PATANISHO: ALINIAMBIA ASHAPATA DEM WA NAIROBI HATAKI DEM WA USHAGO - NANCY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho #ongeausikike
    Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220

ความคิดเห็น • 113

  • @denifrans2803
    @denifrans2803 7 หลายเดือนก่อน +9

    I hear a cool guy na dame wa kiburi .. stupidity ya wanawake wengine entertaining others guys thinking wako na haja naye kikiumana unachwa mwenyewe...mwone huyu sasa

  • @JohnRuigu-t9x
    @JohnRuigu-t9x 7 หลายเดือนก่อน +1

    When this woman was receiving calls from her sideguy, never ask for our advice, neither she didn't wanted to hear from her man, 😅Sasa kimemraba, that's why she wants her man back..... what if mapenzi ya pembeni yangenoga??
    Tena matusi na mdomo yake mbaya🤢

  • @254treading
    @254treading 4 หลายเดือนก่อน

    Ningekua yye ningewacha mtoi na mum yake akuje Gulf awache kujipendekeza mwanaume akichoka na wwe ata mrudiane hatakurespect,

  • @TK-pi1vr
    @TK-pi1vr 7 หลายเดือนก่อน

    Wachana na huyu manzi, wacha atafutane na wenye kumpigia simu.

  • @mancasterkilungya6980
    @mancasterkilungya6980 7 หลายเดือนก่อน

    I can't handle a mouthy woman too. Unaongea mingi

  • @dondonellsimeon9017
    @dondonellsimeon9017 7 หลายเดือนก่อน

    These two are still immature

  • @domiequrady
    @domiequrady 7 หลายเดือนก่อน +6

    Msichana ako na mdomo ata mimi siwezi ishi na kasuku. Vile tu jamaa amesema apeleke mtoto ama anyamazishe kadomo

  • @faithndanu2589
    @faithndanu2589 7 หลายเดือนก่อน +9

    Congratulations to ghost ..he plays his role perfectly...kucheka 😂😂😂😂

  • @goddymtrue
    @goddymtrue 7 หลายเดือนก่อน +10

    Jamaa fanya DNA na kama mtoto ni wako chukua ulee mtoto mwanamke apeleke kiburi kwa ex wake..Shenzi sana!!

    • @galaxyqwer7438
      @galaxyqwer7438 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wacha kiwarambe kabisa juu wanawake waneamwa wataki kuchoka onasasa huyu

  • @dan-sh8xk
    @dan-sh8xk 7 หลายเดือนก่อน +4

    Lady is desparate liar and player.I doubt kama hata huyo mtoto ni wa huyo dan!.

  • @VeronicaWambua-dt8go
    @VeronicaWambua-dt8go 7 หลายเดือนก่อน +11

    Ukiachwa achika mungu atakufungulia milango Nancy

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 7 หลายเดือนก่อน +6

    Mwanamke mwenyewe ako na safari ndefu sana

  • @chullakoi8803
    @chullakoi8803 7 หลายเดือนก่อน +8

    Utoto ndio inawasumbua wakikua watajua ni nn wanataka kwa maisha yao

  • @lindahatieno7010
    @lindahatieno7010 7 หลายเดือนก่อน +7

    Akirusha,narusha....😂😂😂😂hakuna ndoa hapo

  • @walterogaro8547
    @walterogaro8547 7 หลายเดือนก่อน +7

    Huyo demu anakaa anapenda wanaume hata akirudi she can't change

    • @Lashymreal96
      @Lashymreal96 7 หลายเดือนก่อน +1

      Alafu she is mouthy

  • @supu1237
    @supu1237 7 หลายเดือนก่อน +3

    Moja anafaa arudi nyuma ndio waelewane 🤣 tit for tat is not a fare game

  • @motheroftwo-rs5nx
    @motheroftwo-rs5nx 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nancy fast of all uko na mdomo sana 😂😂second mtoto moja anafanya ulilie mwanaume yani mtoto afanye uishi kwa maisha ya kujipendekeza na ww sio kiwete that's too bad wachia mama mtoto enda kazi ukiwa na pesa zako ata heshi uwepo

  • @NancyKadenge
    @NancyKadenge 7 หลายเดือนก่อน +5

    Nancy mwanaume hapendi mwanamke wa mdomo plz 😅😅

  • @LoniceMbori
    @LoniceMbori 7 หลายเดือนก่อน +3

    Another lesson usiwahi acha kazi ju ya mwanaume 😢😢😂😂😂 atakudissapoint

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa5956 7 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂usibishane na mwanaume bwana , we aren't and never will a man be equal to a woman ,

  • @KIlonzo111
    @KIlonzo111 7 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu Mwanake ana ujeurinajabu. Hata kama ni mimi, siwezi ishi na yeye. Ako juu sana. Anaonekana ana mdomo kiasi. You can't keep a man with that attitude

  • @kamwaraeric5743
    @kamwaraeric5743 7 หลายเดือนก่อน +4

    This one is redeemable but if the girl atatulia, awe mnyenyekevu na mdomo mwingi.

