Ila kila, mtabibu anaeleza, kivyake sasa hua hawa watu wanatuweka njia panda wengine wanakuambia hauna sumu leo unambiwa, ndan yake kuna sumu pia. Im dead
Nilichukuaga majani ya mloge na miziz yake kijiko kimoja kimoja nikaweka Kwenye chai naapo napresha yakupanda mbona nililazwa mie naogopa mpka Leo miimi
HUU MTI HAUFAI AMESEMA KWELI HUU MTI UNA MADHARA MAKUBWA KIKUBWA UKITAKA KUJUA SOMA USIWE MSIKILIZAJI TU MADAKTARI WA MEXICO WANASEMA HAUFAI KWA MATIBABU
ALLAH awahifahi law yote kwa vyovyote familia tote ya riyadh tv mmekua mifupa elimu bila mipaka alhamdulillah
Fajazaaka llahu khayrah
Shukran laka
AMEN
Ila kila, mtabibu anaeleza, kivyake sasa hua hawa watu wanatuweka njia panda wengine wanakuambia hauna sumu leo unambiwa, ndan yake kuna sumu pia. Im dead
Shukran sana shekh
Shukran sheikh
Shukran
Asante sana
Mungu awabariki
Sasa huo kifa uongo ni nini jameni?
Sasa kifauongo ni nini mbona hujatuelezea dr.
Haufai FAIDA ni ndogo sana ya mti wa mronge
Nilichukuaga majani ya mloge na miziz yake kijiko kimoja kimoja nikaweka Kwenye chai naapo napresha yakupanda mbona nililazwa mie naogopa mpka Leo miimi
Kama uko na pressure, yakupanda,na cholesterol inaweza saidia
Sukari ina aina type 1 na type 2 vipi mwenye type 1 itamufaa
Unamtakia heri Mungu kama vile usipomtakia anakufa
Hahahhaa
Tuma namba nikuulize ninashida nawewe
Naweza pata vipi hayo matawi
Je hayamajani ya kifauongo yanapatikana wapi
Samaha jee hayamajani yakifauongo yanapatikana
Unaanza kuongea lugha ya kiarabu utadhani sote warabu.
Asalamu ghalaikum warahmatuLLAHI wabarakatuh
Majani mengi na sio mingi
Shukran mwalimu Allah akuhifathi
Kifau ongo ndio Nini
Kuna majan madogo ukiyagusa tu yanalala baadae yainuka kule kwetu tunaita usiniguse
Hybiscus flower
Yale yanayochoma huku kwetu tunaita kifaurongo
Kifaurongo ni mti gani
HUU MTI HAUFAI AMESEMA KWELI HUU MTI UNA MADHARA MAKUBWA KIKUBWA UKITAKA KUJUA SOMA USIWE MSIKILIZAJI TU
MADAKTARI WA MEXICO WANASEMA HAUFAI KWA MATIBABU