ความคิดเห็น •

  • @hassankombo3238
    @hassankombo3238 3 ปีที่แล้ว +59

    Kila mtu ataamshwa nashidazake Kwa wakati wake...wenye roho ngumu kaeni Ivo Ivo kuumia na kuteseka kulia katika ufalme washetani ambayo moja yake ni dini ya ki islamu..Mimi nimtafuta ukweli sio kuzaliwa tu na kufata dunia...nilitafuta ukweli nikampata yesu..sababu yesu ni ukweli..Asante Yesu❤️

    • @i.dclassic116
      @i.dclassic116 3 ปีที่แล้ว +2

      Wew ukiwa mkristo motoni

    • @bahelanyakilozo7507
      @bahelanyakilozo7507 3 ปีที่แล้ว

      L

    • @neemanyove9130
      @neemanyove9130 2 ปีที่แล้ว +3

      @@i.dclassic116 pole ndugu mpokee Yesu kristo upone na jehanum

    • @madopriyan6576
      @madopriyan6576 2 ปีที่แล้ว +1

      Ok

    • @ngwanafabian4612
      @ngwanafabian4612 2 ปีที่แล้ว +2

      Yesu ndiye kiama na ndiye atakayeihukumu dunia na hii koran inathibitisha.

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 4 ปีที่แล้ว +15

    Yesu ndiye njia ya kweli safi sana

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 4 ปีที่แล้ว +17

    Yesu ni njia kweli na Uzima mtu haji kwa Mungu pasipo kumkubali yeye.Asante Yesu kwa kuniokoa nakupenda sana mwokozi wangu.

  • @janeobure3006
    @janeobure3006 7 ปีที่แล้ว +20

    Yesu anaweza,damu ya yesu iliyomwagika msalabani ikufunike.

  • @ibrahimmgimba6186
    @ibrahimmgimba6186 ปีที่แล้ว +5

    I real appreciate your presentation

  • @rebeccanghwasa7387
    @rebeccanghwasa7387 7 ปีที่แล้ว +50

    BWANA YESU ana watu wengi sana. ukimkataa wewe haimaanishi kuwa atashindwa kupata watu. kila siku watu wanaokoka. kweli YESU NI MUNGU. jina lake ni kuu sana. nakupenda sana YESU. nisaidie kuwa mtakatifu Bwana Yesu.

    • @ismailngolloh4517
      @ismailngolloh4517 7 ปีที่แล้ว +2

      Rebecca Nghwasa hata hao wanaomsikiliza wanajua wanadanganywa ....maana wakiristo wanasoma Quran lkn hawajawahi kuona aya hizo wala hawajawahi kusikia ...aibu ya wazi Kwa wakiristo

    • @rebeccanghwasa7387
      @rebeccanghwasa7387 7 ปีที่แล้ว +6

      ipo siku utajua haya kwa dhahili na naomba kuwa usiwe umechelewa na kuingia motoni. BWANA YESU akuhurumie na wewe.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 ปีที่แล้ว +2

      +Ismail Ngolloh,ebu angalia hiyo comment ya uyo ulie mjibu nae pia ni miongoni mwa wale walio potea,anakwambia,yesu ni Mungu,nakwambia huu msiba kweli

    • @answarkera1719
      @answarkera1719 7 ปีที่แล้ว +2

      MUNGU ANASIFA NYINGI HATA BIBLIA IMEZITAJA MOJA WAPO MUNGU HALALI ILA YESU ALILALA,MUNGU HALI YESU ALIKULA,MUNGU HAFI KWA MUJIBU WAIMANI YAO MUNGU YESU KAFA, NA YOTE HAYA NINA VIFUNGU ANAETAKA KUJIFUNZA ATUMIE MUDA HUU KUULIZA NIMFUNZE NA AFATILIE,,,NARUDIA TENA IMANI YENU IMEMSURUBU YESU AKAPIGA KELELE MUNGU WANGU MUNGU WANGU SASA KAMA MUNGU NAE ANAMUNGU WEWE UNABUDU MUNGU A AU MUNGU B? BORA ANGESEMA MUNGU MWENZANGU MUNGU MWENZANGU Mat 27:46 kuendelea soma huko.PIA SOMA YOH 19:14 NA MARKO 15:25 KISHA TUJUZE YESU KASULUBIWA MUDA GANI NA AKAFA MUDA GANI NA ILIKUWA SIKU GANI ILI TUZITAFUTE SIKU 3 ZA YEYE KUFUFUKA ALFAJIR YA JUMA PILINA UKUMBUKE SIKU INA MCHANA 1 NA USIKU 1
      MUNGU HAKUZAA WALA HAKUZALIWA YESU KAZALIWA NA MARYAM MAMAKE ALIINGIA HEDHI KAMA WEWE REBECCA NA ALIPOZAA ALIPATA UCHUNGU KAMA MAMAKO ALIVYOKUZAA PIA HOJA YAKUWA MWANA WAMUNGU HAJAITWA YEYE TU WENGI WAMEITWA HIVYO HATA WEWE PIA 2:10 MALAKI SOTE NI WANA WA MUNGU
      WAKRISTO MSIPIGIE KELELE UKE WENZA ALIEWAAMBIA MUOE MKE 1 NI NANI IKIWA IBRAHIM HAKUWA NA 1,YAKOBO HAKUWA NA TENA NDIO BABA WA MATAIFA 12 YA IZRAEL 1,MUSA HAKUWA NA 1UNAPOTAKA KULETA CHANGAMOTO NA DINI HAI UWE NA HOJA ZA MSINGI.

