Lema uko sahihi kabisa ila ile hotuba ya rais ilikuwa hotuba mbovu na ya hovyo kabisa iliyokosa busara na hekima.Wanaoivuruga nchi hii ni chama tawala na viongozi walioko madarakani wasio na utu,uadilifu wala uzalendo.Hawapendi kujenga mifumo imara na inayotenda haki badala yake wanatengeneza mifumo mibovu na dhaifu ya dhuluma,wizi,ufisadi,ubadhirifu,ujsmbazi,ulaji rushwa,ukandamizaji,utekaji,uuaji.Mnaiba kura na kupora uchaguzi halafu nyinyi mnajiona watakatifu. Ww rais huwezi ukasema una maadili na una hofu ya Mungu na kwamba unaongoza nchi kwa kufuata katiba na sheria ya nchi nawakati urais wako uliupata baada ya kuiba kura na kupora uchaguzi wa 2019 na 2020.
Haya yote ya watu kukimbia nchi anajua yeye kwasababu alikuwa makamu wa rais kwa hiyo unyama uliokuwa unafanyika alikuawa anajua ndio maana anasema hivyo
Mh rais nakupongeza sana kwa angalizo ulilowapa awa kenge,tena kama wataendelea kuleta ujinga hakuna kuwaonea huruma,ukicheka na mbwa mwishowe utaingia nae msikitini,
Huyu Rais wetu kwa kweli ameongea bira kutafakari nyuma yake hayo maneno magumu kwake wananchi tumemwelewa kuwa anajua wauwaji tunaomba arudishe wote ra sivo damu za watu zitamlilia udongoni nawambia aombe msamaa kwa maneno yake kama Rais mi binafs sjakubari kwa kauri yake hiyoninachomwomba apige magot kwa mora la sivo na yeye atakufa mana mungu analipa hapa hapa duniani tumechoka kwa utawala huu wa kimaskini Asante
Kwaiyo alizaliwa akiwa raisi inamana haji kuondolewa nakushangaa wewe kama ana alibu wasiseme alijafika kwako ndomana unasema ivyo auwawe ndugu Yako utatulia
Chadema hawana kauli za kubananz wakitoa kauli za kutusha hawaangalii nyuma Wanatakiwa wabadilishe siasa hawaoni aina ya siasa wanayokwenda nayo siku nyingi inagharimu umefikia wakati wabadilishe aina ya siasa sio ya mabavu
Wewe ni mpuuzi tu.unakimbia wenzako.vitani.kwanzia hiyo SKU nilikudharau.sana sahii anasema mama Samia aondoke ukitaka kumuondoa mwondoe Kwa sera.jinga nyinyi
Mupumbavu mumoja wewe? Usiye jitambua ndiyo maana Wana uza NCHI bado unashangilia tuu kumbukeni kauri ya JOBU NDUGAI hakufanya vile kwa BAHATI mbaya? Panya wewe? Usiye jitambua
Acheni unafiki nyie Chadema hamna nia njema na nchi yetu,Rais kauambia umma kwamba mlifanya kikao Arusha kupanga kuvuruga amani ya nchi!! acheni uhuni!!! Kama alichosema Rais kuhusu kikao mlichofanya Arusha mbona hamlitolei ufafaniuzi? mnapokaa kimyaa maanake ni kweli!!
