2:56 kuna vijana wengi wamepoteza wachumba wazuri kwa sababu ya kufikiria kuwa wako peke yao siku ameona anasalimiwa na rafiki yake walosoma nao anajua mchepuko
Uhaimedia. Na mimi naomba mchango wenu kwa ajili ya ku subscribe kwenye channel yangu. Mini ni mwimbaji niko hapa Australia. Asante ni na Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏
Nashukuru sana mtumishi nimebarikiwa sana na ujumbe wako mzury
Daaa wachungaji wasikuhizi akisimama tu mazabauni anahubiri tuu utoaji wasadaka ndisikuimepita ivo ila mgogo MUNGU azidi kukubariki
Umeniguza sana Mchungaji barikiwa sana
Ila mapenzi yanauma mkuuu wacha tuuu
Ubarikiwe mtumixhi sema maneno yako yanachoma
Umeona eeeh mkuuu
Mchungaji wewe ni Genius sana
Mafunzo yako yanafariji na kunibariki mch.mgogo mungu akubariki
Mke wa mtu sumu, ni somo tosha kwa wanaume wanaofuatilia wake za watu.
Nitashukuru ujumbe wako nipe like kwa niaba ya mchungaji +971 represented
King Augus
King Augus mchungaji ikialikwa mikoani utakija jamani?
Sikujua Kabla ya kuhubiri anasoma kitabu gani kwenye biblia?
Like hiyo too +971
Kama na ww bado unasubiria parachichi gonga like twende sawa
Hilo somo limenijenga nilikuwa ktk vita hiyo, nimeelimika sana mtumishi ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU, hakika nafarijika sana na mafunzo yako
Baba mchungaji hii dunia iacheni ilivyo ni wachache wenye bahati kupata Yule aliyetulia wengine hawajatulia kabisa,Na Mungu awahurumie
,ubarikiwe sana baba Kwa mafundisho mazuri unaytulisja
Mchungaji mimi nimeishi na mume twenty years mine kanichosha na kelele na pombe
Aaaaaaaamen Ubarikiwe Sana MTUMISHI wa Mungu tumepona wengi
Lakini kusema kweli mchungaji maneno unayoyasema ukweli kabisa mungu akubariki sana tena saana
Wengine wanachoma na mkaa wake zao, Mara mapanga kwa kusahau bahati waliopewa na Mungu kupata watu wazuri
Kwel kabisa mafisi yapo jmn Tena mengi sana yaan hayaach hayachoki hayakati tamaa kabisa Asante pastor
Mungu akubariki
Barikiwa Sana baba
Mungu akuzidishie babangu ,we ni genius
Daaah mchungaj Shukran kwa kmwaga ukweli, amnia
Nmebarkiw naneno lako Amen
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Acha waogee baya lakini Mimi najua utaponya wengi Mtumishi barikiwa sana
Dah Mgogo namkubari sana
Mchungaji mgomg Mungu Akubaliki sana
Hapo kweli kabisa pastor 👍👏👏
MCH hakika mungu akutie nguvu maana ni wachungaj wachache wanaohubir injil ya kwel
Ni kweli kabsa
Rev Genius Mgogo
daaaaa kwr mchungaji uko vzr msema ukwr ww wachungaj wengine sio wakwer
Amina mtumishi wa bwana.
Mchungaji umeongea Jirani na ukweli.
Nakupenda
Sanababaangu
Mungu akupe maisha maref
Mungu atupe nini? Zaidi ya watumishi Hawa katika ulimwengu
Huu ulioharibika?
Haswaaaa
Adirahaa
kweli kabsa Baba Mchungaji Hujaongopa
MUNGU akubaliki sana baba binafsi napona
Hahahahhahahaha babaaaa umenichekesha kwer mungu akubariki sana baba
Huyu mchungaji yupo poa powa kaka
God bless you pastor m
Mungu akutunze baba
Ubarikiwe MCHUNGAJI
2:56 kuna vijana wengi wamepoteza wachumba wazuri kwa sababu ya kufikiria kuwa wako peke yao siku ameona anasalimiwa na rafiki yake walosoma nao anajua mchepuko
Kwel
Kweli mchungaji😆😆
Mch. Uko vema sana
Eti, "umeolewa lakini badoooo"😂😂😂😂😂
Mwenye masikio naasikie huo ujumbe
Asante mtumishi
Duuu!!! Hatari
Nakukbali sana mchungaj
Hahahaha jamani babaa ubarikiwe sana jomani
Ongera sna pasta kwa mahubili yako
Hahahaaaa duu..God bless you mtumishi
Saluti kwako mchangaji
eish.....yani wewe hatari,sivyo unavyomwaga ukweli
Nimekuelewa
Uhaimedia. Na mimi naomba mchango wenu kwa ajili ya ku subscribe kwenye channel yangu. Mini ni mwimbaji niko hapa Australia. Asante ni na Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏
ukweli mungu akubariki
Amen Amen Amen. Kweli labia
Asante kwa kunielimisha barikiwa
Wakuelewa ameelewa we fundi xna mungu akuongezee siku zakuish
Asante Sana mtumishi wamungu
Ni kweli mchungaji
Mahubiri ni nzuri
💘👍🙏 asante Sana mchungaji kwa mafundisho
jaleluhya hallelujah hallelujah Jesus tosha
Hiii injili inaingia huku unafurahiiii
Safiiii baba
Hakika ujumbe mzuri
😘😘😘🙏🙏
tema cheche mh mchungaji
Wachungaji Kama hawa ni wachache mno haswa katika karne hii. Wengi wanaogopa kusema haya
Wah mlipuaji kweli kabisa
Kiukweli mchungaji mahubili yako hua nayapenda napia hua yananisaidia san
Tunapona ktk jina la yesu
Asante sana
Nakupali
Mchungaji ww ni alfa na omega unalitendea haki neno la uzima
So sili niukwer wote
Tulio na wake asilimia 100 tumepata mascrepa ya ukweli
Ukweli ni km unaona haya maovu ktk dunia,,,
Ubarikiwe saana mchungaji 😃
Mgogo uposawa tungepata wachungaji Walio kamawewe nadhani dhambi zinge kwisha mwenyezi Mungu akupe uhai mrefu ulekebishe tabiazao kuanzia wachungaji wanafiki mpaka waumini wanafiki Kama kibwetere nawafuasi wakeMugu akuzidishie
Yes,Mchungaji unamwaga nondo
Ongera sana mchungaji ubarikiwe na mora
Amina mchg
Kweli wewe.ni mkweli
ndiyo mahana mm sitaki kupenda,
Good mchungaji
🙏🙏
Congrats 👏👏👏
Kweli mchungaji
Yaan daaaaah
ukweli kabisa
Kabisa
Kweli mchungaji ubarikiwe
2500 hahahahahhhhhahah
Haaaaaa amina
yes sir
Tusikate tamaaa
☺☺☺☺☺
amina
Aya pastor
Wa 2500🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amina
Huna baya
😂😂😂😂😂🙆🙆
😂😂😂
MUCHUNGAJI TUNAKUSIKILIZA
Asante kwa mafundisho.
Asante baba.
😀😂