ARUSHA NI NGOMBE KUU YA WASAGAJI TANZANIA /WACHUNGAJI MASHOGA WATAJWA LIVE BILA WOGA "PASRT ONE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

ความคิดเห็น • 679

  • @lilyNakamura4993
    @lilyNakamura4993 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Mwakyembe Mungu Akulinde na Nakufunika Kwa Damu ya Yesu Christo Wa Nazareth Aliye Hai Amen ✝️🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @WilfredRweyemamu-rp5re
    @WilfredRweyemamu-rp5re 7 หลายเดือนก่อน +89

    Kati ya wazee wa kitanzania wanaozeeka vizuri Mwakyembe ni namba one.

  • @kajembeathman
    @kajembeathman 7 หลายเดือนก่อน +18

    Mzee Mwakyembe Mungu akulinde akupe baraka zote kwa kuiamsha jamii yetu dhidi ya ushoga na usagaji tembeeni mpaka mashuleni na vyuoni mpaka misikiti muungane imani zote muiokoe nchi yetu.AMIN

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 7 หลายเดือนก่อน +96

    Mwakyembe, umejitoa zaidi ya Watumishi wa Kiroho,Mungu akulinde

    • @JofreyMsigwa-ok7hv
      @JofreyMsigwa-ok7hv 7 หลายเดือนก่อน +2

      Sure

    • @ahz6907
      @ahz6907 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hii vita ni kubwa aisee

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 7 หลายเดือนก่อน +1

      😢😢 kabisaaaa..

    • @noelmusa3502
      @noelmusa3502 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli aisee maana hao wamekaa tu kufuga vitambi😂😂

  • @annaamadeo-ge2dd
    @annaamadeo-ge2dd 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu awakumbuke kwa kazi nzuri mnayoifanya. Inaumiza sana; Yesu ingilia kati

  • @zitashio7920
    @zitashio7920 7 หลายเดือนก่อน +28

    Baba Mwakiembe tunakupenda ,tutakuombea,Mungu atakulinda,hujaogopa kuisema kweli na kukosoa upotofu uliofichwa na viongozi wa nchi, You're clean God is with you everytime.!

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 7 หลายเดือนก่อน +4

      Mbona haikemei serikali kwa kusuport huo ushoga

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 7 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@mohamedothman5792wao wenyewe mashoga na wasagaji. Mikataba mingi wameingia ya kishetani

    • @ZariaAbdullah-r5t
      @ZariaAbdullah-r5t 7 หลายเดือนก่อน

      Anauliaa mbona serikali haikemeii? Jibu ni haikemei kwa sababu inasheria zakitwahuti na nae kaa madarakani anatakiwa kufata yalio pangwa

  • @HussainMaulaTz
    @HussainMaulaTz 7 หลายเดือนก่อน +47

    Kupinga ushoga hakuna udini waislamu tunaungana na nyinyi kupinga ushoga Tanzania mungu awape nguvu ktk hilo.

  • @LujoyceLugembe
    @LujoyceLugembe 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mwenyeenzi Mungu awalinde.Litaisha tu Mungu ni mkuu hapendi kutukanwa. viongozi wakisimama hili litaisha kwa jina la Yesu🙏

  • @musaamini401
    @musaamini401 7 หลายเดือนก่อน +13

    Muheshimiwa mungu awalinde Na team yako kwa kazi ngumu ingekua utume unaendelea wewe ingekua ni mtume Mimi ni muislam Lkn nakuombea sana Kwa mungu akufanyie wepesi wakila hatua.

