Mtangazaji ovyoo unaulizaje eti,, kwanini la kikatili Aliyefanya mauaji Allah atamuhukumu mwanamke unakua na roho mbaya kiasi hicho subhanallah dunia imeisha
Inasikitisha Sana tuwaweke wap watoto wetu😭😭😭... Millard Ayo fukuza uyu mwandishi ataulizaje maswali ya kijinga kwenye issue sensitive Kama hii et kwann ni lakusikitisha😭😭
th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html KISOMO KIKUBWA CHA RUQYAH UANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI,NA MIKOSI NAVIFUNGO.VYOTE... *#*# th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html
Mimi hata niwe na maisha gani ,kama nimewazaa mwenyewe basi nitawalea mwenyewe kama njaa tulale sio kumpa mtu daa mama yake na baba yake wako wapi uyo shangazi ni wakuuliwa tu astaili kuishi kabisa gaidi huenda mchaw
Hii dunia hii wallaah maombi Yaitajika sana maana mauwaji kila siku daaa AISSEH Inaumiza sana mtoto mdogo kwl kosa gani kubwa halilolifanya Eeee mungu tunaomba utuokoe
Hakuna elimu yoyote, ikiwa viongoz wa din wanawakemea hawasikii, unadhan watasikia la nan? Dawa ni moja tu🙅♂️🙅♀️ kunyongwa had kufa tena hadharan ili iwefundisho kwa wengine namna hii nimauwaji kiila siku
hii yote kukosa imani kwamba kuna mungu aliyetuumba kwamba nikifanya kitu watu hawatoniona lakini mungu ananiona yani tuwe naimani jamani tuache roho mbaya haya umeemuwa umepata nini jamani mtihani kwakweli
Shangazi lazima atiwe hatiani,maana yeye ndiyo alikuwa ameachiwa mtoto na mahali mwili wa mtoto ulipokutwa mtoni ,shangazi naye alionekana eneo hilo,lazima akajibu mashtaka
jamani anaeua mtoto na yeye auwawe kwann mnamwacha eti akae jela akati mtt ameshakufa ndo maana matukio yanaendelea watu wanaua watoto anajua ataachwa hai mi huwa naumia sana mtt mdogo amekukosea nn jamani dah 😭😭😭😭inauma sana
th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html KISOMO KIKUBWA CHA RUQYAH UANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI,NA MIKOSI NAVIFUNGO.VYOTE... *#*# th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html
Allah tulindie vizazi na sie tulipo hukumbali na uwape huruma tulio waachia ulezi huu atujaalie pia tupate hitahiji letu kwa sote tunahitaj
Amyn yarabiaalamyn
Amiina rabi
Amii
Aamin
Amiin
Mungu amtunze shangazi yangu ametulea kwa amani
Hivi kwa nini watu wana kuwa na roho mbay hivi kweli mtoto unamfanya hivi kakosa nini 😭😭😭😭😭😭
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😢😿😭 sijui waja tunaenda wapi😭🙆🙆🙆
Jamani sasa dunia inaenda wapi .tunaogopa panya road kumbe hata shangazi jamani
Maeneo ta Arusha kuna shida kubwa,mauaji,ebu ombeni toba na rehema Kwa Mungu.
Umezungimza sahihi arusha wamezidi
Eti wanahofia wananchi wangeondosha maisha yake hayo ya mtoto aliyoondosha siyo maisha pumbafu sana piga mjinga huyo napata hasira😪😪😭
Jamani chunguzeni kwanza inawezekana hata shangazi hajausika msimubebeshe huyu mama inawezekana aliyehusika nimtu mwingine kabisa
😭😭😭😭😭😭
Mmhh kilicho kuwa kinamfraisha nn??wakati mtoto kapotea tena yeye mwanafamillya
Duh polen Sana ka salum inaumaa jmni ilaa Allah awape subraa
Subhan'Allah 😭😭😭😭kihama hiki ya Allah turehemu waja wako 💔😭
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 😰 Jamani Tumuokope Allah Jamani dah Nini haswa mbona Kila kukicha mauwaji Subhanallah 😭🙏 Astaghfiru llah
ninavowapenda watoto wa kaka zangu mimi 😔 mwanamke mwenzangu umewazaje kufanya ukatili huo 🙄
Shangazi kama ana chuki na wazazi wa mtoto kwann hasira zimalizie kwa mtoto wakati yy hajui lolote? Dunia inaelekea mwisho tukubali hili
Mtangazaji ovyoo unaulizaje eti,, kwanini la kikatili
Aliyefanya mauaji Allah atamuhukumu mwanamke unakua na roho mbaya kiasi hicho subhanallah dunia imeisha
Dah wamemkatishia maisha yake ,wamemkatishia ndoto zake za baadae dah very sadly,
Nyakati za mwisho maasi yataongezeka la msingi tugeuke tuangalie msalabani yesu alipotukomboa