    • @answarkera1719
      @answarkera1719 7 ปีที่แล้ว +2

      JAMANI UJINGA MALI WEWE UKAFANYE UZINZI WAKO HUKO ZAMBI ABEBE YESU? ALAFU MUNGU KATANGULIA KUFA NA KUMWACHA BINAADAM HAI ANADUNDA TU?MUNGU GANI HUYU ANASHINDWA UJANJA NA WANAADAM WANAPANGA KUMUUA NA WANAFANIKIWA NAE ANALALAMIKA MUNGU AJE AMSAIDIE YAANI MUNGU NAE ANAMUNGU MUKUBWA DUH?

  • @ajilimaria9290
    @ajilimaria9290 5 ปีที่แล้ว +6

    Jina la yesu ni dawa siku zote kwenye maisha yetu ss wakristu.

  • @emmakaneko2386
    @emmakaneko2386 7 ปีที่แล้ว +17

    Yesu ndiye njia ya uzima

  • @barnabasanga7552
    @barnabasanga7552 3 ปีที่แล้ว +6

    Bwana Yesu ndiye Mungu na jemedali wa ulimwengu.ampingaye daima atapotea.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      Mathayo 4
      10 Ndipo Yesu alipomwambia
      Nenda zako, Shetani; kwa maana
      imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu
      wako, umwabudu yeye peke yake.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      Kama yesu mungu kwa nini asiseme tumuabudu yeye peke yake aseme tumsujudie mungu na yeye ni mungu

  • @AbisaiMwambene-fo9pt
    @AbisaiMwambene-fo9pt ปีที่แล้ว +4

    Jesus is a name above all names

  • @brilliantt.ikenya7509
    @brilliantt.ikenya7509 ปีที่แล้ว +2

    Yesu ndiye njia ya kwenda kwa Mungu ❤

  • @faithgitonga8314
    @faithgitonga8314 7 ปีที่แล้ว +16

    Kwa waislamu wote... hata mpinge namna gani, ndani ya mioyo yenu mnajua uwazi kuwa hamna Jina lingine lililopewa nguvu ila jina takatifu la Yesu. Just surrender your lives to Jesus... lilieni nafsi zenu mpate uzima wa milele. Nyinyi ndio mliofungwa macho na masheikh wenu, Yesu anawapenda jinsi mlivyo tu

    • @crescentvscross1132
      @crescentvscross1132 4 ปีที่แล้ว

      Tumechoka kutafuta pesa Kwa jasho Sasa tumeona tukatapeli wanao tapelika kanisaniiiiii

    • @crescentvscross1132
      @crescentvscross1132 3 ปีที่แล้ว

      Uislamu unashika ulaya kwa watu wasimi wanaojua qur'an makristo wa Africa ni kuimbishwa tu siwachukue Quran wasome wenyewe jamaa anadai kakutana na jini live hongera yake

    • @aboulhaarith1481
      @aboulhaarith1481 2 ปีที่แล้ว

      Nyinyi wakristo ni wapumbavu,,chukueni quran msome

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 ปีที่แล้ว

      Sasa jina yesu litapewa nguvu kwa mfumo gani? Ni Jesus, ni jevoo, ni jesu? Hau ni jina gani maana kila kabila inamtaja yesu kwa jina lake na hata kwenye bibilia ya lugha ya yesu hakuna jina yesu?

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว

      @@crescentvscross1132 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jeffyweffy6398
    @jeffyweffy6398 3 ปีที่แล้ว +4

    Yesu ni Mungu...Ngumu kuamini kwa watu fulani lakini kweli

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว

      Mungu anatahiriwa na kwenda msalani Mungu ana njaa zinduka ndugu

  • @jacklinewahome2416
    @jacklinewahome2416 3 ปีที่แล้ว +8

    Glory to God, kumbe ata waislam, wamechoka na utumwa wa muhammed ,oh my God my Lord,you are wonderful glorious GOd. Waislam Wote karibuni kwa Jesus Christ son of God. The way the truth and life.