  • @benjaminmwikya6936
    @benjaminmwikya6936 7 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo msichana ako na mdomo sana hawezi kuoleka haeshimu mmeo...hana heshima ata! Bure kabisa

  • @alicemonyo5717
    @alicemonyo5717 7 หลายเดือนก่อน +3

    Awa Bado ni wana akili za kitoto+uyo dame lazima atakuwa alikuwa na kitu kinaemdelea kati yake na uyo jamaa .,pia When it comes to relationships lazma mmoja akikuwa juu mwengine aweze kujishusha When it comes to tit for tat there is a place where the relationship It will go

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana dada wanaume hatutaki mikelele , unaongea kama cherehani , rudi uwe mtulivu na usipende kushindana na bwana. ati unanirushia na picha ya mmeo? SIMU ZA USIKU MWANAMKE NI HAPANA . DADA TULIA UOMBE MSAMAHA YAWEZEKANA UKASAMEHEKA.

  • @FranciscaMutua-m2k
    @FranciscaMutua-m2k 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dada jipende achana na huyu mwanaume hautasaidika kwa marriages saa labda ukomae kiasi tu

  • @Debbyobabi
    @Debbyobabi 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ukiolewa Kuna tabia inafaa kuacha more especially entertaining your former opposite gender colligues anyway this man is a gentleman,run bro ruuun huyu ikiwa anaongea hivi kwa radio na kwa nyumba je

  • @Lashymreal96
    @Lashymreal96 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mambo na kuforce issues issa No kwangu

  • @marrieann5278
    @marrieann5278 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiachwa achika Dan amesema hakutaki na bado unaforce issues,kama alimpigia akamwambia ampee mtoto akichoka hataki maneno yake sasa ni ukweli gani anataka?Nancy heal and move on wewe sio wa kwanza kuachwa

    • @galaxyqwer7438
      @galaxyqwer7438 7 หลายเดือนก่อน

      Niwanawake weye huwa wataki kujituma wanatenyemea mabwana atianabiwa awache job nayy anawacha

  • @liliannyam7391
    @liliannyam7391 7 หลายเดือนก่อน

    Unatuma picha ya mwanaume to your boyfriend 🤔 DNA needed

  • @tumisiokonyo1028
    @tumisiokonyo1028 5 หลายเดือนก่อน

    Gidi himiza vijana kuchukuwa majukumu ya ulezi tabia ya kuvalisha alafu ati mama akimkosea wanaacua kulea watoto that's very wrong vijana wengi wana take advantage ya innocent girls then provoke them to mess up alafu they dumb them and move to another victim. Tuambiane ukweli mtoto hajakosa lazima apate usaidizi kwa babake na malezi ya mama Ni muhimu. Wanaume hutupa watoto mama akishalea kwa taabu wanarudi kusumbua, ooh nataka mtoto wangu. Ama kuitisha pesa kwa mtoto akifaulu maisha. Shame on them.

  • @Big-a-low
    @Big-a-low 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona dame was entertaining those calls from another guy.I sense those calls were not ordinary calls.

    • @Sirden_i
      @Sirden_i 7 หลายเดือนก่อน

      Absolutely, the calls were adulterous....dem mwenyewe ako na kiburi

  • @njuhinyararaofficial
    @njuhinyararaofficial 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna makosa huyo dame alifanya.Akitusiwa anatusiana na kutuma picha ya mwanaume mwingine.Hii kushindana haiwezi jenga,itabomoa zaidi.

  • @diackomwansu660
    @diackomwansu660 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kiherehere ya mwanamke. Enda huyo mwenye alikuwa anakupigia simu akuoe😂

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 7 หลายเดือนก่อน +1

    Domo domo. Mwanaume amekasirika unamwambia $tyle Up! Wueh!