Kali xan xhangaz kuen na roh nzuri maana mm na we ni binadam
Subhannallah 😭😭 poleni sana Allah ampumzishe malaika huyo Inna lillah winna illayhi rajiun 🙏
Inasikitisha Sana tuwaweke wap watoto wetu😭😭😭... Millard Ayo fukuza uyu mwandishi ataulizaje maswali ya kijinga kwenye issue sensitive Kama hii et kwann ni lakusikitisha😭😭
Mwamzo mgumu muache mwenzako apate riziki
Mungu atalipa
th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html
KISOMO KIKUBWA CHA RUQYAH UANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI,NA MIKOSI NAVIFUNGO.VYOTE... *#*#
th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html
Mimi hata niwe na maisha gani ,kama nimewazaa mwenyewe basi nitawalea mwenyewe kama njaa tulale sio kumpa mtu daa mama yake na baba yake wako wapi uyo shangazi ni wakuuliwa tu astaili kuishi kabisa gaidi huenda mchaw
Inalilah wainalilah rajuuni
Nyinyi ni Vichaa Sana .Ni vipi mtu huyu akawa hajachapwa japo bakora kabla hamjampeleka Polisi ,
Hicho kiswahili chako cha masasa sasa unapeleka wapi..tulia utoe habari tuelewe.sasa sasa sasa ndo nn
Hii dunia hii wallaah maombi Yaitajika sana maana mauwaji kila siku daaa AISSEH Inaumiza sana mtoto mdogo kwl kosa gani kubwa halilolifanya Eeee mungu tunaomba utuokoe
😢
inalilahi wainailah rajiun 😭 Dah! Elimu inahitajika Tanzania Kila siku mauwaji tu.
Hakuna elimu yoyote, ikiwa viongoz wa din wanawakemea hawasikii, unadhan watasikia la nan? Dawa ni moja tu🙅♂️🙅♀️ kunyongwa had kufa tena hadharan ili iwefundisho kwa wengine namna hii nimauwaji kiila siku
Kama nikweri shangazi amefanya mauwaji Sheria ijukue mkondo
Mungu tunusuru binadamu tumekosa hutu 😢
mtangazaji saut ya kutangaza kweli
Mhm binadamu ni Hatari
Mashangazi jamani
mchapa wap watto ad wanakufa?? mim sitak mazoea nakuchapa watto niliacha maaan niliona shetan anawza pitia apo apo
Huyo shangazi mnyama mungu amlaani kamuua malaika wa mungu
Mbona binadamu Sasa ivi tunaroho mbaya sana jamani
hii yote kukosa imani kwamba kuna mungu aliyetuumba kwamba nikifanya kitu watu hawatoniona lakini mungu ananiona yani tuwe naimani jamani tuache roho mbaya haya umeemuwa umepata nini jamani mtihani kwakweli
Mungu atamlipa anachostaili mbwa mkubwa uyo
Kwann alimuuwa sasa
Dah hii dunia jamn😭😭😭😭 kwann lakin
Jmn jmn ivi unauaje mtu 😭😭😭
DuniyA hiiii ukisitaajabu ya musa utayaona yafriauna
Haya mauaji mbona yametanda sana hapa Tanzania kuna nini?
Jamani arusha mbona mauaji yamezii?
Shangazi ni kama baba lakini kwanini
Ukatiri wakijiga
Mtihani
Katili hana roho wala huruma
Vichekesho
daaaah aise TUMRUDIE MUNGU
SubhanAllah 😭😭😭 kumbe bado mdogo miaka 4 jamani kakosa nini
Labda kakojoa
Mtihani anamuwa kwa nini kwa sababu gani mtihani hiii
Mwili ufanyiwe uchunguzi kubaini
Watu wa arusha mjitathim
Ardhi imemeza watu wengi!,Dam za watu zinalia mpaka watubu😢
sababu haina mashiko kumtia hatiani shangazi
Shangazi lazima atiwe hatiani,maana yeye ndiyo alikuwa ameachiwa mtoto na mahali mwili wa mtoto ulipokutwa mtoni ,shangazi naye alionekana eneo hilo,lazima akajibu mashtaka
Huyu mtangazaji anashida nae kichwani maswali ya kijinga sana
jamani anaeua mtoto na yeye auwawe kwann mnamwacha eti akae jela akati mtt ameshakufa ndo maana matukio yanaendelea watu wanaua watoto anajua ataachwa hai mi huwa naumia sana mtt mdogo amekukosea nn jamani dah 😭😭😭😭inauma sana
Punguza matumizi ya neno sasa ndugu presenter!!
Mtangazaji sasa zimekuwa nyingi
Mwandishi anaambiwa tukio la kikatil,,,,,,, anauliza Kw nini lakikatil,,? Hee,
Huyu mjamaa mjinga Kweli 🤣
Ebu na wewe sikiliza Ujinga wake
th-cam.com/video/_dCcqYllTjU/w-d-xo.html
th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html
KISOMO KIKUBWA CHA RUQYAH UANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI,NA MIKOSI NAVIFUNGO.VYOTE... *#*#
th-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/w-d-xo.html