@@AffectionateChess-mh5cz OG yake Haina uandishi bobu Ngoma yote hii ibrah kaandika kuliko yeyote angalia jinzi midondoko yake alivyo dondoka angalia jinzi alivyo badilika badilika kwenye kwenye hiyo ves yake
Hii nyimbo remix zikizidi wataiharibu Sio Kila Mtu Anaweza vaa Code za singeli Vibes kwenye uimbaji Na kwenye video dance mna Cheza Style za south akati mziki ni wa asili ya Tanzania na Una style zake za kucheza Haileti maana kabisa🚶🏿♂️
Watu wa chinga boy twende kazi hapana like kama zote
GangGang
Waliojua Ibra kaua kabla hawajaskiliza nyimbo mpaka mwishoooo
😂
kaharibu ovyo ovyo
aaah chuki hizooo amefunika@@AboubacarMlanz
👎👎👎👎👎👎👎😏😏😏😏😏@@AboubacarMlanz
Mwenye kumkubali ibraah acha like hapa 🇨🇩🇨🇩☝️
Oya unatisha mwanetu❤ kama una mku bali ibraah🎉Gonga. Like hapo
Chinga kama nimetoloka milembeeee🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
Kwel chinga katoloka milembe maan anamotoo huyu mtoto
From kilifi Kenya🇰🇪🇰🇪😀😀 mnipee likes zangu
Wanaomkubal mushizo gonga like apah
OYAAA HILI NGOMA KUMAMAKEE SIO POWA HAFU HUYO IBRAAA MAMAE KAWAFUNIKA WOTEE🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sio kwer ww hebu kaskilize og yke wee 😂
@@AffectionateChess-mh5cz OG yake Haina uandishi bobu Ngoma yote hii ibrah kaandika kuliko yeyote angalia jinzi midondoko yake alivyo dondoka angalia jinzi alivyo badilika badilika kwenye kwenye hiyo ves yake
Ibaah nitariiiii
Ibrah umeua umeweza bila vita like apa kama na ww upo pamoja na mimi❤❤
Wanangu wa gang gang gongs like hapa🔥💪👊
Limetoroka milembe ❤❤❤ chinga anawaburuza wezake mmm ibraah vipi wewe
Love ❤from Kenya 😍🇰🇪👋....Chingaaaaaaaaa💯🔥
Tulio kuja kumwangalia Chinga like hapa 👍🏾
Chingaa🔥🔥🔥
Wivuuu...🔥🔥🔥
JAY combat Ameanza Kuandamwa Sasa Pongezi Kwako
Uimbaji wa harmonize wa kwenda na beat , ndo kitu ambacho ibrah anakifanya anatembea na beat mule mulee ndmana anauwa sanaaaa
Kama ww konde gang like here
Mdogo anajuaa saaana
Twende na ibraah chinga nawasubiri Wanangu
ibraaah intro amemaliza kabla hajaanza Oyaaa!!Oyaaah!Kama nimetoloka milembeeee🙌🙌🙌🙌
Kama una mukubali ibraah wa sasa gonga ❤kama like 🙏👌
Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tumekubalii
Remix ya kibabe... isimame trading top kabisa🎉
Singeli tuwaachie watoto wa morogoro wengine inatosha kuwa mashabiki tu😊😊
Bendera ya Moro Inayopepea Tanzania
Hizi ndo singeli zinazoweza tupeleka international. Very classic🎉🎉
Ukitaka kujua Ili goma Kali weka bufa yako sound mpaka mwisho🙌🏽🙌🏽🙆
Mwenyenyumba nae kaja tunaskiiiza wote😂😂
@@davidsalikoki6319 🤣😂🤣nomaa
@@davidsalikoki6319unataka sasa nihamishwe ila jpili nakiwasha mornng kabisa km ni notes nipewe manina😂😂😂
Oyaa Wanangu Wa Gang Gang🙌 CHINGAAAAAA🔥🔥🔥
Iyo bit ni hatari kama afro bit vile ila sio gonga like kama umeikubal
Oyaa Wanangu gang nang! Oyaa Konde gang gang! gang. Ntakuonga Figo Nikupe Na moyo// baby Mimi Nna Wivu jifunze Uchoyo//. Nomaaaa🔥🔥🔥
Sema Ibraa kafanya kuwaficha umu ndani kafunika sana
Hahaha kafanya kuwaficha mwamba fulani toka mtwara
Wakwanza ni mm Leo kungalia nipeni like zangu
th-cam.com/video/lIDvASoKitA/w-d-xo.htmlsi=7Psin9f6-0NC2Lr9❤
Usjal
Kama wewe wakwanza kalia dole bas
@@athumanramadhan4042😁😁😁
Baba Lai uko @@SaidiKimbali
Weka alama hapa kama unaikubali hili gomaaaaaaaa
mchezo wa domo lisilo na meno ndo unafanya moyo unauma
