LEMA ATANGAZA VITA NA GAMBO UBUNGE MWAKA 2025 HAPATOSHI WASHIKANA MASHATI "MIMI BADO MBUNGE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ม.ค. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

ความคิดเห็น • 90

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mm naomba tyu wasiibe kura ila atakae husika kuiba kura za lema mungu asimucheleweshe

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unatangaza vizuri sana... Harmon ya utangazaji uko na sauti yako unaiweka safi sana... Big up mtangazaji

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda bure kaka angu Lema

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo mwandishi kafilisika sera kichwani! Akamuulize Mwenezi wa Chama Twawala shida,manung'uniko, na masikitiko ya Wananchi!

  • @juliusbura4550
    @juliusbura4550 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mh mkiti wa Kanda ya kaskazini

  • @user-rr2vw2ng8r
    @user-rr2vw2ng8r 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ongela kamanda

  • @SimonLimuruti
    @SimonLimuruti 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sema kweli mtumishi wa mungu,akika lema akirudi kua arusha mjini kua mbungu arusha utapona

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tuna msubiri kwa ham ❤ baba arusha ❤ jembe hlo baba ❤ mungu yuko nae kila wa kati❤

  • @shafiigari6011
    @shafiigari6011 5 หลายเดือนก่อน +4

    Me ninavyokufaham bado naona hata ubunge sio sehemu yako ila basi tyu wewe nafasi yako ni kua Raisi wa nchi hii kabixaaaa

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lema hustaili kugombea ubunge tunaomba ugombee urais

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lema akigombea urais mimi nitampatia kura yangu.

  • @reginas1832
    @reginas1832 5 หลายเดือนก่อน +3

    Halafu walimu na police ndiyo wanaitetea ccm waache waendelee kuteseka mpaka akili zao ziamke

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 5 หลายเดือนก่อน +1

    Big up 💪xana lema akilinyingi sana

  • @user-vy5kn6nz4l
    @user-vy5kn6nz4l 5 หลายเดือนก่อน

    Lema utumishi uliotukuka upo ndani yako na Mungu akubariki(Mungu akuepushe na kila hila za Yule mwovu,na kila atendaye kazi za Ibilisi

  • @GodlizenSlaa
    @GodlizenSlaa 3 หลายเดือนก่อน

    Lema endelea kuomba mungu akudabo ujasiri mara zote.Wa nao kubesa ni mafala

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 4 หลายเดือนก่อน

    Aloo kweli Lema Yuko sawa kabisa hana xhd

  • @allenmacha4131
    @allenmacha4131 5 หลายเดือนก่อน +3

    Arusha tunampenda lema

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 4 หลายเดือนก่อน

    Inshaallah atayiba kura Tanzania atalaniwa na mwenyezi mungu

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kura lema umepata mm nimwananchi wa kawaida tyu watu mtaan wanakupenda

  • @melejishangai6054
    @melejishangai6054 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi tuu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lema alitafuta wafadhili Arusha mjini tupate maji, Gambo akaingilia kuuvaa mradi ule kama kiongozi wa serikali mfadhili akaondoka mpaka Leo maji ya uhakika hakuna!

  • @emmanuelisarria6321
    @emmanuelisarria6321 5 หลายเดือนก่อน +1

    👍

  • @mrimimarwa6485
    @mrimimarwa6485 5 หลายเดือนก่อน +1

    Lazima ushinde kwajina la yesu

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na kubali maneno yako mpe mpe bana ❤

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br 5 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha is belong to God and Lema

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 4 หลายเดือนก่อน

    Dolla $1500-3000 ndo mshara wa kazi za chini Europe na USA.

  • @user-qz2en7xi2h
    @user-qz2en7xi2h 5 หลายเดือนก่อน +2

    Arusha ni yako

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 5 หลายเดือนก่อน

    Gambo atafute kazi ya kufanya hta uende ukagombee dar tyunakuletea lema upambane na jembe kwanz lema kidume

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 3 หลายเดือนก่อน

    Gambo safar hii lile dirisha alopita lmezibwa

  • @JohnManyilizu-jz2qu
    @JohnManyilizu-jz2qu 5 หลายเดือนก่อน +2

    Watu makini chadema

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 5 หลายเดือนก่อน +5

    Lema usijipe 100% kushinda,

  • @mangobase
    @mangobase 5 หลายเดือนก่อน

    Naenda kaibe kazi yako ya zamani

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 3 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi tulia tusikilize madini kidogo
    Kuna vitu huyu jamaa akiongea vinapenya sana
    Anastahili tu kuwepo alete changamoto.

