Yesu ndiye njia ya kweli safi sana
Yesu ni njia kweli na Uzima mtu haji kwa Mungu pasipo kumkubali yeye.Asante Yesu kwa kuniokoa nakupenda sana mwokozi wangu.
Yesu anaweza,damu ya yesu iliyomwagika msalabani ikufunike.
I real appreciate your presentation
BWANA YESU ana watu wengi sana. ukimkataa wewe haimaanishi kuwa atashindwa kupata watu. kila siku watu wanaokoka. kweli YESU NI MUNGU. jina lake ni kuu sana. nakupenda sana YESU. nisaidie kuwa mtakatifu Bwana Yesu.
Rebecca Nghwasa hata hao wanaomsikiliza wanajua wanadanganywa ....maana wakiristo wanasoma Quran lkn hawajawahi kuona aya hizo wala hawajawahi kusikia ...aibu ya wazi Kwa wakiristo
ipo siku utajua haya kwa dhahili na naomba kuwa usiwe umechelewa na kuingia motoni. BWANA YESU akuhurumie na wewe.
+Ismail Ngolloh,ebu angalia hiyo comment ya uyo ulie mjibu nae pia ni miongoni mwa wale walio potea,anakwambia,yesu ni Mungu,nakwambia huu msiba kweli
MUNGU ANASIFA NYINGI HATA BIBLIA IMEZITAJA MOJA WAPO MUNGU HALALI ILA YESU ALILALA,MUNGU HALI YESU ALIKULA,MUNGU HAFI KWA MUJIBU WAIMANI YAO MUNGU YESU KAFA, NA YOTE HAYA NINA VIFUNGU ANAETAKA KUJIFUNZA ATUMIE MUDA HUU KUULIZA NIMFUNZE NA AFATILIE,,,NARUDIA TENA IMANI YENU IMEMSURUBU YESU AKAPIGA KELELE MUNGU WANGU MUNGU WANGU SASA KAMA MUNGU NAE ANAMUNGU WEWE UNABUDU MUNGU A AU MUNGU B? BORA ANGESEMA MUNGU MWENZANGU MUNGU MWENZANGU Mat 27:46 kuendelea soma huko.PIA SOMA YOH 19:14 NA MARKO 15:25 KISHA TUJUZE YESU KASULUBIWA MUDA GANI NA AKAFA MUDA GANI NA ILIKUWA SIKU GANI ILI TUZITAFUTE SIKU 3 ZA YEYE KUFUFUKA ALFAJIR YA JUMA PILINA UKUMBUKE SIKU INA MCHANA 1 NA USIKU 1
MUNGU HAKUZAA WALA HAKUZALIWA YESU KAZALIWA NA MARYAM MAMAKE ALIINGIA HEDHI KAMA WEWE REBECCA NA ALIPOZAA ALIPATA UCHUNGU KAMA MAMAKO ALIVYOKUZAA PIA HOJA YAKUWA MWANA WAMUNGU HAJAITWA YEYE TU WENGI WAMEITWA HIVYO HATA WEWE PIA 2:10 MALAKI SOTE NI WANA WA MUNGU
WAKRISTO MSIPIGIE KELELE UKE WENZA ALIEWAAMBIA MUOE MKE 1 NI NANI IKIWA IBRAHIM HAKUWA NA 1,YAKOBO HAKUWA NA TENA NDIO BABA WA MATAIFA 12 YA IZRAEL 1,MUSA HAKUWA NA 1UNAPOTAKA KULETA CHANGAMOTO NA DINI HAI UWE NA HOJA ZA MSINGI.
JAMANI UJINGA MALI WEWE UKAFANYE UZINZI WAKO HUKO ZAMBI ABEBE YESU? ALAFU MUNGU KATANGULIA KUFA NA KUMWACHA BINAADAM HAI ANADUNDA TU?MUNGU GANI HUYU ANASHINDWA UJANJA NA WANAADAM WANAPANGA KUMUUA NA WANAFANIKIWA NAE ANALALAMIKA MUNGU AJE AMSAIDIE YAANI MUNGU NAE ANAMUNGU MUKUBWA DUH?