  • @esthergachiri4799
    @esthergachiri4799 7 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaa sikiza babako

  • @isaackgat1957
    @isaackgat1957 7 หลายเดือนก่อน +2

    this is one of the real patanisho that i feel it's so emotional much is needed,

  • @saidimzagula6168
    @saidimzagula6168 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dem nae pia hako na utoto mwingi

  • @emilywangui
    @emilywangui 7 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂hii mwaka tulisema ni kuforce issues 2024

  • @BridgitNafula-xq7xe
    @BridgitNafula-xq7xe 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dem atafute pesa aache mdomo...mm nalea mtoto wangu hata babake ajei muona nan jirani home sahi mtoi ako 10 years anasoma anavaa...baada ya kuona naendelea anataka turudiane...saudia inachanua single mother chanuka dada mwaume ukimulilia atajua huna pakuenda kubali kuteseka ju ya mtoto wako mpenzi atajileta hata sahi mm naringa kidogo 😂😂

  • @MAKUENICRH
    @MAKUENICRH 5 หลายเดือนก่อน

    mwanaume ajenge aache kuacha mabibi kwa nyumba ya wazazi

  • @maxwellyiema
    @maxwellyiema 7 หลายเดือนก่อน +2

    Of which used wrongly

  • @carenmusyoka6519
    @carenmusyoka6519 6 หลายเดือนก่อน

    Madam uko too much hakuna mwanaume anaweza kuishi na mtu kama wewe

  • @mallyadativer6393
    @mallyadativer6393 7 หลายเดือนก่อน +2

    Heshima iko chiniioo

  • @carolinekarimi9722
    @carolinekarimi9722 7 หลายเดือนก่อน +2

    Let's that guy support mtoto hiyo kiburi ni mbaya

  • @EuniceK-dh3rk
    @EuniceK-dh3rk 7 หลายเดือนก่อน +1

    Gidi mwana Dada ajiamliye chiya ingine adafude Kazi Manisha isonge Mimi Eunice kamonya nkiwa Saudia

  • @carolinekioko7078
    @carolinekioko7078 6 หลายเดือนก่อน

    Ni age tu that’s why wanatukanana

  • @josephNdichu879
    @josephNdichu879 7 หลายเดือนก่อน +1

    DNA muhimu.huyo msichana ana kidomo

  • @Waziri77
    @Waziri77 7 หลายเดือนก่อน +1

    huyu si mwanake, ety tunatusiana.

  • @Tarkwen
    @Tarkwen 4 หลายเดือนก่อน

    Ndoa ina mambo sana jamani

  • @Melovemacolour
    @Melovemacolour 7 หลายเดือนก่อน

    Weh let me tell you I once dated a kao. The mutumia had EGO pro-max. Mi hukaa chini nakumbuka nacheka kama ghost 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @agnesmueni655
    @agnesmueni655 7 หลายเดือนก่อน

    My sister wachana n mdomo miiingi.. Hta dan mwenyewe ana story miingi... Ni wwe sister mwenzangu style up... N mdomo punguza...

  • @FaithWafula-uf8fy
    @FaithWafula-uf8fy 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nancy awache kubishana na bwana

  • @annnyokabi4631
    @annnyokabi4631 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aki wewe kaschana hunguza mndomo

  • @abdallaamwalimu8705
    @abdallaamwalimu8705 7 หลายเดือนก่อน +1

    We ajana n yeye mama usilie

  • @esthergachiri4799
    @esthergachiri4799 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hii si patanisho hii ni kasuku ikae kwao si hao wanaume wamfeed

  • @jerodinendanu5029
    @jerodinendanu5029 7 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wetu wakamba mnakuanga na kiburi wueh😂😂😂😂

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe demu km ulim2mia mwanamme picha ya hawara,unamtaka wa nn? Kaka huyo demu hafai kuoa,Hawara akasepa, mwanamke ukiwa kwa ndoa una hawara,hawara anakupenda,ukiachika hawara anakukimbia, ukome na umalaya wako.Danny oa mwanamke mwingine mwenye adabu Mtoto gani wa2 wanaachwa na watoto 7 na wanalea sembuse huyo mmoja? Mchukue huyo mmoja c kakupa xawadi.

  • @solomonoduor
    @solomonoduor 3 หลายเดือนก่อน

    my friend ron ron ooh

  • @kaystyle614
    @kaystyle614 7 หลายเดือนก่อน

    Bro Fanya DNA..Kuna dem flani alikua ananipeleka speed hiyo design naskia huyo anakupeleka only to come and realize mtoi akua wangu..

  • @alfarmurimi9085
    @alfarmurimi9085 7 หลายเดือนก่อน

    Wakamba Gidi wachana nao kabisa........Those ladies! Wacha tu

  • @fidelarthur9656
    @fidelarthur9656 7 หลายเดือนก่อน +1

    This guy is better off without her

  • @AlexMumoMalonza
    @AlexMumoMalonza 7 หลายเดือนก่อน

    Dan is right, mwanamke hawezi jishusha Chini hamuwezi tafuta Maisha pamoja! Simu! Simu! Simu ni Sumu!