  • @mshikor
    @mshikor 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wanyiha bwana mnkondya huna lolote Bado upo enzi za zambi elim ndogo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 หลายเดือนก่อน

    👍✌️👊.

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 5 หลายเดือนก่อน

    2020 mbona hukupita kama unskubalika

  • @shabanikimpinga6769
    @shabanikimpinga6769 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona.husemi.raiya.unatamani.ubunge.wapeni.nawengine

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 3 หลายเดือนก่อน

    Wasiibe kura tu

  • @user-vb3sy6oe2y
    @user-vb3sy6oe2y 5 หลายเดือนก่อน

    Maandiko yanasema akiwapo nabii MUNGUATAJIFUNUA KUtokananahuyonabii

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waambie ukweli Hawa CCM ni wajinga sana

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 4 หลายเดือนก่อน

    mhemiwa.kagombekondoa upeleke
    Maendeleo. Mbele.

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 4 หลายเดือนก่อน

    Ungepunguza sifa

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 5 หลายเดือนก่อน

    Arusha Mji wa.Mataifa
    LAKINI MJI UN MATATIZO .....NO WATER...IKIPATA
    MAJI NI YA CHUMVI
    AIBU KUBWA SANA......
    KWELI ARUSHA HAIENDELEI...
    NO WATER
    NO POWER
    NO MILK
    ..........

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 5 หลายเดือนก่อน

    Fatani mkubwa huyo muongo mkubwa. Mbunge ulikimbia muongo fatan mkubwa huyo mbaka Dini zetu anakebehi muongo na fatani mkubwa huyo

  • @ibrahimirove
    @ibrahimirove 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ulikuwa Mbunge Hujafanya Lolote Hatukutaki Wewe Ni Mchochezi Tuuuu

    • @juliusmsangi6849
      @juliusmsangi6849 5 หลายเดือนก่อน +2

      Maswali ya mambumbumbu ya chama Twawala! Kodi zenu mnampa Mbunge ili muwadai wamefanya Nini?

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani anakusanya kodi

    • @husseinamassanza50
      @husseinamassanza50 5 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka bibi yako ndiyo awe m bunge, huyo ambaye ni m bunge baada ya lema yeye kakufanyia kipi shoga wewe

    • @Abs-tz8dl
      @Abs-tz8dl 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni 00000.0000” x 0000000000”.0000=0

  • @Simulikatz
    @Simulikatz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kugombea

  • @sittakisinda927
    @sittakisinda927 5 หลายเดือนก่อน

    Porojo nyingi sanaa huyu Lema

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk 5 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Lema Mbona humping nafasi Mtangazaji anapokuhoji.? Kwanini unamkatisha alafu wewe unaongea sana hutaki ukatishwe. ILOVE YOU LEMA.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 5 หลายเดือนก่อน

    Tulisikia chadema kama katiba na nec haitafanyiwa mabadiko hamtashiriki imekuwaje tena

  • @johnsimba
    @johnsimba 5 หลายเดือนก่อน

    Lema una point ila sasa unachanganya na kingereza mengine hatuyaelewi ebu ongea angalao kiswahili zaidi

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e 5 หลายเดือนก่อน

    Tunamtaka lema ndio nimbunge kwa sababu hatujamchagua gambo sisi

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mmbunge wetu chuga yetu

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 5 หลายเดือนก่อน

    Lema alikosea kuwatukana bodaboda na JOODEV hilo tu lilimuondolea kasivii frana tena bado anatukana tena maaskofu wachungaji manabii bodaboda hapo tu unakosea

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 5 หลายเดือนก่อน

    Arusha bado tunakukubali kamanda Lema,ingawa ccm walikunyang'anya kinyume chetu bado hujapoteza,Karibu Gambo anajua alivyoshinda na hata aongee mema kiasi gani bungeni na uraiani tunataka bunge la mseto na wananchi bado tunakumbuka matendo yake kwa upinzani wakati akiwa DC/RC na aliapa atamshinda kwa vyovyote na kweli ccm ilishinda nchi nzima kana kwamba wananchi woote nchini waliichagua ccm tu!

