Serikali yetu mko vizuri sana ila kwahili la ushoga wanainchi hatulikubali kabsa japo nyinyi mnalichukulia mzaha sana , japo sijasoma ila mnashangaza sana eti mpaka mjue tatizo nikubwa kiasi gani ndoo mtunge sheria ,kwakati munatunga sheria mtu akiiba afungwe miaka kazaa mlipitia wizi uko kiasi gani au mnatudanganya sisi ili muendelee kufanyanya yenu ,tunga sheria ipite anaefikiria kufanya aache aogope nasio kusema mpaka mkatasimini tatizo kubwa kiasi gani ,kumbukeni watanzania ipo siku watachukia afu mtajua sio wapole hivo mnavyo fikiria ,
Serkal inazinguwa alaf kwanza tz inapenda misaada Sana ndo Mana rais wetu yupo kmyaa ad sasa Kwan ukuskia wakubwa fanyen waachen watoto hapo unawaza nn tayar rais kashakbal mbn ushoga tz
Ngoja Mungu atakaposhusha ghadhabu ya ukame, matetemeko, mafuriko na vimbunga, njaa ndo mtajua Mungu ni wa kuogopwa kuliko wazungu, tumtegemee Mungu peke yake, tuvune rasilimali zetu kwa ustadi, tufannye kazi kwa bidii, tukataei mikataba yenyee laana hizi, tumhofu Mungu
Kwel tanznia hatuna viongoz imara 😢 yaani mnasubie tatizo likue kwa asilimia 80 ndio mjue kuw limekua au kubwa au 😢😢 kwa ilivyo kwa vile hili suala ni tishio kwa jamii zetu linahitaj kauli moja tu hata kma liwe linaanza sasa , nyiny mmejadil sku zote hizo alaf mmeshindwa kuja na jibu la kuelewek kwel dah inasikitisha san hii 😢😢😢
Hapa amna kitu kikubwa ni sheria kali nyinyi wa bunge akuna kitu mlicho jadili lolote inahitajika sheria iwe kali mpaka dunia ishtuke mkisema speka kasema amna lolote hapo usanii tuu sheria tunazijua bhana
Unataka ijulikane ukubwa wake ili iweje,semenitu kuwa hili Jambo halina maana,kwenu,lakini niwaambie ukweli wabunge nyinyi mnaotumia Kodi zetu msipo kazana kulisema Jambo Hilo Mungu wa mbingu nanchi atalisema Yeye halafu tuta ona mtakimbilia wapi.
Hapo mheshimiwa spika sijakuelewa, yaani watoto unaowasemea hapo ndo haohao wanaofundishwa mashuleni, kwa hiyo wakati mwingine tungeni sheria za kuweza kulisaidia taifa letu kwa masrahi ya Leo na baadae ,maana tunataka kuishi kwenye nchi ambayo kila kitu kinafanyika hovyo kwa sababu sheria bado hazina nguvu.
Sipika sikia, kuhusu hathali ni kubwa, ukubwa unatokana na kurejea kwa aibu na watu kupuuza Sheria, Jambo la msingi Sheria itungwe kwa haraka au kuboresha Sheria kwa haraka, tunasubiri msimamo wa sherikali Kisha Mambo yatakaa sawa, hatupendi ushoga Tanzania.
nelly chamba..hapo sheria itatungwa baada ya miezi 3..yani kwanza wachumguze pili itoke bajeti afu ndo itungwe ..asee tanzagiza..huu ushetani utaendele kuwepo na utakuwa zaidi kwa sababu hii nchi inaviongoz.. wendawazmu
Km sio kubwa waendelee mpaka litakapokuwa kubwa?!!!sasa watoto zimewatia shule kwa sababu ya kufundishwa hayo mambo ,bado sio kubwa!!! Ushahidi wa mwakyembena wengine bado sio kubwa,nimungupeke yake aingiliejambohili.hasira ya Mungu haijawahi kuiwakia Tanzania lakini kwa hili itawaka,na hiihasira itahusu hata sisi wote tusiokuwemo,Mungu ni mtakatifu,hawezi kulivumilia hili jambo,angetuacha km hatujui lakini tunafanya tukijua ni kosa,hasira yake itakomesha viungo vyote vitakuwa majivu,zitakosa vyote ni boratukajirekebisha tujaribu atatusamehe,maana yuko tayari kusamehe km tutatubu kwa moyo wa dhati,huo ni ushauri wangu kwa watanzania.
