HAMISA MOBETTO AZINDUA DUKA LAKE JIPYA TANDIKA "NI DUKA LA PILI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 67

  • @tusiimeroy3157
    @tusiimeroy3157 หลายเดือนก่อน +11

    Wauuuu, hongera Mwanangu unajua kujieleza vzr Sana Mimi nitakufikia muda si mrefu

  • @AmranyHamiss
    @AmranyHamiss หลายเดือนก่อน +4

    Sijawah kukoment ata sku moja kweny interview za hamisa mobeto ila kwa hil acha tu niseme palipo juhud pana mungu palipo malengo panhtaj subra mung n wet sote na anampa amtakae dada mungu amekubarik wanaokusema vbaya umewazid n husda choyo na roho mbaya tu msaf na mkamlfu chin ya juw hayupo allah akufanyie wepes ktk kila hatuwa ya utafutaj wako nakupenda saaan dada ❤❤❤

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph หลายเดือนก่อน +22

    She's beautiful and huyu ni mmoja wa mastar walioweza kutumia umaarufu wao kujiletea manufaa...tuna jambo la kujifunza Kutoka kwake🥰💃

    • @user-iq9bu7dm5b
      @user-iq9bu7dm5b หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa na very soon anawaonesha nyumba yake kubwaa ya gorofa ❤❤.kwa sasa ananunua vitu za ndani za nyumba akimaliza atatuonesha mjengo wake

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-iq9bu7dm5bmmmh asante kwa taarifa

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu หลายเดือนก่อน +6

    Congratulations my Mungu azidi kukukuzia biasha zako 🎉🎉🎉❤❤

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph หลายเดือนก่อน +9

    Wooow hongera sana hamisa🎉🎉👏🏾👏🏾

  • @salmaabdallah7200
    @salmaabdallah7200 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera misa❤️❤️

  • @saidmasika8738
    @saidmasika8738 หลายเดือนก่อน +6

    tunakupenda hamisa na ubarikiwe twakupenda

  • @AzizaALSHIBLI
    @AzizaALSHIBLI หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akuzidishie uendelee

  • @user-qb3nr6gl1z
    @user-qb3nr6gl1z หลายเดือนก่อน +6

    Nimekuelewa hamisa nikirud nitakutaft nashida San na wew

  • @franccoz94
    @franccoz94 หลายเดือนก่อน +7

    Pesa za master ki hizo,master ameshaingia kwenye mfumo

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwani หลายเดือนก่อน +2

    Nguo nzuri Masha'Allah 🎉

  • @fatmachikambo8780
    @fatmachikambo8780 หลายเดือนก่อน

    Mashallah hongera sana Hamisa kwa kutusogezea huduma ❤❤❤

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n หลายเดือนก่อน +1

    Misaaaa wangu❤❤❤❤❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana binti unajitahidi ubarikiwe sanaaaa

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n หลายเดือนก่อน

    Hapo kwa mafundi hukujbu vzuri misa wangu❤❤❤😂

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd หลายเดือนก่อน +3

    Ngozi imenyooka dah sijui anapaka mafuta gan😢

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan ww dada siku hz una akil Sanaa unatumia jna lako kupiga hela ......
    Wema anatumia jna kupata vi serenget boys na wema haji kukupata kabsaa ushamuacha mbal

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 หลายเดือนก่อน +2

    Ulee mwanao achana na diamond ww ni shujaa naamini hakuna kinachokushinda mtoe mtt wetu kwenye media

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona หลายเดือนก่อน +4

    Atafungua maduka mengii kama anavyoo fungua duka lake la chini🤭😂 kudanga huko kunalipaaa🎉

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 หลายเดือนก่อน +3

      Nawewe fungua duka la juu

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 หลายเดือนก่อน +2

      Kadange na wewe

    • @zeinababdi4757
      @zeinababdi4757 หลายเดือนก่อน +4

      Kadange basi na wewe, ufungue duka😮

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 ukwelindo huo

  • @rachenicolas
    @rachenicolas หลายเดือนก่อน

    Kina dada uyu namtaka sana kweli Niko naka kongo

  • @user-eh5mw8fn8q
    @user-eh5mw8fn8q หลายเดือนก่อน

    Hamisa nataka nguo ya kitchen party best. Uko na material ngani nzuri ya evening wear. Pls

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน +2

    Uwongo uyo unaweza aje Ku ajiri wafndi usiwajui esabu cheni mapose

  • @AbdullyCharles
    @AbdullyCharles หลายเดือนก่อน +3

    Mmmmh dada sio hela zausajili hzo za Aziz k 😂😂😂

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h หลายเดือนก่อน

    Barikiwa Sana dada

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ❤

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaijuwa siumalaya

  • @melch3097
    @melch3097 หลายเดือนก่อน +1

    Welldone

  • @EndeshiDaniel
    @EndeshiDaniel หลายเดือนก่อน +1

    Ongeraaaaaaaa acheni wivu eti ela z azizi nyie mmefanya nn

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 29 วันที่ผ่านมา

    Ongera mobeto

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i หลายเดือนก่อน +2

    Pesa za Aziz ki

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 หลายเดือนก่อน

    Hamisa anajua sana

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน +1

    Asante make up

  • @esthermwaivu888
    @esthermwaivu888 หลายเดือนก่อน

    Kenya twazipataje

  • @fatmayusuf7122
    @fatmayusuf7122 หลายเดือนก่อน +1

    Beautiful with or without makeup

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 หลายเดือนก่อน +1

    Seem gani Tandika

  • @eliyawinfrida2491
    @eliyawinfrida2491 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤😊😊

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 หลายเดือนก่อน

    Wana yanga duka letu hilooo😅

  • @KELVINshabani
    @KELVINshabani หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @AyshaTt-zp7yu
    @AyshaTt-zp7yu หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @AishaNgoyi-vi2ku
    @AishaNgoyi-vi2ku หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 หลายเดือนก่อน

    Hana kelele ni Vitendo tu

  • @katherinewanjaa452
    @katherinewanjaa452 21 วันที่ผ่านมา

    Nipe number Yako nataka nguo Niko Kenya

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc หลายเดือนก่อน

    Kila mtu anafungua duka. Wabongo fanyeni kazi zingine, wengine fungueni viwanda, kila mtu akiuza nguo nani atanunua? Mnapenda kazi laini laini hampendi kutumia akili kabisa.

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @user-rj1xx9jc1y
    @user-rj1xx9jc1y หลายเดือนก่อน

    Pesa ya yanga iyooo 😂😂

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo?

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 หลายเดือนก่อน

      Kwamba yanga wanauza madelaaaaa😂😊

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 หลายเดือนก่อน +1

    Nitakuja kununua ilimlad nikuone

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 หลายเดือนก่อน

    Mbagara ni buku 7 na hizo ni bei hiyo?

    • @FatumaMamlo-st8pj
      @FatumaMamlo-st8pj หลายเดือนก่อน +1

      Nenda ukanunue kwani umeitwa😢😢😢😢

    • @mwajumakweli
      @mwajumakweli หลายเดือนก่อน +1

      ​@@FatumaMamlo-st8pj❤❤❤❤

    • @bahatikarume3203
      @bahatikarume3203 หลายเดือนก่อน +3

      Alafu ukute anatoka Temeke kwenda mbagala kwa akili ya Tsh 7000 akiweka nauli plus muda ni zaadi ya hiyoTsh 8000. Tuache wivu

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 หลายเดือนก่อน +1

      Kanunue huko, hujaitwa