Hivi kwanini huwa mnatufanya hatunazo, kwanini hadi msubiri Maandamano ya chadema ndio muanzishe Vitisho? Mara usafi mara doria, Dahhh mungu ibariki Tanzania
Inaoneka Hawa polisi wa Tanzania wanaomba amani kupote maana hakuna wahalifu watatafutwa hivyo nikuwatisha wananchi tu hawana jipya Ila YAJAYO yanafurahisha
Vitisho vya kisaikolojia, Mfalme Sulemani aliomba hekima na kufanikiwa kuitawala dunia na maadui waligeuka marafiki wa taifa la Israel..ivi hekima ya wazee wetu wa heshima hawasikilizwi tena? Jamani tunajua UJUMBE huo unaelekea wapi...hayaaa
Hawa jamaa kuna umuhimu wa kutafta watu wenye elimu nzuri hasa ya sheria si kuunga unga!.. Jeshi hili linapaswa kuwekewa sheria ambayo itaweza kucheck accountability ya chombo hiki Huku ndani kuna mpaka wahuni wanaotesa raia Kwasasa ukikutana na polisi unaanza kuhisi usalama wako uko mdogo sana!
Aibuuuuuuu wanatembea huku nafsi zinawasuta watu wanatekwa wanauwawa nanyi mpoo Dunia inawaona mnatumia masilaha kupambana na wasio na silaha zozote duu
Hiyo ni dalili yakutia hofu chadema wasifanye maanda mano yao yakudai haki nasiyo doria za kusaka waalifu sasa jiulize sikuzote hakukuwa na walifu? Kwahiyo wanavaa ma Sare kwakuwa wako tayari kivita 😂kupambana na raia 😂😂
Wadafanya doria Leo kweli ? Wakati maharamia yameteka watu wameuwa watu!! Tanzania yangu!!! Baadae yawatu kupotea ndio unaona vitandawili kama hivi!!! Nasubiri kwa hamu sana walio mteka kibao na kupoteza maisha yake.. washikwe!!
Itafika muda hata mtakimbizwa wenyewe na wananchi. After all, wananchi wanajua mnakoishi huko mtaani. Wakiamua siku moja watawazuia hata msitoke milangoni mwa nyumba zenu
Ivi hamuoni haya kuwa na jeshi la kishamba la namna hii mnazidiwa na asikari wa campuni ya J4s Tanzania ombeni msaada kwa J4S wawapatie hawa vibaka training ya mafunzo ya using of force,human right, haya majamaa zilo
Tungekua tunalindwa hv Kila siku tungeuwawa, uku ni kunyamanzishwa kimya kimya kwamba kuwatia hofu wanaotaka maandamano ya amani ili ukwel usisemwe tunaijua hyo😂😂 mlikua wap muda wote
Ingekuwa vibaka na wahalifu wanasakwa namna hii kila siku nchi yetu ingekuwa shwariii.
WHY NOW😢😢😢
Aki police wa Tanzania mnachekesha..😂😂basi ukiwaona wamevaa nguo za police utafikiri wanaishi vizuri ,nenda kwao ukajionee maajabu😢
Wanashindwa kuwapata wateja ila ku deploy nguvu kazi kama hivi wanaweza
Hivi kwanini huwa mnatufanya hatunazo, kwanini hadi msubiri Maandamano ya chadema ndio muanzishe Vitisho? Mara usafi mara doria, Dahhh mungu ibariki Tanzania
Wanatisha watu kwa ajili ya kuzui maandamano ya kesho hawa police wanafikili wananchi bado hawajitambui
Niupuzi tuu sikuzote wanakuaga wapi
Wapuuzituu hao
yani mnaogopa chadema 😂😂😂
Inaoneka Hawa polisi wa Tanzania wanaomba amani kupote maana hakuna wahalifu watatafutwa hivyo nikuwatisha wananchi tu hawana jipya Ila YAJAYO yanafurahisha
Askar wanafanya doria 😂😂😂😂 Subir nikalale…. Kwani vibaka si ukiwaona tu unawajua
Iyo doria walah ingependeza mkasaka waganga feki wanao sababisha sababisha mauwaji
Siku zote walikuwa wapi?