SIJAPENDA KAULI YA NENO " KIASI GANI" NDO MAANA HATA KTK MAOFISI UFISADI UNAONGEZEKA KISA AMEONEKANA MMOJA NDANI YA WATUMISHI 500. BILA KUJUA KWAMBA NI HATARI KWA TAIFA.
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wetu.i think hata na malaika wanapiga makofi juu ya swala hili kule mbinguni ,wakiona wanadamu wakijaribu kupinga hila za shetani kutaka kuwalag'ai wanadamu juu ya swala hili.
Hakika hapo Mheshimiwa Spika umesema jambo muhimu katika utekelezaji, hakika umechukua hatua kali labda upande wa serikali yetu wawe kinyume na maagizo ulio wapa!!
Hakika tatizo laushoga nikubwa halina kukaa chini mutunge sheria sisi tutawaona mnafanya kazi tulizo watuma kama mnatusikiliza vizuri wananchi tuio watuma
IMEBAKIA TU MUKTADHA MUKTADHA......BILA YA KUWEKA SHERIA KALI PASI NA KUZINGATIA UKUBWA AU UDOGO WA JAMBO HUSIKA KIUENEVU,,,,,,,,,KEMEA JAMBO HARAKA KWA UAMUZI WA KUWEKA SHERIA PAPO HAPO..
America imetoka million 66 tz na Ghana ili kulinda ushoga juzi ndio maana hawawezi kupitisha sheria ya kuzuia ushoga sasa. Rejesheni pesa iyoo acheni tamaa
Kàbla Bunge halijamalizika(Pakuanzia wamuone Mheshimiwa Mwakyembe,wapite mashuleni tangu shule za chekechea mpaka vyuo vya juu,mabaa,nightclubs wafungue forum ya Maombi kwenye mitandao nk nk
asee viongozi wetu hatuwaelewi ata kidogo suala la ushoga na usagaji ni makosa ya jinai hayatakiwi kufumbiwa macho linatakiwa kujibiwa hapo hapo na muda huo huo.. toeni kauli moja yakutetea watanzania kuondokana na ukiritimba wa akili maana tunarudishwa nyuma sana hatujui, yani tunategemea misaahada how about misahada kila siku ni muda wakujiweka wazi tujitegemee kivyetu vyetu bahati nzuri rasili mali tunazo zakutosha,tunaonekana wadhaifu sababu ya vitu vya kipuuzi kama hivi aisee raisi atoe kauli yenye nguvu kuteketeza mambo ya kipuuzi kama haya tusitawaliwe na kila kitu bhn
Uganda wamekuwa mfano, nasi tusione aibu kuwa kama wao maana ushoga sio mpka msubili kumkamata mtu anaeingiliwa, kamateni mtu kwa dalili zake nasio kusubili mshuhudie,,
Natamani mutangaze kama alivyofanya makonda wakat wake kuwa watajwe wasagaji na hao wanaume wanaoliwa nahisi Kama itasaidia kiasi flan kwakua watu hao wanafahamika na wanaishi kwenye jamii zinazotuzunguuka
Uko sahihi mheshimiwa Spika,mimi naona hakuna ushoga Tanzania ila kuna wahuni wengi wanapotosha wananchi. Wako wapi hawa mashoga na wasagaji au ni upuuzi tu
@@emmanuelchiza7733 Watanzania badala ya kujadili mambo muhimu ya maendeleo wanajadili uhuni. Hawazungumzii maji,barabara na umeme. Hata namna ya kupata chakula chao cha kila siku. Wakizungumzia ushoga utadhani bomu ya nyuklia au uko kwenye nyuso za watu. Hebu endeleeni kubweka ushoga,usagaji na huku watu wanakufa kwa ajili ya njaa na maradhi lukuki.