  • @PeterjaksonLujani
    @PeterjaksonLujani 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee mwakyembe na Dada yangu catherine mungu awatie nguvu kwa kazi kubwa mnayo fanya kuokoa taifa letu na kizazi chetu hichi

  • @nabiiwaisharaonlinetv9863
    @nabiiwaisharaonlinetv9863 7 หลายเดือนก่อน +36

    Mwakyembe na Cathelin Mungu awape tuzo za utumishi mkuu pia

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 6 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akubariki sana Mzee wangu mwenye hekima busara na msema ukweli

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 7 หลายเดือนก่อน +47

    YESU watie nguvu wasichoke hawa watumishi wako.Amina.YESU imalisha ulinzi juu ya watu wako hawa adui asiwazuru shetani azulike mwenyewe in Jesus name.shikamoo mwankyembe.jmn ndugu zangu naombeni tuendelee kuwaombea hawa watumishi wa Mungu.maana Mungu anatumia vinywa vyao kupinga dhambi kubwa ya ushoga .

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 7 หลายเดือนก่อน +3

      MUNGU ALIYE MUUMBA YESU NA SISI WOTE NDIYE AWATIE NGUVU SIYO YESU KWA SABABU YEYE NI MTUME KWA WANA WA ISLAEL.

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 7 หลายเดือนก่อน +2

      YOHANA 20:17 Luka 18:18

    • @babalao910
      @babalao910 7 หลายเดือนก่อน +3

      Mwakiyembe anastahili Kuwa Rais

    • @alfoncekasanyi6584
      @alfoncekasanyi6584 7 หลายเดือนก่อน +1

      Bravo Mwakyembe

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 7 หลายเดือนก่อน

      @@hamzaswaibu9470 tuondolee umajini wenu

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hiii roho ya ushoga na usagaji ninaikataa ktk taifa langu la tanzania kwa jina la yesu kristo wa Nazareth aliye hai na kwa damu ya yesu.

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 7 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu akulinde Babu yangu na kundi lako katika jina la YESU KRISTO BWANA WETU

  • @VeledianaKalolo
    @VeledianaKalolo 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwe watu waMungu nijambo zuri Mungu awatie nguvu

  • @willymosses1612
    @willymosses1612 7 หลายเดือนก่อน +3

    Duh hii ni zaidi ya laana....Mungu tusaidie
    Saidia kizazi chetu hiki na kijacho...uwalinde wote wenye nia njema kwa taifa letu na dunia kwa ujumla.

  • @ombenimhina8826
    @ombenimhina8826 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. Mwakyembe anafanya kazi nzuri kuihabarisha Jamii, serikali ichukue hatua stahiki haraka

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 7 หลายเดือนก่อน +52

    SULUHISHO JINGINE NI KUACHA KUPOKEA MISAADA YA VYAKULA NA DAWA ZA MENO NK KWA SHULE ZETU ..SISI SIYO MASIKINI TUNAJIMALIZA WENYEWE.

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr 7 หลายเดือนก่อน +4

      Marehemu Magu Mungu amrehemu alikataa ivyo vitu ila kizazi cha luta kinaona sawa tuu hadi kutishia watu wasikosoe serikali😢😢😢

    • @beatricejames2167
      @beatricejames2167 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona wasema ukweli

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 7 หลายเดือนก่อน +3

      Serikali ya CCM ndo wanapitisha maombi ya msaada wa vyakula.

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 7 หลายเดือนก่อน

      KAMA ULIIPOKEA DINI PENDA NA MAMBO YAKE

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@upendoeliya9329serikali Haina dini.watu binafsi ndio walipokea mapokeo ya mioyoni kupitia dini na wakaacha kumtaka Mungu na nguvu zake sasa nae amewadhihirishia uovu WAO kwa kuwaacha wafuate akili zao hata kuwakiana tamaa watu wa aina moja

  • @isaackemanuel3712
    @isaackemanuel3712 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mzee Mwakyembe

  • @noelmusa3502
    @noelmusa3502 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana watu wa Mungu maana watumishi wa kanisa wanakazia kwenye i receive huku wengine wananyanduana

  • @LovenessDaud
    @LovenessDaud 7 หลายเดือนก่อน +13

    Ewe Mwenyezi Mungu tulinde na hili janga sisi waja wako tuepushe tuepushe tuepushe 🤲🏾🤲🏾

  • @RogersSeif
    @RogersSeif 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mzee wetu mpendwa Mheshimiwa Harrison Mwakembe Mwenyezi Mungu akulinde mile na milele, Amin.

