Billnas na G Nakko 'walivyotimba' na guta kwa Mkapa - Siku ya Mwananchi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2020
  • Bilnas na G Nakko kwao ilikuwa ni mwendo guta la aina yake. Hivi ndivyo walivyoingia #MkapaStadium . Je unatoa marks ngapi kwa ubunifu huu.
    Uhondo uko LIVE #AzamSportsHD
    #WikiYaMwananchi #SikuYaMwananchi #WikiendiKubwa #TunaanzaMsimuMpya #TunaJamboLetu #YangaSC #TimuYaWananchi #SikuYaWananchi #AigleNoir #MkapaStadium
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 25

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 3 ปีที่แล้ว +4

    Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee raha sana. Mtaa wa pili wanaumia sana

  • @aishafransic8749
    @aishafransic8749 3 ปีที่แล้ว +1

    Yanga raha sanaaaàaaa sihami ng'oo

  • @wachaspelius5139
    @wachaspelius5139 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubri sana bro

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 3 ปีที่แล้ว +4

    Wasanii kwa sasa hawataki mchezo kabisa kila mmoja anabuni njia yake ni ipi atumie ili awakonge nyoyo mashabiki zao Kwakweli burudani inahitaji ubunifu vzuri sana wako poa sana.

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 3 ปีที่แล้ว +1

    Watu na nchi zao😃😃😃😃

  • @yasiniselemani6666
    @yasiniselemani6666 3 ปีที่แล้ว +1

    Hilo kali sanaa

  • @sanityonline4512
    @sanityonline4512 3 ปีที่แล้ว +3

    ubunifu

  • @mjingakaelewa102
    @mjingakaelewa102 3 ปีที่แล้ว +2

    CCM oyee

  • @biusisaidi2815
    @biusisaidi2815 3 ปีที่แล้ว

    Nataman ingekua kesho hii siku dah tuliinjoi sanaaaa

  • @ibrahimkadibo810
    @ibrahimkadibo810 3 ปีที่แล้ว +2

    Suti na raba, yaan hawa wote wamekuja kumfunika dimond, du kweli mond baba lao hata wakiungana,.

  • @anithapretty3309
    @anithapretty3309 3 ปีที่แล้ว +1

    Yanga oyeee simba 2mewazima now heshima itarud

  • @magomollahtv6748
    @magomollahtv6748 3 ปีที่แล้ว +2

    Wanahangaika tu

  • @mohamediramadhani6120
    @mohamediramadhani6120 3 ปีที่แล้ว +2

    Ebwana eeeee

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 3 ปีที่แล้ว +1

    Oyooooo

    • @sarahmollel8403
      @sarahmollel8403 3 ปีที่แล้ว

      Piga kelele kwa yanga yakeeee oyeeeeee

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 3 ปีที่แล้ว +3

    Eee bana uwanja nyomiiiiii hiyo ndo yanga mpyaaaaaa GSM oyeeeeeee

  • @saidsheni8961
    @saidsheni8961 3 ปีที่แล้ว +1

    kila atakae kabwa na shida yake ataanza kuza suti na raba yake

  • @angelavelin729
    @angelavelin729 3 ปีที่แล้ว

    Jamn ilikuwa pamb

  • @rashidbahati3580
    @rashidbahati3580 3 ปีที่แล้ว +1

    Nazani mmeona wenyewe

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 3 ปีที่แล้ว +1

    Bongo patamu

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 3 ปีที่แล้ว +5

    Kipimo kimejipima chenyewe kumbe yanga niwengi kuliko simba tumeona uwanja

    • @babylonyNgwembe
      @babylonyNgwembe 3 ปีที่แล้ว

      Kipimo cha kiingilio ndo tatzo SIMBA kilianzia 7000 YANGA wameanzia 5000 ujue 2000 kubwa na ndo SIMBA kaongoza kwa mapato ujue apo kaulize takwimu bcz YANGA waliangalia kujaza uwanja SIMBA iliangalia jins ya kupata Mapato

  • @wilsonkahamba8806
    @wilsonkahamba8806 3 ปีที่แล้ว

    No