GODBLESS LEMA AKIZUNGUMZA NA RAIS SAMIA MAMBO MAZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 119

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Unachosema nikweli amewapa nguvu polisi yanayoendelea nchini Mungu yupo anawalinda inshaallah

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Lema uko sahihi kabisa ila ile hotuba ya rais ilikuwa hotuba mbovu na ya hovyo kabisa iliyokosa busara na hekima.Wanaoivuruga nchi hii ni chama tawala na viongozi walioko madarakani wasio na utu,uadilifu wala uzalendo.Hawapendi kujenga mifumo imara na inayotenda haki badala yake wanatengeneza mifumo mibovu na dhaifu ya dhuluma,wizi,ufisadi,ubadhirifu,ujsmbazi,ulaji rushwa,ukandamizaji,utekaji,uuaji.Mnaiba kura na kupora uchaguzi halafu nyinyi mnajiona watakatifu. Ww rais huwezi ukasema una maadili na una hofu ya Mungu na kwamba unaongoza nchi kwa kufuata katiba na sheria ya nchi nawakati urais wako uliupata baada ya kuiba kura na kupora uchaguzi wa 2019 na 2020.

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mungu ndiye Hakim wa haki na haki haipotei tutalipwa hapa hapa tujitahidi kufanyiana mema

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Lema msimlaumu Raisi aliongea vitu visivyo nchi hii inatakiwa iongozwe Kwa haki tu

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Haya yote ya watu kukimbia nchi anajua yeye kwasababu alikuwa makamu wa rais kwa hiyo unyama uliokuwa unafanyika alikuawa anajua ndio maana anasema hivyo

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Lema na Heche ni vijana wenye akili nzuri sana wangepata muongozo wa Mungu wanafaa kutuongoza sana

  • @EmmanuelFissoo
    @EmmanuelFissoo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mungu awalinde ndugu zetu.

  • @igayo_tv
    @igayo_tv ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kudos kwako Lema

  • @mangiclaus
    @mangiclaus ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Inaongelewa taratibu lakini ina nguvu kuliko kuliko kombora la nuclear

  • @PeninaElia-v3n
    @PeninaElia-v3n ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Du! Umeongea Kwa machungu😭

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 35 นาทีที่ผ่านมา +1

    Uko sahihi kabisa lema ila mungu anawaona atawashugulikia hivi punde sio mbali "lema huwezi kufa watakufa wao

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Inaomboleza na kusikitisha sa kuhuzunisha sana hii hotuba japo hatuna uhakika kama mambo yote yaliyoongelewa ni kweli au si kweli lakn inauma

  • @joselinejonathan8818
    @joselinejonathan8818 51 นาทีที่ผ่านมา +1

    Ni kweri kiongozi, huyu Raisi aachie ngaxi, urais hauwezi analazimisha tuu kula hela za nchi

  • @PiasoniNyamwanji
    @PiasoniNyamwanji ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Kaka nakupenda tu bure uko vizuri sana lakini haukupaswa hata umwite mheshimiwa huyu mama

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Yesu yu karibu kuja, tujiandae jamani

  • @jeitangogo-rf8uf
    @jeitangogo-rf8uf ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kamanda inaleta uchungu sana 😂😂😂😂

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Maneno mazito. Mwenye sikio haambiwi sikia.

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Broo,upo vizuri kwa hoja, tatizo lako ni kashfa,dharau na matusi,kwa mengine lema upo vizuri

    • @AhmedAhmed-z6m7t
      @AhmedAhmed-z6m7t 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Lema ni noma

    • @Williamstozzo
      @Williamstozzo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Matusii yepii ndugu yangu?