  • @SaidAlbudaidi
    @SaidAlbudaidi 2 หลายเดือนก่อน

    This is very good ideas to teach others what are going to happen to future generations

  • @AsiaMvungi-x3l
    @AsiaMvungi-x3l 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu kiongozi

  • @glorysangova7745
    @glorysangova7745 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tuiombee nchi yetu na watoto wetu ,kwa kuwa kwa mungu hakuna lisilowezekana.
    Ikiwa watu wangu walioitwa kwa JINA langu atajinyenyekesha nakutubu nakuziacha njia mbaya mungu wa mbinguni ataiponya nchi yetu na watoto wetu.tuombee watanzania

  • @dr.geehygojonyamasiriri6571
    @dr.geehygojonyamasiriri6571 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akasimame na uzao wangu eeh mungu bariki na hawa watumishi wako wape hekima na miaka mingi ya kupambana na hili

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kusaga Tv Mungu amusaidie saana,kiukweli hz habari huwez kuzikuta millard Ayo, SNS, Wasafi Tv, hata Clouds

    • @Charztvmovies
      @Charztvmovies 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @AverinaShirati
      @AverinaShirati 3 หลายเดือนก่อน

      Wanaogopa kufungiwa vituo vyao

  • @adamsonkyando-l4i
    @adamsonkyando-l4i 7 หลายเดือนก่อน +12

    Tanzania tumebarikiwa sana Mungu ameichaguwa hii nchi Mungu awatie nguvu na kuwalinda Muendelee na kurudisha misingi yetu ya Kumpenda Mungu wa kweli na kuchukia maovu

  • @NellyJerome
    @NellyJerome 6 หลายเดือนก่อน

    Mwakyembe ubarikiwe sana Mungu awatunze mnaisadia Tanzania yetu sana navijana wetu

  • @maystellakajuna5461
    @maystellakajuna5461 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo sio mtumishi wa Mungu! Huyo ni UZAO wa nyoka!!! We will not be quite! Salute to you Mr Mwakyembe!

  • @georgiabuchukundi5146
    @georgiabuchukundi5146 7 หลายเดือนก่อน +7

    Damu ya Yesu iwafunike watumishi wa Mungu mnaofichua maovu haya

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 7 หลายเดือนก่อน

      Mashoga

  • @AnyeelwisyeMwaisela
    @AnyeelwisyeMwaisela 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi nashauri mikutano hii isifanyike kwenye kumbi ombeni kibari mfanye mikutano ya hadhara ili kuliponya Taifa hili kwa haraka

  • @NellyLwitiko
    @NellyLwitiko 7 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu Akubariki Doctor mwakyembe

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 7 หลายเดือนก่อน +14

    Mungu ni wa Pekee wala hana msaidizi..MASHA ALLAH KWENU...LAANA IWE JUU YAO WANAHARIBU NCHI SANAA..NA WATU WAKE 😮

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 7 หลายเดือนก่อน +8

    Asanteni kwa kujitolea. Nchi bado haijawa serious kupambana na ufirauni huu!

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 7 หลายเดือนก่อน

      Mwakyembe unachokifanya kupinga ufiraji, ulawiti ni jambo la msingi sana. Wahusishe nchi za jirani km Rwanda, Uganda na watu wanaokubalika kama Prof. LUMUMBA

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 7 หลายเดือนก่อน

      Uo ndio ukwer

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu akawalinde watoto wetu, Dr Mwakyembe na Dada Catherine Mungu awabariki na kuwalinda

