PATANISHO : ANANIPENDAJE NA AKONA MKISII - FEDY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Wakwanza hapa pita na like
I like you...fromUS
i like you from Kenya😂😂😂😂😂@@georgeogumogum837
@@georgeogumogum837 mmmh
@@agneswanjihia13832
@@agneswanjihia1383
mmmh ? !!! Hujui kizuri cha jiuza, kibaya cha jitemveza ?
Team gulf 💪 wapi likes ❤❤❤😊
Qatar 🇶🇦
Woiye..Fedy chukua watoto😢😢 wanateseka💔
After kuteswa ma bwana yake, watoto pia wakokua, bado watalaumu mama. I have witnessed this more than once, twice..
Me acha nibakie kuskia ndoa na mapenzi na kuonea view sasa juu wee single ni life tamu sana .
Tusidanganyane nobody is of age and enjoying singlehood. We’ve been there we know no matter how rich one is..
@@Prisca.W now a days no true love kheri mtu abaki single juu wah .
I doubt that@@zahraabdul9652
@@Prisca.W
*True* Better be a punching bag than solo. JINGOoo Hii.
Waah
Huyu jamaa ni fala sana 😂😂😂
Aki mapenzi 😂😂Ati ii miaka n mingi atuezi wachana 😅watu wanaishi ata miaka50 na wanaachana
Feddy kaa maisha yako na ujikaze na maishako wachana kabsa na uyo mwanaume, he is talking as if she does have an option, mwanaume mjinga sana,
Finally I here the kales wakiongea😂
Any Tanzanian here 👋
Niko
Tupo
Helloo🇹🇿
Hii,,,,dar mpaka mologolo
Mkisii was chilling😂
😂😂then joined gaaki ntige pii
Tuache sisi ndo tuko
Vihiga locked 🔒
wakalee tumefikiwa😂😂😂
😂😂😂 waaaaaah
yes Bwana Gidi, that's respect 😂😂😂😂😂
❤gidi nataka patanisho Aston na make wangu Asenal
Bungoma county locked in
Mkisii was just chilling 😂😂😂😂
Hili chupa hatari.
Mko vizuri jamaa.
This is chairman of nersccist 😅
Truuuue
Bureeeee!
The type of man I was married to
Sorry
Kamtu kajeuri kweli kweli!
Force by fire 🔥🔥
Alikuuma inself defence
Busia county locked in
Forgive each other please. You have along way to go in your marriage. You have children & they should not suffer because of your differences, they need you🙏
Unataka anyongwe.
Nashangaa huyo mwanaume ni gaidi kwanza anaongea vibaya sana na ni hatari.
Alafu aka uwawe😢😢😡
Huyu mtu ni shetani😡😡 Fedy dont go back.Go take youre childern please
It can never be me
Wakale mko kwa redio bana😅😅
Kwanza nani aliambia hawa wanaume kuchapanga wanawake round hii mtati
This not the first Kissii wala wa tano. What's wrong with these people? Pia Meru muache ujinga.
Robert ni mbwa tu
Nugu mzee pia 🚮🚮🚮🚮
Mama ndie Mbwa Kubwa. Ataka kurudi aendelee kuteswa. Pia na watoto wake.
Abusers pia hugeukia watoto at the same time or baadae. Usidangamwe, abuser
-s ni Shetani. Hajui mtoto wala mtu mzima
Yeye ufyeka fyeka wot
-e, akihadaa watu; "Mwaona vile napenda watoto wangu?" Na kumbe, hata pia ashaanza kuwalala. Even girls wa chini ya miaka 5. I promise u this. Hili ni aibu zaidi, hata familia hujaribu juu chini kuficha mambo hayo.
Ety mkisii 😢😢😢😢😢
Kweli hawa watu... wanajiharibia jina.
Wakaleeee😮😮😮😮😮
Udaku ya ploti.....ngoriiii😂😂
Ati udaku si ni ukweli hata yeye mwenyewe amesema ukweli.
Na vita, na kunyongwa, na kunyanganywa pesa umefanyia kazi, na kunyanganywa ID?
@@carolinenjoroge9092 😂😂 Caroline sijakataaa
Huu mwaka ni wakufosi kweli 😅😅😂😂😂
Waaah
Mkale kwa vita ,ni nomaa ata sometimes wao uuma kwa kutumia meno
Wao huruma bila kutaka😂😂 akikukaribia meno ulifika mbele yake😅
Huyu Mwanaume hapana
Chukua watoto but usirudie huyo mzee
Mapenztawee
𝐇𝐮𝐲𝐮 𝐧𝐚𝐞 𝐧𝐢𝐡𝐚𝐭𝐚𝐫𝐢 𝐚𝐭𝐚𝐦𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐛𝐲𝐟𝐨𝐫𝐜𝐞😂😂
Huyu mwanaume ni mshenzi sana
😂😂😂mkisii kujia mzee wako gaaki
Mipango za kando zinawamaliza wanaume ,,,si mkae huko huko tu😂😂😂😂
ATI HUYU NI BIBI YANGU HAWEZI ENDA MAHALI NITAMWENDEA BY FORCE .WEEE 😢😢😢
Walai hawa wanaume wanatutesa aki, nairobi hiyo ndio kazi wanafanya nairobi
Punngoma locked
hasira ya mkisi wachia chui
Hahahaaa. Hasira ya mkizi * furaha ya mvuvi. For those who don't know or hawakumbuki. Ni kama; "Mpiga ngumi ukuta, huumiza mkonowe".
Anakaa na id na hajalipa hata mahari😅
Audacity😂😂😂
Ati mtu anaita mwengine propertie yake ata panya hajapeleka kwao 😮run huyu atakunyonga
Wah
Wakalee
Any kisii like😂
gidi ambia goast mlee asale kucheka hivyo yeye ubore sama
Hawa waturudiana
Ati utamwendea by force.zile enzi za mababu zetu😕
Ghost mkisii😅 usicheke
Me napita tu 😂😂😂
Mama brian usirudie uyo mtu nim, uwaji
Kwani ni by force, cool down man
Kimbia dadangu hakuna amani kichapo kunyongwa mwisho guess what next na bado kazi ngumu mjengo nooo
By force???😂😂😂
Why he still talking with mpanga wakanda. The solution to stop talking with that mama. And asked the forgiveness. Children are innocent please mama
Mali yko na ujalipa mahari
Kichwa yko mbya ama
Nyinyi ni watoto mnatesha na hio ujinga yenu
kipsigis,koroom
😂😂😂, wacha huyo jamaa achukue mchana wa president ,juu akna mtu atamdai mali
Kwa kimila lazima ulipe mahari...
This marriage is toxic
Huyu ni ngombe ya binadamu
Na anajua I'd ruto alipandishia ni 2k hii ni punda na mwanaume,feddy labat kabsa koroom jiji
Kwani unajukua I'd ndio amzuie, utakaa na ao watoto, pia atafute mume mwenye mpenzi, kwenda huko
Mwanaume pumbavu kabisa
Hii ni ng'ombe ya mwanaume
Mipango ya kando ni kitu kitakufanya umwache mume wako bora anipe kila kitu sipanduki labda amue kuniacha pekee yake.
😢😢
Kuchapwa vita za mwili akinyongwa akae afe...tujifunze kujipenda
😂😂 Ngoja uletewe ukimwi
@@ruththatcher577huyu hajielewi anafaa aheal ndio ajue thamani yake😂
Akupe kaswende or HIV bado uko nae? Endelea basi, kama unajichukia hivyo. Na hivyo hivyo ndivyo utafunza watoto wako; kwa mifano mibaya.