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x 37 นาทีที่ผ่านมา

      Siasa ndivyo ulivyo ukisikia kejeri au kashfa na dharau hiyo ndo siasa
      Hiv unakumbuka kule kizimkazi Samia aliwaita mbwa

    • @wekaputv9406
      @wekaputv9406 4 นาทีที่ผ่านมา

      @ZainabuBakari jitafari

  • @huyu1993
    @huyu1993 53 นาทีที่ผ่านมา +1

    Mh rais nakupongeza sana kwa angalizo ulilowapa awa kenge,tena kama wataendelea kuleta ujinga hakuna kuwaonea huruma,ukicheka na mbwa mwishowe utaingia nae msikitini,

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 34 นาทีที่ผ่านมา

      Zamu yako itafika we mwenyewe hujui tuu hapo salama labda kwakua huna akili huwezi jua ila Kuna siku yaja uta Lia na kusaga meno

    • @neemamarisamarisa-rd7cq
      @neemamarisamarisa-rd7cq 27 นาทีที่ผ่านมา

      Mungu hahongi atajibu hata hakawii

    • @neemamarisamarisa-rd7cq
      @neemamarisamarisa-rd7cq 25 นาทีที่ผ่านมา

      Kiti Cha Mungu ni haki na hukumu za ni haki.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 45 นาทีที่ผ่านมา +1

    Rais nikama Alipewa kiburi akajazwa monkali

  • @pantaleokullaya4267
    @pantaleokullaya4267 8 นาทีที่ผ่านมา

    Mungu ninaemwamini ameona na kusikia vilio vikuu namna hii Tzania.Hii ni kweli!

  • @AmmarSadik-x5u
    @AmmarSadik-x5u 26 นาทีที่ผ่านมา

    Pole ndugu lema,samia ndio ameota mkia na wanawake wakipata wanakuwaga na tamaa huyu mama atoke tu haiwez nchi

  • @YohannaMartin-d4j
    @YohannaMartin-d4j 5 นาทีที่ผ่านมา

    Huyu Rais wetu kwa kweli ameongea bira kutafakari nyuma yake hayo maneno magumu kwake wananchi tumemwelewa kuwa anajua wauwaji tunaomba arudishe wote ra sivo damu za watu zitamlilia udongoni nawambia aombe msamaa kwa maneno yake kama Rais mi binafs sjakubari kwa kauri yake hiyoninachomwomba apige magot kwa mora la sivo na yeye atakufa mana mungu analipa hapa hapa duniani tumechoka kwa utawala huu wa kimaskini Asante

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 6 นาทีที่ผ่านมา

    Kweli kabisa .Samia pole sana .2025 kacheze na wajukuu wako .hufai kutuongoza .

  • @alphoncembasa592
    @alphoncembasa592 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Pole Sana , ila nanyi mnakauli za kumdhalau KIONGOZI. Neno kusema mtaandamana kumuondoa Rais mnahisi yeye hana moyo wa Nyama au

    • @Williamstozzo
      @Williamstozzo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wamesema wao wanamuondoa kwa kupiga kura siyo nguvu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hoja watu wanapotea na wanakufa yeye kakaa tu linanenepa kama kiloba

    • @josephmbeya5973
      @josephmbeya5973 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wacha uongo nani alisema tutaandamana ili atoke?
      Tutaandamana 23/9/2024 vinginevyo warudishwe haraka Soka,Mlay,Mbise,Kipanya na Chaula pia walio muuwa Mzee Kibao wakamatwe na Sativa amepigwa risasi na Polisi kule Katavi tunataka washughurikiwe hao askari.

    • @AnnaFelix-p1z
      @AnnaFelix-p1z 41 นาทีที่ผ่านมา

      Kwaiyo alizaliwa akiwa raisi inamana haji kuondolewa nakushangaa wewe kama ana alibu wasiseme alijafika kwako ndomana unasema ivyo auwawe ndugu Yako utatulia

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 30 นาทีที่ผ่านมา

      Kuandamana sio kosa kwa mujibu wa Sheria za NCHI yetu watu waendelee kutekwa Kuna watu hewa kwenye hili taifa

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tatizo wewe nidhamu haunaga hebu muwe na heshima basi

  • @mwalagokache375
    @mwalagokache375 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chadema hawana kauli za kubananz wakitoa kauli za kutusha hawaangalii nyuma
    Wanatakiwa wabadilishe siasa hawaoni aina ya siasa wanayokwenda nayo siku nyingi inagharimu umefikia wakati wabadilishe aina ya siasa sio ya mabavu

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ukideal na mjinga ustarabu auna wezi kushinda.