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kusikiliza hili jambo ni ngumu sana inaumiza serikali msiogope ufunuo wa yohana 18 imeandikwa Mungu atawapinga sana biashara zao utaanguka selikari yetu msiogope Mungu ana baraka ya nchi sio ya dunia imeandikwa heri nchi ambayo Mungu ni Mungu wao hivo Tanzania iking'ang'ana na Mungu itatoboa sio dunia Tanzania tujitahidi kufanya kazi kwA bidii tuachane na kukopakopa hela shetan kajificha kwenye hela kila mtanzania ajitahidi kufanya kazi.kwa bidii

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nafunika taifa la tanzania kwa damu ya yesu kristo aliye hai

  • @isaya43.12
    @isaya43.12 7 หลายเดือนก่อน +8

    Nimemuona baba yetu kabese anahuzunika tu Mungu aliponye taifa letu hakika tunamuhitaji Mungu mno

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 7 หลายเดือนก่อน +4

    VIVA MZEE MWAKYEMBE....HII VITA YA KUPINGA USHOGA NI VITA YETU WOTE WATANZANIA NA WAAFRIKA WOTE.

  • @rizikisaid2904
    @rizikisaid2904 7 หลายเดือนก่อน +6

    Maombi yangu kwako ni kumuomba Mwenyezi Mungu akulinde watanzania wanahitaji kukuunga mkono kwa kweli umejitolea kuokoa kizazi kinachoangamia

  • @FredrickMpoma-sg4em
    @FredrickMpoma-sg4em 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu awabariki sana ndgu zangu yaani nawapenda sana Wala msiogope kusema ukweli nawapenda sana

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 5 หลายเดือนก่อน

    Tupinge ushoga kwa jina la Yesu. Mwakyembe Mungu awabariki sana kwa mapambano hayo na huyo Dada

  • @barikielisulle9300
    @barikielisulle9300 7 หลายเดือนก่อน +9

    Jamani jamani jamani machozi yananitoka natamani kulia dah dah sielewi nianzia wapi Niko tayari kwa vita hii inasikitisha Sana mungu awabariki Sana wote mliofanya uchunguzi huu nakubaini huu upuuzi wa wazungu.

  • @sponsorboyofficialtz1191
    @sponsorboyofficialtz1191 7 หลายเดือนก่อน +10

    Mwakiyembe anafaa kuwa Rais wetu tunataka watu wanajiamini na wazalendo wa kweli ktk Taifa bila kujari wala uoga kwa mataifa yalioendelea

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 7 หลายเดือนก่อน

      Asubutuuu ndoto hio😅😅😅

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 2 หลายเดือนก่อน

      Serikal hataki wasema ukweli

  • @theophildamfuruki6859
    @theophildamfuruki6859 6 หลายเดือนก่อน

    Pongezi kwenu waeshimiwa kwa kuliona ili Mwenyezi Mungu hashindwi na jambo izi tabia ovu zitakoma kwa jina la Yesu

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sn Mh Mwakyembe, Huyu chungaji Hafai kabisa, Hata products zao Sabuni lotion Dawa za miswaki Shampoo sitakaa nitumie , Washenzi sn

  • @siliviamushi4119
    @siliviamushi4119 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mwakiembee Mungu azidi kukupa Afya

  • @DoctaDocta-g5w
    @DoctaDocta-g5w 6 หลายเดือนก่อน

    Amina ndg zangu tushikane na kushirikiana kukemea ushetani huu kwetu haitawezekana hatuwataki

  • @annapeter6065
    @annapeter6065 6 หลายเดือนก่อน

    Mh. Nakupongeza sana kwa kukemea hadharani jambo hili la aibu mbele ya umma.

  • @himnakhatib1050
    @himnakhatib1050 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yani upo vizur sana na Mungu atakulipa kwa kupambania hili taifa ushoga ukiwepo ni kuiangamiza nchi na kuipa janga kubwa nakufa vifo vibaya uku tunajiona.