  • @user-vb3sy6oe2y
    @user-vb3sy6oe2y 5 หลายเดือนก่อน

    Lema MÙNGU akubarikisaana miminakuombea

  • @francisrogears528
    @francisrogears528 5 หลายเดือนก่อน

    lema mwamba

  • @user-qz2en7xi2h
    @user-qz2en7xi2h 5 หลายเดือนก่อน

    Mguakupe uzima

  • @raymondlaizer4717
    @raymondlaizer4717 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lema sikuzote your Smart tungepata mawaziri watano kama ww njichi hii ingekua mbali

    • @Jal210
      @Jal210 5 หลายเดือนก่อน

      Huyu jambazi mkubwa

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 5 หลายเดือนก่อน

    Tobowa lema mwambiye huyo mwandishi.

  • @user-lv7zy7mx9i
    @user-lv7zy7mx9i 5 หลายเดือนก่อน

    Unataka swawabu kwa uongo

  • @frankpeter-of8xp
    @frankpeter-of8xp 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona viongozi wa ccm amuwaulizi maswali magumu Kama hayo

    • @benjaminmiselya2622
      @benjaminmiselya2622 5 หลายเดือนก่อน

      Hahaha.kama Trump I want to ask you tough questions 😂😂😂

    • @abdulmajidmageja6562
      @abdulmajidmageja6562 5 หลายเดือนก่อน +1

      Viongozi wa ccm ni chenga sana hawa jui kujibu maswali

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 5 หลายเดือนก่อน

    Sio rahisi miaka 10 alokaa lema ukilinganisha na mitatu ya gambo gambo kafanya mengi lema alikua akijidai eti katupa ujasiri lakini akakimbiza familia yake nje mpk sasa inakula pizza Canada sisi tunakula mihogo na pilipili

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 5 หลายเดือนก่อน

      Pesa za ccm hupekekwa kwa Kwa mbunge ambaye ni Wa chama chao

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 5 หลายเดือนก่อน

      Ww kuandika hujui so nyamaza hujui kitu nikianza kukuelewesha napoteza bando

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 5 หลายเดือนก่อน

      Gambo ana kashfa na chama chake
      Gambo ana kashfa na serikali yake
      Mengine tunyamaze

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 5 หลายเดือนก่อน

      Pamoja na yote ila lema hafai sio mzalendo mbona mbowe sugu na wengine hawakukacha mbowe alikaa mpk jela lema akaishia nje ya nchi mpk Leo mkewe na watoto hawapo tz

  • @user-vy5kn6nz4l
    @user-vy5kn6nz4l 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi jipange maswali ya kumuuliza huyo jamaa hayo mabarabara na mavitu wanayotaja wamefanya ni kodii zetu.

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 5 หลายเดือนก่อน

    lema tatizo unapenda sifa mzee

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 5 หลายเดือนก่อน +2

      Anasema ukweli we ndo huelewi

    • @husseinamassanza50
      @husseinamassanza50 5 หลายเดือนก่อน

      Acha ushoga wewe

    • @Abs-tz8dl
      @Abs-tz8dl 4 หลายเดือนก่อน

      Mwenye wivu ajinyonge

  • @Jal210
    @Jal210 5 หลายเดือนก่อน

    Uliifanya nini ulivyokuwa Mbunge Arusha wacha ujinga Wewe LEMA mhuni mmoja Jambazi mwizi wa magari Arusha

  • @kandorohussein6890
    @kandorohussein6890 5 หลายเดือนก่อน

    Lema mbwembwe nyingi tu lakini una njaa kali tu, Huko nje ulikoenda ukaona kuzuri si ungekaa hukohuko umerudi kuganga njaa tu. Lakini nakusifu unafaabsana kwa PROPAGANDA !

    • @husseinamassanza50
      @husseinamassanza50 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa njaa aliyonayo lema na njaa uliyonayo wewe yupi atakufa haraka kama sio wewe, fikiria vitu vya kuongea na ushoga uache

    • @Abs-tz8dl
      @Abs-tz8dl 4 หลายเดือนก่อน

      @@husseinamassanza50sio lazima ulijibu by robot la Ccm Hilo

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lema usijipe moyo. Huna lolote in mhuni tu .Labda CCM isimteuwe mrisho

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo kadata

  • @elishambise-qz1cx
    @elishambise-qz1cx 5 หลายเดือนก่อน

    binafsi namwamini sana uyu mwamba kwnza hana nizam ya uoga nikikumbuka 2005 najuwa awezi kosa ushindi pindi uchaguzi ukiwa nawa huru na aki