Wewe hujuwi spika unataka lijulikaneje sasa ssitume watuma tungeni sheliya kali kutokomeza mambo hayo yaushoga watoto wetu wata halibika tusisubili wakati ni sasa
Naiomba iyo tume ya katiba na sheria itapokaa na kujadili marekebisho kuhusu USHOGA basi naiomba tume hiyo iweke mkazo juu ya MABASHA. Endapo kutawekwa sheria yoyote ile basi kwa MABASHA iwe ×2 dhidi ya MASHOGA
Mm Apo naona viongoz ndo utumbo kwann mnapenda sana kuiga vitu kutoka marekani???swal mbona magufuli alivyokuwa hai hatukuwahi kusikia et wazuri wa marekan anakuja Tz???? Mnatakiwe muwe Na iman jamon mnaendeshwa hovyo tu Na apa Tz kuna mtu ndo anajifanya anamamlaka sana tena ndo mtu m.baya kbsa kakaa pembeni Na miwani yake
KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE MTAULIZWA TUU KWA KADIRI YA MAMLAKA MLIZOPEWA. MTU ASIPO FANYA WAJIBU WAKE KTK HILI NI HERI ASINGALIZALIWA. SINGIZIA TUU UTAFITI CHEZA NA MAISHA YA WATU KAMA ULIVYO ZOEA ILA HAPO MNAMGUSA MUNGU MOJA KWA MOJA KUPIMA HASIRA YAKE PIGENI SANA MAKOFI....
Serikali yetu mko vizuri sana ila kwahili la ushoga wanainchi hatulikubali kabsa japo nyinyi mnalichukulia mzaha sana , japo sijasoma ila mnashangaza sana eti mpaka mjue tatizo nikubwa kiasi gani ndoo mtunge sheria ,kwakati munatunga sheria mtu akiiba afungwe miaka kazaa mlipitia wizi uko kiasi gani au mnatudanganya sisi ili muendelee kufanyanya yenu ,tunga sheria ipite anaefikiria kufanya aache aogope nasio kusema mpaka mkatasimini tatizo kubwa kiasi gani ,kumbukeni watanzania ipo siku watachukia afu mtajua sio wapole hivo mnavyo fikiria ,
ICAP, SHEDEFA, ( mza). Japaigo Shinyanga na Mza
Serkal inazinguwa alaf kwanza tz inapenda misaada Sana ndo Mana rais wetu yupo kmyaa ad sasa Kwan ukuskia wakubwa fanyen waachen watoto hapo unawaza nn tayar rais kashakbal mbn ushoga tz
Awa wamekula eka za wazungu waende wenyewe wakazilipe au wapeleke watoto wao wakaliwe nyuma
Ngoja Mungu atakaposhusha ghadhabu ya ukame, matetemeko, mafuriko na vimbunga, njaa ndo mtajua Mungu ni wa kuogopwa kuliko wazungu, tumtegemee Mungu peke yake, tuvune rasilimali zetu kwa ustadi, tufannye kazi kwa bidii, tukataei mikataba yenyee laana hizi, tumhofu Mungu
R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu ungekuwepo upumbavu huu usingekuwepo katika hii Nchi
Wewe ni mzalendo msema kweli JPM asingekubali ujinga
we chizi kwani wakati wa Magu hawakuwepo mashoga? Mashoga wauwawe
Kabisa
Kabisa
@@mohamedturanardan8871 tumia akili we zwazwa msimamo wa kiongozi mkuu upo wapi hakuwa akiruhusu mambo ya kishenzi kama haya uelewe tabolalasa.
Utafiti ? Wa nn ,,,sema lini Sheria ije,,huu utafiti hadi lini au ndio kuwanyamazisha wasiendelee kuongea kwa kusubiri utafiti duh
Tulia
Uko vizuri sana nashukuru kwa jibu lako nimelidhika ❤❤❤❤❤ sina swali naomba Mungu akujarie kwa kila jambo,,,, inshallah
Kwel tanznia hatuna viongoz imara 😢 yaani mnasubie tatizo likue kwa asilimia 80 ndio mjue kuw limekua au kubwa au 😢😢 kwa ilivyo kwa vile hili suala ni tishio kwa jamii zetu linahitaj kauli moja tu hata kma liwe linaanza sasa , nyiny mmejadil sku zote hizo alaf mmeshindwa kuja na jibu la kuelewek kwel dah inasikitisha san hii 😢😢😢
Kwanza huyo joti afungiwe kabisa maana yy anatoa mfano wa vitendo vya wazi kuharibu jamii
Sipika maelezo mengi toa tamko
Eee mungu kwann uliruhusu magufuli afeee
Hapa amna kitu kikubwa ni sheria kali nyinyi wa bunge akuna kitu mlicho jadili lolote inahitajika sheria iwe kali mpaka dunia ishtuke mkisema speka kasema amna lolote hapo usanii tuu sheria tunazijua bhana
Jamani hichi kitu si cha kujadili ni kuchukuwa hatuwa madhubuti tu
Allah atulinde dhidi ya janga hili la ushoga na adhabu yake
Naomba pitisheni sheria hii. Kwenye mtaa kijiji kitongoji akijulikana ni shoga au msagaji. Wananchi waue wachome moto. Polisi waje wachukue mzoga ndio itakua komesha. Hata bibilia inasema mtu atakae muingilia mwanamume mwenzake mwanamke mwenzake. Kinyume cha maumbile anatakiwa auwawe sio aperekwe mahakamani
Mna mungunya maneno sema kauri mojatu kama uganda apa nihapanatu basi
Tunapenda kuheshimiwa na kuheshimiana sana, je Tunamheshimu Mungu ktk janga hili la ndoa za jinsia moja? Mbona dawa ni NO, basi!!!