Jina la yesu ni dawa siku zote kwenye maisha yetu ss wakristu.
Yesu ndiye njia ya uzima
Bwana Yesu ndiye Mungu na jemedali wa ulimwengu.ampingaye daima atapotea.
Mathayo 4
10 Ndipo Yesu alipomwambia
Nenda zako, Shetani; kwa maana
imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu
wako, umwabudu yeye peke yake.
Kama yesu mungu kwa nini asiseme tumuabudu yeye peke yake aseme tumsujudie mungu na yeye ni mungu
Jesus is a name above all names
Yesu ndiye njia ya kwenda kwa Mungu ❤
Kwa waislamu wote... hata mpinge namna gani, ndani ya mioyo yenu mnajua uwazi kuwa hamna Jina lingine lililopewa nguvu ila jina takatifu la Yesu. Just surrender your lives to Jesus... lilieni nafsi zenu mpate uzima wa milele. Nyinyi ndio mliofungwa macho na masheikh wenu, Yesu anawapenda jinsi mlivyo tu
Tumechoka kutafuta pesa Kwa jasho Sasa tumeona tukatapeli wanao tapelika kanisaniiiiii
Uislamu unashika ulaya kwa watu wasimi wanaojua qur'an makristo wa Africa ni kuimbishwa tu siwachukue Quran wasome wenyewe jamaa anadai kakutana na jini live hongera yake
Sasa jina yesu litapewa nguvu kwa mfumo gani? Ni Jesus, ni jevoo, ni jesu? Hau ni jina gani maana kila kabila inamtaja yesu kwa jina lake na hata kwenye bibilia ya lugha ya yesu hakuna jina yesu?
Glory to God, kumbe ata waislam, wamechoka na utumwa wa muhammed ,oh my God my Lord,you are wonderful glorious GOd. Waislam Wote karibuni kwa Jesus Christ son of God. The way the truth and life.
Atukuzwe Mungu mkuu atendaye mambo makuu kupitia Kwa mwanae Yesu k
Ainuliwe juu bwana wamabwana Yesu chrito❤❤
Qur'an hii ndio naisikia leo namshukuru Allah kwa kuzaliwa muislam
huna elimu ya ujasoma kijana hata mim nilijua kabla yako hili swala
whallahi naapa kwa yule alie tutanguliza hapa duniani hauta ondoka hapa duniani kabla hauja zalilika kwa uongo mkubwa ulio uzua zidi ya muumba wetu allah.
🤣🤣🤣🤣🤣Dua la kuku halimpati mwewe 🤣🤣kapita huyo atakuwa na Yesu mpaka mwisho wa Dunia
Kila goti lita pigwa na kila ulimi uta kiri kwamba yesu ni bwana
Hakika mchungaji umenibariki sana be blessed 🙏🙏
Njooni kwa Yesu waislam shtukeni hukumu ya Mungu inakujaa
Muislam mwenye kujitambua ya kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu awezi kufanya vitu vya ajabu kama uyo anaetoa ushuuda wa uongo
Huyu ni baba 6years ago😂🇰🇪 Leo ni mbunge kesho kwa nehema yA mwenyezi mungu atakuwa Raisi wa kwanza mchungaji. Ambapo atakuwa a Natoka ikulu na kuenda kuhubiri injili yA yesu kwa wananchi💪💯
njoon kwa yesu kristo maana hakuna jambo gumu lolote asiloliweza
Ameeeeeeennnn
Yesu ni njia ya kweli na uzima.
Huwezi mwona Baba ila kwa yeye.
Amwaminie yeye hahukumiwi asiemwamini amekwisha hukumiwa... Haina mjadala hiyo
Mwamini uupate uzima kama unautaka.
Mkatae upotee milele mbali na uzima.