    • @bujaramaryo3521
      @bujaramaryo3521 3 ปีที่แล้ว

      Bi dada soma
      Ukifatisha watu utakuja kujuta mwishoni

    • @janenjenga5639
      @janenjenga5639 2 ปีที่แล้ว

      Non like Yeshua Messiah

  • @petershikuku2748
    @petershikuku2748 ปีที่แล้ว +1

    Atukuzwe Mungu mkuu atendaye mambo makuu kupitia Kwa mwanae Yesu k

  • @ChristineMunezero-wv2yb
    @ChristineMunezero-wv2yb 7 หลายเดือนก่อน

    Ainuliwe juu bwana wamabwana Yesu chrito❤❤

  • @babaanisha2104
    @babaanisha2104 5 ปีที่แล้ว +7

    Qur'an hii ndio naisikia leo namshukuru Allah kwa kuzaliwa muislam

  • @allymadjaliwa1374
    @allymadjaliwa1374 7 ปีที่แล้ว +5

    whallahi naapa kwa yule alie tutanguliza hapa duniani hauta ondoka hapa duniani kabla hauja zalilika kwa uongo mkubwa ulio uzua zidi ya muumba wetu allah.

    • @sulemansadiki6707
      @sulemansadiki6707 4 ปีที่แล้ว

      Kwel

    • @barnabasanga7552
      @barnabasanga7552 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyo Allah si Mungu ni majin

    • @user-gi4ls3bh3l
      @user-gi4ls3bh3l 2 ปีที่แล้ว

      Amiina

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 ปีที่แล้ว

      Huo Utumbo Wako Ukikurudia Tunakutaka Utujulishe Ili Tukuombee Upone

    • @leticiajames2177
      @leticiajames2177 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣Dua la kuku halimpati mwewe 🤣🤣kapita huyo atakuwa na Yesu mpaka mwisho wa Dunia

  • @hagererakoroso3257
    @hagererakoroso3257 5 ปีที่แล้ว +7

    Kila goti lita pigwa na kila ulimi uta kiri kwamba yesu ni bwana

  • @nelsonechesa2200
    @nelsonechesa2200 ปีที่แล้ว +4

    Hakika mchungaji umenibariki sana be blessed 🙏🙏

  • @rachaelmwinyi8416
    @rachaelmwinyi8416 5 ปีที่แล้ว +7

    Njooni kwa Yesu waislam shtukeni hukumu ya Mungu inakujaa

  • @heavenlightswai5294
    @heavenlightswai5294 7 ปีที่แล้ว +13

    Mungu wa eliya atajulikana tu

    • @dodoted5033
      @dodoted5033 4 ปีที่แล้ว +1

      Ashajulikana,ni Yesu njia ya uzima.

  • @IkramuKapemba-yr5pd
    @IkramuKapemba-yr5pd ปีที่แล้ว +1

    Muislam mwenye kujitambua ya kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu awezi kufanya vitu vya ajabu kama uyo anaetoa ushuuda wa uongo

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ni baba 6years ago😂🇰🇪 Leo ni mbunge kesho kwa nehema yA mwenyezi mungu atakuwa Raisi wa kwanza mchungaji. Ambapo atakuwa a Natoka ikulu na kuenda kuhubiri injili yA yesu kwa wananchi💪💯

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya5894 5 ปีที่แล้ว +8

    njoon kwa yesu kristo maana hakuna jambo gumu lolote asiloliweza
    Ameeeeeeennnn

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 ปีที่แล้ว +14

    Yesu ni njia ya kweli na uzima.
    Huwezi mwona Baba ila kwa yeye.
    Amwaminie yeye hahukumiwi asiemwamini amekwisha hukumiwa... Haina mjadala hiyo
    Mwamini uupate uzima kama unautaka.
    Mkatae upotee milele mbali na uzima.
    Nnnamjua nilie mwamini ni kweli na niuzima

    • @bashiryusuf9670
      @bashiryusuf9670 5 ปีที่แล้ว

      Kweli akili ni mali ikiwa huendi kwa baba ila kwanjia yake yy yesu kisha wasema yy yesu ndie baba niujinga uliokithiri

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 ปีที่แล้ว

    Mzee ukasome acha uwongo mungu iyogope sku ambayo utarejea kwa mungu utakwenda kujibu

  • @abelmabula7094
    @abelmabula7094 7 ปีที่แล้ว +7

    Mtumishi ubarikiwe nawashindwe kwa jina la yesu

  • @calvinmchopa2222
    @calvinmchopa2222 3 ปีที่แล้ว +5

    Yesu ni njia kweli na uzima. Pinga ila ipo siku utamiumbuka Bwana Yesu

    • @Silay1034
      @Silay1034 3 ปีที่แล้ว

      Yaan we kafiri wafaa ukatwe miguu na kichwa kwa uongo nanjaa

    • @Silay1034
      @Silay1034 3 ปีที่แล้ว

      Hakika ukristo niukafiri wawazi naona mnatumia nguvu kubwa at mtafankikiwa kuwavuta wa2 waache uislam half waingie katka ukafiri

    • @Silay1034
      @Silay1034 3 ปีที่แล้ว

      Mungu gan hajui hata siku ya hukmu mnakhasara kubwa ninyi angalieni acheni ushabiki na mazoea 24:36

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 3 ปีที่แล้ว +4

    Msumari umepenya wenye masiko na wasikie

  • @aaronswai6935
    @aaronswai6935 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki Apostle Paul Hussein Mubarak kwa Injili ya WOKOVU!

