Nakusalimu kwa jina la Yesu, mimi nini Mchungaji kwenye kanisa la Kiinjili la Kilutheri inchini RDC, Mungu akupe fahamu sana katika karama yako. Ubarikiwe
Baba mchungaji nafurahia sana mahubiri yako niyakujenga mioyo ya watu, hakika mwanaume wabadilike kwa jina la yesu juu wametutesa kwa kweli barikiwa sana baba
Mimi ni muislam na ninaupenda sana uislam, lakini huwa ninakufuatilia sana mchungaji maneno yako yanafundisha sana kwa wale wenye akili timam
Khadija Kuhigwa kwer dada huyu psta yuk vzr
Nakusalimu kwa jina la Yesu, mimi nini Mchungaji kwenye kanisa la Kiinjili la Kilutheri inchini RDC, Mungu akupe fahamu sana katika karama yako. Ubarikiwe
Ukweli mtupu jamani kweli tupo wengi sio uongo Mungu nibadilishe
Duniani kunawachungaji ila wewe mgogo ni Mchungaji nabalikiwa Sana na mahubili yako
Ubarikiwe sana baba mchungaji kwa mafundisho mazuri
Huyu ni mwinjilist wa kimataifa
Ndo maana Sweden wanakamata wanaume wanaonunua wanawake, sheria inambana mnunuaji. Asante baba kwa utetezi, sisi wanawake wanatudhalilisha sana.
mungu akubariki sana kwamaubiri mazuri
Mchungaji wanibariki Sana nimekupongeza Na shairi.Niko Kenya, TH-cam Kwa Jina "Mashairi ya Deborah Matuva".
Uwe unatuwekea tujua tuko part ya ngap maana tunasikiliza zigzag tu jaman na tunataman tungesikiliza moja baada ya nyingine
Kweli jamani mchungaji!
Amen mutumishi wa Mungu
Mungu akubariki mchungaji hakika umenibariki sana na ujumbe wako
Nabarikiwa sana mafundisho yako mchungaji mungu awe pamoja na wewe ameni
😂😂😂😂😂Makubwa hayo 🙌🙌🙌🙌Ameeen.....Mchungaji barikiwa sana
Barikiwa sana baba mch Daniel Mgogo..mzee wa doziii...🙌
Ameeeen Ameeen sifa na utukufu kwa Mungu wetu Asantee Baba mchungaji
Barikiwa sana mchungaji,kwa mafunzo mazuri.Amen.
mchungaji Mungu akuinue na akubariki sana mchungaji anaekuelewa hatabaki kama alivyo
Watching you from kenya, tunakupenda sana
u spoke to me in this very message. be blessed man of God
Wa mama ma profesa ya kweli jamani 👌👌👌😄😄😄🙏barikiwasana baba
am Melissa from Rwanda i love him so much
Hii Melissa
Waooooo welcome
Ni mungu tuu anaye wesa kupima.barikiwa pastor
Kama mchungaji angekuwa karibu nimetamani sana aje kanisani kwetu tuliko jamani...
mchungaji napenda sana wanangu unanigusa mnoo amen barikiwa sana
Baba mchungaji nafurahia sana mahubiri yako niyakujenga mioyo ya watu, hakika mwanaume wabadilike kwa jina la yesu juu wametutesa kwa kweli barikiwa sana baba
Mnunuzi na muuzaji wote ndani
Karibu kenya mara tena👌👌👌
Nakupenda sana mchungaji Mgongo
AMEEEEEN sema baba tuponeeeee🙌🙌🙌🙌
,mtumishi mungu akubariki uendelee kutufundsha
hiyo ni jasho au nn mchungaji,,mbona dakika 1 tu wafuta..but nakufatilia snaa mchungaji,,barikiwa sana!!