Nnnamjua nilie mwamini ni kweli na niuzima
Kweli akili ni mali ikiwa huendi kwa baba ila kwanjia yake yy yesu kisha wasema yy yesu ndie baba niujinga uliokithiri
Mzee ukasome acha uwongo mungu iyogope sku ambayo utarejea kwa mungu utakwenda kujibu
Mtumishi ubarikiwe nawashindwe kwa jina la yesu
Yesu ni njia kweli na uzima. Pinga ila ipo siku utamiumbuka Bwana Yesu
Hakika ukristo niukafiri wawazi naona mnatumia nguvu kubwa at mtafankikiwa kuwavuta wa2 waache uislam half waingie katka ukafiri
Mungu gan hajui hata siku ya hukmu mnakhasara kubwa ninyi angalieni acheni ushabiki na mazoea 24:36
Msumari umepenya wenye masiko na wasikie
Mungu akubariki Apostle Paul Hussein Mubarak kwa Injili ya WOKOVU!
Hakika BWANA YESU anatenda mambo makuu. Aliokoa, anaokoa, na atazidi kuokoa vizazi hata vizazi mpaka utimilifu wa mambo yote. Mungu alikumbuke kanisa hili kwa kuwa madhabahu ya ushuhuda lakini pia kwa kumkaribisha mtumishi huyu ili kutoa ushuhuda utakaowaokoa wengi katika Jina la Yesu Kristo....
Yesu ni Kamanda hata wakipinga bado ni Bwana
hta mm na mkubali n nabii wa mungu vle na wale wanamuita mtoto wa zinaa(Israel ) uko na ujumbe wa kuwaambi
Gideoni Mathew poleni sana Kwa kudanganywa...ametaja aya ya 44 al imrani haisemi hayo anayosema...
@@ismailngolloh4517 naomba tufundishane Mimi na wewe je unaamini kuwa Yesu alikufa na akafufuka na akapaa kwenda mbinguni?
Mwisho wa hayo yote ni hesabu.uzushi mtupu. Urongo mtupu
Wajanja wanakimbilia kwa yesu. . . pole sana Kama uamini
Wapende, wasipende,wakubali na wasikubali,Yesu ni Mungu,Mukombozi na ni Njiya,Uzima na Ukweli.
Yesu ni Mungu?
Jiulize kabla hajazalia muungu alikuwa nani? Tafakar ndugu yangu
Sisi tunamhubili yesu aliyesulubiwa msalaban, na mpaka Leo yuko mbinguni, mhamedi amekufa na uogo wake
Pastor Paul all things work for those who believe yote ni mipango y’a Mungu Ona sasa leo unayo yaongea yanatuhimiza moyo hata sisi waaminidu. Usingesoma hayo hungetufafanuluya habari za koran na Habari Njema
Yesu Yuko mbinguni Ofisi take iko Duniani
JESUS IS THE ONILY WAY TO THE FATHER. AMEN
Ushuhuda wa nguvu na kukuza kweli...
Great is the name of Jesus Christ
Ushuhuda huu umenifunguwa macho na masikio na akili nimemkubli Yesu. Nimejuwa kuwa kuwa Sawa katika Yesu ni kujuwa maandiko na kufuata maandiko Damu ya Yesu itulinde siku zote za maisha yetu🙏🙏🙏
@@Awateewewe ni kipofu ingawa una macho hujui mambo ya rohoni unajua mambo ya mwilini tu.
Nabado watakuja Mashehe wote kuhubili injili nyie wanafunzi wa mashekhe masublinn njooeni kwa yesu kuna njia ya uzima asante shekhe
We nayeye pia hakiri zenu ziko sawa hamjielewi
Hebu mwangalie vizuri huyo nguruwe pori ana fanana na shekhe gani licha ya kufanana na shekhe hawezi kufanana hata na mwislamu wa kawaida.
We vp?hivi hawa ma pastar ster wenu mbona asihubirie wafuasi wake wanaozini na ma pastar tena ndani ya kanisa?watubie
Tuonyeshe katika bible kua ukristo dini na vitaje vitabu vya Mungu tuone kama bilia imo Vitabu ni Zaburi Taurat innjil na Qur-an
Shetan hapat tabu na nyinyi kwa sababu anajua kashawapoteza tayar hakun mungu anayeitwa yesu abadan
Jamani Yesu ni mkuu sana pia namshukuru kwa kumokoa Paul
Thank you Jesus Christ, the way , truth , and life
Mnafiki hujawatafsiria vzr laana tuullah
ww umepewa pesa kutukanana uislam.n inshaall Allha Akulaaan kwakukikashifu. kitabu chake.
