IJUE CHANJO YA TATU MOJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Chanjo stahimilivu joto kwaajili ya mazingira ya Tanzania na Africa kiujumla

ความคิดเห็น • 31

  • @SadockMasebo
    @SadockMasebo 11 วันที่ผ่านมา

    Dodoma twaipataje

  • @LukeOtieno-j6t
    @LukeOtieno-j6t 19 วันที่ผ่านมา

    Uku Kenya unaweza pata wapi

  • @ibraeliya7760
    @ibraeliya7760 ปีที่แล้ว +1

    NI kweli hata mimi nimeithibitisha,..the best💪

  • @selemanhassan3604
    @selemanhassan3604 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuunganishwa na group la fama center je nifanyeje

  • @FaynessMlove
    @FaynessMlove 2 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa SoMo hili la chanjo ya TATU moja

  • @dausonkahitira5597
    @dausonkahitira5597 หลายเดือนก่อน

    Proud of my Microbiology prof wambura❤❤

  • @sararutonda2072
    @sararutonda2072 23 วันที่ผ่านมา

    Samahani naombabkuuliza. Kama kuku niwagonjwa ukawatibu nakisha wakapona,unaweza kuwapatia hio chanjo?

  • @FredOmondi-v8z
    @FredOmondi-v8z 29 วันที่ผ่านมา

    Nataka chanjo Niko Kenya naeza pata aje

  • @Asy3sb
    @Asy3sb หลายเดือนก่อน

    Naweza pata Kenya

  • @farajastephanoluoga6944
    @farajastephanoluoga6944 ปีที่แล้ว

    Je broila wanaweza kutaga mayai

  • @djspack1021
    @djspack1021 ปีที่แล้ว

    Sawa sawa Mkuu nimekuelewa na naitumia inafanya vizuri Sana màana mm nilisumbuliwa Sana na mafia ya ekoliza na ndui lakini tangu kutumia 3 Moja sijaona tena hayo magonjwa

  • @DavidMwakasala-ub9zb
    @DavidMwakasala-ub9zb หลายเดือนก่อน

    Je Mbeya naipataje?

  • @Devota-pp2xn
    @Devota-pp2xn ปีที่แล้ว

    dodoma n itapataje na namba za simu

  • @selemanhassan3604
    @selemanhassan3604 ปีที่แล้ว

    Mm nnashida la kuku wangu wanadonoana je nifanyeje

  • @dvjkada4873
    @dvjkada4873 2 หลายเดือนก่อน

    Nipo kigoma naipataje

  • @UkarimuChescko
    @UkarimuChescko 2 หลายเดือนก่อน

    Inauzwa shingapi✌️✌️✌️✌️

  • @ramshibashiru5717
    @ramshibashiru5717 ปีที่แล้ว

    Naomba msaada wa mawasiliano yenu

  • @meshackmwacha4004
    @meshackmwacha4004 ปีที่แล้ว

    Tatu moja wapo dar

  • @FatumaSinto
    @FatumaSinto 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiwapa hiyo chanjo Haina haha Tena ya kuchanja chanjo ya ndui?

  • @babafeisalnyenza7183
    @babafeisalnyenza7183 ปีที่แล้ว

    Dar inapatikana wapi

  • @BossKimango
    @BossKimango ปีที่แล้ว

    M sijaelew kasema miez. 2 au mi.4

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 ปีที่แล้ว

    Niko arusha naomba mawasiliano yenu tafadhar

  • @benjaminoparanya7718
    @benjaminoparanya7718 ปีที่แล้ว

    How can i get tatu moja, and the price from kenya kakamega county, matungu sub , mayoni ward?.

  • @marcombuliyaza3753
    @marcombuliyaza3753 ปีที่แล้ว

    Nina shukuru chanjo ni nzuri but maji yaliyomo ni kidogo nashauri kipimo kiongezwe

  • @maslahmnene8061
    @maslahmnene8061 ปีที่แล้ว

    Professor nime kuelewa watu wana tumia siku ya saba kisha 14 gumboro kisha 21,tatumoja...kisha 28 tatu Moja ...dohh kumbe ni mara moja tuu

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 2 ปีที่แล้ว +2

    Hamna nishatumia kuku wangu wakafa sina hamu nayo