EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA Ataja WACHEZAJI Anaowapenda BONGO, AJIB Yumo..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2019
  • EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA Ataja WACHEZAJI Anaowapenda BONGO, AJIB Yumo..
    Miongoni mwa watangazaji wa mpira wenye mbwembwe zaidi nchini ni pamoja na Baraka Mpenja, ambaye akiwa anatangaza mpira basi utatamani usiishe aendelee kutangaza tu...
    Global TV imemtafuta Baraka Mpenja, na kuzungumza nae alianzia wapi kufanya kazi hiyo mpaka hapa alipo sasa..
    #BarakaMpenja
    th-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 205

  • @meshackyudi9487
    @meshackyudi9487 4 ปีที่แล้ว +2

    Baraka mpenja sauti ya radi.upo juu Sana anko.lets say keep it up

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 4 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana kijana,umejaaliwa kipaji...huwa napata mzuka sana unapokuwa unatangaza.

  • @barakamagesa4973
    @barakamagesa4973 4 ปีที่แล้ว +3

    Ww unaatari xana nakukubali xana
    Mpenja kazi unaiweza

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 4 ปีที่แล้ว +7

    Baraka unajua bhana, big up Sana mzee

  • @saidmbiro2365
    @saidmbiro2365 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana mpenja!wengi hawasemi ukweli kuhusu MAISHA yao walikotoka!Congratulate!!!!

  • @ommybroun1128
    @ommybroun1128 4 ปีที่แล้ว +10

    daaaah kiukwel mm nakupenda san kaka mpenja yan

  • @evelinerichard7631
    @evelinerichard7631 4 ปีที่แล้ว +7

    kaza boot mpenja nafasi hiyo inanyemelewa komaa hapa mjini bana Azam patamu. Good job

  • @deograciousmaganiko3917
    @deograciousmaganiko3917 4 ปีที่แล้ว +2

    Baraka Mpenja sauti ya rad!!!!you are good guy keep it up!!!!!!

  • @haibasalehe3568
    @haibasalehe3568 4 ปีที่แล้ว +10

    Utamsikia
    Asallaam alleykum watz
    Wenu barak mpenja

  • @adamjuma4261
    @adamjuma4261 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana mkuu hongera sana. Wewe ukiwa unatangaza basi mimi namkumbuka ezekiel mwalongo mungu marehemu hakika unakipaji mkuu

  • @issabosco3531
    @issabosco3531 4 ปีที่แล้ว +16

    Akitangaza2 unajua mpira utamu wake, upo vizur sana big up

  • @yangasimba9408
    @yangasimba9408 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali xana Baraka

  • @baisertz4855
    @baisertz4855 4 ปีที่แล้ว +1

    Mi namkubali sana uyu jamaa baraka mpenja hongera bro

  • @peterseveline8776
    @peterseveline8776 2 ปีที่แล้ว

    Mkuu we sio mchezo big up kwako.

  • @amanikuntamya9698
    @amanikuntamya9698 4 ปีที่แล้ว +1

    Daaaa wewe brother unakipaji kama Mimi pia nakupenda sana unapo toa maneno yako ya kitaaa goli la kwanza ni tamu tamu

  • @boscojumanne2374
    @boscojumanne2374 3 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri baraka mpenja

  • @chataboetz2600
    @chataboetz2600 4 ปีที่แล้ว +53

    kama umeona MPEnja kachangamka kuliko anayemuhoji
    gonga like twende sawa

  • @antonkomba4025
    @antonkomba4025 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali sana

  • @wazidimahenge2811
    @wazidimahenge2811 4 ปีที่แล้ว +9

    Safi sana Baraka mpenja
    Mwanafunzi wetu wa Isuto secondary wilaya ya mbeya mkoani mbeya

  • @jelistakasochela8992
    @jelistakasochela8992 4 ปีที่แล้ว +1

    Good mate,umesahau tokea shule ulipenda kutangaza misosi

  • @ashelyabel3008
    @ashelyabel3008 4 ปีที่แล้ว +5

    Hugo jamaa ndie kanifanya niwe nafuatilia mpira kwa utangazaji wake mashuhuri

  • @mkombauchale3097
    @mkombauchale3097 4 ปีที่แล้ว +4

    yes sauti ya radi

  • @zaituniintiaz8431
    @zaituniintiaz8431 4 ปีที่แล้ว +4

    Nataka mechi zote atangaze mpenja kiswahili chake kinakupa furaha sana uchoki kusikiliza

  • @hezronsolomon4714
    @hezronsolomon4714 4 ปีที่แล้ว

    Unaweza sana broooo mungu kakuteu kutupa rahaaaa

  • @athumaniwazirisengoli4321
    @athumaniwazirisengoli4321 4 ปีที่แล้ว +1

    Bi up brother

  • @jumakatanga7438
    @jumakatanga7438 4 ปีที่แล้ว +1

    Morrison.. Ndevu za Caranteen..