Njooni kwa Yesu tuokolewe ili tukauridhi ufalme wa Mungu mbinguni
We love you so much thunder of God
Yesu anawapenda sana waislamu
Beni, nikweli Yesu anatupenda c waislam kwakua ht ye ni muislam
Anawapenda kwa sababy yy issa au yesu ni Muslim c kafiri kama nyie mnaoabudu sanam la bikira maria from dubai Abu Dhabi
Nampenda yesu ❤❤❤waislam njoeni uku uko mnapotea Mohammad ni shetani ndo mana anawatia chumvi muchukie kitu cha kweli jamani jamani nawaonea huruma sana 😥😥😥
Bwana Yesu asifiwe... Hakika Mungu ni mwaminifu ,nafanya kazi kwa familia ya waislamu ...wamekuwa wakinisihi sana ni slimu nikawaambia mpaka nisome Quran na hadiths za mtume Muhammadi ....Sasa nikagundua ndani ya Quran Yesu ni Mungu,(Sura 4:171) pia Yesu alisulubiwa msalabani......(3:50-55)
Sasa nikawaambia ziezi slim hata wanipatie utajiri wao wote...wakashangaa sana na Sasa hawawezi niambia lolote...
Mimi naomba kupata hicho kitabu...Cha Muhammadi Cha majini....( SURA TU AJINI)
Yesu anaupendo sana amempenda paster husen anakupenda nawewe uliyeko kwenye Giza totoro kama arivyo kua paster husen njoo acha kusita ubadilishwe uokoke
Asante sana baba kwa neno la maisha 🙏 🙏 🙏.
inajulikana na iko wazi kua Yesu ndio njia kweli
Gideoni Mathew pumbavu wewe utajua haujui wapagani ndio walikuita wewe mkiristo maana wewe pumbavu
haaaaa naisi raha sana ndani ya roho ,waislam mtapondo ukristo mpaka lini,msimfananishe muhamad na yesu wetu,
bila nyinyi ukristo utaendelea nashkuru mungu kujipata mkirsto manake sijui ningelikua wpi bila yesu
malaika wanaimba uko binguni YESU ni bwana ukubali ukatae shauri yako YESU ni bwana
hakuna siku uwongo utabadilika ukweli, ati dini yakweli kwani watu wanaabudu dini ama mungu ndo manake mnaishi na majini kwa nyumba zenu mshindwa kwa jina LA YESU kristo mwana wa mungu alie hai
May the load be blessed
Mtu anijibu tuu hi swali....Muislam anaomba Mungu mmoja na wakristo ama wao ni tofauti na sisi
Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua na kukutumia kila mahali mtumishi wa Mungu.
Glory be to GOD. Thank you brother for receiving Christ
Nampokea Yesu amen
Nilikuwa nakaribia kua muislam lakini miaka 14 iliyopita alishuhudia kanisan moja njombe nikaokoka na nilipotoka chuoni Niko ufufuo na uzima mpaka Leo nasonga mbele Mungu amuinue sana
Amen bwana yesu asifiwe
Kwer kabisa uisilamu ni majini na waganga wakienyeji
Wew haujui uislamu ndoman ila nakwambia uyo hakuna msomi wala hajasoma kabisa
yesu anaokowa watu,,,watu husema umuona yesu,,,,kwa hakika mimi yesu alinitokeya kwa ndoto baada ya kuona wafu wakinifata majini nikanza kukemeya katika jina la yesu mmoja akaniuliza yesu ni nani nikajibu ni baba yangu sekunde aikupita yesu akatokeya nikamkimbilia akanikumbatiya bada ya hapo wale wafu wakapoteya kwa hakika ukimwita yesu atakuja bora uwe na imani uwe muslim uwe cristian ukimuomba atakuitikiya,,,sidanganyi na hapa mbele ya mungu nimemuona
hakika ukomuita yeye kwaimani lazima aonekane watu watasema niuongo lakini namwamini hakika yupo
hakuna Jina jingine tulilopewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo ila ni jina la YESU tuu!!
