ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Dodoma twaipataje
Uku Kenya unaweza pata wapi
NI kweli hata mimi nimeithibitisha,..the best💪
Naomba kuunganishwa na group la fama center je nifanyeje
Asante Kwa SoMo hili la chanjo ya TATU moja
Proud of my Microbiology prof wambura❤❤
Samahani naombabkuuliza. Kama kuku niwagonjwa ukawatibu nakisha wakapona,unaweza kuwapatia hio chanjo?
Nataka chanjo Niko Kenya naeza pata aje
Naweza pata Kenya
Je broila wanaweza kutaga mayai
Sawa sawa Mkuu nimekuelewa na naitumia inafanya vizuri Sana màana mm nilisumbuliwa Sana na mafia ya ekoliza na ndui lakini tangu kutumia 3 Moja sijaona tena hayo magonjwa
Je Mbeya naipataje?
dodoma n itapataje na namba za simu
Mm nnashida la kuku wangu wanadonoana je nifanyeje
Nipo kigoma naipataje
Inauzwa shingapi✌️✌️✌️✌️
7800/7500
Naomba msaada wa mawasiliano yenu
Tatu moja wapo dar
Ss taipataj natena nibeigan
Ukiwapa hiyo chanjo Haina haha Tena ya kuchanja chanjo ya ndui?
Dar inapatikana wapi
M sijaelew kasema miez. 2 au mi.4
Tunaomba namba zenu
Minne boss
Niko arusha naomba mawasiliano yenu tafadhar
How can i get tatu moja, and the price from kenya kakamega county, matungu sub , mayoni ward?.
Nina shukuru chanjo ni nzuri but maji yaliyomo ni kidogo nashauri kipimo kiongezwe
Professor nime kuelewa watu wana tumia siku ya saba kisha 14 gumboro kisha 21,tatumoja...kisha 28 tatu Moja ...dohh kumbe ni mara moja tuu
Hamna nishatumia kuku wangu wakafa sina hamu nayo
Umeikosea itakuwa
Dodoma twaipataje
Uku Kenya unaweza pata wapi
NI kweli hata mimi nimeithibitisha,..the best💪
Naomba kuunganishwa na group la fama center je nifanyeje
Asante Kwa SoMo hili la chanjo ya TATU moja
Proud of my Microbiology prof wambura❤❤
Samahani naombabkuuliza. Kama kuku niwagonjwa ukawatibu nakisha wakapona,unaweza kuwapatia hio chanjo?
Nataka chanjo Niko Kenya naeza pata aje
Naweza pata Kenya
Je broila wanaweza kutaga mayai
Sawa sawa Mkuu nimekuelewa na naitumia inafanya vizuri Sana màana mm nilisumbuliwa Sana na mafia ya ekoliza na ndui lakini tangu kutumia 3 Moja sijaona tena hayo magonjwa
Je Mbeya naipataje?
dodoma n itapataje na namba za simu
Mm nnashida la kuku wangu wanadonoana je nifanyeje
Nipo kigoma naipataje
Inauzwa shingapi✌️✌️✌️✌️
7800/7500
Naomba msaada wa mawasiliano yenu
Tatu moja wapo dar
Ss taipataj natena nibeigan
Ukiwapa hiyo chanjo Haina haha Tena ya kuchanja chanjo ya ndui?
Dar inapatikana wapi
M sijaelew kasema miez. 2 au mi.4
Tunaomba namba zenu
Minne boss
Niko arusha naomba mawasiliano yenu tafadhar
How can i get tatu moja, and the price from kenya kakamega county, matungu sub , mayoni ward?.
Nina shukuru chanjo ni nzuri but maji yaliyomo ni kidogo nashauri kipimo kiongezwe
Professor nime kuelewa watu wana tumia siku ya saba kisha 14 gumboro kisha 21,tatumoja...kisha 28 tatu Moja ...dohh kumbe ni mara moja tuu
Hamna nishatumia kuku wangu wakafa sina hamu nayo
Umeikosea itakuwa