GARI YA MILIONI 4 ILIVYOBADILISHWA HADI MILL 40 " INA ENGINE YA V8,TV 2 HAITUMII FUNGUO KABISA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 119

  • @antonymwita6078
    @antonymwita6078 ปีที่แล้ว +8

    Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe..
    Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv .
    Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake.
    Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸

  • @itNeza
    @itNeza ปีที่แล้ว +10

    Sasa Cameraman Kweli Umetupiga. 😢😢😢😢

  • @BenedictMatete
    @BenedictMatete ปีที่แล้ว +3

    Milard kijana wako wa arusha anajituma sana pamoja sana

  • @dennisevarist
    @dennisevarist ปีที่แล้ว +17

    Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 ปีที่แล้ว +6

    MZEE HAWEZI KUJIELEZA KABISA YANI NA KUELEZEA GARI YAKE BADALA YAKE NIKAMA INABIDI MTU UJIELEZEE MWENYEWE KWA ULICHOKIONA

  • @harrisonkinuthia3754
    @harrisonkinuthia3754 ปีที่แล้ว +1

    Land rover defender best 4x4 off-road machine in history. Manufactured since 1948 till now.

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 ปีที่แล้ว +2

    Anae watambua au kuwa juwa vizuri #GTPtz #OTAKU MAP,plz like pale ❤❤

  • @isacklukinda6054
    @isacklukinda6054 ปีที่แล้ว +11

    Tatizo jamaa sifa zinazidi kuliko maelezo ya kawaida, mhaya nini huyu mwamba.

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 ปีที่แล้ว +5

    Ange tuwekea after and before

  • @deogratiasshija5897
    @deogratiasshija5897 ปีที่แล้ว

    Guud...

  • @vandelinaugust4372
    @vandelinaugust4372 ปีที่แล้ว

    Uyu cameraman alkua bang uyu

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 ปีที่แล้ว +3

    Kila siku habari za Arusha tu daah millard unayumba sana mikoa mingine huna reporters?

  • @christopherwami2006
    @christopherwami2006 ปีที่แล้ว +6

    Sio land Rover tena kama haina engine ya land Rover

  • @daluckyFinancialServices
    @daluckyFinancialServices ปีที่แล้ว +1

    Dadekiii engine 4.0 😢😢😢 inapepeeusha hiyo gari

  • @waziriomar1414
    @waziriomar1414 ปีที่แล้ว +2

    Ungevua hiyo gearbox uweke manual mkuu

    • @pcthemaster9096
      @pcthemaster9096 ปีที่แล้ว

      Labda awezi kuendesha manual ndio maana. Coz chuma kama hizi mm zote naona ni manual. Sasa ikiwa auto na kwa jinsi ilivyo ameinyima heshima yake

  • @idreamfoto
    @idreamfoto ปีที่แล้ว

    Jamaa Anamaritingo Anajisifia Tu Badala Ya Kutuonyesha Hizo Vitu Anavyovosifia

  • @nasibusaid4161
    @nasibusaid4161 ปีที่แล้ว

    Amesema kibachoendelea ndani ya cabin na nyuma ni same same na AC nyuma inafika?

  • @karimsolyambingu6335
    @karimsolyambingu6335 ปีที่แล้ว

    4:50 Baadae mtaona hapo awali 🤔

  • @maddog6123
    @maddog6123 ปีที่แล้ว

    Hakuna mtu hapa

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 ปีที่แล้ว +1

    110

  • @robinsonmaleo37
    @robinsonmaleo37 ปีที่แล้ว

    Ni wangapi hawajaona tv

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 ปีที่แล้ว +1

    Sas mutatuerimisha nin apo

  • @LucksonEdwardmgallah-tf5nc
    @LucksonEdwardmgallah-tf5nc ปีที่แล้ว

    Anayerekod nae ganzi

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 11 หลายเดือนก่อน

    jamaa amejielezea mwenyewee hyo million 40 haijaonesha imepatikana vipii cameraa alilewa nini mbonaa content ya hovyoo hiviii

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 ปีที่แล้ว

    Kumbee milioni450 unapataa gari

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 ปีที่แล้ว

    Yaa yaaa yaaaa yaaa😂😂😂

  • @ibrahkartel9778
    @ibrahkartel9778 ปีที่แล้ว

    Mzee ni hatari

  • @jofreymata5343
    @jofreymata5343 ปีที่แล้ว +3

    Mwamba kama dalali

  • @babalad983
    @babalad983 ปีที่แล้ว

    hatujaiona hiyo gali camera man na edita wabovu ni kama mnampa promo jamaa ila hatujaona chochote