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Nani alimtesa huyu , alieota mkia ! Huyu ni mzushi tuu mkia alio ota ni mkunwa sana 😂😂😂 samia mkate mkia wake huyu ngedere mwitu

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 18 นาทีที่ผ่านมา

    Tuzidi kumuomba MUNGU atatupa majibu mungu hua ashindwi

  • @bosslevel4458
    @bosslevel4458 44 นาทีที่ผ่านมา

    Mungu toa haki uonefu umezidi tanzania

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wewe ni mpuuzi tu.unakimbia wenzako.vitani.kwanzia hiyo SKU nilikudharau.sana sahii anasema mama Samia aondoke ukitaka kumuondoa mwondoe Kwa sera.jinga nyinyi

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Wew kufa mamaaako ungemuhacha hacha upumbavu weeww kaa kimya

    • @noelmwalwange
      @noelmwalwange 56 นาทีที่ผ่านมา

      Njaa mbaya sana

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 26 นาทีที่ผ่านมา

      Mupumbavu mumoja wewe? Usiye jitambua ndiyo maana Wana uza NCHI bado unashangilia tuu kumbukeni kauri ya JOBU NDUGAI hakufanya vile kwa BAHATI mbaya? Panya wewe? Usiye jitambua

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Is not fair

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 27 นาทีที่ผ่านมา

    Acheni unafiki nyie Chadema hamna nia njema na nchi yetu,Rais kauambia umma kwamba mlifanya kikao Arusha kupanga kuvuruga amani ya nchi!! acheni uhuni!!! Kama alichosema Rais kuhusu kikao mlichofanya Arusha mbona hamlitolei ufafaniuzi? mnapokaa kimyaa maanake ni kweli!!

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 41 นาทีที่ผ่านมา

    Amir Jeshi mkuu kaongea kama mkuu wa nje sasa mnaona kakosea, muogopeni mkimya siku akiongea hufanya na vitendo

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Rais anajua michezo yao na ndiyo maana anatishia watu

  • @patricklameck2425
    @patricklameck2425 18 นาทีที่ผ่านมา

    Anaongea na raisi au anaropoka mitandaoni.

  • @ABDULRAHMANIDAS
    @ABDULRAHMANIDAS ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakutakia maandamano mema ila nakukumbusha siku ya maandamano usisahau kumchua mke wako watoto wako baba yako na mama yako nakutakia maandamano mema,

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 7 นาทีที่ผ่านมา

    Lugha ya rais katika hutuba yake iliwapa meno police wa nchi hii ila no way sanduku la kura litaamua

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 48 นาทีที่ผ่านมา

    Hatuwezi kujicompare kwa vifo, tunatakiwa kujicompare kwa maendeleo. 😢

  • @MkonoZacharia
    @MkonoZacharia 12 นาทีที่ผ่านมา

    Interegencia ya mama nikuona mikutano ya chadema tu na sio wauwaji wa laia wake nihatari

  • @neemamarisamarisa-rd7cq
    @neemamarisamarisa-rd7cq 17 นาทีที่ผ่านมา

    Kama Mungu aishivyo atalipwa.

  • @boxdad
    @boxdad 58 นาทีที่ผ่านมา

    Rais atakua alikua amekunywa komoni

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 51 นาทีที่ผ่านมา

    Hiki kimama kina vaa ushungi lakini ndani ana roho ya mbwa mwitu

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    huna lolote ww umekimbia kiongoz shupavu magufuli

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kaliwe mande na baba tako huko

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 54 นาทีที่ผ่านมา

      @@handenitakuru6696 matusi ya nini unajua kwa siku ya kiama utakuja kunilipa

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Zambi gani mlitenda kule mlikotoka Bwana Lema??