Chadema wajanja walikimbia km kwamba kuiyaibisha tanganyika kisiasa.zaid km mm ningewambia ccm hata kutud kwetu ndio furaha yenu kisiasa mlikuwa mshafeli aibu
Yesu aliwahi kusema hakika nawaambieni watu hawa wakinyamaza Haya mawe yatatoka na kupaza sauti bob Marley akasema you can fool some people sometime but you can't fool all people all time
Hawa hawana adabu Kumbe mkiona mtu yupo kimya mnamuona mjinga sio Leo umekuja matawi ya chini hv Mwite Samia na sio mhe Rais si mmezoea kumuita Mhe Rais Hhhh upo so cool ama kweli
Brother kwako ww ni furaha...but usiombe yakawa kwako wewe inaumiza hivi ww ukitangaziwa kifo unafikiri utajisikiaje..? Muombe mungu ape Samia hekima na maarifa
YAANI karma ungekuwa unaongea hivyo kwa upole tungefika mbali. Sasa umetuambia tuandamane tena umetusiii sana.sasa mbona ni karma unaomba huruma? Kumbe wewe unajua makubaliano mliyokubaliana na Raisi? Sasa mbona mnayavunja?? Siasa Bwana,YAANI baada Ya kuguswa wewe basi umnajieleza Kweli kweli,,sijui hata kama utaandamana siku Ya jumatatu. YAANI tarehe 23😮
@@Flaviosafari anaenitambua ni Allah tu sina haja ya kutambuliwa na nyie watu wa upande wa kushoto na kwa taharifa yenu ALLAH ATALETA UFUMBUZİ KİONGOZ WA DUNİA ATAKİJA MUDA SİO MREFU NDİO TUTAKAPO WATİA ADABU MADHALİMU WOTE
kumbe huwa mnauwezo wakuzungumza taratibu rais ulichosema ni sahihi namjifunze mwanamke kuwa anahuruma lakini mkimkashirisha hamuwezi kufikiri kama ni yeye iliyetoa musamaa kuwa makini mmeyataka wenyewe .mama alkaakimya muda mrefu siyo kuwa alikuwa cajun balai alipuuza sasa muda umefikia hui ni TZ siyo Canada
magufuri yko wa p si ndoaliye fanya hawa wakimbiee lakiini mungu mkubwa kafaa saa huyu ajitaidi ajifunze kitu mungu aziawmkiwi damu ya mtu ni nzituu damu ya kibao itanena haya mambo haya ni ya kukemeaa sa kwa kauri ya rais haikupasw kuongea kauri kama ileee alikosea sanaaaaaa
Unachosema nikweli amewapa nguvu polisi yanayoendelea nchini Mungu yupo anawalinda inshaallah
Lema uko sahihi kabisa ila ile hotuba ya rais ilikuwa hotuba mbovu na ya hovyo kabisa iliyokosa busara na hekima.Wanaoivuruga nchi hii ni chama tawala na viongozi walioko madarakani wasio na utu,uadilifu wala uzalendo.Hawapendi kujenga mifumo imara na inayotenda haki badala yake wanatengeneza mifumo mibovu na dhaifu ya dhuluma,wizi,ufisadi,ubadhirifu,ujsmbazi,ulaji rushwa,ukandamizaji,utekaji,uuaji.Mnaiba kura na kupora uchaguzi halafu nyinyi mnajiona watakatifu. Ww rais huwezi ukasema una maadili na una hofu ya Mungu na kwamba unaongoza nchi kwa kufuata katiba na sheria ya nchi nawakati urais wako uliupata baada ya kuiba kura na kupora uchaguzi wa 2019 na 2020.
Mungu ndiye Hakim wa haki na haki haipotei tutalipwa hapa hapa tujitahidi kufanyiana mema
Lema msimlaumu Raisi aliongea vitu visivyo nchi hii inatakiwa iongozwe Kwa haki tu
Haya yote ya watu kukimbia nchi anajua yeye kwasababu alikuwa makamu wa rais kwa hiyo unyama uliokuwa unafanyika alikuawa anajua ndio maana anasema hivyo
Lema na Heche ni vijana wenye akili nzuri sana wangepata muongozo wa Mungu wanafaa kutuongoza sana
Mungu awalinde ndugu zetu.