    • @jumakatanga7438
      @jumakatanga7438 4 ปีที่แล้ว

      Shikalo Yanga Wanakutaka Kenya Wanakutaka kakaa.. Lilikua Bonge LA Goal LA Aidan

  • @user-ue7oj5xr8e
    @user-ue7oj5xr8e 2 หลายเดือนก่อน +1

    good boy

  • @faymaulid7850
    @faymaulid7850 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana kaka ile mechi ya Simba na Nkana

  • @michaelkafimbi8370
    @michaelkafimbi8370 4 ปีที่แล้ว +7

    hujawahi kuniangusha toka nianze kukufatilia ,,,

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaha hahahaah
    Namimi nijaribu
    Wayaaaa wayaaaa goli la mwisho ni tamu Kama mlendaaaa

  • @evaristgamba4204
    @evaristgamba4204 4 ปีที่แล้ว +1

    mpenja nakukubari sana bro....uwa najaribu kwa Saut ya juu kurudia kile ulichokitamka....najua we ni msimbaz hahah....

  • @stewartjohn5338
    @stewartjohn5338 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpenja kama Kinyambe

  • @ibrahimgyunda3548
    @ibrahimgyunda3548 2 ปีที่แล้ว

    Umejaliwa

  • @victormwakapelo6046
    @victormwakapelo6046 4 ปีที่แล้ว +6

    Bhanyambalaaaa ebu tulike hapa

  • @lailatyabdallah1723
    @lailatyabdallah1723 4 ปีที่แล้ว +2

    Namkubali Sana huyu jamaa

  • @amosmashauri7680
    @amosmashauri7680 4 ปีที่แล้ว +1

    Namwelewa sana jamaa

  • @norberththobias228
    @norberththobias228 4 ปีที่แล้ว +1

    Namba moja bongo

  • @eduashimsulaji2864
    @eduashimsulaji2864 4 ปีที่แล้ว +1

    unajuwa sana kaka

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaaan hayo mahojiano bas watyu watahusisha 👎 Usimba na Yanga

  • @shabanimiyumbaniki9376
    @shabanimiyumbaniki9376 4 ปีที่แล้ว +2

    Mkn baraka mpenja

    • @samusonsamwel2567
      @samusonsamwel2567 4 ปีที่แล้ว

      Macho yako yanaona kama yangu goli gani ilo

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 4 ปีที่แล้ว +4

    Goal limelia mbu mbuu Kama ngoma ya daku

  • @musamtafya2471
    @musamtafya2471 4 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri Kaká mpenja da

  • @abedinegomgeni6932
    @abedinegomgeni6932 4 ปีที่แล้ว +1

    Daaa no nouma

  • @charlesmanhe8012
    @charlesmanhe8012 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana mpenja uko vizuri

  • @nasrythedone1315
    @nasrythedone1315 4 ปีที่แล้ว +31

    Leo naombeni lk zangu nimekuwa wa kwanza

  • @amosimengele2396
    @amosimengele2396 4 ปีที่แล้ว +1

    Saaaaaan mzee kwtu isuto

    • @josephdaud592
      @josephdaud592 4 ปีที่แล้ว

      aiseee unapo mpamba makobo bich najisikaa raha sana

  • @jafariufukuufuku5641
    @jafariufukuufuku5641 4 ปีที่แล้ว +1

    pamoja mpenja nakuerewa sana kaka

  • @hassanhussen734
    @hassanhussen734 4 ปีที่แล้ว +1

    Yan mpenja saut yak unafany mpira unoge mpenj ww ni shida

  • @sitivuchahe
    @sitivuchahe ปีที่แล้ว

    nakukubali san

  • @maulidhamad3731
    @maulidhamad3731 4 ปีที่แล้ว +2

    Ilikua Sina time ya kuangalia mpora was bongo ila jamaa amenishawishi kwa utangazaji wake, sante mpenja

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 4 ปีที่แล้ว +4

    Huyu Mpenja anafanana flani ivi na Hamad Ndikumana marehemu mume wa Uwoya

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 4 ปีที่แล้ว +5

    Korea ya Kusini na Japan. Siyo Korea ya Kaskazini

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaj WA mpira mweny vionjo rukuki, Hivi macho yake yanaona km mimi

  • @juliuskiganza2072
    @juliuskiganza2072 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hiyo mpenja tv siipati?

  • @vascokasambala2159
    @vascokasambala2159 4 ปีที่แล้ว +16

    Yupo simba

  • @abedinegoelias9616
    @abedinegoelias9616 4 ปีที่แล้ว +9

    Napitia kanuni za FIFA hiv magoli kama haya yanaruhusiwa kweli chama? Yemweyemwe......! Duu...! Ile cku bas tu kwakweli

    • @linajames6648
      @linajames6648 4 ปีที่แล้ว

      Hivi MAULID WA kitenge yupo wapi?

  • @jumamhando4546
    @jumamhando4546 4 ปีที่แล้ว +39

    Wanao xemaa huy jamaa yanga naomben like zen hap

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 4 ปีที่แล้ว +3

    Hahaha ivi macho yako yanaona kama mimi?

