PATANISHO: ALINIAMBIA ASHAPATA DEM WA NAIROBI HATAKI DEM WA USHAGO - NANCY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho #ongeausikike
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
I hear a cool guy na dame wa kiburi .. stupidity ya wanawake wengine entertaining others guys thinking wako na haja naye kikiumana unachwa mwenyewe...mwone huyu sasa
When this woman was receiving calls from her sideguy, never ask for our advice, neither she didn't wanted to hear from her man, 😅Sasa kimemraba, that's why she wants her man back..... what if mapenzi ya pembeni yangenoga??
Tena matusi na mdomo yake mbaya🤢
Ningekua yye ningewacha mtoi na mum yake akuje Gulf awache kujipendekeza mwanaume akichoka na wwe ata mrudiane hatakurespect,
Wachana na huyu manzi, wacha atafutane na wenye kumpigia simu.
I can't handle a mouthy woman too. Unaongea mingi
These two are still immature
Msichana ako na mdomo ata mimi siwezi ishi na kasuku. Vile tu jamaa amesema apeleke mtoto ama anyamazishe kadomo
Congratulations to ghost ..he plays his role perfectly...kucheka 😂😂😂😂
Jamaa fanya DNA na kama mtoto ni wako chukua ulee mtoto mwanamke apeleke kiburi kwa ex wake..Shenzi sana!!
Wacha kiwarambe kabisa juu wanawake waneamwa wataki kuchoka onasasa huyu
Lady is desparate liar and player.I doubt kama hata huyo mtoto ni wa huyo dan!.
Ukiachwa achika mungu atakufungulia milango Nancy
Mwanamke mwenyewe ako na safari ndefu sana
Utoto ndio inawasumbua wakikua watajua ni nn wanataka kwa maisha yao
Akirusha,narusha....😂😂😂😂hakuna ndoa hapo
Huyo demu anakaa anapenda wanaume hata akirudi she can't change
Alafu she is mouthy
Moja anafaa arudi nyuma ndio waelewane 🤣 tit for tat is not a fare game
Nancy fast of all uko na mdomo sana 😂😂second mtoto moja anafanya ulilie mwanaume yani mtoto afanye uishi kwa maisha ya kujipendekeza na ww sio kiwete that's too bad wachia mama mtoto enda kazi ukiwa na pesa zako ata heshi uwepo
Nancy mwanaume hapendi mwanamke wa mdomo plz 😅😅
Another lesson usiwahi acha kazi ju ya mwanaume 😢😢😂😂😂 atakudissapoint
😂😂😂usibishane na mwanaume bwana , we aren't and never will a man be equal to a woman ,
Huyu Mwanake ana ujeurinajabu. Hata kama ni mimi, siwezi ishi na yeye. Ako juu sana. Anaonekana ana mdomo kiasi. You can't keep a man with that attitude
This one is redeemable but if the girl atatulia, awe mnyenyekevu na mdomo mwingi.
Huyo msichana ako na mdomo sana hawezi kuoleka haeshimu mmeo...hana heshima ata! Bure kabisa
Kabisaaaa
Awa Bado ni wana akili za kitoto+uyo dame lazima atakuwa alikuwa na kitu kinaemdelea kati yake na uyo jamaa .,pia When it comes to relationships lazma mmoja akikuwa juu mwengine aweze kujishusha When it comes to tit for tat there is a place where the relationship It will go
Mwana dada wanaume hatutaki mikelele , unaongea kama cherehani , rudi uwe mtulivu na usipende kushindana na bwana. ati unanirushia na picha ya mmeo? SIMU ZA USIKU MWANAMKE NI HAPANA . DADA TULIA UOMBE MSAMAHA YAWEZEKANA UKASAMEHEKA.
Dada jipende achana na huyu mwanaume hautasaidika kwa marriages saa labda ukomae kiasi tu
Ukiolewa Kuna tabia inafaa kuacha more especially entertaining your former opposite gender colligues anyway this man is a gentleman,run bro ruuun huyu ikiwa anaongea hivi kwa radio na kwa nyumba je
Mambo na kuforce issues issa No kwangu
Ukiachwa achika Dan amesema hakutaki na bado unaforce issues,kama alimpigia akamwambia ampee mtoto akichoka hataki maneno yake sasa ni ukweli gani anataka?Nancy heal and move on wewe sio wa kwanza kuachwa
Niwanawake weye huwa wataki kujituma wanatenyemea mabwana atianabiwa awache job nayy anawacha
Unatuma picha ya mwanaume to your boyfriend 🤔 DNA needed
Gidi himiza vijana kuchukuwa majukumu ya ulezi tabia ya kuvalisha alafu ati mama akimkosea wanaacua kulea watoto that's very wrong vijana wengi wana take advantage ya innocent girls then provoke them to mess up alafu they dumb them and move to another victim. Tuambiane ukweli mtoto hajakosa lazima apate usaidizi kwa babake na malezi ya mama Ni muhimu. Wanaume hutupa watoto mama akishalea kwa taabu wanarudi kusumbua, ooh nataka mtoto wangu. Ama kuitisha pesa kwa mtoto akifaulu maisha. Shame on them.
Mbona dame was entertaining those calls from another guy.I sense those calls were not ordinary calls.
Absolutely, the calls were adulterous....dem mwenyewe ako na kiburi
Kuna makosa huyo dame alifanya.Akitusiwa anatusiana na kutuma picha ya mwanaume mwingine.Hii kushindana haiwezi jenga,itabomoa zaidi.