Kudos kwako Lema
Inaongelewa taratibu lakini ina nguvu kuliko kuliko kombora la nuclear
Du! Umeongea Kwa machungu😭
Uko sahihi kabisa lema ila mungu anawaona atawashugulikia hivi punde sio mbali "lema huwezi kufa watakufa wao
Inaomboleza na kusikitisha sa kuhuzunisha sana hii hotuba japo hatuna uhakika kama mambo yote yaliyoongelewa ni kweli au si kweli lakn inauma
Ni kweri kiongozi, huyu Raisi aachie ngaxi, urais hauwezi analazimisha tuu kula hela za nchi
Kaka nakupenda tu bure uko vizuri sana lakini haukupaswa hata umwite mheshimiwa huyu mama
Yesu yu karibu kuja, tujiandae jamani
Kamanda inaleta uchungu sana 😂😂😂😂
Maneno mazito. Mwenye sikio haambiwi sikia.
Broo,upo vizuri kwa hoja, tatizo lako ni kashfa,dharau na matusi,kwa mengine lema upo vizuri
Lema ni noma
Matusii yepii ndugu yangu?
Siasa ndivyo ulivyo ukisikia kejeri au kashfa na dharau hiyo ndo siasa
Hiv unakumbuka kule kizimkazi Samia aliwaita mbwa
@ZainabuBakari jitafari
Mh rais nakupongeza sana kwa angalizo ulilowapa awa kenge,tena kama wataendelea kuleta ujinga hakuna kuwaonea huruma,ukicheka na mbwa mwishowe utaingia nae msikitini,
Zamu yako itafika we mwenyewe hujui tuu hapo salama labda kwakua huna akili huwezi jua ila Kuna siku yaja uta Lia na kusaga meno
Mungu hahongi atajibu hata hakawii
Kiti Cha Mungu ni haki na hukumu za ni haki.
Rais nikama Alipewa kiburi akajazwa monkali
Mungu ninaemwamini ameona na kusikia vilio vikuu namna hii Tzania.Hii ni kweli!
Pole ndugu lema,samia ndio ameota mkia na wanawake wakipata wanakuwaga na tamaa huyu mama atoke tu haiwez nchi
Huyu Rais wetu kwa kweli ameongea bira kutafakari nyuma yake hayo maneno magumu kwake wananchi tumemwelewa kuwa anajua wauwaji tunaomba arudishe wote ra sivo damu za watu zitamlilia udongoni nawambia aombe msamaa kwa maneno yake kama Rais mi binafs sjakubari kwa kauri yake hiyoninachomwomba apige magot kwa mora la sivo na yeye atakufa mana mungu analipa hapa hapa duniani tumechoka kwa utawala huu wa kimaskini Asante
Kweli kabisa .Samia pole sana .2025 kacheze na wajukuu wako .hufai kutuongoza .
Pole Sana , ila nanyi mnakauli za kumdhalau KIONGOZI. Neno kusema mtaandamana kumuondoa Rais mnahisi yeye hana moyo wa Nyama au
Wamesema wao wanamuondoa kwa kupiga kura siyo nguvu
Hoja watu wanapotea na wanakufa yeye kakaa tu linanenepa kama kiloba
Wacha uongo nani alisema tutaandamana ili atoke?
Tutaandamana 23/9/2024 vinginevyo warudishwe haraka Soka,Mlay,Mbise,Kipanya na Chaula pia walio muuwa Mzee Kibao wakamatwe na Sativa amepigwa risasi na Polisi kule Katavi tunataka washughurikiwe hao askari.
Kwaiyo alizaliwa akiwa raisi inamana haji kuondolewa nakushangaa wewe kama ana alibu wasiseme alijafika kwako ndomana unasema ivyo auwawe ndugu Yako utatulia
Kuandamana sio kosa kwa mujibu wa Sheria za NCHI yetu watu waendelee kutekwa Kuna watu hewa kwenye hili taifa
Tatizo wewe nidhamu haunaga hebu muwe na heshima basi
umeandika nini??
Chadema hawana kauli za kubananz wakitoa kauli za kutusha hawaangalii nyuma
Wanatakiwa wabadilishe siasa hawaoni aina ya siasa wanayokwenda nayo siku nyingi inagharimu umefikia wakati wabadilishe aina ya siasa sio ya mabavu
Ukideal na mjinga ustarabu auna wezi kushinda.
