TAZAMA MDEE NA WENZAKE WALIVYOINGIA MMOJA MMOJA KUHOJIWA NA BARAZA KUU CHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2022
  • TAZAMA MDEE NA WENZAKE WALIVYOINGIA MMOJA MMOJA KUHOJIWA NA BARAZA KUU CHADEMA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 23

  • @christopherntaraha19
    @christopherntaraha19 2 ปีที่แล้ว

    Baraza kuu hongeren sana mmetenda haki tumefurah

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 ปีที่แล้ว

    Mnafiki mmoja mwenye nguo nyeusi amenyanyua simu na kupiga. Wasaliti hawaishagi. Hiyo kesi kwa wakili Peter Kibatala imefika mahala SAHIHI. Wajipange sawa sawa hao mawakili watetezi. Vinginevyo Asubuhi tu AIBU.

  • @jowakimumwananjela6036
    @jowakimumwananjela6036 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe unaesema chadema hawana jeuli ya kuwafukuza wabebe kwako ukawasongeage ugali

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 ปีที่แล้ว +2

    Waondolewe kabisa hao washenzi wakubwa mnafikiria ccm watawataka nyooo

    • @shukranitv2971
      @shukranitv2971 2 ปีที่แล้ว

      Hayo unayasema wewe na nafsi yako

  • @joachimshirima5578
    @joachimshirima5578 2 ปีที่แล้ว

    Ujasiri mliowajaza muda wote ndio ulitufanya tuwaamin hao kina dada... Na ujasir huo huo ndio wameutumia kuwanyoosha nyinyi wenyewe...

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 2 ปีที่แล้ว

    Wahuni wa kiwango kilichopitiliza

  • @jowakimumwananjela6036
    @jowakimumwananjela6036 2 ปีที่แล้ว +1

    Chadema hatubembelezi ujeuli wao na tama zao Zimewaponza mbona hata ccm wanafukuza ukileta utopolo sembuse mdee na wenzake wasaliti tamaa mbaya

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +1

      Kuna maboya wanasema Chadema hawana jeuri ya kuwafukuza hao yaan utadhani yeye yupo ndani ya kamati kuu vile

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 2 ปีที่แล้ว

    Nimefurahia hukumu, hata jeshini ukigundulika msaliti hakuna namna nyingine, utaliwa kichwa tu!

  • @aminamangu9036
    @aminamangu9036 2 ปีที่แล้ว

    Wakinayuda hao

  • @platinummarcus1341
    @platinummarcus1341 2 ปีที่แล้ว

    chadema hawana jeuri ya kuwafukuza hao watu

  • @ayoubkhatibu3768
    @ayoubkhatibu3768 2 ปีที่แล้ว

    Vyakula havisusiwi utakufa njaa huo ni mchezo wamefanywa bado wapo mabosi mtakula wa wapi

    • @karolinamasawe8978
      @karolinamasawe8978 2 ปีที่แล้ว

      Hao ni majembe wa chadema msiwaachie chadema itakufa mbowe acha hivyo

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 2 ปีที่แล้ว

    Mmependeza saaana!
    Hawa ndio wanaharakati wa kweli walahi

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi 2 ปีที่แล้ว

      Na wasaliti!

    • @yussufpandu1852
      @yussufpandu1852 2 ปีที่แล้ว +1

      @@rasnchimbi watanzania ni watu wa ajabu,, utamuona mtu anamuunga mtu mkomo kwa kufanya usaliti,, ujinga hapa tanzania sijuwi utaisha lini, hawa kama nchi zinazojielewa hata mahakamani wasingeenda kwanza wanachukuwa mishahara sio haki yao

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว

    O.

  • @platinummarcus1341
    @platinummarcus1341 2 ปีที่แล้ว

    mikwala mingi

  • @saidmussa6147
    @saidmussa6147 2 ปีที่แล้ว

    watu wa ajabu sana

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 2 ปีที่แล้ว +1

    malaya hao fukuza kabisa

  • @amonajosephat9712
    @amonajosephat9712 2 ปีที่แล้ว

    covid 19