WAZIRI MKUU AMBANA MKURUGENZI kwa KUKAIDI MAAGIZO ya RAIS SAMIA; "MNAJADILI MAAGIZO YA Mhe. RAIS?"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • WAZIRI MKUU AMBANA MKURUGENZI kwa KUKAIDI MAAGIZO ya RAIS SAMIA; "MNAJADILI MAAGIZO YA Mhe. RAIS?"
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 39

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 ปีที่แล้ว +3

    Mh.. Waziri Mkuu safi Sanaa 🤗👊✌️💪🏽🙏🏼

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndio waziri mkuu!! Hana kona kona, unajua kusimamia itifaki ,Fanya kazi !!!

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 ปีที่แล้ว

    Huyu ndio Magufuli aliyokuwa anafanya siyo bibi Tozo wenu. Hongera Sana Waziri Mkuu hongera sana Wanaume

  • @evarimdecoration4256
    @evarimdecoration4256 ปีที่แล้ว +2

    Nakuelewa sana waziri mkuu wetu jembe letu nakupenda sanaaa! Mungu akupe nguvu..

  • @alindingo1382
    @alindingo1382 ปีที่แล้ว +2

    Duuuuh hii nchi hatar sana

  • @lukaszakaria8404
    @lukaszakaria8404 ปีที่แล้ว +3

    Majaliwa bila ww nchi hii haiendi

  • @MakalangaSayi-nv6bw
    @MakalangaSayi-nv6bw ปีที่แล้ว

    Age kuwa rais uyu majaliwa tugefulai sana anaweza

  • @ndarotymagambo1389
    @ndarotymagambo1389 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa noma anakuja na data

  • @hamisipolenisanaissa8859
    @hamisipolenisanaissa8859 ปีที่แล้ว

    Asante Barbara ya muhimbili uliyo ISHITUKIZIA NIMEIONA KAMA TAYARI LEO

  • @thomaschengena6369
    @thomaschengena6369 ปีที่แล้ว +2

    mhesh lala nao mbele

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo5156 ปีที่แล้ว +3

    Huyo Mkurugenzi hana ethics ya Uongozi..anawezaje kupingana na Rais wa nchi?

    • @julianaswai7846
      @julianaswai7846 ปีที่แล้ว

      Angekuwakuw Magu kashatumbuliwa. Tena n takukur ingemfatilia. Rais akiongea ameongea

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Mkurugenzi HANA nidhamu; Bila shaka HAPASWI kibaki ofisini. Tutaangalia mkeka wa Mama unaofuata.

  • @kingbabzubekingbabzube5992
    @kingbabzubekingbabzube5992 ปีที่แล้ว

    Next magufuli Allah akupe pumzi kiongoz wetu

  • @prospersanga7942
    @prospersanga7942 ปีที่แล้ว

    Sio unatoa majibu ya naomba mkalifanyie kazi, wataendelea kupiga sana Hela,.,., Shda zitakuwa kwetu ☹️☹️

  • @AliALIMOHD-n3f
    @AliALIMOHD-n3f ปีที่แล้ว

    Mkuu nakukubali sulut

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว +3

    Inaonyesha wazi huyu dada mbabe sana hata uko ofisini kwake watu wakiwa wanahaha na kazi mikono nyuma wakipata tu makucha nje nje umeambiwa na mkuu wa nchi ufanye hivi unafanya yako kwa mashauliano na watu walio chini

    • @samwelmabula5642
      @samwelmabula5642 ปีที่แล้ว

      Huyu mama ni mtu poa sana hana makuu na mtu Busega tuna enjoy sana kuwa na yeye.

  • @talents7934
    @talents7934 ปีที่แล้ว

    My next president ever thanks sir I'm proud of you sir

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 ปีที่แล้ว

      Sahau hilo, ipo safu rasmi toka kwa Old CEO miaka mia ijayo.

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 ปีที่แล้ว

    huyo dada ni mjeuri sana hafai kuwa mkurgenzi

  • @salmamvungi1836
    @salmamvungi1836 ปีที่แล้ว

    Ingekuwa Raisi ingeeleweka tu

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 ปีที่แล้ว

    Mhm Raisi ndie mmiliki wa pesa zote nchini nizakwake duhuuu tunahitaji katiba mpya haraka sana

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 ปีที่แล้ว +2

    Wewe jembe letu mungu akupiganie tunakutegemea

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 ปีที่แล้ว +3

    Njoo nahuku Musoma mjin ni madudu tu

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 ปีที่แล้ว

    SASA MAHAMUZI YA BARAKA LA MADIWANI ALIBADILISHWI NA MAAGIZO YOYOTE ATA RAIS

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 ปีที่แล้ว +2

    Safi Mh Waziri Mkuu Majaliwa Kuna baadhi ya Watumishi wanazingua kweli
    Hawataki kufuata itifaki

  • @prospersanga7942
    @prospersanga7942 ปีที่แล้ว

    Hii ndo sauti ya mamlaka

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 ปีที่แล้ว

    Nayeye asiwe mmoja wa watakaokuwa katika usimamizi wa huo mradi

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 ปีที่แล้ว +1

    Idd Kasim mchepuko wake

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 ปีที่แล้ว +1

    2025 Ni yako Kwan viongozi waache tamaa Kwan tunamtaka wazir mkuu

    • @latwifsued3316
      @latwifsued3316 ปีที่แล้ว

      Mh. Waziri mkuu mungu akulinde, una hekima sana lakini una msimamo sana, na uko kwa ajili ya nchi. Ama kweli wewe ni jembe. Watanzania tunakuitaji msaidie mama yetu.

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว

    Utapiga kelele kamateni wekani ndani.kila sku sera hizohizo hao wtu kmateni.

  • @allenabiud3273
    @allenabiud3273 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa njoo na mwanza ujionee mwenyewe

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 ปีที่แล้ว

    Kanuni zinavunjwa na wakubwa

  • @jawasmhindi5888
    @jawasmhindi5888 ปีที่แล้ว

    😂

  • @allenabiud3273
    @allenabiud3273 ปีที่แล้ว

    Machinga wanachamoto