Kiherehere ya mwanamke. Enda huyo mwenye alikuwa anakupigia simu akuoe😂
Domo domo. Mwanaume amekasirika unamwambia $tyle Up! Wueh!
Jamaa sikiza babako
this is one of the real patanisho that i feel it's so emotional much is needed,
Huyu dem nae pia hako na utoto mwingi
😂😂😂😂hii mwaka tulisema ni kuforce issues 2024
Huyu dem atafute pesa aache mdomo...mm nalea mtoto wangu hata babake ajei muona nan jirani home sahi mtoi ako 10 years anasoma anavaa...baada ya kuona naendelea anataka turudiane...saudia inachanua single mother chanuka dada mwaume ukimulilia atajua huna pakuenda kubali kuteseka ju ya mtoto wako mpenzi atajileta hata sahi mm naringa kidogo 😂😂
mwanaume ajenge aache kuacha mabibi kwa nyumba ya wazazi
Of which used wrongly
Madam uko too much hakuna mwanaume anaweza kuishi na mtu kama wewe
Heshima iko chiniioo
Let's that guy support mtoto hiyo kiburi ni mbaya
how are you
Gidi mwana Dada ajiamliye chiya ingine adafude Kazi Manisha isonge Mimi Eunice kamonya nkiwa Saudia
Ni age tu that’s why wanatukanana
DNA muhimu.huyo msichana ana kidomo
huyu si mwanake, ety tunatusiana.
Ndoa ina mambo sana jamani
Weh let me tell you I once dated a kao. The mutumia had EGO pro-max. Mi hukaa chini nakumbuka nacheka kama ghost 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
My sister wachana n mdomo miiingi.. Hta dan mwenyewe ana story miingi... Ni wwe sister mwenzangu style up... N mdomo punguza...
Nancy awache kubishana na bwana
Aki wewe kaschana hunguza mndomo
We ajana n yeye mama usilie
Hii si patanisho hii ni kasuku ikae kwao si hao wanaume wamfeed
Wanaume wetu wakamba mnakuanga na kiburi wueh😂😂😂😂
Wakamba
Sasa wewe demu km ulim2mia mwanamme picha ya hawara,unamtaka wa nn? Kaka huyo demu hafai kuoa,Hawara akasepa, mwanamke ukiwa kwa ndoa una hawara,hawara anakupenda,ukiachika hawara anakukimbia, ukome na umalaya wako.Danny oa mwanamke mwingine mwenye adabu Mtoto gani wa2 wanaachwa na watoto 7 na wanalea sembuse huyo mmoja? Mchukue huyo mmoja c kakupa xawadi.
my friend ron ron ooh
Bro Fanya DNA..Kuna dem flani alikua ananipeleka speed hiyo design naskia huyo anakupeleka only to come and realize mtoi akua wangu..
Wakamba Gidi wachana nao kabisa........Those ladies! Wacha tu
This guy is better off without her
Dan is right, mwanamke hawezi jishusha Chini hamuwezi tafuta Maisha pamoja! Simu! Simu! Simu ni Sumu!
If I were the girl ningeachia mtoto mamake and go back to school
Bana hata mm niliachia mamangu na siwezi fwatana na baby daddy
Wakamba😂
Huyu dada akwede kwa huyo alikuwa akimpigia simu amuoe. Ukioleka sahau simu ovyo ovyo
ndio maana munawachiwa watoto wa four days
Kuwacha mtoto wa four days ni ujinga ya mama mtoto
Dem ukona kiherehere sana...hyo mdomo punguza pia mm siwezi kaa na hii kelele
Huyo mad hapana mdomo mingi sana
Sikuhizi ubaya ni matusi na kukosa heshima thats the fall ofsociety mtu hawezi sahau matusi.
Hii mambo ya kunyenyekea mwanaume namekwambia ati ako na dem wa Nairobi nabado unangangana kumfata huwa inatoka wapi juu misiwezi hii ujinga nandio huwa nambia wanawake mjitume hamsiki
😂😂😂😂😂kimemuramba
Huyu dem hajuwi venye wanaume wanakwanga na wivu mbaya
mwambia msichana atufute mwngne
Hata mm nilipitia shida kama but mungu to anajua to buy hyu demu ako na kiburi
Huyu Dame kama hii ndio mdomo its afact it cant work
Na si aende kwa hizo wanaume
These are the types of ladies to run from. Run for your life Kings, hapa stress tupuu
Uyu dam bado hajakomaa kidoa aki mdomo
Nancy nimdomo sana amekuja kugombana sio patanisho
Papapapapaa mdomo mingi sana
God will open the door for lady
Na hii kiburi yake .... she has a long way to go
Mdomo ndio inakosea wasichana
I love Gidis T-Shirts❤🩷💙🩵🤎🤍💚💛🩶🖤
Mimi siwezi tafuta bwana ati namuomba msamaha, na Niko na mikono miwili ya kufanyia kazi weee Wacha ikae
Ego
Naomba No ya huyo Dem
A cheater... Running mouth
Kudeal na a mouthy lady si rahisi. Pia jamaa ni immature pia. It is unfortunate there is a kid involved as well.
Well spoken. Very unfortunate.😢
Wawili n watoto
Ukweli dada Ako na mingi zaidi
Huyo msichana ako na mdomo sana
tit for tat.😅😅😅
Pray God
Which country is this 😮
Nairobi Kenya
Nancy my class mate 😅😅
Really mwambie namutaka
Uko n number yake
Ana mdomo sana huyo dame