Inapendeza sana nchi yetu kukutaa uchafu wa ushoga na kusagana , mungu atulinde sote.
Unataka ijulikane ukubwa wake ili iweje,semenitu kuwa hili Jambo halina maana,kwenu,lakini niwaambie ukweli wabunge nyinyi mnaotumia Kodi zetu msipo kazana kulisema Jambo Hilo Mungu wa mbingu nanchi atalisema Yeye halafu tuta ona mtakimbilia wapi.
tutafanywa kama bazil
Ht spka anamung'unya tu maneno hamna lolote hamna lolote
Ko spika unataka upate mda gan had liwe kubwa et hujui Kama hili Ni janga..kmbk linaweza ht kukugusa mwenyewe ww una ndg na jamaa ujue
Sisi sahv viongozi hakuna ni hiyo laana tuu hakuna kiongozi mwanamke kiongozi mwanamke mwanamme kakaa nyumbani anakuna ndevu subhanallah ni msiba mkubwa inna lillah wainna ilayhi raajiuun
Ukimsikilza huyu mdada unaona kabisa hamna kitu🙄😏😏
Unafanyaje utafiti angali mnafanya kazi kwa maneno bila vitendo,
Ujinga hauwez ondoaujingamwingine. tunajisahausana ktk kuchaguaviongoz.madharayake ndiohaya
kwahiyo kama watu wanafirana kwa asilimia ndogo waachwe ? du nchi hii tunapigwa pesa kilakukicha na watu wafirwe ?
😂😂😂😂😂 tumepigwa aiseee kufirana wanaona poa tu
Wanafiriana wapi. Kama ni kwa maficho wako wengi na ni haki yao kama wameelewana na ni watu wazima.
Kama wanafiriana hadharani,wanapelekwa jela
😂 nakweli waachwe mtu kama kataka mwenyewe
Hapo mheshimiwa spika sijakuelewa, yaani watoto unaowasemea hapo ndo haohao wanaofundishwa mashuleni, kwa hiyo wakati mwingine tungeni sheria za kuweza kulisaidia taifa letu kwa masrahi ya Leo na baadae ,maana tunataka kuishi kwenye nchi ambayo kila kitu kinafanyika hovyo kwa sababu sheria bado hazina nguvu.
Sipika sikia, kuhusu hathali ni kubwa, ukubwa unatokana na kurejea kwa aibu na watu kupuuza Sheria, Jambo la msingi Sheria itungwe kwa haraka au kuboresha Sheria kwa haraka, tunasubiri msimamo wa sherikali Kisha Mambo yatakaa sawa, hatupendi ushoga Tanzania.
nelly chamba..hapo sheria itatungwa baada ya miezi 3..yani kwanza wachumguze pili itoke bajeti afu ndo itungwe ..asee tanzagiza..huu ushetani utaendele kuwepo na utakuwa zaidi kwa sababu hii nchi inaviongoz.. wendawazmu
Ina maana mpaka serikali ichungunguze tatizo ni kubwa kiasi ani km sio kubwa!
Km sio kubwa waendelee mpaka litakapokuwa kubwa?!!!sasa watoto zimewatia shule kwa sababu ya kufundishwa hayo mambo ,bado sio kubwa!!! Ushahidi wa mwakyembena wengine bado sio kubwa,nimungupeke yake aingiliejambohili.hasira ya Mungu haijawahi kuiwakia Tanzania lakini kwa hili itawaka,na hiihasira itahusu hata sisi wote tusiokuwemo,Mungu ni mtakatifu,hawezi kulivumilia hili jambo,angetuacha km hatujui lakini tunafanya tukijua ni kosa,hasira yake itakomesha viungo vyote vitakuwa majivu,zitakosa vyote ni boratukajirekebisha tujaribu atatusamehe,maana yuko tayari kusamehe km tutatubu kwa moyo wa dhati,huo ni ushauri wangu kwa watanzania.
