Me napenda kukusikiliza mbali na mafundisho yenye nguvu na akili but wew ni comedian ambae unatoa mifano hai na halisia... be blessed mtumishi!!!🙏👏👏👏👏👏👏👏
Katika wachungaji wanaojua kuhubiri na kufundisha na wewe umo sio watenda miujiza na kutolewa shuhuda za kutengeneza Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukupigania shetan asije akapata nafasi ya kukuharibu Yesu ndie njia na uzima
Ingaliwezekana muweke haya nahubiri yakiwa kamilifu ningaliridhika zaidi;lakini hata hivyo,nimebarikiwa.. lakini ombi langu labakia tu tupate ujumbe kamilifu tukifuatilia kwa TH-cam Sisi wale hatuwezi kupatana naye moja kwa moja.
Dr Manager. products sawa muhariri, unajikuta daktari wa nini sijuwi,eti Dr manager.products, what the hell does that even suppose to mean 😏? Naona wewe nawe ni attention seeker Sikiliza mahubiri usepe,nkt!
Me napenda kukusikiliza mbali na mafundisho yenye nguvu na akili but wew ni comedian ambae unatoa mifano hai na halisia... be blessed mtumishi!!!🙏👏👏👏👏👏👏👏
Napenda sana mafundisho yako mtumishi huwa yananibariki sana.Barikiwa
Katika wachungaji wanaojua kuhubiri na kufundisha na wewe umo sio watenda miujiza na kutolewa shuhuda za kutengeneza Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukupigania shetan asije akapata nafasi ya kukuharibu Yesu ndie njia na uzima
kweli ,Binti jasiri hiyo nimeisoma
Mungu akubarik mchungaj mahubiri yako inanibariki Sana
Nabarikiwa sana hapa Jiji la Nairobi , MOLA akuzidishie nguvu na neema ya kufundisha zaidi.
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Umeibariki sana mchugaji maneno ya kweli unanena
Mtumishi wa Mungu unanibariki sana kwa mafundisho mema pia unafurahisha mno..barikiwa sana💓
Yaan haya mambo ni halisi San,,,kwel kila asikiae na apone.Barikiwa San mtumishi
Rev. ur so funny pls spare my ribs😂😂😂😂🙆ur speaking naked truth........i like the way u adress ua teachings
Amina mtumishi
Amen ubarikiwe sana wanielimisha mengi mungu azidi kukuinua mchungaji
Yees! That's great Gospel! Be blessed Pastor!
Safi pastor upo vizur
Songea napenda sana unatujenga sana kiroho
Powerful. Barikiwa Mtumishi wa Mungu..
Nampenda sana uyu mtumishi wa Mungu anafundisha Mungu azidi kumbariki
Nakukubali sana mchungaji rekebisha tabia zetu yote hayo yapo
Barkiwa sana mtumish
Amen Baba
Asant barikiwa sana mchungaji ameeeni
Kweli kabisa mtumishi
Nimepata mafunzo mengi barikiwa Rev
Napenda sana mahubir yako mtume
Amina
Asante ujumbe mzuri mchungaji
Asante
Mchunganji wanibariki
Mchunga uzidi kubarikiwa ni mengi ni yapatayo kwa mafundisho na mahuri Mungu anayo kujalia
Mch. Kila unachofundisha kinanigusa muda mwingine nahisi niliwahi kuoa. Pia hata mafundisho yako yalichelewa kunifikia
Ubarikiwe saaana muchungaji
Barikiwa sana mtumishi
Dah you right kila mwanamke anaomba mwanaume mwema
2023
Nakubali mafudisho yako yananipigisha hatua
Ubarikiwe sanaa
Mchungajiubarkiw
Mungu aendelee kukutia nguvu mtumishi wa Bwana. Nipateje namba ya simu?
Somo zuri ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Safi sana
Toka nianze kukufuatilia nimebadilika Sana kiiman na kimawazo,, kwel baba unajua
Hili ndo neno la uzima..
Deo Tycoon amen
Jamani nitafusiriye,BOKOHARAMU manayake nini?
Muco Milkha gaidi
Ameen
nimependaa sana
Dream mate
Mchungaji ni kweli lkn hiyo tabasamu itakuja vpi na ni yy ailete kama yuafanya yakuudhi na machungu jamani tabasamu itakujaje?kuuliza tu
Amn san
Asante baba tuombeane
Aminaaa!!
kwel
Attention muhimu
Nimepata dozi ya yangu muchugaji barikiwa who is waching with me 🇨🇩🇧🇻
Ngoja kwanza kausha kama mwanajeshi anayekaguliwa mchungaji mimi nilichemsha lol
Kweli kabisa na anaongea vitu halisi na binadamu ndivyo tunavyovifanya na kwaza.barikiwa sanaa mtumish
Kweli asiyemjua alafu akishamuoa anamdunda huo ni ujasili
Amn
amina barikiwa
amen
Amen
huuu khatalii saana mzeeee
Ubalikiwe
Ingaliwezekana muweke haya nahubiri yakiwa kamilifu ningaliridhika zaidi;lakini hata hivyo,nimebarikiwa.. lakini ombi langu labakia tu tupate ujumbe kamilifu tukifuatilia kwa TH-cam Sisi wale hatuwezi kupatana naye moja kwa moja.
Kwel kbsa
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa, before haijafika chini ushakufa
Amen pastor
Sindano zinaingia paka bas
🤣🤣🤣
Kweli kapole
Yaani mungu akupe umri mrefu uendelee kuponya roho zetu
we njo unasema ukweli unafundisha ukweli wa kuskiya askiye
we njo umekuja kutukombowa
Theo Niyonkuru oh
Neno nzuli la uzima .asante sanaaa
Amina
joella niyonkuru ubarikiwe pasita
Mchungaji nimejikuta natikisa kichwa kama yananihusu vile
Pole sana my Dada
Mchunhaji wewe ni koboko
Shusha nondo
Hapo kusema intension umevhemka mchungaji ulimaanisha seeking attention.a ha kingereza kiende mbinguni
Dr Manager. products leta yakwako
Hapo kasema kinyakyusa lkn nadhani umeelewa
Dr Manager. products sawa muhariri, unajikuta daktari wa nini sijuwi,eti Dr manager.products, what the hell does that even suppose to mean 😏?
Naona wewe nawe ni attention seeker
Sikiliza mahubiri usepe,nkt!
Hapo hakuna kutikisa kichwa nikujikaza tu balikiwa sana mtumishi hapo umepiga penyewe
Ameeeeen
Ameen
Amen
Amen