Naukikuta yaliyom yamo ndo unafanya moyo unauma like zenu
Iblah upewe maua yako🎉 🔥
Hakuna mmakonde mshamba 😂😂❤❤🎉
Ibrah nakupa urithi wangu qmmmk😂😂😂 BOMBOCLAAAT
Goma kali balaaaaa
weeedy☠️🔥🔥🔥
Jamn mtaani hapatosh na hii nyimbo jmn😂😂inaludiwa mala 100 wivuuuuuuuu
Oyaaaah wa kwanz leo mim ibraah ume ua
Jay Kombat ni mmoja tu🎉🎉🎉
Tuliotoka TikTok kwa ajil ya ibraah gonga like apa
Mapinduzi ya mziki yanakuja walio jisahau kua huu mziki wa kwao wake tayari❤❤❤❤
Oyaaaaa we noma combat bila kuchoka kimbiza kitaa mpak wasem kafa pakaaa.......mamaeeeeeeeeeeeee
Foreal ibra huu mwaka ataki peace😮😮😮noma sana
Ibraaaa umeuwaaaaaaa
Walipend icho kipand cha wivu mam wiv tuungane like hap chin
Wivu remix ni hatariii 🔥🔥🔥💪
Ibrah hajawahi kukosea 🔥🔥🔥🔥
Ibrah kauwa kama nyimbo yakwake
Chinga Noma dogo wenimkali sana mwakahu waisome namba kabisa kond geng 👈💪🙏🇹🇿🇨🇩🤜🤛🤛🤜🤛
Hili goma Kali mno 🔥🔥🔥
Kama nimetoka milembee Chingaaaaa❤❤
Weee wanang wa gang gang ,,mko wapiiii
oya ibra wee ..nitakuonga Figo plusssssssss aah weee ibra motoooo
Hili goma la moto sana
Mbona nyimbo ya jay combat lakin mushizo ndo kakaa juu
Hii nyimbo remix zikizidi wataiharibu Sio Kila Mtu Anaweza vaa Code za singeli Vibes kwenye uimbaji Na kwenye video dance mna Cheza Style za south akati mziki ni wa asili ya Tanzania na Una style zake za kucheza Haileti maana kabisa🚶🏿♂️
oya weeeeeeeee wewe noma sana mwanng oyaaaaaaaaaa wivu wivu wivu 👍👍👍👍
💯💯💯
Dah mwanae2 combart moro one
Moro finest
vraiment félicitations à vous une bonne chose que vous avez bien organisé chinga depuis la République démocratique du Congo précisément à Lubumbashi
This song is 🔥🔥 Kafa paka kazikwa Nyau😂 genious
Katika hii ngoma Ibraah kaua sana kama una mkubali gonga like hapa ❤
Bless sana mdogo'angu Jay Combat mungu one day mungu atabless tu
Kali bro 🎉🎉
Huyu ibra nyie hatar katokea mile mbe aswa ibra ❤❤❤❤❤❤❤❤
Safi sana mwanetu ngoma kali sana
We mushizo Utawaua like zote kwa mushizo
Kali
Hili goma nimelisubiri sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎶🎼🎼
Kk combati Kawa funika wote
Video kali sana hongera kwenu nyote naiona singeli mbali
Wapi makofi mengi kwa ibraah 👋👋👋👋👋👋👋👋👁️👃👁️
Ibraah inakitu sema bdo hatujamzingatia tu ila huyu broda ni fireeee wanangu wa gang gang
Wimbo mkali saanaa❤️❤️🔥
mushizo kweli atakuja kuwauaaa🔥🔥💪
Humu tu 🔥🔥💯❤️
Oyaaaaaaa weeeeee wivuuuuuuuuu❤️❤️❤️❤️❤️❤️
KONDE GANG mnatuwakilisha vizuri kUSINI
Oyah weeee baddest kaua 🔥 😊
Nyimbo nzima hakuna hata madem wanangu daa mmetisha man tupu kwanzia madensa Hadi waimbaji
Waliotoka TikTok kuja huku kuangalia song hi gonga like hapa
Kalii iyo
Chinga na kuona motoooooo na wakubali sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jay combati mwenye nyimbo mmebana video haonekan daa sema nin jay combati ni mmoja tu
Sema nini baddest 47 nimeelewa verse yako bro umeua sana 🎉👑👑🔥🔥🔥
Biti Kali sana
Hii ngoma kali sana Jay combat 💯💯🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
hiii ngoma kaliiii bhn wamefunikana Ila huyu rastaaa balaaaaa
🔥🇹🇿💯
Wivu ni Ngoma Kali sana na ad Leo sijaona kolabo mbovu
Ibra amepita vzur sana
From tiktok to youtube❤😂
Chinga umeuwaaaa babaaaaa
3:11 ❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Ngoja niidownload sasa hivi maana nimeitafuta sana sijaipata sasa ndo nimeipata
Napenda hiz video sio kila video watikise matako hii kikauzu zaid