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga ปีที่แล้ว +1

    Hakika BWANA YESU anatenda mambo makuu. Aliokoa, anaokoa, na atazidi kuokoa vizazi hata vizazi mpaka utimilifu wa mambo yote. Mungu alikumbuke kanisa hili kwa kuwa madhabahu ya ushuhuda lakini pia kwa kumkaribisha mtumishi huyu ili kutoa ushuhuda utakaowaokoa wengi katika Jina la Yesu Kristo....

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 ปีที่แล้ว +27

    Yesu ni Kamanda hata wakipinga bado ni Bwana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 ปีที่แล้ว

      hta mm na mkubali n nabii wa mungu vle na wale wanamuita mtoto wa zinaa(Israel ) uko na ujumbe wa kuwaambi

    • @ismailngolloh4517
      @ismailngolloh4517 7 ปีที่แล้ว

      Gideoni Mathew poleni sana Kwa kudanganywa...ametaja aya ya 44 al imrani haisemi hayo anayosema...

    • @janek9103
      @janek9103 7 ปีที่แล้ว

      Gideoni Mathew very true brother

    • @user-il1bv6vs9q
      @user-il1bv6vs9q 6 ปีที่แล้ว

      Gideoni Mathew Amen

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 ปีที่แล้ว

      @@ismailngolloh4517 naomba tufundishane Mimi na wewe je unaamini kuwa Yesu alikufa na akafufuka na akapaa kwenda mbinguni?

  • @emmakaneko2386
    @emmakaneko2386 7 ปีที่แล้ว +12

    Bwana yesu asifiwe

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwisho wa hayo yote ni hesabu.uzushi mtupu. Urongo mtupu

  • @isaacklaurian769
    @isaacklaurian769 7 ปีที่แล้ว +20

    Wajanja wanakimbilia kwa yesu. . . pole sana Kama uamini

  • @gilntihe462
    @gilntihe462 3 ปีที่แล้ว +4

    Wapende, wasipende,wakubali na wasikubali,Yesu ni Mungu,Mukombozi na ni Njiya,Uzima na Ukweli.

    • @abdiwelibishar4289
      @abdiwelibishar4289 3 ปีที่แล้ว

      Uko naye andiko yesu anasema mimo ni mungu. toa

    • @abdillahsleyyum2768
      @abdillahsleyyum2768 3 ปีที่แล้ว +1

      Yesu ni Mungu?
      Jiulize kabla hajazalia muungu alikuwa nani? Tafakar ndugu yangu

    • @janethbalili9264
      @janethbalili9264 ปีที่แล้ว

      imean yohana 3:16

  • @petromachanga29
    @petromachanga29 4 ปีที่แล้ว +10

    Sisi tunamhubili yesu aliyesulubiwa msalaban, na mpaka Leo yuko mbinguni, mhamedi amekufa na uogo wake

  • @bahatimutatwa8719
    @bahatimutatwa8719 5 ปีที่แล้ว +2

    Pastor Paul all things work for those who believe yote ni mipango y’a Mungu Ona sasa leo unayo yaongea yanatuhimiza moyo hata sisi waaminidu. Usingesoma hayo hungetufafanuluya habari za koran na Habari Njema

    • @bahatimutatwa8719
      @bahatimutatwa8719 5 ปีที่แล้ว +1

      Ubarikiwe sana Burundi 🇧🇮 karibu sana utufunze

  • @davidmchenye542
    @davidmchenye542 2 ปีที่แล้ว +2

    Yesu Yuko mbinguni Ofisi take iko Duniani

  • @agathavike7072
    @agathavike7072 2 ปีที่แล้ว +5

    JESUS IS THE ONILY WAY TO THE FATHER. AMEN

  • @jennywakirori9971
    @jennywakirori9971 7 ปีที่แล้ว +8

    Yesu tosha hakuna mwingine ila yeye tu

    • @111dudi
      @111dudi 3 ปีที่แล้ว

      Zaidi ya Yesu ni aliyemuumba yesu, nae ni Mungu

  • @NeussfetdXiu-bx9uq
    @NeussfetdXiu-bx9uq หลายเดือนก่อน

    Ushuhuda wa nguvu na kukuza kweli...

