Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe.. Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv . Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake. Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸
Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.
Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Tanzania bado kwa maendeleo. Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai. Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa. #HonMichaelDeusdedityKessy.
Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe..
Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv .
Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake.
Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸
Sasa Cameraman Kweli Umetupiga. 😢😢😢😢
Milard kijana wako wa arusha anajituma sana pamoja sana
Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.
Exactly 💯 percent
MZEE HAWEZI KUJIELEZA KABISA YANI NA KUELEZEA GARI YAKE BADALA YAKE NIKAMA INABIDI MTU UJIELEZEE MWENYEWE KWA ULICHOKIONA
Land rover defender best 4x4 off-road machine in history. Manufactured since 1948 till now.
Anae watambua au kuwa juwa vizuri #GTPtz #OTAKU MAP,plz like pale ❤❤
Tatizo jamaa sifa zinazidi kuliko maelezo ya kawaida, mhaya nini huyu mwamba.
😂😂😂
we umeleta story mpya
@@MabulamalembekaMoris😂😂😂
Kina lambat pia wahaya😂
Weee shika adabu muha huyo wa mwanga
Ange tuwekea after and before
Guud...
Uyu cameraman alkua bang uyu
Kila siku habari za Arusha tu daah millard unayumba sana mikoa mingine huna reporters?
Mikoa mingine ime poa
Imepoa mingine
Sio land Rover tena kama haina engine ya land Rover
Range rover engine manufacturer is land Rover...
Siyo rend rova Tena
Dadekiii engine 4.0 😢😢😢 inapepeeusha hiyo gari
Ungevua hiyo gearbox uweke manual mkuu
Labda awezi kuendesha manual ndio maana. Coz chuma kama hizi mm zote naona ni manual. Sasa ikiwa auto na kwa jinsi ilivyo ameinyima heshima yake
Jamaa Anamaritingo Anajisifia Tu Badala Ya Kutuonyesha Hizo Vitu Anavyovosifia
Amesema kibachoendelea ndani ya cabin na nyuma ni same same na AC nyuma inafika?
4:50 Baadae mtaona hapo awali 🤔
Hakuna mtu hapa
110
Ni wangapi hawajaona tv
Sas mutatuerimisha nin apo
Anayerekod nae ganzi
jamaa amejielezea mwenyewee hyo million 40 haijaonesha imepatikana vipii cameraa alilewa nini mbonaa content ya hovyoo hiviii
Kumbee milioni450 unapataa gari
Yaa yaaa yaaaa yaaa😂😂😂
Mzee ni hatari
Mwamba kama dalali
hatujaiona hiyo gali camera man na edita wabovu ni kama mnampa promo jamaa ila hatujaona chochote
iyo gali ata uku zm ipo
una pesa lakini hujuwi kujielezea
Ajatengeneza amecopy tuy huyu
Uchafu uo
Cameraman shame on you
Ujinga ni automatic transmission chuma hizi ni manual bwebwe zisizo za msingi
Kiswahili ulicho tumia ni kichache mno
Camera man MSENGE ww uko hopeles sana fuck
Leo interview yenu sijaelewa kabisa🤌
GARI KWA NDANI HATUJAIONA VZR KWA NDANI ...CAMERA MAN UNACHEKA CHEKA TUU KAMA KUKU UMESAHAU KAZ YAKO
SHIDA YOTE YANINI UKASUMBUKE KUUNDA MAGAR MAGAR YAPO ZAMA ZA KUUNDA MAGARI ZIMEISHA USUMBUFU WANINI
Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
SS MASTA UNATUONYESHA MTU BADALA TUONE HYO NDINGA ULITAKIWA UREVIEW HYO GAR TUIONE JAMAA ANATUELEZA TU BUT GAR ZUR
Kwani ni taarifa ya habari? Camera zungusha kwenye gari ngani nje nyuma mbele pembeni tuone hizo unique features 😰
Sawa ni Gari nzuri sana bro,umeikosea sana umeinyima haki yake kuifanya auto badala ya manual
Atutaki shida
Ni kweli mkuu
Kweli kabisa
Walai
Nunua yako😂
Baaadae mtaona hapo awali
hatari sana hiyo mashine
One day yes ntamilik land rover km ii😊❤
Kuongea hujui unakera aisee
Mwanga majenga una wafahamu wakina gazi Buti
MIMI NAONA NI USHAMBA MTUPU
what is this all about - worst report ever witnessed on ayo tv.
Too much unnecessary talks,
Well built.
Mzee anapenda tv😂😂
Arusha kama mbele
Kidogo ameguzia kuwa Gari in Taa zenye mwanga mkali, sijaelewa ni za nini tena barabarani au ni kwa ajili ya night game drive porini?
aliyenyuma ya camera ni hopeless kabisa. milard kama huyu cameraman anakudai mlipe au kama vipi mpge chini utafute mwingine.
Muongo huyu 😂
Mara v8 mara ranger rova😮😢
Camera man jau sana
Gar mkomao sanaaa big up Sana 💪 kwake kwishaaaaaaa anamfaa Sana masd kipanya waendeleze kampuni
Cameraman ni 🚮🚮
baadae mtaona hapo awli
sasa wewe siuliamuwa wewe sasa ikawa gari powa wacha kutusubuwa bwana duuu😂😂😂😂 mbona rangi ni mutu anaweka
Ni kweli,,,habari karibu 75% ni Arusha tu,,,ikizidi ni Moshi,,,kwingineko hakuna habari?????
Jiji la kitalii habar zipo za kutosha
Ingekua nyeusi ingekua unyma sanaa
Ulie andaa hii umezingua Ulipaswa umshike maic yeye ndio akuonyeshe hiki ni hiki na kile ni kile cameraman naww miyayusho
TDi
Kigoma😮 aaah kumbe familia
Defender nazionaga tyu arushaa ila mikoanii duh cjui kwann hata
Arusha utalii huku mikoani ni chache mno nyingi ni zile za zamani
Millard Millard mludishie Mzigo wake Message not Yet kama umekula Pesa yake nakwambia hiyo ni champion😂😂😂😂
Tereza nipopobawa
😂
unaongea sana mwamba
Defender
Kazi nzuri kwake mwamba ila bhana kuna makosa sana hapo Mengi moja kujieleza tatizo pili camera man akapimwe mkojo bado sana
Eti baadae mtaona hapo awali!!r chuga automatcally wanazaliwa wakiwa tayar bange kichwani
😂😂😂hio gari mpe mtoto achezee ww ni mtu mzima unahitaji manual transmision bro
Ungete ngeneza Ka ma
ulivyo ulivyo inunua
Apo awali tenaa
😂
sielewi mimi aki but ongera basi 😢😅
Engine za v8 bei gani
Ajui kuelezea
Cameraman kazingua aisee
Gari ni kali sana iyo
Weka manual ww
❤am coming kupanda
Ongera sana brother
Unadaiwa shilingi laki 2 za kitanzania seat cover hukulipa
Ndo umdai mtandaon
Tanzania bado kwa maendeleo.
Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai.
Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa.
#HonMichaelDeusdedityKessy.
Land rover defenders are more powerful than land cruisers in offroading and tug of war!!🏋️🏋️💪💪
MACHINE POWER V8!!!💪💪💪
One day land rover
Badae mtaona hapo awali😅
4:49 "baadae mtaona hapo awali"😅😅
Hamna gari ya milioni 40 hapo tusidanganyane labda milio 8