MUNGU ni ALLAH subuhana-hu-watahalah,na kama yesu ni Mungu basi mjue mshapotea
+Ann Safari,nyinyi mnajua hamjitambui,mara yesu Mungu,mara yesu mwana wa Mungu,sasa kwa taarifa yenu MUNGU hana mtoto,yaani hakuzaa wala hakuzaliwa
Jooni kwa kristo waislaam
Nakupata sana Mwalimu wangu upo vizur
ya rabbi nakuomba usimuache mpka afe huyu mtu ndo umuadhibu nakuomba umdhalilishe hapa hapa duniani ameen
Masheteni majini wanatoka kwa jina la yesu Ameee!!!!!¡
New subscriber Greetings from Santa Monica California American I subbed because of your beautiful testimony about Jesus Christ
Amina mtumishi wa Mungu umeniokoa
Waislamu njooni kwa Yesu Kristo muokoke
waislamu wote njooo kwa jina LA Yesu Christo
Ben Take Daah!! Amakweli wakrito nikondoo mliopotea kabisa. Yaan Jamaa Jamaa anawaongopea na nyie masikin ya mungu hamjui mnashangilia. Katoa aya Surat jini kiarabu anachongea hakitafsiriki, walahakielewek sisi tunaojua kiarabu tunacheka tena sana polen ndugu zangu
Haleluhya jesus is lord
Matusi mnayotukana humu ninyi waislamu yanatoa majibu kabisa ninyi no wanani.
Asate sana dungu Paul Hussein. Ushuuda wa nguvu. Lazima video hii ienehe. Mungu akubariki sana sana sana.
Jina la Yesu ni la kuheshimwa sana,mana lina nguvu kabisa. Jina lake linuliwee. Amen
Be blessed servernts of God
Jesus is the way and truth
Uisilamu hata ukihubiriiwa na mtu anayeuchukia sana bado ukweli wake utaonekana tu.Hiyo hadhira iko ktk mashaka sana.
Amen baba Mungu kakuchagua
Nilitaka kuwa mwislamu lakini siwezi tena. Asanti sana kwa maubiri haya.
Jesus Christ king
Sema: Nimepewa wahyi ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur’an ya ajabu!Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yoyote na Mola Wetu.
Sasa majin wliolaaniwa wanawezaje kuwa wachamungu, kama sio wamezuga hapo ni kitabu chao quran, ili wapate wafuasi wa kwenda nao jehanam
@@lamerckmsuya5513 Rudi darasani ndugu, acha kusikiliza maneno ya uzushi tu, nani alokwambia majini wote wamelaaniwa?
Hatuwezi kuja Kwa Yesu Kwa kushawishiwa na wafanyabiashara,endeleeni kutafuta wateja
Aty yesu ni mungu na alitahiriwa na viumbe vyake....inalilallah
Ati Allah mungu Na Alitukanwa Na Kiumbe Dhaifu Aitwaye Afande Sele💉💉💉 Inalil-Yesu
KUMBE MUHAMAD RAFIKI ZAKE MAJINI MHUUUUUUU
Asante Yesu Ameen
Kila mtu ataamshwa nashidazake Kwa wakati wake...wenye roho ngumu kaeni Ivo Ivo kuumia na kuteseka kulia katika ufalme washetani ambayo moja yake ni dini ya ki islamu..Mimi nimtafuta ukweli sio kuzaliwa tu na kufata dunia...nilitafuta ukweli nikampata yesu..sababu yesu ni ukweli..Asante Yesu❤️
Wew ukiwa mkristo motoni
L
@@i.dclassic116 pole ndugu mpokee Yesu kristo upone na jehanum
Ok
Yesu ndiye kiama na ndiye atakayeihukumu dunia na hii koran inathibitisha.