SIJAPENDA KAULI YA NENO " KIASI GANI" NDO MAANA HATA KTK MAOFISI UFISADI UNAONGEZEKA KISA AMEONEKANA MMOJA NDANI YA WATUMISHI 500. BILA KUJUA KWAMBA NI HATARI KWA TAIFA.
Duh hamna kitu hapo Kwa kauli Yako spika hapana inaonekana mlisaini waziwazi kabisa yaani hamna nguvu ya kulikataa kwanini iwe kiasi?
Hatahili unalilionea aibu Kuta
Mka?ogopeni laana Toka Kwa mungu,kemeeni dhambi achana na siasa
😂😂😂😂sheria zitaletwa.....
Napata wasiwasi Hawa viongozi pia watakuwa wanakanyagana sio bure, helmets za ushoga ni kubwa sana miongoni mwao 😎😎
UNGE TOWA TAMKO KAMA WW KUWA UNALITAKA AU HULITAKI MAANA HIVYO UNAJIBU KISOMI KUWA WW HUNA KAULI NALO
Tumesahaulishwa mabiloni ya CAG. Hii nchi ni hatari watu wameseti agenda tumesahau kufatilia PESA
Bora tufe njaa kuliko kuuachia ushoga uenee Tanzania
Labda likifikia 50% ndo sheria itungwe? Makonda Makonda yuko wapi? Tuliona anavunja haki za binadamu..Sasa yaliyowajuta Dodoma na gomora yamekaribia hats jwetu.
Natamani kuckia mchango kutoka Kwa Tundu lissu kuhusu mada ya USHOGA!
JAMBO GANI MBONA UNAZINGUKA ZUNGUKA HATUTAKI USHOGA
Uyu nae anavimelea vya kuunga mkono ushoga yn ww kama kiongozi ungetakiwa kuwa mkali xx ww unakuwa km huelewi kinacho endelea tz
kumbukeni mumebeba dhamna na uta kwenda kulixwa jipnge n mjbu ya kwenda kujibu
Ndugu sio kila kitu kinataka kufuata protocol, vitu vingine in dharura na inabidi kutatuliwa kidharura hivyohivyo,
EE YESU WETU NJOO UTUTETE TUMEISHA BABA
Safi mwamba Mbunge Mh Noa
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wetu.i think hata na malaika wanapiga makofi juu ya swala hili kule mbinguni ,wakiona wanadamu wakijaribu kupinga hila za shetani kutaka kuwalag'ai wanadamu juu ya swala hili.
but kwa serikari hii ..aseee hatutoboi.
HAKUNA CHA SHARIA JIBU NI MOJA HATUTAKI USHOGA
muda mwingine tuwe naakili makumu wa raisi wamalekani alifata nini tz mbona hakwenda uganda au rwanda tuweni na akili
kweli Tanzania tumeingiliwa viongozi hatuna 😢😢😢
Alisema lakini matanikumbuka na mtanikumbuka kwa mema yangu zaidi.
Wote wameoza..Mungu atusaidie
Namkumbuka Magufuli sna alikuwa hakwepeshi maamuzi
Mungu atuepushe na mambo hayo
Hakuna budi bunge Kutoa msimamo wake kuhusu mashogo, wasagaji mabasha
jamn kuna mtu anishi ungereza ananitaka kimapez je selekali munaniangaliaje
I hope this is done ASAP.
Ninyi ni watunga Sheria so mwogopeni Mungu okoeni Taifa kwa kutunga Sheria zinazoeleweka
Hakika hapo Mheshimiwa Spika umesema jambo muhimu katika utekelezaji, hakika umechukua hatua kali labda upande wa serikali yetu wawe kinyume na maagizo ulio wapa!!