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwakyembe hongera wachungaji kuweni makini elimisheni waumini

  • @nchumaTz
    @nchumaTz 6 หลายเดือนก่อน

    hongereni sana kwa kupinga ushoga watumishi, tunatakiwa tupipinge kwa pamoja

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 7 หลายเดือนก่อน +15

    Mwakyembe aungwe mkono watanzania tuungane katika hii vita,

  • @PiusTarimo-cm1yy
    @PiusTarimo-cm1yy 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akubariki Sana Mwakembe pamoja na Dada muzidi fichua izo sori zaayo mashetani,

  • @venancemwakibete9763
    @venancemwakibete9763 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mwakyembe na Katherine wameifanya kazi hiyo nzuri na bora jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania liko wapi?

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 7 หลายเดือนก่อน +9

    Amen mtumishi wa MUNGU mwakyembe🎉

  • @rizikitv4722
    @rizikitv4722 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana kwa kazi njema

  • @RupiaSaid
    @RupiaSaid 7 หลายเดือนก่อน +8

    E mwenyezi mungu tuondolee hili Balaa Tanzania

  • @itaelmanang2968
    @itaelmanang2968 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mtu wa Mungu

  • @LinaMubanga
    @LinaMubanga 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mwakyembe usichoke mungu atakulinda

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 หลายเดือนก่อน

    Hii inaniuma mpaka nasikia hasila sana na kuna watu wanawasikiliza hapo ni miongoni mwao na hao kazi yao ni kupanga vita kuwapinga namungu awatie nguvu kazi yenu itakumbukwa milele na mtapata thawabu kamili na hao watumwa wa shetani watapata aibu na kudhalauliwa milele

  • @deodatusmagagura6793
    @deodatusmagagura6793 7 หลายเดือนก่อน +37

    TUNAPINGA USHOGA KTK JINA LA YESU KRISTO

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 7 หลายเดือนก่อน

      Nyie ndio wakubwa mnawalinda

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 7 หลายเดือนก่อน

      Kwanini mnaruhusu makanisa mengi hivyo Kila Kona mpaka kwenye vichochoro KERO kero

    • @milkakamau8709
      @milkakamau8709 3 หลายเดือนก่อน

      ​@abduljuma7807 hili janga hili halibagui dini. Tumia busara

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe ndiyo maana huyu jamaa mimi niliwaambia huyu anajiita mzee wa neema kuna shida. Ahsante sana kuibua huu uovu

  • @MarthaHombo
    @MarthaHombo 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana awatunze awalinde siku zote za maisha yane

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 7 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu AKUBARIKI sana DR. MWAKYEMBE NA HUYO DADA MWANDISHI WA HABARI, MACHACHARI KABISA. MUNGU ANA NAMNA YA KUWAKOMESHA HAWA WATU NA KUWATOKOMESHA KABLA UHARIBIFU MKUBWA HAUJAJITOKEZA NA KUHARIBU MAADILI NA TAMADUNI ZETU.

    • @EsterMwakikuti
      @EsterMwakikuti 7 หลายเดือนก่อน

      L

    • @WilfredRweyemamu-rp5re
      @WilfredRweyemamu-rp5re 7 หลายเดือนก่อน +2

      Mzee Mwakyembe Mungu akupe Nguvu za ujana zaidi uweze kutusaidia

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mfalme Yesu Kristo Anarudi this is end time sign Church Of Christ Pray

  • @gambigambi7254
    @gambigambi7254 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mwakyembe

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 7 หลายเดือนก่อน +5

    Asante mungu muacheni alale kwa kuwaamasisha watoto wa wenzao Laana tu LLAH

  • @charitimahenge6058
    @charitimahenge6058 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki kwa matoleo yenu pia awalinde🙏🙏🙏

  • @kasyupamwakibibi494
    @kasyupamwakibibi494 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu amekuinua mwakyembe na Dada yetu catherin Mungu awabariki

  • @ibradedapro5758
    @ibradedapro5758 6 หลายเดือนก่อน

    Allah awape ulinzi katika njia yenu yakutokomeza ushoga🙏

  • @deusurio9056
    @deusurio9056 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ee Mungu tusaidie, nchi yetu inaangamia, Kwa sababu ya watu wachache wasiokuamini Mungu wetu, Mh mwakiembe na Dada yetu na wengine wanaopigana na uchafu huu unaoenea duniani ,