Nguvu ya soda tu😮
Ingia mtaani ufanye fujo km unawadharau nyoko wee
@@AliAhmed-m1o2u C.C.M hoyee
Wamependeza lakini mbona watu wanapotea huku wakiwa makini hivyo hilo ndilo swali kubwa lakujiuliza
Matumizi mabaya ya Kodi za wananchi wakimaliza tunataka watujuulishe wametumia billion ngapi
Nawachukia Sana laiti ningekuwa Israel ninge wauwa wote
Safi ASITOKEE MTU WA KULITISHA TAIFA LETU
HIYO NGUVU INGETUMIKA KUWATAFUTA WALIO MUUWA. MZEE ALLY KIBAO INGEKUWA SAF SANA,OOLISI KUWENI MAKINI WATU RAIA WANANGIVU KULIKO CHOCHOTE,
Yaani ujinga uliokithiri
Mmmh vibaka this round wanawindwa na bunduki!!! Kazi wanayo
Safi saaana Jeshi letu la POLICE , Kamanda Yuko vizuri Saaana
Safi nini sasa mpaka yatangazwe maandamano ndio doria?😊
Vitisho vya kisaikolojia, Mfalme Sulemani aliomba hekima na kufanikiwa kuitawala dunia na maadui waligeuka marafiki wa taifa la Israel..ivi hekima ya wazee wetu wa heshima hawasikilizwi tena? Jamani tunajua UJUMBE huo unaelekea wapi...hayaaa
Vibaka wanafanyiwa doria na bunduki pamoja na askari zaidi ya 100
Saizi hatuogopi, kama mauaji yataendelea hapo apana, ogopa siku tukiingia hata ambao sio wanasiasa
Hawa jamaa kuna umuhimu wa kutafta watu wenye elimu nzuri hasa ya sheria si kuunga unga!.. Jeshi hili linapaswa kuwekewa sheria ambayo itaweza kucheck accountability ya chombo hiki Huku ndani kuna mpaka wahuni wanaotesa raia Kwasasa ukikutana na polisi unaanza kuhisi usalama wako uko mdogo sana!
H a vibaka ngoja Kesho tutakutana tu kesho navua nguo zote mamae😢, kesho lijitu litakufa,
Good job Kamanda wetu.
Gachi acha unafki uo usalama baada yakuskia maandamano ya Samia must Go mtajua amjui maanamano yapo pale pale😂😂
Ck zote mulikuwa wp mpaka msikie mandamano ndo muweke ulinzi wakati niwajibu wenu kuweka ulinzi Kila ck!!!
Hii kitu sio poa ko mnaatisha watu ili kujichukilia uhasama na polisi
Hivi vitisho ni swala la muda tyuu
Wewe kamanda aibu yako kamanda wa mkoa wa Rukwa kwa sababu huwezi kumtambua kibaka kwa macho,hata kuna baadhi ya polisi ni vibaka😂
Kisa chadema kusema wataandamana kila kona mmemwaga asikali shikamoo mbowe
Leo????????????? Unawatafuta chadema sio wahalifu hivo huwapati muongo
Hizo show na hayo mafita wangetumia kusaka majambazi sio kutisha wananchi
Aibuuuuuuu wanatembea huku nafsi zinawasuta watu wanatekwa wanauwawa nanyi mpoo Dunia inawaona mnatumia masilaha kupambana na wasio na silaha zozote duu
Kwani kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe? Acheni kutisha watu hatuko miaka ya 60
Hovyo kabisa mngefanyq hivyo siku zote utekaji, mauwaji yangeleta taharuki? Tunajua mnalenga nn
MIKWARA MIKWARA.MIKWARA😢😮😅
wanateseka hawa jamaa maagizo yanawTesa sana na miemuko ya kujionyesha kwa watawala
UOGA Uo Hakimbi Mtu Kesho Tumechoshwa Kutishwa
Kafanye doria kongo
Shika wahalifu sasa ndo tutakuelewa
Safi sanaaaa hao chadema makhluku tabu tuwaone watoke
Bora kuwa mjinga kuliko mpumbavu
Mungekuwa hata watekaji mnawasaka hv,mungekuwa safi sana
Dah! Izi nguvu wanazotumia police wangetumia kudhibit mafisadi na waletaj wa mikataba hewa kelele za Maj na barabara mbovu zisingekwepo
Hakika
Mlaaniwe maandamano ni haki kikatiba
😭😭😭 mchi hii mungu yupo
Jeshi la polis mnachekesha
Hiyo ni dalili yakutia hofu chadema wasifanye maanda mano yao yakudai haki nasiyo doria za kusaka waalifu sasa jiulize sikuzote hakukuwa na walifu? Kwahiyo wanavaa ma Sare kwakuwa wako tayari kivita 😂kupambana na raia 😂😂
Nihuzuni, niabu duh! Ili iwaje sasa
IMARISHENI usalama soja
Wakistaafu kazi yao huwa maisha ya mtaani hawayawezi kabisa wanakufa kwa stoki tuu maana wamezoea vya bure
Sawa waho wapo kazn wanapewa amri xo kila m2 anazingatia ugali wake
Wale watekaji sasa wanaweza wakapatikana 😅
Dar kuna shida watu wana tekwa tuna taka ulinzii kama uwooo ili tu wapate watekajiii
Wanangalia usalama au wanavuluga usalama 😁😂
Heh...! Kumbe nchi yetu ina polisi wengi hivi..!!? Walikuwa wapi jamani..🙄🙄🙄
Hiyo Sasa ndio taharuki mbona kuliko maandamaano??
Vibaka wapi na watekaji wapo kamata weka ndani
Wadafanya doria Leo kweli ? Wakati maharamia yameteka watu wameuwa watu!! Tanzania yangu!!! Baadae yawatu kupotea ndio unaona vitandawili kama hivi!!! Nasubiri kwa hamu sana walio mteka kibao na kupoteza maisha yake.. washikwe!!