  • @erastomapunda1444
    @erastomapunda1444 ปีที่แล้ว

    iyo gali ata uku zm ipo

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele ปีที่แล้ว

    una pesa lakini hujuwi kujielezea

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar3473 9 หลายเดือนก่อน

    Ajatengeneza amecopy tuy huyu

  • @goodluckkilala813
    @goodluckkilala813 ปีที่แล้ว

    Uchafu uo

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 ปีที่แล้ว

    Cameraman shame on you

  • @steveprosper4084
    @steveprosper4084 ปีที่แล้ว

    Ujinga ni automatic transmission chuma hizi ni manual bwebwe zisizo za msingi

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 ปีที่แล้ว

    Kiswahili ulicho tumia ni kichache mno

  • @centlaz1678
    @centlaz1678 ปีที่แล้ว

    Camera man MSENGE ww uko hopeles sana fuck

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 ปีที่แล้ว +3

    Leo interview yenu sijaelewa kabisa🤌

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 ปีที่แล้ว +2

    GARI KWA NDANI HATUJAIONA VZR KWA NDANI ...CAMERA MAN UNACHEKA CHEKA TUU KAMA KUKU UMESAHAU KAZ YAKO

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 ปีที่แล้ว

    SHIDA YOTE YANINI UKASUMBUKE KUUNDA MAGAR MAGAR YAPO ZAMA ZA KUUNDA MAGARI ZIMEISHA USUMBUFU WANINI

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @kiaphs6222
    @kiaphs6222 ปีที่แล้ว

    SS MASTA UNATUONYESHA MTU BADALA TUONE HYO NDINGA ULITAKIWA UREVIEW HYO GAR TUIONE JAMAA ANATUELEZA TU BUT GAR ZUR

  • @M_tika
    @M_tika ปีที่แล้ว +2

    Kwani ni taarifa ya habari? Camera zungusha kwenye gari ngani nje nyuma mbele pembeni tuone hizo unique features 😰

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 ปีที่แล้ว +39

    Sawa ni Gari nzuri sana bro,umeikosea sana umeinyima haki yake kuifanya auto badala ya manual

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 ปีที่แล้ว +1

    Baaadae mtaona hapo awali

  • @jamespk1154
    @jamespk1154 ปีที่แล้ว +4

    hatari sana hiyo mashine

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 ปีที่แล้ว +3

    One day yes ntamilik land rover km ii😊❤

  • @reticiakaria615
    @reticiakaria615 ปีที่แล้ว

    Kuongea hujui unakera aisee

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 ปีที่แล้ว +2

    Mwanga majenga una wafahamu wakina gazi Buti

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 ปีที่แล้ว

    MIMI NAONA NI USHAMBA MTUPU

  • @bobanthony1326
    @bobanthony1326 ปีที่แล้ว

    what is this all about - worst report ever witnessed on ayo tv.

  • @ahmedadan2177
    @ahmedadan2177 ปีที่แล้ว

    Too much unnecessary talks,
    Well built.

  • @jumakassim5351
    @jumakassim5351 11 หลายเดือนก่อน

    Mzee anapenda tv😂😂

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 ปีที่แล้ว

    Arusha kama mbele

  • @kilimanjarobrothersclimbin7520
    @kilimanjarobrothersclimbin7520 ปีที่แล้ว +1

    Kidogo ameguzia kuwa Gari in Taa zenye mwanga mkali, sijaelewa ni za nini tena barabarani au ni kwa ajili ya night game drive porini?

  • @robin_MMM
    @robin_MMM ปีที่แล้ว +1

    aliyenyuma ya camera ni hopeless kabisa. milard kama huyu cameraman anakudai mlipe au kama vipi mpge chini utafute mwingine.

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 ปีที่แล้ว

    Muongo huyu 😂

  • @FranklinGeorge-g5i
    @FranklinGeorge-g5i ปีที่แล้ว +1

    Mara v8 mara ranger rova😮😢

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 ปีที่แล้ว

    Camera man jau sana

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 ปีที่แล้ว +2

    Gar mkomao sanaaa big up Sana 💪 kwake kwishaaaaaaa anamfaa Sana masd kipanya waendeleze kampuni

  • @abednego3876
    @abednego3876 ปีที่แล้ว

    Cameraman ni 🚮🚮

  • @adamsafari7657
    @adamsafari7657 ปีที่แล้ว +1

    baadae mtaona hapo awli

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz ปีที่แล้ว

    sasa wewe siuliamuwa wewe sasa ikawa gari powa wacha kutusubuwa bwana duuu😂😂😂😂 mbona rangi ni mutu anaweka

  • @dickysteve-w9e
    @dickysteve-w9e ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli,,,habari karibu 75% ni Arusha tu,,,ikizidi ni Moshi,,,kwingineko hakuna habari?????