    • @mkdg.4skolo891
      @mkdg.4skolo891 7 หลายเดือนก่อน

      Malzia sntensi yko chini pale haijkmlika.Sema Mungu walinde na Mh.Mwkyembe na dadaake mwzeshaji Mungu uwalinde katika kuupinga huo mpango wa kishetani

  • @evematinya6027
    @evematinya6027 7 หลายเดือนก่อน +1

    Eee Mungu baba yangu, naomba ukumbuke uzao wa tumbo langu😭😭😭, naomba uwakimbuke watoto wetu wa Tanzania

  • @christinanoel5554
    @christinanoel5554 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki mzee wetu Dr.mwakyembe

  • @letsloveandshare7487
    @letsloveandshare7487 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atusaidie watanzania inabidi tuombe na tupambane pamoja juu ya jambo hili

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni hatari Sana Kwa maisha ya kiroho hapa Tanzania Hongera Sana Dr.H.Mwakyembe

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli Leo nimefurahi saana kuona tena hii channel..KWELI ENDELEENI..MSIENDESHWE...

  • @FilbertMlay-j1p
    @FilbertMlay-j1p 6 หลายเดือนก่อน

    Ee mwenyezi Mungu tunaomba utusaidie tusifikie huko kwenye laana ya ushoga Baba,

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 7 หลายเดือนก่อน

    Mzee mwakyembe hata kama lilitakuta baya basi mungu akulinde sana tena sana kwakweli tunapotea kwa hizi tamaduni za kizungu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waislam wanasema nguzo za imani ktk Uislam ni KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU , na malaika wake , na mitume wake ,na vitabu vyake nk
    Hapo kwa MITUME wake , Yesu pia akarudia ktk Injili , akisema MWAMININI MWENYEZI MUNGU ,NIAMININI NA MIMI .
    sasa humu watu wanamuomba Yesu awasaidie bila kukua Yesu naye anamuomba Mungu.....nasisi tumuomba Mungu jmn ,sio Yesu . yesu ni mtume na nabii wa mwenyezi mungu .kwani hamkusoma Torati sura ile ya kijiti 😅😅😅?

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani shida ipo wapi kiimani Mungu wa waislam tofauti na Wakristo Mungu wetu sisi anamwana ambae ni Yesu Kristo na Roho mtakatifu katika uislam hiyo haipo

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@andrewmhagama9816 hujui tu sio haipo ....... Pia hata ww ni mwana wa mungu ikiwa tu utapatanisha watu na mungu, yaan ukicordinate people to almighty god . ALAFU mungu hajasema Yesu ni mwanangu hata sehemu moja ktk biblia , Ila kasema Israel ambaye ni Yakobo kuwa ni mwanaye tena mzaliwa wake wakwanza alipokuwa anamuagiza Mussa kwa Farao .hahahahaaaa