Asante mchungaji nabarikiwa maubir yako
Mungu akuongoze ktk njia iliyonyooka
Mungu akubariki sana napenda mahubiri yako sana
Mchungaji mgogo ubarikiwe sana.
nabalikiwa san mchungaji ubalikiweee sanaa
Barikiwa mtumishi
barikiwa sana Mchungaji
Mimi naseminika pia huku🙌🙌
Kweli kabisa wote tuchange kwa jina LA yesu
Hivi wanaume wanasikiaga kweli
tunasikia sana
Hongera yako kama unasika
Munayafanyia kazi
😃😂😂😂😂😂😂duh....MUNGU wangu azidi kwako ..ubarikiwe mchungaji
Yaani hapo kwenye mimba ingekuwa hivyo ningefurahi kweli.
Ameeeen ubarikiwe
Barikiwa muchungazi
mungu akubariki
Kweli kabisa mchungaji yaniwe baba ninoma aise hana
mchungaji ubarikiwe jamani karibu mkoani manyara
Baba anakia eehee...Manesi wanasema sukuma
Ni kweli ❤️❤️🙏🏾
Mafundisho mazuri kabisa
Barikiwa
African Pastor got talent
Mungu akubariki sana pastor
Hahaha, kamama kajeuri uwiii kwa kweli nakuachia hapo mtoto umbebe
Naaam amen amen
Mgogo unatisha black & white preachings
Asanteeeeee mchungaji 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍👍👍👍👍👍
Ongea, mwenye sikio anasikia
Amina Mtumishi
Powerful
Mchungaji ubarikiwe sana unaguza mioyo za wengi sana
Asante kutetea akina mama
Betri low..,baba kamimba,mama kamimba 😂😂😂😂
Sahi kaha aapne
😂😂😂😂 hatari
Hahaaaa baba na hema yake na mama na hema yake umeiona aje muziki
Umenena mchungaji.......
ni ukweli kabisa Amen
Ahsante
Batter lingeisha.moto🤣🤣🤣
Aminaaa
Hekima uliyo nayo ni mungu tu akuzidishe uzima yaani nipo darani hapa sio pokea gari,pokea mali 😂😂😂
Nimekuwa uko bwana
Upo sawa mchungaji ila ukumbuke kuwa ponbe cyo dhambi. Pombe ni refresher, ukisema ni dhambi umekosea
Gervas Kombo Kama Pombe Siyo DHAMBI why BIBLIA imeandika wala WALEVI hawataingia mbinguni !?
@@josephmganga4580 nipe mstari wa biblia ilipoandika kuwa pombe ni dhambi. Kusiwepo na kupindapinda.
Wewe
Pombe sio dhambi, ulevi ndio dhambi.
Kisu sio dhambi, kuua ndio dhambi.
ubalikiwe
et wanunuzi wako wap🤣🤣🤣🤣🤣
Noma😀😀😀 Hahahaha but is true
Munguakutiyenguvu minabarikiwasana
Alishababu kazi ipo
Nena baba tupone
👏👏👏👏👏👏👏
Hahaha, Amen Amen Amen
Kumbe uko kenya!nimeshangaa kusikia DVD 5 elfu 1
Kenya wapi
Yes wapi?
Utawala Nairobi
Which church l try to come? And for how long is he around?
Sema tupone
nimekuelewa sn yani umenipa guvu sn
Kweli polisi badilisheni mashtaka,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
huu ni ukweli mtupu wakitoka nje ya wanapo ishi wanafanya tofauti
anaubongo huyu mchungaji unachaji ballaaa
Ukweli unawasha kama pilipil
That is
Sitaki kujipatia video ya mafundisho na mahubiri yako kupitia internet, lakini naomba unipe njia gani naweza ku nunuwa
📌
Nondooo😂😂😂
😅👍🏽♥️🙏🏽
Hahaaaa
Sem a baba
Hahahaaaaaaaaaa
😂😂😂😂
Mama anabeba mimba miezi 9 je baba aliibeba hiyo mimba miezi mingapi? nionacho mimi kila mmoja afanye majukumu yake