  • @thebushguy5774
    @thebushguy5774 ปีที่แล้ว +1

    Ingekua nyeusi ingekua unyma sanaa

  • @brianngowi4474
    @brianngowi4474 ปีที่แล้ว

    Ulie andaa hii umezingua Ulipaswa umshike maic yeye ndio akuonyeshe hiki ni hiki na kile ni kile cameraman naww miyayusho

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 ปีที่แล้ว +1

    TDi

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 ปีที่แล้ว +1

    Kigoma😮 aaah kumbe familia

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 ปีที่แล้ว +2

    Defender nazionaga tyu arushaa ila mikoanii duh cjui kwann hata

    • @Zanga93
      @Zanga93 ปีที่แล้ว

      Arusha utalii huku mikoani ni chache mno nyingi ni zile za zamani

  • @EnesforoSama-my1om
    @EnesforoSama-my1om ปีที่แล้ว

    Millard Millard mludishie Mzigo wake Message not Yet kama umekula Pesa yake nakwambia hiyo ni champion😂😂😂😂

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 ปีที่แล้ว +2

    Tereza nipopobawa

  • @petronilamtei7470
    @petronilamtei7470 ปีที่แล้ว +1

    unaongea sana mwamba

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 ปีที่แล้ว +1

    Defender

  • @juliuskivuyo5271
    @juliuskivuyo5271 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri kwake mwamba ila bhana kuna makosa sana hapo Mengi moja kujieleza tatizo pili camera man akapimwe mkojo bado sana

  • @nikodemumakibonya378
    @nikodemumakibonya378 ปีที่แล้ว

    Eti baadae mtaona hapo awali!!r chuga automatcally wanazaliwa wakiwa tayar bange kichwani

  • @saidyfikirini9679
    @saidyfikirini9679 ปีที่แล้ว

    😂😂😂hio gari mpe mtoto achezee ww ni mtu mzima unahitaji manual transmision bro

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 ปีที่แล้ว

    Ungete ngeneza Ka ma
    ulivyo ulivyo inunua

  • @daudiobedi5070
    @daudiobedi5070 ปีที่แล้ว +1

    Apo awali tenaa

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz ปีที่แล้ว

    sielewi mimi aki but ongera basi 😢😅

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 ปีที่แล้ว

    Engine za v8 bei gani

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 ปีที่แล้ว

    Ajui kuelezea

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge ปีที่แล้ว

    Cameraman kazingua aisee

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 ปีที่แล้ว

    Gari ni kali sana iyo

  • @AnordErio
    @AnordErio ปีที่แล้ว

    Weka manual ww

  • @AngelaLyimo-d7x
    @AngelaLyimo-d7x ปีที่แล้ว

    ❤am coming kupanda

  • @MusaMollely
    @MusaMollely ปีที่แล้ว

    Ongera sana brother

  • @AnithJackson
    @AnithJackson ปีที่แล้ว

    Unadaiwa shilingi laki 2 za kitanzania seat cover hukulipa

    • @everlyne8595
      @everlyne8595 10 หลายเดือนก่อน

      Ndo umdai mtandaon

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 ปีที่แล้ว +5

    Tanzania bado kwa maendeleo.
    Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai.
    Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa.
    #HonMichaelDeusdedityKessy.

  • @harrisonkinuthia3754
    @harrisonkinuthia3754 ปีที่แล้ว +6

    Land rover defenders are more powerful than land cruisers in offroading and tug of war!!🏋️🏋️💪💪
    MACHINE POWER V8!!!💪💪💪

  • @scholahsimon-om1gt
    @scholahsimon-om1gt ปีที่แล้ว

    One day land rover

  • @edgarelia3035
    @edgarelia3035 ปีที่แล้ว

    Badae mtaona hapo awali😅

  • @abubakarizuberi7165
    @abubakarizuberi7165 ปีที่แล้ว

    4:49 "baadae mtaona hapo awali"😅😅

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 ปีที่แล้ว

    Hamna gari ya milioni 40 hapo tusidanganyane labda milio 8