    • @mcback4384
      @mcback4384 6 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu hakunakiliwa mahali popote katika biblia akisema, “Mimi ni Mungu.” Lakini hiyo haimaanishi ya kwamba hakusema kuwa yeye ni Mungu. Kwa mfano ni maneno ya Yesu katika Yohana 10:30, “ Mimi na Baba yangu ni mmoja.” Kwa mtazamo wa kwanza, hili linaweza kuwa si dai la kuwa Mungu. Lakini angalia mapokezi ya ujumbe huu kwa wayahudi, “hatukupigi mawe kwa lengine lile ila kufuru, kwa sababu wewe ni mwanadamu, unayejidai kuwa Mungu” (Yohana 10:33). Wayahudi walielewa matamshi ya Yesu kuwa alijijulisha kwao kuwa yeye ni Mungu. Katika aya zifuatazo hawasahihishi wayahudi kwa kusema, “si kusema mimi ni Mungu.” Hii ina maana ya kuwa aliposema haya yafuatayo alikuwa akimaanisha kweli kuwa ni Mungu, “Mimi na Baba yangu ni mmoja” (Yohana 10:30). Yohana 8:58 ni mfano mwingine. Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59). Je, wayahudi wangetaka kumpiga mawe yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?
      Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
      Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). Yesu hamsahihishi kwa kuyasema haya. Tito 2:13 inatuhimiza kusuburi kurudi kwa Mungu wetu na mwokozi - Yesu kristo (Pia tazama petro wa pili 1:1). Waebrania 1:8, Baba asema juu ya Yesu, “Lakini juu ya mwana asema haya, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”
      Katika kitabu cha ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru mtume Yohana kumuabudu Mungu tu(ufunuo wa Yohana 19: 10). Mra nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.
      Sababu muhimu ya kwamba Yesu sharti awe Mungu ni kwamba kama si Mungu, kufa kwake hakungetoshea kufidia dhambi za ulimwengu wote (Yohana wa kwanza 2:2). Mungu pekee ndiye angeweza kulipia adhabu kama hiyo. Mungu pekee ndiye angeweza kufidia dhambi za ulimwengu wote w (Wakorintho wa pili 5: 21), afe na afufuke kuthibitisha ushindi juu ya dhambi na mauti.

  • @alfavahaye4102
    @alfavahaye4102 7 หลายเดือนก่อน +1

    Na mungu awabariki sana nyinyi na vizazi vyenu vyote❤

  • @SiaRichati
    @SiaRichati 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli naona Mungu ameamua kuinua watu wa kutetea Taifa letu na kixazi chetu. Mungu awalinde azid kuwatumia pasipo hofu na mashaka. Ameeen.

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 7 หลายเดือนก่อน +3

    Huu utawala wa samia kwanza mwenyezi mungu aung'owe manaumetuletea shida kubwa Sana,,,, MTAKUMBUKA enzi za magufuli ambye mlimuuita dikteta haya lakni enzi za utawala wa mzee magu haya haya kuwepo... Sisemi kwamba ushoga ulikuwa haupo lahasha ulikuwepo lakni aisee si kama kwenye hu utawala wa samia

    • @bakarifakih4228
      @bakarifakih4228 7 หลายเดือนก่อน

      kweli jamani.Magu hata kujipendekeza kwa safari za kila mara hakufanya hivo.

    • @samirazuberi186
      @samirazuberi186 7 หลายเดือนก่อน

      @@bakarifakih4228 ndio mana nna sabbu ya kusema kuwa samia na kikwete wametuletea mtihani mno kwenye taifa letu... MSIKILIZE mwakiembe alivyosema kuna kijana alimwambia lakni ujue makamu wa rais wa Marekani anakuja sasa inaingilianaje mwakimbe aache kufanya kazi zake za kukataza mauvu eti kisa makamu wa rais wa Marekani ana kuja. Ana maana gani kusema hivyo kama hi nshu sio njama na, serikli naweza sema hizi serikali ndio zinazo tusababishia klia kitu majanga Mafuriko kwenye taifa letu hususani huu utawala wa samia kwakweli mungu aingilie kati hi ninjama na serikali lakni mwenyezi mungu atawaadhibu sana hawa watu inshalah kutuharibia watoto wetu kisa tamaa zao kwakweli inauma mimi kama mzazi 😭😭😭siishi kulia na mungu ju ya haya yanayoendelea my.... Wazungu hawawezi kuja kuiharibu nchi yetu bila kuwa na mwenyenyeji wakupeana mchongo yote hiyo kitu haiwezekani kuna watu wa NAUNGANA na hawa vibaraka kuja kulichafua taifa letu tena niwakuu wa serikali hata yule kikwete hakosekani kwenye hayo makundi ndio mana ana kazi yakuuwa wenzie ili awe huru na taifa letu na vibaraka vyake kulichafua tz mungu atamlaani sana yule baba wapo wengi lakni jakaya hakosekani kwenye hilo kundi yule baba akija kufa yule kidogo amani ya nchi yetu itakuwa shwar japo sio sana lakni kidogo itakuwa na nafuu nasema hivyo kwa sabbu naamini JAKYA hilo kundi lake sio dogo