What!!!? Nonsense answer ever
Inamaana km litakua ndogo utariacja liendelee?? Mbona mama sijakuelewa nahisi hijawai kuumwa uchingu na hauna vijana wadg
usiongee habar za hoja ya bajet wakat sisi tunataka ilo swala lichukuliwe hatua fasta si mfanye kam mlivyofanya panya rodi tuu ukiona shoga kamata piga shaba wataishaa tuu iyo tume tumee yenyew kama wapo umoumo wadau mwanaume angekuepo magu mngeelewaa tuu
Hakika tatizo laushoga nikubwa halina kukaa chini mutunge sheria sisi tutawaona mnafanya kazi tulizo watuma kama mnatusikiliza vizuri wananchi tuio watuma
Uko sahihi mana Muna mambo mengi ya kuwasimamia kuliko kupoteza mda mwingi kujadili jambo Moja
Rest in peace JPM l remember you
IMEBAKIA TU MUKTADHA MUKTADHA......BILA YA KUWEKA SHERIA KALI PASI NA KUZINGATIA UKUBWA AU UDOGO WA JAMBO HUSIKA KIUENEVU,,,,,,,,,KEMEA JAMBO HARAKA KWA UAMUZI WA KUWEKA SHERIA PAPO HAPO..
America imetoka million 66 tz na Ghana ili kulinda ushoga juzi ndio maana hawawezi kupitisha sheria ya kuzuia ushoga sasa. Rejesheni pesa iyoo acheni tamaa
Wabunge kumbukeni na MABASHA NAO HATARI NDIO WAHARIBIFU WASAKWE MBONA HAMULITAJI KUNDI HILO LA WAFANYAJI WA WENZAOOO
Kwann mnalinyamazia hili?
ko mnataka ili tatizo liwekubwa ndo mtunge shelia acha usiasa linda tamaduni zetu
😂😂😂 Raisi amesema wafanye wakubwa tu
Sheria Kali iwekwe na bunge ipitishe haraka sana
Acheni kuuma meno nyie ni wazazi pia tumieni fursa mlizopea na Mungu vizuri
Serikali fanyeni kazi swala la ushoga linaathiri sana watoto na vijana wetyu
Why linaendelea?
Tunajuwa bunge la rangi moja mshakula manoti ndio maana mnapata kigugumiz kuweka sheria kali za kuuangamiza ushoga imeshindkana
Tunataka tuone Sheria ichukue mkondo wake,ili mtutoe hofu sababu tunajua kunaviongozi huko juu ndo wanasimamia ushoga nando walawiti wakubwa
Tatizo kukopakopa mikopo yenye mashaliti ya ushogashoga halafu munasema mtajifikilia wangeanzia kwake aliyekopa yeye asilete laana hapa Tz
Kauli ni ya mzee wetu Magufuli hakuna ushoga apa wepeleke kwao ukouko Nchi yetu hatutaki mambo ayo yakifiraun
TUSHIRIKIANE KUWAONDOA VIONGOZI WANAOBARIKI USHOGA AFRIKA
Tatizo ni kubwa, mtaani mashoga wanapeta waziwazi
MUNGU ANAKUONA, UTAFITI WA NINI NI JAMBO LINALOKEMEWA HATA NA MUNGU !! WABUNGE MTAJIBU KWA MUNGU
Huyu spika hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi,, yaan dah mtihani
Wnaopiga makofi ninawasiwasi nao,
Maana hapo naona kama spika anaupooza moto waliouwasha wabunge
Dawnload
Kàbla Bunge halijamalizika(Pakuanzia wamuone Mheshimiwa Mwakyembe,wapite mashuleni tangu shule za chekechea mpaka vyuo vya juu,mabaa,nightclubs wafungue forum ya Maombi kwenye mitandao nk nk
Yaani tanzania hatuna viongozi kabisa!😢mungu tusamie
asee viongozi wetu hatuwaelewi ata kidogo suala la ushoga na usagaji ni makosa ya jinai hayatakiwi kufumbiwa macho linatakiwa kujibiwa hapo hapo na muda huo huo.. toeni kauli moja yakutetea watanzania kuondokana na ukiritimba wa akili maana tunarudishwa nyuma sana hatujui, yani tunategemea misaahada how about misahada kila siku ni muda wakujiweka wazi tujitegemee kivyetu vyetu bahati nzuri rasili mali tunazo zakutosha,tunaonekana wadhaifu sababu ya vitu vya kipuuzi kama hivi aisee raisi atoe kauli yenye nguvu kuteketeza mambo ya kipuuzi kama haya tusitawaliwe na kila kitu bhn
That perfect
❤❤❤❤
Naona mnatubabaisha tuu sisi tunaumiya ni maasi makubwa na tuna watoto wetu kila sku mnajivunga au nanyi mnayajuwa haya
Uganda wamekuwa mfano, nasi tusione aibu kuwa kama wao maana ushoga sio mpka msubili kumkamata mtu anaeingiliwa, kamateni mtu kwa dalili zake nasio kusubili mshuhudie,,
Tutapamban Hadi ushoga usitawale jaman
Tatizo lipo ndani ndomana wanasuasua wanaogopa kutiana aibu
Hatuna spika
Natamani mutangaze kama alivyofanya makonda wakat wake kuwa watajwe wasagaji na hao wanaume wanaoliwa nahisi Kama itasaidia kiasi flan kwakua watu hao wanafahamika na wanaishi kwenye jamii zinazotuzunguuka
Kifupi kutakuwa nakubaazi yaviongozi washalibika ndomana kunaugum wamamuzi
😢
Akumbukwe Magufuli kamanda
Spika uja wahi kumungunya maneno lakin leo vp unacho kiongea aki elewek au ndio au bas au lakin bas
Uko sahihi mheshimiwa Spika,mimi naona hakuna ushoga Tanzania ila kuna wahuni wengi wanapotosha wananchi.