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 27 นาทีที่ผ่านมา

    Chadema wajanja walikimbia km kwamba kuiyaibisha tanganyika kisiasa.zaid km mm ningewambia ccm hata kutud kwetu ndio furaha yenu kisiasa mlikuwa mshafeli aibu

  • @omarsuleiman9064
    @omarsuleiman9064 13 นาทีที่ผ่านมา

    Hivi chadema mbon kila mtu anasema ipi kauli ya kufuata lema anaonge lisu anaongea mbowe anaonge kadhalika mnyika

  • @dayahkibadeni185
    @dayahkibadeni185 10 นาทีที่ผ่านมา

    mbona watanzania msiamke kutoka kwa huu ujinga wa dictatorship na mfukuze huyu mama

  • @mkondomkondo4721
    @mkondomkondo4721 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ulichokosea ni kutumia neno"mheshimiwa"

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila mama alisema hii sio serikali ya samaki 😂😂😂

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kukimbiya kwenu ilikuwa pia ina faida kwasababu hamjasita kuteteya haki mpaka mitandaoni na yalikuwa yanawakera ndo maana wametaka mrudi

  • @FransiscoKaiza
    @FransiscoKaiza ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Word is not home✍️

  • @juliussandet5329
    @juliussandet5329 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yesu aliwahi kusema hakika nawaambieni watu hawa wakinyamaza Haya mawe yatatoka na kupaza sauti bob Marley akasema you can fool some people sometime but you can't fool all people all time

  • @TreyCarlos-p2i
    @TreyCarlos-p2i 2 นาทีที่ผ่านมา

    Ua napenda tu busara ktk maongezi yako mkuu lema

  • @mohammedabdalla1655
    @mohammedabdalla1655 55 นาทีที่ผ่านมา

    Hawa hawana adabu
    Kumbe mkiona mtu yupo kimya mnamuona mjinga sio
    Leo umekuja matawi ya chini hv
    Mwite Samia na sio mhe Rais si mmezoea kumuita Mhe Rais
    Hhhh upo so cool ama kweli

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x 43 นาทีที่ผ่านมา

      Brother kwako ww ni furaha...but usiombe yakawa kwako wewe inaumiza hivi ww ukitangaziwa kifo unafikiri utajisikiaje..?
      Muombe mungu ape Samia hekima na maarifa

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 53 นาทีที่ผ่านมา

    Alisha laniwa mda ndo maan hana uluma

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee ชั่วโมงที่ผ่านมา

    YAANI karma ungekuwa unaongea hivyo kwa upole tungefika mbali. Sasa umetuambia tuandamane tena umetusiii sana.sasa mbona ni karma unaomba huruma? Kumbe wewe unajua makubaliano mliyokubaliana na Raisi? Sasa mbona mnayavunja?? Siasa Bwana,YAANI baada Ya kuguswa wewe basi umnajieleza Kweli kweli,,sijui hata kama utaandamana siku Ya jumatatu. YAANI tarehe 23😮

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ha haaaaaaaa
    Jamaaa anajitetea 😂

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Coward. At best 😂😂😂 anatetemeka na kumsujudia Iddi Amini mama . Mimi siamini kama anaweza kubana pua kama hivi.

  • @athumanmbaraka5192
    @athumanmbaraka5192 51 นาทีที่ผ่านมา

    Mfuate ikulu ukaongeenae hanakwaana wachochezinyie mwaachen b,mkubwa apigekaz

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwisho ni kaburi tu acha watu wabebe zambi zao

  • @user-ih3ef8xg7h
    @user-ih3ef8xg7h 26 นาทีที่ผ่านมา

    umeogea poyiti sana😂

  • @neemamarisamarisa-rd7cq
    @neemamarisamarisa-rd7cq 22 นาทีที่ผ่านมา

    Tumuombe Mungu yeye hashindi jambo lolote paya

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe mongo sana unanifanyia

  • @Arusha2023NjiroArusha
    @Arusha2023NjiroArusha ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Luka 17: 1-2 wauaji iko ck haya yatatimia

