Nawashukuru sana guys kwa kuitizama ngoma yangu, kusubscribe na kwa ku comment mawazo yenu mazuri juu ya hii ngoma. Sina cha kuwalipa zaidi ya kuwashukuru na kuhakikisha nawapa madude juu ya madude. Samahani naomba ukitoka hapa ukurasani usiache ku subscribe na kuwaambia washikaji waje kuitazama ngoma hata kwa kuwatumia link ya ngoma.Insta napatikana @carlosn_tz 🙏
Nawashukuru sana guys kwa kuitizama ngoma yangu, kusubscribe na kwa ku comment mawazo yenu mazuri juu ya hii ngoma. Sina cha kuwalipa zaidi ya kuwashukuru na kuhakikisha nawapa madude juu ya madude. Samahani naomba ukitoka hapa ukurasani usiache ku subscribe na kuwaambia washikaji waje kuitazama ngoma hata kwa kuwatumia link ya ngoma.Insta napatikana @carlosn_tz 🙏
Yani nimependa ulivyo floo umepga bao Young dee🙌
Ahsante sana
Wee mkali broo😍
Thanks Dativa
Killn'
❤❤❤❤ ambao tuko na hii ngoma 2025 tujuwane kwa like
Tupo
Oya 2025 🇰🇪 kenga gonga laiki
The first guy is dope with vocal ❤❤
2024 Nani Yuko hapa agonge like❤
Aseee naipenda vibaya hii ngomaa 😗😗😗😗😗😗😗😗,nikinunua mkoko wanguu hii ngoma ndo itakuwa inadundaa💃💃💃💃💃💃💃
Sikuizi waskia shukushuku na kwikwikwi ndio eti ni nyimbo salute old school
Ronaldo au Messi imenileta hapa
Sautiyaketu inanikosha
Kumbe huu wimbo wako ndo maana waoo jamani penda Sana
Cor ametisha sana
Carlos wewe nihatali kazana Suzuki bilaut tulafiki haaaaa sijui mwana misitali Kama yot
misha ya kisasa sanaa gari ndo habari nyingine kabisa
Ngoma kali sana nani Bado anasikiliza hii ngoma mwaka2021
Hahahahaha dah!nakushukuru kaka mkubwa.Maana ni nadra sana wewe kutokea pande hizi.Ahsante
una flow nzuri sana bab, fanya kuachia ngoma nyingine, nmekua shabiki rasmi
Uwo mziki mnene
Nipongeze soong
Mziki broo
Leo ndio nimemjua huyu jamaa asubuhi nilikua nasikiliza ngoma yake ya ronado au mesi niseme tu unajua
Nani yuaskiza August 1 inachomaaaaaaaaaaa narudia Mara NNE kwa siku
Bonge ya song sema young d kaua Sana kwenye remix big up Sanaa
Nice
Merci pour lamozik🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎻🎻🎻🎻🎻🎻
Nilikuwa na Audi TT enzi hizo maisha yalikuwa poa.. ila haya maisha leo niko Benz.. but nimeparalize
Dah pole sana kaka
Dah...pole sana brow
Every time I’m logging in my TH-cam account coz is this song ❤❤
Hatal
"Si ya mkopo si ya baba ni yakwangu" 😁😁😁 nimependa hii bro
carlos😱umeuwa kabisaaaa
Bonge 1 la ngoma😮❤
Jamaa anachana saaana
....shida nimemkuta exwangu nikampa lift kisha nikamchezea bonge hili.....hivi kazenguka ajabu....#raha najipa bila kuchachawa....#
This song med me followe u for sure it's so sweet.
Booooooooonge la pini.Tamu kusikiliza mpaka baaasi.Dah 🔥🔥🔥🔥
Gari benz ndio gari kali sana
Bro vip projects nyingine
Mzee nina project 18 ndani ya youtube humuhumu bonyeza hapo kwenye account yangu uzisikilize
Sio ya baba wala sio yenu nimepat kwa msoto gari yangu
Mario. Ft Malang amina
Hii ngoma ban noma sana ilifaa more than 1 million views
Wabongo wanataka diamond na Harmonize tu
@@carlosn_tz na amapiano mafala sana
Hongera sana mume wangu.
Jamani
2054🎉still hot song
Mmetish sana ngoma kali
Balaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Hii nimeielewa zaid
Hinoma kaka
Dà nom
Carlos N Tz umetisha mkali vile ume flow hatariiiiiii.
Nimekufahamu leo na nims subscribe on your channel.
Good job bro,all the best ...
My fav track since wayback mpaka leo hii 2024🔥
Aichuji nyimbo
Big up dogo
Ngoma Kali Sana uncle Ntangeki familly
Bro umefikiria sana
Shukrani
Creativity on point my brother 🔥🔥🔥🔥
huikamati haikamatwi hata na matrafiki, maana muonekano wa nje kama gari ya escori , nyeusi tint tii, ukiacha malngo wazi kiki lake kubwa kikikiii
Hamna kupanda mamluki
Noma kwer mwamba
Ahsante mwamba
Salute chalii wngu umetisha xnaa
Brother hii verse umetisha mnooooo acha dogo azingue ila Allah kashafungua toa ngoma watakubali tu acha waendelee kula madawa makuuzi hao
Nc wakali
Tamuuu 💥💥💥
❤❤❤❤❤❤❤❤
Big up sana kwa hii ngoma from kenya
Hiyo verse ya kwanza Carlos umeua
Video kaliiii
This is a hit
Carlos mnyama umeua mzee
Noma sanaaa nimeielewa san ngoma hiiiii salut
Kali sana hii
Ngoma yamoto balaa💪🏾
Mkubwa abbah process na wanae........chorus imekwenda darasani na mwanao yd kaua kabisa
Mistari imeenda shule mjomba, kazi nzuri aminia
Very nice caros uko vizur,sajida
Ahsante sana Sajda
Huu wimbo naupenda xana jaman
Ikamatie Ikamate... Kiki lake kikiki..
Video karii big up Carlos
My future BMW ❤😂that song its for u
Safi sana kijana. Ulichelewa kuanza kukitumikia kipaji chako. Uko vizuri.
Carlis tz n, nakukubali kaka ngoma zako nazierewa 💕
🙏🙏🥂🥂
Naikubali hii ngoma
Poa
Umetisha sanaaaaaaaa
ngom kali san
Kali sana kaza baba haki yako Hii #carlos
Gali yangu
Nimeisoma
Nice.video kali na nyimbo kali
KAZI NZUR CARLOS KEEP IT UP
Ahsante mkuu
Motooooo
Dogo ulikubali PAKArapa akaparamia beat na MAKUCHA yote
Imeiuwa ile ya kwanza yani wahun sio watu
Ila nimeipenda verse ya kwnza na ubunifu
i'm here because of '' DIAMOND '' song !!!
Karibu sana
Kwani Diamond alifanya nn kuhu huu wimbo??
Hii ndio ngoma kali ile ya kwanza rimix hamna kitu
Ahsante kaka
kaz nzuri sana brother...keep the flame high
Salute kwako Carlos N kaza mwamba......
I feel it
Penda sana hii song big up sanaa 🔥🔥🔥🔥👍💪🏽💪🏽
Wozaaaa
Dah hatari sana
Daaah kaka umeflow vizuri sana, umetisha. Nimekuja apa baada ya ile ya daimond😂🤪. #2022
Karibu sana BOY
Nimependa idea nzuri sana