Nani alimtesa huyu , alieota mkia ! Huyu ni mzushi tuu mkia alio ota ni mkunwa sana 😂😂😂 samia mkate mkia wake huyu ngedere mwitu
😮
Tuzidi kumuomba MUNGU atatupa majibu mungu hua ashindwi
Mungu toa haki uonefu umezidi tanzania
Wewe ni mpuuzi tu.unakimbia wenzako.vitani.kwanzia hiyo SKU nilikudharau.sana sahii anasema mama Samia aondoke ukitaka kumuondoa mwondoe Kwa sera.jinga nyinyi
Wew kufa mamaaako ungemuhacha hacha upumbavu weeww kaa kimya
Njaa mbaya sana
Mupumbavu mumoja wewe? Usiye jitambua ndiyo maana Wana uza NCHI bado unashangilia tuu kumbukeni kauri ya JOBU NDUGAI hakufanya vile kwa BAHATI mbaya? Panya wewe? Usiye jitambua
Is not fair
Acheni unafiki nyie Chadema hamna nia njema na nchi yetu,Rais kauambia umma kwamba mlifanya kikao Arusha kupanga kuvuruga amani ya nchi!! acheni uhuni!!! Kama alichosema Rais kuhusu kikao mlichofanya Arusha mbona hamlitolei ufafaniuzi? mnapokaa kimyaa maanake ni kweli!!
Amir Jeshi mkuu kaongea kama mkuu wa nje sasa mnaona kakosea, muogopeni mkimya siku akiongea hufanya na vitendo
Rais anajua michezo yao na ndiyo maana anatishia watu
Anaongea na raisi au anaropoka mitandaoni.
Nakutakia maandamano mema ila nakukumbusha siku ya maandamano usisahau kumchua mke wako watoto wako baba yako na mama yako nakutakia maandamano mema,
Lugha ya rais katika hutuba yake iliwapa meno police wa nchi hii ila no way sanduku la kura litaamua
Hatuwezi kujicompare kwa vifo, tunatakiwa kujicompare kwa maendeleo. 😢
Interegencia ya mama nikuona mikutano ya chadema tu na sio wauwaji wa laia wake nihatari
Kama Mungu aishivyo atalipwa.
Rais atakua alikua amekunywa komoni
Hiki kimama kina vaa ushungi lakini ndani ana roho ya mbwa mwitu
huna lolote ww umekimbia kiongoz shupavu magufuli
Kaliwe mande na baba tako huko
@@handenitakuru6696 matusi ya nini unajua kwa siku ya kiama utakuja kunilipa
Zambi gani mlitenda kule mlikotoka Bwana Lema??
Chadema wajanja walikimbia km kwamba kuiyaibisha tanganyika kisiasa.zaid km mm ningewambia ccm hata kutud kwetu ndio furaha yenu kisiasa mlikuwa mshafeli aibu
Hivi chadema mbon kila mtu anasema ipi kauli ya kufuata lema anaonge lisu anaongea mbowe anaonge kadhalika mnyika
mbona watanzania msiamke kutoka kwa huu ujinga wa dictatorship na mfukuze huyu mama
Ulichokosea ni kutumia neno"mheshimiwa"
Ila mama alisema hii sio serikali ya samaki 😂😂😂
Kukimbiya kwenu ilikuwa pia ina faida kwasababu hamjasita kuteteya haki mpaka mitandaoni na yalikuwa yanawakera ndo maana wametaka mrudi
Word is not home✍️
Yesu aliwahi kusema hakika nawaambieni watu hawa wakinyamaza Haya mawe yatatoka na kupaza sauti bob Marley akasema you can fool some people sometime but you can't fool all people all time
Ua napenda tu busara ktk maongezi yako mkuu lema
Hawa hawana adabu
Kumbe mkiona mtu yupo kimya mnamuona mjinga sio
Leo umekuja matawi ya chini hv
Mwite Samia na sio mhe Rais si mmezoea kumuita Mhe Rais
Hhhh upo so cool ama kweli
Brother kwako ww ni furaha...but usiombe yakawa kwako wewe inaumiza hivi ww ukitangaziwa kifo unafikiri utajisikiaje..?