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 5 ปีที่แล้ว +8

    Great is the name of Jesus Christ

  • @elizabethimo412
    @elizabethimo412 4 ปีที่แล้ว +4

    Ushuhuda huu umenifunguwa macho na masikio na akili nimemkubli Yesu. Nimejuwa kuwa kuwa Sawa katika Yesu ni kujuwa maandiko na kufuata maandiko Damu ya Yesu itulinde siku zote za maisha yetu🙏🙏🙏

    • @crescentvscross1132
      @crescentvscross1132 3 ปีที่แล้ว

      Damu ya yesu?

    • @aboulhaarith1481
      @aboulhaarith1481 2 ปีที่แล้ว

      Ushahidi ni story ata me naweza tunga dogo

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว

      Sijui uyo yesu ana damu ya kilo ngap kila mtu amfunike 🤣🤣🤣

    • @mariambwilo6841
      @mariambwilo6841 ปีที่แล้ว

      Damu ya YESU Ina nguvu sana

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@Awateewewe ni kipofu ingawa una macho hujui mambo ya rohoni unajua mambo ya mwilini tu.

  • @Turyatunga53
    @Turyatunga53 6 ปีที่แล้ว +9

    YESU asifiwe sana.

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 6 ปีที่แล้ว +2

    Nabado watakuja Mashehe wote kuhubili injili nyie wanafunzi wa mashekhe masublinn njooeni kwa yesu kuna njia ya uzima asante shekhe

    • @princessh6073
      @princessh6073 5 ปีที่แล้ว

      We nayeye pia hakiri zenu ziko sawa hamjielewi
      Hebu mwangalie vizuri huyo nguruwe pori ana fanana na shekhe gani licha ya kufanana na shekhe hawezi kufanana hata na mwislamu wa kawaida.
      We vp?hivi hawa ma pastar ster wenu mbona asihubirie wafuasi wake wanaozini na ma pastar tena ndani ya kanisa?watubie

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 ปีที่แล้ว

      Tuonyeshe katika bible kua ukristo dini na vitaje vitabu vya Mungu tuone kama bilia imo Vitabu ni Zaburi Taurat innjil na Qur-an

  • @dallaxngaona1345
    @dallaxngaona1345 5 ปีที่แล้ว +1

    Shetan hapat tabu na nyinyi kwa sababu anajua kashawapoteza tayar hakun mungu anayeitwa yesu abadan

    • @mocranaburugi3486
      @mocranaburugi3486 4 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/LuWk7sxhXtU/w-d-xo.html

  • @janepaulo9619
    @janepaulo9619 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamani Yesu ni mkuu sana pia namshukuru kwa kumokoa Paul

  • @saintj1982
    @saintj1982 ปีที่แล้ว +3

    Thank you Jesus Christ, the way , truth , and life

  • @Awatee
    @Awatee 2 ปีที่แล้ว

    Mnafiki hujawatafsiria vzr laana tuullah

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah3319 7 ปีที่แล้ว +2

    ww umepewa pesa kutukanana uislam.n inshaall Allha Akulaaan kwakukikashifu. kitabu chake.

  • @janekchannel5074
    @janekchannel5074 4 ปีที่แล้ว +3

    Njooni kwa Yesu tuokolewe ili tukauridhi ufalme wa Mungu mbinguni

  • @DorcasMutanu-db2yo
    @DorcasMutanu-db2yo ปีที่แล้ว +3

    God help us to worship you in truth and spirit Amen

    • @DemetrioTabwa
      @DemetrioTabwa 11 หลายเดือนก่อน

      Wana mpinga

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu ปีที่แล้ว +2

    We love you so much thunder of God

  • @bentake7047
    @bentake7047 7 ปีที่แล้ว +13

    Yesu anawapenda sana waislamu

    • @abubakarimwasumilwe7293
      @abubakarimwasumilwe7293 7 ปีที่แล้ว

      Beni, nikweli Yesu anatupenda c waislam kwakua ht ye ni muislam

    • @ayunramadhan3104
      @ayunramadhan3104 5 ปีที่แล้ว +1

      Anawapenda kwa sababy yy issa au yesu ni Muslim c kafiri kama nyie mnaoabudu sanam la bikira maria from dubai Abu Dhabi

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 ปีที่แล้ว +2

      @@abubakarimwasumilwe7293 nipe aya wapi Yesu ni Muislamu

    • @rechomethod8288
      @rechomethod8288 ปีที่แล้ว

      Kabisa yesu ni mzuri jamani

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 6 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda yesu ❤❤❤waislam njoeni uku uko mnapotea Mohammad ni shetani ndo mana anawatia chumvi muchukie kitu cha kweli jamani jamani nawaonea huruma sana 😥😥😥

