavyo 👏👏👏👏🙏🙏🙏
Sina mke,sina hawala!hahahahaha!wanaume hoyeeeeeee!Mungu anawaona
Mbwela hongera unajitahid kwa maneno yako
Bhailam Umefanya Maamuzi Yakiume... Let them Smile in Joy no plan B🔥🔥🔥🙌
From kenya 🎉❤ hii imekuwa 🔥
Ooooo😂😂
Kwakwel naomi haya mavazi yamekupendeza sana 😊nmejiskia faraja kukuona uso uking'aa na kasura kaupole ukiwa Muslim utazid kung'aa zaidi🥰🥰
Hongera❤ jmn😊🎉
Hamna mlichofundisha maana haujaonesha kuwa mke mkubwa amechuliaje
Mengine ni burudani
Kaz nzuri
Wa kwanza like zangu jaman 🙈 nakupenda recho na mbwela❤
Mbona hii haipo kiislamu
❤❤❤❤
Maua yenu hayo🎉🎉🎉, ila naom ulipaswa kushuka kama mke sio kufoka tu kwani huyo nimumeo then mngeyamaliza ,
Siwezi kusubiri kuona part 3! Nzuri sana na wongera pia!!!
Hii ilibidi iwe na mwendelezooo
Nasubiriii mbwela na Naomiii
Badae itakuwa Seriously love ❤❤❤ Let's going On❤
Wamesema hii ndo episode ya mwisho, cjui walikiwa wanamaanisha Nini hii movie kuisha hivyo
Huyu ka mzee Yusuf eeeh?
Nakukuball bairam natamani kukutia ma we na nicheze naww hata sin 5 to
Wakwanza
Naomi nakupenda🥰
Huyu naomi anajuwa kuigiza
Anamdomo flani hiv wa kuinyoya
Duuuh apo sio ivyo jamani, yaani iweze kanalo mbwela ange mchiti mke mkubwa ili, arekebishe wivu. Lakini asante kwa ilo👏👏
Umakiziahji ndio mobovu lile dili lingejulikana kwa wote wawili
Ila naumi nimzur ❤❤❤ all
Sana🥰🥰
Tupe part3❤haijafika mwisho plz
Hii zuri ❤❤❤❤
Hamjui ku act, haikutakiwa hii movie iishie hapo, ilitakikana ipatikane outcome, mda mwengine mnajishuia soko wenyewe
Haya mbwela mke huyo ila umtunze🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌🖐
Nampenda Naomi ,Mbwela
Asubiri amalize eda kwnz.
Muweke part 3 pleas!!! Tunawafuata huku 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🌹🌹🌹🌹
Nicee one 😊
Hatimae kwa mala yakwanza mmewai kuposti ila mbwela acha uchonganishi
🔥🔥🔥🔥
😂😂😂 ❤❤❤
MashaAllah
Mbwla leo umenikwaza kucukua mke wawatu
Mbwela nimekupenda bure kwa msimamo wako
Mnamalizaje bila kujua bimkubwa ndio alimtuma
Yaani Kiufupi ni kwamba mmemaliza Lkn bado inataka mwendelezo hapo producer na director wanatakiwa kuwa makini
Bwela kwa kupiga mistari wanawake anakuwa mpole balaa
Part 3
Nipeni like10 yangu
Kutoka kwa Nan izo like
@@DisterMwantimwa-it1ft kutaka kwa bailamu
@@DisterMwantimwa-it1ftna amezipata zaidi ya thalathini
ukewenza inauma sana lakini kwa vile wanaume wameluhuxiw kuoa mke zaidi ya1 jatunajnc wanawake
Mbwela, umeshindwa kumdhibiti mke mkubwa!!
🎉🎉🎉❤
Hii bhailam umefeli...maana umejua chanzo cha tatizo lkn umeliacha mpaka limekua kubwa... Ukiona mwanamke kisirani km Hivyo unasuluhisha km hailewi unamuacha yeye.... Nikwambie tu UisLam Una taratibu zake ktk mmbo haya na sio kutunga clips ili watu waone tu Bali unafundisha, ww ni msanii
Kwa nini inaishia apa jameni?
Love all
Hamna fuata maadili ya kiislamu
Nice
❤❤❤❤❤❤
Kama ni mm ndio bhailamu sijui ningefanyaje maana huo mtihani
Ala!!!! Nan shujaa kat ya Naomi na ok mbwela
maamuzi y’a kiume kbs
Una maneno yabusara
Movie nzur ila umLizi vizur brother
Hilo kofi bhailam 😮nimeshtuka 😢😅
Lakini mbona iwe Mwisho???
Japo moyo ukipenda lkn njo ivo tna
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Ila sijapenda ulivyoinaliza iyo kitu
Tungeipata part 3
Mana mana mke wakwanza pindi ameenda kupana delili kwa yule jamaa alimuambia aingie ndani alafu akasema mm nakujua inamana yule jamaa kashampitia mke wa kwanza na tabia zake inaonekana kuchezea wake wa bailamu alafu isitoshe ile nidili tu.
Baillam angeonesha nayy anampenda mke wake japo kuw amenkabizi kwa jamaa
Mwisho dili lingejulikana alafu unampa jamaa mke wa kwanza kwa sababu yeye ndio mshenzi
apo ss ingegeuka saison ya wa bongo😃😂mi fresh tu nawapend iv ivoo
Ipo. Part 3 mbona
Kwan episode ya 18 haijatoka?
Mbwela Lkn 😢 ss mm je
😂😂
Mbona fupi mno!
MashaAllah
Nawakubali wakina balam
Balam ndo nani 😅
Bailam wee huna mchezo kweli kesha haribu achukue jiko kwa lazima
💥💥💥