Kz yakufanya naona hazipo ktk kitengo chao naona
Kawaida ndio inchi shida ipo wap
Ni upuuzi tu, siku zote huwa mko wapi. Mmesikia maandamano ya amani, mnayawekea flavor za fujo. Aibu sana. Mjifunze kwa majeshi mengine
Itafika muda hata mtakimbizwa wenyewe na wananchi. After all, wananchi wanajua mnakoishi huko mtaani. Wakiamua siku moja watawazuia hata msitoke milangoni mwa nyumba zenu
Munakuwaaga wp
Watatoka hiyo sio dawa
Kwanini ulinzi huu usiwe siku zote? Naona hii ni kutisha wananchi ambao kwa hakika watanzania tumechoka na utekaji wa police
Ivi hamuoni haya kuwa na jeshi la kishamba la namna hii mnazidiwa na asikari wa campuni ya J4s Tanzania ombeni msaada kwa J4S wawapatie hawa vibaka training ya mafunzo ya using of force,human right, haya majamaa zilo
Ongereni
Mhh, minapita2
Mbwa koko tu hao cjui wanamtisha Nan kutwa kucha watu wanatekwa na wenyewe wapo Leo hii wanaingia road kuwakingia kifua watekaji
Nguvu ya soda
Tulindeni tusitekwe kaka zangu
Ulinz huu ungetumika tangu mwanzo kusingekuwa namatukio ya watoto kupotea
Huyo mama anakazi.
Acheni kutisha watu tuleteeni magaidi wanaoteka watu nawatu wasio julikana wajulikane tumechoka mbwembwe zisizo tuhakikishia usalama wetu watu wanapotea mkokimya 😢
Watulinde
Kwani mngewaruhusu waandamane halafu mkawapa ulinzi nini kingepungua? Mbona mnaleta sintofahamubisiyo na sababu?
Vilaza mbwa hawa
Mim binfsi sijaona cha maana wanachokifanya ngonja sis tusubilie maandamano yetu
Ngoja paendelea kuvuja Tutajua namna ya kuziba
Hakuna jeshi hapo makada ya chama tawala watu wenyewe yamepigika hapo yalipo mifukoni mwao ukame,hamjui mlitendalo umasiki mpaka kiama
Je watanganyika watawatwanga ndugu zao risasi
Yaan mkamate watekaje
Naomba kila mwezi chadema waandae maandamano
Police awajui kazi zao sema wana nchi wan wazalau sana
Watuletee wanaotuteka
Hakuna kitu wangekuwa wamejpanga kukabliana na uwalifu watu wasnge tekwa
YAANI CHADEMA INAWASHIGHULISHA KWELIKWELI
Tungekua tunalindwa hv Kila siku tungeuwawa, uku ni kunyamanzishwa kimya kimya kwamba kuwatia hofu wanaotaka maandamano ya amani ili ukwel usisemwe tunaijua hyo😂😂 mlikua wap muda wote
Ni ujinga tu yani hayo yoote ni kuwatisha CDM waiogope ccm
Mbona police wanakuwa km mbwa wa tajiri wanaishi kwenye mabanda km mbwa acheni tuwatetee
👍
Wameona maandamano ndo mumeaanza ndoria na mwanzo mlikuwa wapi vibaraka nyie mnatumika vimbya xn police
Asikari wa ccm mbona mnateswa kisa njaa badilikeni
Safi sanaaaaaa hii nchi inatakiwa iwe km hivi hongereni makamanda ❤❤❤❤❤
Jaji Sinde Warioba, Hatukujenga amani kwa kuzunguka na bunduki nchi hii, amani yetu tuliijenga katika kuamini katika UTU.
TUNATUMIA GHARAMA NYINGI KWA KUOGOPA MDOMO
Hakuna jeshi hapo ni vibaka tu kama vibaka wengine
Kumbe Kuna vibaka😅😅 mmekosa kazi na mnatumika vibaya.
Maandamano yenyewe niya amani,yani utafikiri ni vita ya jehanamu😂
Walikuwa wapi siku zote
Sasa kwann hamkua mnafanya ivi Kila wakati Ili kuzuia utekaji?
Tunadai uhuru dhidi ya madictator
Hayo ndiyo mapindunzi qwnye mapindunbzi ndiyo hawo bwana
Hana hata aibu anaongea pumba kama hizo. Ovyoooo
Mnge.saka.waharifu.kama.?uwezo.wakusaka.wanachama.wachedema.nawaku..busha.tumie.tamta.zenu.kwa.uweledi.mjelani.alitu.ia.asikali.wake.kupiga
Watu.mbele
Za.watoto.wake.zao.kuteketeza
Mali.zao.kama.ngombe..wakubwa.madume..wagogo.wanaita.mkongoro.mbele.yao.naviranja.vyao.jeremani.alikuwa
Mkatili
Sana.mungu.aliingilia.vyama.vyote.vipatane.kwenye.misuguma,no.wapataniashi.wapatikane