  • @SubyMwaisumo
    @SubyMwaisumo 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awalinde na kuwapa nguvu, kemeeni maovu

  • @alexanderkisinini9376
    @alexanderkisinini9376 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mh. No ya mawasiliano upate visa zaidi.

  • @agneskasebele-cy1qm
    @agneskasebele-cy1qm 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu akutunzee mzee na Yesu aitetee Tanzania 🇹🇿 yetuu🙌

  • @BarakaNjamasi
    @BarakaNjamasi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mwakyembe wewe kweli ni Gwandumi Gwa kyala ,nakuelewa sana

  • @kinemorwangisho2168
    @kinemorwangisho2168 7 หลายเดือนก่อน +12

    Wachungaji wetu tusaidieni mwache kufurahia hata mambo yaviduku na sebene kanisani

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wanapendezwa na ndombolo ya solo wanaacha kukemea maovu!

    • @mcback4384
      @mcback4384 6 หลายเดือนก่อน

      Kucheza na kusifu hakuna uhusiano wowote na ushoga labda kama unatumia usichopenda kupotosha

  • @epiphanywilson6466
    @epiphanywilson6466 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio watu wa kupewa tuzo kwa kuvaa ujasiri wa kupiga vita hili suala maana hii issue is very critical.Mwenyezi mungu awatie Nguvu na kuwaongezea ulinzi wa malaika zake.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 หลายเดือนก่อน +3

    LAKINI NAONA HALI YA NGONO ZA JINSIA MOJA TANZANIA NI MBAYA SANAA. KIZAZI CHA SASA KIMEHARIBIKA SANA NA HII NI KWA SABABU YA UMASIKINI, NJAA , TAMAA YA VITU VUZURI NAKAZALIKA.

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 7 หลายเดือนก่อน +3

    MWENYEZI MUNGU SIO MJOMBA WA MTU.. KWAKWELI NAUMIA SANA NA HUU USHENZI UNAOENDELEA KWENYE NCHI YANGU ILA SINA JINS NISHAWAHI KULIA SANA MWISHO NIKAMSHUKU MUNGU 😢

  • @ClintonMalewa
    @ClintonMalewa 3 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU AKULINDE MHESHIMIWA

  • @MariamuGideon
    @MariamuGideon หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidie baba endelea kupiga vita makanisa ya uongo yanayotetea ushoga kwa maslai yao binafsi Mungu aponye vizazi vyetu🤣🤣🤣

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutangulie Mjumbe wa Mungu.kikombe cha hasira ya Mungu kitajaa punde

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu andelee kuwapigania katika harakat za kupinga tabia za kipuuzi

  • @josephmturi6936
    @josephmturi6936 7 หลายเดือนก่อน

    Mh Mwakyembe Mungu akubariki sana unaokoa watanzania maelfu kwa maelfu

  • @renatuskweyamba6460
    @renatuskweyamba6460 7 หลายเดือนก่อน

    Mwakyembe unalitumiza kusudi la uumbaji wa Mungu. Su lazima uwe kiongozi ktk ngazi za juu Ili kufanya jambo kubwa laha sha..!! Kila mmoja akitimiza wajibu wake Kwa kila nafasi aliyonayo ktk jamii , basi tutaishi ktk jamii yenye usawa na ustawi. Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki mwakyembe na timu yake

  • @bernakajoro2656
    @bernakajoro2656 6 หลายเดือนก่อน

    Wa Africa tunapenda sana vitu vya Bure ndo maana tunakuwa wanyonge sana ,,wanatudanganyia misaada na mikopo