Muombe mungu ape Samia hekima na maarifa
Alisha laniwa mda ndo maan hana uluma
YAANI karma ungekuwa unaongea hivyo kwa upole tungefika mbali. Sasa umetuambia tuandamane tena umetusiii sana.sasa mbona ni karma unaomba huruma? Kumbe wewe unajua makubaliano mliyokubaliana na Raisi? Sasa mbona mnayavunja?? Siasa Bwana,YAANI baada Ya kuguswa wewe basi umnajieleza Kweli kweli,,sijui hata kama utaandamana siku Ya jumatatu. YAANI tarehe 23😮
Ha haaaaaaaa
Jamaaa anajitetea 😂
Coward. At best 😂😂😂 anatetemeka na kumsujudia Iddi Amini mama . Mimi siamini kama anaweza kubana pua kama hivi.
Mfuate ikulu ukaongeenae hanakwaana wachochezinyie mwaachen b,mkubwa apigekaz
Mwisho ni kaburi tu acha watu wabebe zambi zao
umeogea poyiti sana😂
Tumuombe Mungu yeye hashindi jambo lolote paya
Wewe mongo sana unanifanyia
Luka 17: 1-2 wauaji iko ck haya yatatimia
🇹🇿♥️✌️♥️⛪🙏✍️🤳🤳
Mambo hayo rema yamemfikia mungu wa mbinguni najua atatenda subili huu mwaka tutajionea kwa macho mungu hujibu kwa vtendo
Ata wewe unaeza kimbia
Ha haaaaaa jamaaa leo kapoa
Mama asante kwa kuonesha nguvu zako, maana hawa CHADEMA wana mdomo na dharau sana
Wewe ni mpumbavu sana. Kufa kwa kupigwa mawe mjinga wewe na mwili wako uliwe na mbwa. Nimekulaani.
Taahira
😂😂😂
😂😂😂😂 kabisa
Vifo vyote Rais kasema vina huzunisha, mnaleta tafsir yenu mbaya, ki ufupi sheria😂 ifuate mkondo wake, raia wanakufa kwa uchochez wa wana siasa
Ni kweli kabisa
Ni kweli kabisa
😂😂😂😂😂😂😂
nyie dawa yenu ni makonda au magufuli
magufuli yuk wap na ubabe ulee si limekufaaaa pamoja ubabeee na toho ya ke mbayaaaa
@@fadhilikyandofadhilikyando5666 yule Allah kamchukua lakin nchi ilinyooka hii
Hujitambui
@@Flaviosafari anaenitambua ni Allah tu sina haja ya kutambuliwa na nyie watu wa upande wa kushoto na kwa taharifa yenu ALLAH ATALETA UFUMBUZİ KİONGOZ WA DUNİA ATAKİJA MUDA SİO MREFU NDİO TUTAKAPO WATİA ADABU MADHALİMU WOTE
kumbe huwa mnauwezo wakuzungumza taratibu rais ulichosema ni sahihi namjifunze mwanamke kuwa anahuruma lakini mkimkashirisha hamuwezi kufikiri kama ni yeye iliyetoa musamaa kuwa makini mmeyataka wenyewe .mama alkaakimya muda mrefu siyo kuwa alikuwa cajun balai alipuuza sasa muda umefikia hui ni TZ siyo Canada
magufuri yko wa p si ndoaliye fanya hawa wakimbiee lakiini mungu mkubwa kafaa saa huyu ajitaidi ajifunze kitu mungu aziawmkiwi damu ya mtu ni nzituu damu ya kibao itanena haya mambo haya ni ya kukemeaa sa kwa kauri ya rais haikupasw kuongea kauri kama ileee alikosea sanaaaaaa
Una tatizo la afya ya akili wewe kapimwe
Inaonekana wajinga bado wapo wengi sana kwenye hiri TAIFA ndiyo maana NCHI haienderei
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Rais nikama Alipewa kiburi akajazwa monkali