    • @janekamau6189
      @janekamau6189 3 ปีที่แล้ว

      🤔🤔🤔🤔🤔☹☹☹

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว

      Weye ndie shetan pamoja na kanisa lak kushawahi kuona msikiti kuingia shetan 😏😏

  • @kephermwangura2199
    @kephermwangura2199 ปีที่แล้ว

    Bwana Yesu asifiwe... Hakika Mungu ni mwaminifu ,nafanya kazi kwa familia ya waislamu ...wamekuwa wakinisihi sana ni slimu nikawaambia mpaka nisome Quran na hadiths za mtume Muhammadi ....Sasa nikagundua ndani ya Quran Yesu ni Mungu,(Sura 4:171) pia Yesu alisulubiwa msalabani......(3:50-55)
    Sasa nikawaambia ziezi slim hata wanipatie utajiri wao wote...wakashangaa sana na Sasa hawawezi niambia lolote...
    Mimi naomba kupata hicho kitabu...Cha Muhammadi Cha majini....( SURA TU AJINI)

  • @jd-lo4xx
    @jd-lo4xx 5 ปีที่แล้ว +9

    Yesu anaupendo sana amempenda paster husen anakupenda nawewe uliyeko kwenye Giza totoro kama arivyo kua paster husen njoo acha kusita ubadilishwe uokoke

  • @newlightmoviesproduction3598
    @newlightmoviesproduction3598 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana baba kwa neno la maisha 🙏 🙏 🙏.

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 ปีที่แล้ว +19

    inajulikana na iko wazi kua Yesu ndio njia kweli

    • @Kalaharidesertstorm
      @Kalaharidesertstorm 6 ปีที่แล้ว

      Gideoni Mathew pumbavu wewe utajua haujui wapagani ndio walikuita wewe mkiristo maana wewe pumbavu

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 5 ปีที่แล้ว

      haaaaa naisi raha sana ndani ya roho ,waislam mtapondo ukristo mpaka lini,msimfananishe muhamad na yesu wetu,

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 5 ปีที่แล้ว

      bila nyinyi ukristo utaendelea nashkuru mungu kujipata mkirsto manake sijui ningelikua wpi bila yesu

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 5 ปีที่แล้ว

      malaika wanaimba uko binguni YESU ni bwana ukubali ukatae shauri yako YESU ni bwana

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 5 ปีที่แล้ว +1

      hakuna siku uwongo utabadilika ukweli, ati dini yakweli kwani watu wanaabudu dini ama mungu ndo manake mnaishi na majini kwa nyumba zenu mshindwa kwa jina LA YESU kristo mwana wa mungu alie hai

  • @PeterChengo
    @PeterChengo 7 หลายเดือนก่อน

    May the load be blessed

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtu anijibu tuu hi swali....Muislam anaomba Mungu mmoja na wakristo ama wao ni tofauti na sisi

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 3 ปีที่แล้ว

      Mungu tofauti. Mungu wa Waislamu ni Allah na hao ni Yesu

  • @bentake7047
    @bentake7047 7 ปีที่แล้ว +12

    Yesu anawapenda

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 ปีที่แล้ว

      hta mm nampenda n nabii ya mungu

  • @mafurushirima966
    @mafurushirima966 5 ปีที่แล้ว +5

    Allah ni shetani

    • @asadomar1032
      @asadomar1032 4 ปีที่แล้ว

      Mungu akusamehe hujui usemalo

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว

      @@asadomar1032 Laana mbaya ndugu

  • @wenisariaswai3104
    @wenisariaswai3104 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua na kukutumia kila mahali mtumishi wa Mungu.

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 6 ปีที่แล้ว +10

    Glory be to GOD. Thank you brother for receiving Christ

  • @emmamwingizi4407
    @emmamwingizi4407 7 ปีที่แล้ว +9

    Jina la bwana Yesu liinuliwe

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 4 หลายเดือนก่อน

    Nampokea Yesu amen

  • @jennifermakere5139
    @jennifermakere5139 2 ปีที่แล้ว +2

    Nilikuwa nakaribia kua muislam lakini miaka 14 iliyopita alishuhudia kanisan moja njombe nikaokoka na nilipotoka chuoni Niko ufufuo na uzima mpaka Leo nasonga mbele Mungu amuinue sana

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 ปีที่แล้ว

      Hahaha 🤣 umeokoka njoo whatsapp nikulize masuali yangu km umeokoka

    • @V3Aministry40
      @V3Aministry40 ปีที่แล้ว

      @@abduomar8438 hellow

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 ปีที่แล้ว

      @@V3Aministry40 habar yako

  • @issacklewis8654
    @issacklewis8654 3 ปีที่แล้ว +5

    Amen bwana yesu asifiwe

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 6 ปีที่แล้ว +8

    Kwer kabisa uisilamu ni majini na waganga wakienyeji

    • @i.dclassic116
      @i.dclassic116 3 ปีที่แล้ว

      Wew haujui uislamu ndoman ila nakwambia uyo hakuna msomi wala hajasoma kabisa

    • @i.dclassic116
      @i.dclassic116 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna sura inayo itwa hivyo nahyo Maneno yko unawadanganya watu

    • @sukumaganga2613
      @sukumaganga2613 2 ปีที่แล้ว

      Huo ni owongo mkubwa sana Kwan ukisema kweli utapungukiwa na nn?