Wako wapi hawa mashoga na wasagaji au ni upuuzi tu
Wewe sio bure utakuwa miongoni meso😎😎
@@emmanuelchiza7733 Watanzania badala ya kujadili mambo muhimu ya maendeleo wanajadili uhuni. Hawazungumzii maji,barabara na umeme. Hata namna ya kupata chakula chao cha kila siku.
Wakizungumzia ushoga utadhani bomu ya nyuklia au uko kwenye nyuso za watu. Hebu endeleeni kubweka ushoga,usagaji na huku watu wanakufa kwa ajili ya njaa na maradhi lukuki.
sema Moja kwa Moja usimumunye maneno
Wewe hujuwi spika unataka lijulikaneje sasa ssitume watuma tungeni sheliya kali kutokomeza mambo hayo yaushoga watoto wetu wata halibika tusisubili wakati ni sasa
Hamfai kuongoza nchi hii hata dakika moja
Hatuna rais hapo muacheni aupige mwingi
Dr Tulia tume ya ninii sheria ni moja ukithibitika ni kifo tu
sijaelewa yani mpaka jambo liwe kubwa ndipo litungiwe sheria uo ni utani kabisa.
Asnth tulia
Achen porojo kama ni wakweli tungen sheria kama niwakwel I hamuungi mkono ushoga
Mjue ukubwa wake ili iweje acheni kutafuna bigijii semeni tu jambo Hilo hatutaki watu wakijihusisha ni kunyongwa tu
Naiomba iyo tume ya katiba na sheria itapokaa na kujadili marekebisho kuhusu USHOGA basi naiomba tume hiyo iweke mkazo juu ya MABASHA. Endapo kutawekwa sheria yoyote ile basi kwa MABASHA iwe ×2 dhidi ya MASHOGA
Jambo gani tumeelewana dada sema mashoga hatutaki
Kwann wabunge wanateseka kuhusu ushoga wakati rais yupo? Tunaomba bunge limshinikize Rais atoe tamko kupinga ukimwi?
Maneno mengi suluhu zero maguful alikuwa anapasua hata wanyama huo mchezo hawakosei nyie maneno mengi pont hamna ni pumba tupu
Mm Apo naona viongoz ndo utumbo kwann mnapenda sana kuiga vitu kutoka marekani???swal mbona magufuli alivyokuwa hai hatukuwahi kusikia et wazuri wa marekan anakuja Tz???? Mnatakiwe muwe Na iman jamon mnaendeshwa hovyo tu Na apa Tz kuna mtu ndo anajifanya anamamlaka sana tena ndo mtu m.baya kbsa kakaa pembeni Na miwani yake
KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE MTAULIZWA TUU KWA KADIRI YA MAMLAKA MLIZOPEWA. MTU ASIPO FANYA WAJIBU WAKE KTK HILI NI HERI ASINGALIZALIWA. SINGIZIA TUU UTAFITI CHEZA NA MAISHA YA WATU KAMA ULIVYO ZOEA ILA HAPO MNAMGUSA MUNGU MOJA KWA MOJA KUPIMA HASIRA YAKE PIGENI SANA MAKOFI....