  • @chelimovashit9091
    @chelimovashit9091 7 หลายเดือนก่อน +1

    If I were the girl ningeachia mtoto mamake and go back to school

    • @Belindah2018
      @Belindah2018 7 หลายเดือนก่อน

      Bana hata mm niliachia mamangu na siwezi fwatana na baby daddy

  • @jerodinendanu5029
    @jerodinendanu5029 7 หลายเดือนก่อน

    Wakamba😂

  • @jmmtm
    @jmmtm 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu dada akwede kwa huyo alikuwa akimpigia simu amuoe. Ukioleka sahau simu ovyo ovyo

  • @mercymcgill100
    @mercymcgill100 7 หลายเดือนก่อน +1

    ndio maana munawachiwa watoto wa four days

    • @emilysawayi5787
      @emilysawayi5787 7 หลายเดือนก่อน

      Kuwacha mtoto wa four days ni ujinga ya mama mtoto

  • @hanxelmuindi8718
    @hanxelmuindi8718 7 หลายเดือนก่อน

    Dem ukona kiherehere sana...hyo mdomo punguza pia mm siwezi kaa na hii kelele

  • @emmaculatekyakashow
    @emmaculatekyakashow 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mad hapana mdomo mingi sana

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 7 หลายเดือนก่อน

    Sikuhizi ubaya ni matusi na kukosa heshima thats the fall ofsociety mtu hawezi sahau matusi.

  • @galaxyqwer7438
    @galaxyqwer7438 7 หลายเดือนก่อน

    Hii mambo ya kunyenyekea mwanaume namekwambia ati ako na dem wa Nairobi nabado unangangana kumfata huwa inatoka wapi juu misiwezi hii ujinga nandio huwa nambia wanawake mjitume hamsiki

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂kimemuramba

  • @emmyshantel2211
    @emmyshantel2211 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu dem hajuwi venye wanaume wanakwanga na wivu mbaya

  • @marcelsamora9194
    @marcelsamora9194 7 หลายเดือนก่อน +2

    mwambia msichana atufute mwngne

  • @AmAm-su6ce
    @AmAm-su6ce 7 หลายเดือนก่อน

    Hata mm nilipitia shida kama but mungu to anajua to buy hyu demu ako na kiburi

  • @mumbisandtmann8931
    @mumbisandtmann8931 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu Dame kama hii ndio mdomo its afact it cant work

  • @barygarcia3128
    @barygarcia3128 7 หลายเดือนก่อน

    Na si aende kwa hizo wanaume

  • @ericsart8
    @ericsart8 7 หลายเดือนก่อน

    These are the types of ladies to run from. Run for your life Kings, hapa stress tupuu

  • @zipporahmburu5240
    @zipporahmburu5240 7 หลายเดือนก่อน

    Uyu dam bado hajakomaa kidoa aki mdomo

  • @Quilant749
    @Quilant749 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nancy nimdomo sana amekuja kugombana sio patanisho

  • @tabithakamau2608
    @tabithakamau2608 7 หลายเดือนก่อน

    Papapapapaa mdomo mingi sana

  • @emmaculatekyakashow
    @emmaculatekyakashow 7 หลายเดือนก่อน +1

    God will open the door for lady

    • @Sirden_i
      @Sirden_i 7 หลายเดือนก่อน

      Na hii kiburi yake .... she has a long way to go

  • @franciskiarie3396
    @franciskiarie3396 7 หลายเดือนก่อน

    Mdomo ndio inakosea wasichana

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 7 หลายเดือนก่อน

    I love Gidis T-Shirts❤🩷💙🩵🤎🤍💚💛🩶🖤

  • @ShisShiks
    @ShisShiks 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi siwezi tafuta bwana ati namuomba msamaha, na Niko na mikono miwili ya kufanyia kazi weee Wacha ikae

  • @felismbithe4761
    @felismbithe4761 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba No ya huyo Dem

  • @edmondanyonaombaye3340
    @edmondanyonaombaye3340 7 หลายเดือนก่อน

    A cheater... Running mouth

  • @malukidavid5265
    @malukidavid5265 7 หลายเดือนก่อน

    Kudeal na a mouthy lady si rahisi. Pia jamaa ni immature pia. It is unfortunate there is a kid involved as well.

    • @bobomambia7062
      @bobomambia7062 7 หลายเดือนก่อน

      Well spoken. Very unfortunate.😢

  • @neliuswaithera512
    @neliuswaithera512 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wawili n watoto

  • @EricAbega-n1e
    @EricAbega-n1e 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo msichana ako na mdomo sana

  • @sabatoager
    @sabatoager 7 หลายเดือนก่อน

    tit for tat.😅😅😅

  • @emmaculatekyakashow
    @emmaculatekyakashow 7 หลายเดือนก่อน

    Pray God

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 7 หลายเดือนก่อน

    Which country is this 😮

  • @mtoiiwamama
    @mtoiiwamama 7 หลายเดือนก่อน

    Nancy my class mate 😅😅

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb 7 หลายเดือนก่อน

    Ana mdomo sana huyo dame