  • @princessyvetteevedollyisma2586
    @princessyvetteevedollyisma2586 7 ปีที่แล้ว +10

    yesu anaokowa watu,,,watu husema umuona yesu,,,,kwa hakika mimi yesu alinitokeya kwa ndoto baada ya kuona wafu wakinifata majini nikanza kukemeya katika jina la yesu mmoja akaniuliza yesu ni nani nikajibu ni baba yangu sekunde aikupita yesu akatokeya nikamkimbilia akanikumbatiya bada ya hapo wale wafu wakapoteya kwa hakika ukimwita yesu atakuja bora uwe na imani uwe muslim uwe cristian ukimuomba atakuitikiya,,,sidanganyi na hapa mbele ya mungu nimemuona

    • @vesitinalevocatus4886
      @vesitinalevocatus4886 5 ปีที่แล้ว

      hakika ukomuita yeye kwaimani lazima aonekane watu watasema niuongo lakini namwamini hakika yupo

    • @innocentmido7016
      @innocentmido7016 2 ปีที่แล้ว

      @@fiiijengu7410 yule w kweny pich sio waiekti tu

  • @janek9103
    @janek9103 7 ปีที่แล้ว +21

    there is power in the blood of Jesus

  • @alfredmwema3839
    @alfredmwema3839 8 ปีที่แล้ว +34

    hakuna Jina jingine tulilopewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo ila ni jina la YESU tuu!!

    • @jenniferchilongozi1945
      @jenniferchilongozi1945 7 ปีที่แล้ว

      wamkubali wasimkubali ni Mungu kwao tu.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 ปีที่แล้ว +1

      MUNGU ni ALLAH subuhana-hu-watahalah,na kama yesu ni Mungu basi mjue mshapotea

    • @annsafari2424
      @annsafari2424 7 ปีที่แล้ว +3

      Fatuma Mwalimu Jesus is the Son of GOD

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 ปีที่แล้ว +1

      +Ann Safari,nyinyi mnajua hamjitambui,mara yesu Mungu,mara yesu mwana wa Mungu,sasa kwa taarifa yenu MUNGU hana mtoto,yaani hakuzaa wala hakuzaliwa

    • @janek9103
      @janek9103 7 ปีที่แล้ว +3

      alfred mwema kabisa hamna jina jingine

  • @beatricechiiko2619
    @beatricechiiko2619 6 ปีที่แล้ว +7

    Jooni kwa kristo waislaam

  • @sylviakazimily8760
    @sylviakazimily8760 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakupata sana Mwalimu wangu upo vizur

  • @kiloritihaji1619
    @kiloritihaji1619 7 ปีที่แล้ว +2

    ya rabbi nakuomba usimuache mpka afe huyu mtu ndo umuadhibu nakuomba umdhalilishe hapa hapa duniani ameen

    • @lucylukiko2925
      @lucylukiko2925 6 ปีที่แล้ว +2

      Hahahahaaaa utasubiri sana hata kufa huyo labda mpaka Mungu aamue

    • @joycenganyule3231
      @joycenganyule3231 5 ปีที่แล้ว +1

      Kiloriti Haji hawezi coz kamwamin yasu Mfalme wa amani

    • @mocranaburugi3486
      @mocranaburugi3486 4 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/LuWk7sxhXtU/w-d-xo.html

    • @malkiaaggie2837
      @malkiaaggie2837 3 ปีที่แล้ว +1

      Ushindwe katika jina la Yesu

    • @dottoemanuel9697
      @dottoemanuel9697 3 ปีที่แล้ว +1

      Utasubl san

  • @abelmabula7094
    @abelmabula7094 7 ปีที่แล้ว +8

    Masheteni majini wanatoka kwa jina la yesu Ameee!!!!!¡

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 ปีที่แล้ว +7

    New subscriber Greetings from Santa Monica California American I subbed because of your beautiful testimony about Jesus Christ

  • @exaudinyachi1775
    @exaudinyachi1775 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina mtumishi wa Mungu umeniokoa

