Asante mwanaharakati kwa ufafanuzi mzuri kuhusu maana ya maandamano,nimekuelewa naamini Wananchi wengine pia wamekuelwa,na polisi pia wamekuelewa. Hivyo polisi wasizuie maandamano ya Chadema! Maandamano ya Amani ni haki Wananchi wote kikatiba,hivyo yafanyike kwa Amani na polisi mlinde usalama siyo kuzuia maandamano!
Bila shaka wameskia nini maana ya maandamano.... Polisi hawana mamlaka yakuzuia maandamano.. jukumu lao kulindatu🤝🤝 bac naiwe hvyo sio kutumia nguvu kuzuia:kila mtanzani ana haki ya kudai maslahi au haki kwaajili ya taifa hili,,Mungu ibariki tanzania mungu ipe hekma selkali hii..ijue niipi haja ya watanzania 💤💤
NADHANI POLICE CHAWA WAMESIKIA KABISA MAANA YA MAANDAMANO ,SASA BASI TUNATAKA WAUWAJI WOTE WAKAMATWE NA WANYONGWE KAMA SHERIA INAVYOSEMWA ANAYE UWA KWA UPANGA NAE ATAUWAWA KWA UPANGA.
Yani mm mwenyewe nilishangaa polis badala yakuwalinda waandamanaji ambao wanadai hak zao polis wanaonyesha umahir wakuwapiga waandamanaji badala yakiwalinda tena mbele ya rais mbele ya watu wenye vyeo ni jins gani polis ni viraza au wanafanya kwa kuwafurahisha watawala lakn ukweli wanaujua
Wewe umewahi kuandamana lini Yani mtu umekaa mahali unakula ugali na Sukuma week alafu unasema umechoka na maandamano Mm nadhani tunaaswa kuchoka na mtukio ya kikatili yanayoendelea nchini kama chadema wanahusika wachukuliwe hatua kma ni serikali nao wawajibike
MAMA SAMIA KAMA UNATAKA KUZIDI KUCHUKIWA JARIBU KUUWA WATU KISHA UTAONA NCHI ITAKAVYOKUWA NGUMU KUTAWALA.....NAKUSHAURI KAMA UNA HOFU KIDOGO YA MUNGU ACHANA NA WASHAURI WAJINGA
IKIWA HAYA MAANDAMANO YATAFANYIKA NA MAPOLISI WATAFYATUWA RISASI KUWAUWA WATANZANIA WANAONDAMANA KWA AMANI HUO UTAKUWA NI MWISHO WA UTAWALA WA MA CCM KWASABABU WANANCHI HAWATAKUBALI TENA UTAWALA WA CCM AMBAO KWASASA WANATUMIA MABAVU KUTAWALA
Asante mwanaharakati kwa ufafanuzi mzuri kuhusu maana ya maandamano,nimekuelewa naamini Wananchi wengine pia wamekuelwa,na polisi pia wamekuelewa. Hivyo polisi wasizuie maandamano ya Chadema!
Maandamano ya Amani ni haki Wananchi wote kikatiba,hivyo yafanyike kwa Amani na polisi mlinde usalama siyo kuzuia maandamano!
Police wangetumia nguvu kuwatafuta watekaji kuliko kuzuia waandamanaji wanao dai haki
Wameshapewa majina ila watajitafuta wenyewe?
Tunawashukulu sana kwa kutuelimisha na kujifunza haki zetu
Bila shaka wameskia nini maana ya maandamano....
Polisi hawana mamlaka yakuzuia maandamano.. jukumu lao kulindatu🤝🤝 bac naiwe hvyo sio kutumia nguvu kuzuia:kila mtanzani ana haki ya kudai maslahi au haki kwaajili ya taifa hili,,Mungu ibariki tanzania mungu ipe hekma selkali hii..ijue niipi haja ya watanzania 💤💤
Samia must go
Nenda kesho kama hautakufa j
Wskifa utafurahia nini? Hujielewi wewe.
Police ndio wanaotaka kuvunua sheria
Kwani hao wakinasoka. Na wenvi wamefsnya ninibona hawajulikani walipo au wameshakufa hao vijaana
Polisi tafuta wauzaji wa madawa ya kulevya achana na maandamano ya amani watu hawana hata fimbo nyinyi mnaleta hata mabomu.
NADHANI POLICE CHAWA WAMESIKIA KABISA MAANA YA MAANDAMANO ,SASA BASI TUNATAKA WAUWAJI WOTE WAKAMATWE NA WANYONGWE KAMA SHERIA INAVYOSEMWA ANAYE UWA KWA UPANGA NAE ATAUWAWA KWA UPANGA.
Police wetu awajui shiria za katiba ya nchi tuliyo achiwa na babu zetu
Kwahiyo tar 23/9 Polisi wanapashwa wayalinde siyo kuyazuia nimekuelewa
Yani mm mwenyewe nilishangaa polis badala yakuwalinda waandamanaji ambao wanadai hak zao polis wanaonyesha umahir wakuwapiga waandamanaji badala yakiwalinda tena mbele ya rais mbele ya watu wenye vyeo ni jins gani polis ni viraza au wanafanya kwa kuwafurahisha watawala lakn ukweli wanaujua
Wanaharakati mkae mbele ya waandamanaji labda wataogopa
MAANDAMANO NIHAKI YA KIKATIBA, KAZI YAPOLISI NI KULINDA WAANDAMANAJI NASIO KUWAUWA
Tumechoka na maandamano hao waliotekwa na Polisi watolewe ilu nchi iwe na Amani
Umeandamana lini hadi ukachoka
Wewe umewahi kuandamana lini Yani mtu umekaa mahali unakula ugali na Sukuma week alafu unasema umechoka na maandamano
Mm nadhani tunaaswa kuchoka na mtukio ya kikatili yanayoendelea nchini kama chadema wanahusika wachukuliwe hatua kma ni serikali nao wawajibike
Margaret ACHA UJINGA lini umewahi kuandamana ukachoka
NIKWANINI HUYO MUUAJI ASP MAFYELE ASIKABIDHI MIILI YAWATU ALIOWATEKA? MAANA NASIKIA HUYU MAFYELE NDIE SABABU
MAMA SAMIA KAMA UNATAKA KUZIDI KUCHUKIWA JARIBU KUUWA WATU KISHA UTAONA NCHI ITAKAVYOKUWA NGUMU KUTAWALA.....NAKUSHAURI KAMA UNA HOFU KIDOGO YA MUNGU ACHANA NA WASHAURI WAJINGA
Ni kweli
Amen
HUYO MAFYELE ANAETEKA NA KUUWA WATU KWANINI ASIUWAWE? MAANA INASEMEKANE NDIYE CHANZO
IKIWA HAYA MAANDAMANO YATAFANYIKA NA MAPOLISI WATAFYATUWA RISASI KUWAUWA WATANZANIA WANAONDAMANA KWA AMANI HUO UTAKUWA NI MWISHO WA UTAWALA WA MA CCM KWASABABU WANANCHI HAWATAKUBALI TENA UTAWALA WA CCM AMBAO KWASASA WANATUMIA MABAVU KUTAWALA
Haswa!!!!!
Asantee