  • @FransiscoKaiza
    @FransiscoKaiza 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    🇹🇿♥️✌️♥️⛪🙏✍️🤳🤳

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mambo hayo rema yamemfikia mungu wa mbinguni najua atatenda subili huu mwaka tutajionea kwa macho mungu hujibu kwa vtendo

  • @Nangayivuza
    @Nangayivuza 26 นาทีที่ผ่านมา

    Ata wewe unaeza kimbia

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ha haaaaaa jamaaa leo kapoa
    Mama asante kwa kuonesha nguvu zako, maana hawa CHADEMA wana mdomo na dharau sana

    • @brownsebastianmwibi5647
      @brownsebastianmwibi5647 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe ni mpumbavu sana. Kufa kwa kupigwa mawe mjinga wewe na mwili wako uliwe na mbwa. Nimekulaani.

    • @mkondomkondo4721
      @mkondomkondo4721 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Taahira

    • @moriscollins4494
      @moriscollins4494 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @HaryPoter-zw7vr
      @HaryPoter-zw7vr 10 นาทีที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 kabisa

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 18 นาทีที่ผ่านมา

    Vifo vyote Rais kasema vina huzunisha, mnaleta tafsir yenu mbaya, ki ufupi sheria😂 ifuate mkondo wake, raia wanakufa kwa uchochez wa wana siasa

  • @user-jv9tp7xv8h
    @user-jv9tp7xv8h ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe ชั่วโมงที่ผ่านมา

    nyie dawa yenu ni makonda au magufuli

    • @fadhilikyandofadhilikyando5666
      @fadhilikyandofadhilikyando5666 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      magufuli yuk wap na ubabe ulee si limekufaaaa pamoja ubabeee na toho ya ke mbayaaaa

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@fadhilikyandofadhilikyando5666 yule Allah kamchukua lakin nchi ilinyooka hii

    • @Flaviosafari
      @Flaviosafari 55 นาทีที่ผ่านมา

      Hujitambui

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 47 นาทีที่ผ่านมา

      @@Flaviosafari anaenitambua ni Allah tu sina haja ya kutambuliwa na nyie watu wa upande wa kushoto na kwa taharifa yenu ALLAH ATALETA UFUMBUZİ KİONGOZ WA DUNİA ATAKİJA MUDA SİO MREFU NDİO TUTAKAPO WATİA ADABU MADHALİMU WOTE

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    kumbe huwa mnauwezo wakuzungumza taratibu rais ulichosema ni sahihi namjifunze mwanamke kuwa anahuruma lakini mkimkashirisha hamuwezi kufikiri kama ni yeye iliyetoa musamaa kuwa makini mmeyataka wenyewe .mama alkaakimya muda mrefu siyo kuwa alikuwa cajun balai alipuuza sasa muda umefikia hui ni TZ siyo Canada

    • @fadhilikyandofadhilikyando5666
      @fadhilikyandofadhilikyando5666 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      magufuri yko wa p si ndoaliye fanya hawa wakimbiee lakiini mungu mkubwa kafaa saa huyu ajitaidi ajifunze kitu mungu aziawmkiwi damu ya mtu ni nzituu damu ya kibao itanena haya mambo haya ni ya kukemeaa sa kwa kauri ya rais haikupasw kuongea kauri kama ileee alikosea sanaaaaaa

    • @zamzanimakundi2546
      @zamzanimakundi2546 30 นาทีที่ผ่านมา

      Una tatizo la afya ya akili wewe kapimwe

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 21 นาทีที่ผ่านมา

      Inaonekana wajinga bado wapo wengi sana kwenye hiri TAIFA ndiyo maana NCHI haienderei

    • @HaryPoter-zw7vr
      @HaryPoter-zw7vr 7 นาทีที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @HaryPoter-zw7vr
      @HaryPoter-zw7vr 7 นาทีที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 45 นาทีที่ผ่านมา

    Rais nikama Alipewa kiburi akajazwa monkali