  • @henryjonas5991
    @henryjonas5991 6 ปีที่แล้ว +1

    Waislamu njooni kwa Yesu Kristo muokoke

  • @bentake7047
    @bentake7047 7 ปีที่แล้ว +18

    waislamu wote njooo kwa jina LA Yesu Christo

    • @mr.bokobokofamily6730
      @mr.bokobokofamily6730 7 ปีที่แล้ว +1

      Ben Take
      huyu jamaa muogo

    • @halimamohammed3580
      @halimamohammed3580 6 ปีที่แล้ว +1

      Ben Take nyooo kaa huko na yesu sisi tunamjua nabii issa

    • @noratnoraty9904
      @noratnoraty9904 5 ปีที่แล้ว

      Ajebabaako

    • @ajilimaria9290
      @ajilimaria9290 5 ปีที่แล้ว

      Yani nyinyi weslam kila ushuuda ni wongo tu hacheni majini

    • @princeshaq3181
      @princeshaq3181 4 ปีที่แล้ว

      Ben Take Daah!! Amakweli wakrito nikondoo mliopotea kabisa. Yaan Jamaa Jamaa anawaongopea na nyie masikin ya mungu hamjui mnashangilia. Katoa aya Surat jini kiarabu anachongea hakitafsiriki, walahakielewek sisi tunaojua kiarabu tunacheka tena sana polen ndugu zangu

  • @wilberchannel5346
    @wilberchannel5346 2 ปีที่แล้ว +4

    Haleluhya jesus is lord

  • @LucyJMtitu
    @LucyJMtitu 4 ปีที่แล้ว +2

    Matusi mnayotukana humu ninyi waislamu yanatoa majibu kabisa ninyi no wanani.

  • @jaredochieng4725
    @jaredochieng4725 2 ปีที่แล้ว +1

    Asate sana dungu Paul Hussein. Ushuuda wa nguvu. Lazima video hii ienehe. Mungu akubariki sana sana sana.

  • @roseandersen6903
    @roseandersen6903 6 ปีที่แล้ว +4

    Jina la Yesu ni la kuheshimwa sana,mana lina nguvu kabisa. Jina lake linuliwee. Amen

  • @pstjameskndokolani6321
    @pstjameskndokolani6321 ปีที่แล้ว +4

    Be blessed servernts of God

  • @sylvestermuthoka7038
    @sylvestermuthoka7038 ปีที่แล้ว +1

    Jesus is the way and truth

  • @rashidathumani2250
    @rashidathumani2250 6 ปีที่แล้ว +1

    Uisilamu hata ukihubiriiwa na mtu anayeuchukia sana bado ukweli wake utaonekana tu.Hiyo hadhira iko ktk mashaka sana.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 6 หลายเดือนก่อน

      Wew ngangana tu na uislam wako ila ipo siku utajuta sana

  • @jennlafilin2251
    @jennlafilin2251 6 ปีที่แล้ว +3

    Amen baba Mungu kakuchagua

  • @omarimiraji7343
    @omarimiraji7343 6 ปีที่แล้ว +8

    YESU Kristo ni Mungu tu

  • @linaajjey3396
    @linaajjey3396 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilitaka kuwa mwislamu lakini siwezi tena. Asanti sana kwa maubiri haya.

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 ปีที่แล้ว

      Hahaha 🤣 tafuta maandiko sio usome sio kusikiliza uongo

  • @kelvinpeter5666
    @kelvinpeter5666 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jesus Christ king

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 6 ปีที่แล้ว +9

    To God be the Glory

  • @ellykepher3456
    @ellykepher3456 7 ปีที่แล้ว +6

    Sema: Nimepewa wahyi ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur’an ya ajabu!Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yoyote na Mola Wetu.

    • @lamerckmsuya5513
      @lamerckmsuya5513 3 ปีที่แล้ว

      Sasa majin wliolaaniwa wanawezaje kuwa wachamungu, kama sio wamezuga hapo ni kitabu chao quran, ili wapate wafuasi wa kwenda nao jehanam

    • @wangnjamealawy3387
      @wangnjamealawy3387 3 ปีที่แล้ว

      @@lamerckmsuya5513 Rudi darasani ndugu, acha kusikiliza maneno ya uzushi tu, nani alokwambia majini wote wamelaaniwa?

  • @kolthoomkolthoom2516
    @kolthoomkolthoom2516 6 ปีที่แล้ว +1

    Hatuwezi kuja Kwa Yesu Kwa kushawishiwa na wafanyabiashara,endeleeni kutafuta wateja

    • @mocranaburugi3486
      @mocranaburugi3486 4 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/LuWk7sxhXtU/w-d-xo.html

  • @abdisalammohamed2944
    @abdisalammohamed2944 3 ปีที่แล้ว +1

    Aty yesu ni mungu na alitahiriwa na viumbe vyake....inalilallah

    • @NetflixMovies1
      @NetflixMovies1 3 ปีที่แล้ว

      Njoo kwa yesu

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 ปีที่แล้ว

      Ati Allah mungu Na Alitukanwa Na Kiumbe Dhaifu Aitwaye Afande Sele💉💉💉 Inalil-Yesu

  • @eliaswilson1601
    @eliaswilson1601 3 ปีที่แล้ว +3

    KUMBE MUHAMAD RAFIKI ZAKE MAJINI MHUUUUUUU

  • @abelmabula7094
    @abelmabula7094 7 ปีที่แล้ว +5

    Asante Yesu Ameen