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 4 ปีที่แล้ว +5

    Mpenja mtanzania na mtangazaji anaongoza kwa kupendwa na watu

  • @exaverykapiry1811
    @exaverykapiry1811 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpenja we noooooama saaana kama Ezekielly Malongo vile

  • @trebajmagambo2956
    @trebajmagambo2956 3 ปีที่แล้ว

    Baraka mpenja Nimoja ya watangazaji Duniani ninaempenda kuliko Mtangazaji mwingine yeyote Duniahii

  • @hajihisen9649
    @hajihisen9649 4 ปีที่แล้ว

    Kweli Mpenjaweninoma maanaulimuulizachama chamaanataka kufanyann na akakupajibu

  • @jumamnyoka6931
    @jumamnyoka6931 4 ปีที่แล้ว

    nakubali brother

  • @meddy0812
    @meddy0812 3 ปีที่แล้ว

    Baraka Mpenja anazingua kitu kimoja tu na najiuliza Sana kwanini yeye utangazaji wake ni MKAPA STADIUM au UHURU STADIUM tu!?? Atangaze na Nje ya mkoa sio game za DSM tu.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 หลายเดือนก่อน

    Anawapenda? Is this guy ok? I can’t believe sometimes hawa mastaa wa bongo. Admiring and loving are 2 different things!

  • @hamisjuma4175
    @hamisjuma4175 4 ปีที่แล้ว +1

    good kaka

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 4 ปีที่แล้ว +1

    Aseee mtangazaji mahiri

  • @hamadigolla6138
    @hamadigolla6138 4 ปีที่แล้ว

    We nihatar baraka mpenja

  • @geofreysimkoko856
    @geofreysimkoko856 3 ปีที่แล้ว

    Unajibu vizuri kaka

  • @kyambarungwe4453
    @kyambarungwe4453 4 ปีที่แล้ว +2

    nakubary mpenja

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior1362 4 ปีที่แล้ว +1

    Bao la Morrison kuifunga simba ulitangaza vema sana

  • @davidkatigulajr2212
    @davidkatigulajr2212 4 ปีที่แล้ว +1

    mpenja buuaana noumaa sana

  • @baloonmedics163
    @baloonmedics163 4 ปีที่แล้ว

    Wewe nakufananisha na marehemu Hassan Mkumba na Dominic Chilambo hao ndio size yako dogo sauti safi, vionjo makini kabisa. Hongera sana ongeza bidii. Ukiweza tafuta CD za Hassan mkumba utanielewa.

  • @allymtolya7579
    @allymtolya7579 3 ปีที่แล้ว

    upo vizur

  • @lucysamsoni2598
    @lucysamsoni2598 3 ปีที่แล้ว

    Swali la technique sana kuhusu wachezaji uwapendao ko unaweza kuwataja kumbe Simba wengi alafu tunajua sana we simbaaaaaa

  • @mwakyusahealthylifestyle4621
    @mwakyusahealthylifestyle4621 4 ปีที่แล้ว +2

    Fei totooooooo kiungo fundi

  • @user-ln2jf2pd6e
    @user-ln2jf2pd6e ปีที่แล้ว

    Sauti ya radio mwamba wa lumarila doze doze

  • @kadiriyusuph2444
    @kadiriyusuph2444 3 ปีที่แล้ว

    Mpenja fundi

  • @mohamedydady2871
    @mohamedydady2871 4 ปีที่แล้ว

    We ni yanga damu haina ubishi maana kila ukiongea lazima utaje timu ya wananchi mpenja wapo wapo watangazaji mpira wanaonyesha mapenzi ya wazi kama enock bwigane, hadi anapoozesha mpira ,

  • @khasianussamson6227
    @khasianussamson6227 4 ปีที่แล้ว

    Kuna kitu nimejifunza na namna ya kuwachukulia watangazaji nisamehe sana mpenja

  • @saadaabdullah9981
    @saadaabdullah9981 4 ปีที่แล้ว

    Mpenja pamoja

  • @isackernest7740
    @isackernest7740 4 ปีที่แล้ว +1

    Yani ukiwa unatagaza ww ata kama tim yang imefugwa unafariji sana

  • @mohamedrashid6010
    @mohamedrashid6010 4 ปีที่แล้ว

    Kweli

  • @asnatishaha3442
    @asnatishaha3442 ปีที่แล้ว

    Mapenzi

  • @alvinwanzagi7797
    @alvinwanzagi7797 4 ปีที่แล้ว +1

    Sawa dogo lakini wewe ni mashabiki wa simba

  • @jacksonbulugu4346
    @jacksonbulugu4346 4 ปีที่แล้ว +2

    Bro uko vizur

  • @boazjoseph2175
    @boazjoseph2175 4 ปีที่แล้ว +6

    Good interview 😂

    • @linajames6648
      @linajames6648 4 ปีที่แล้ว

      Yaani Mpenja hua nakukubaligi sana

    • @jaydendavian4410
      @jaydendavian4410 2 ปีที่แล้ว

      I know I'm kind of randomly asking but do anyone know of a good place to watch new series online?

    • @tristanjustice1071
      @tristanjustice1071 2 ปีที่แล้ว

      @Jayden Davian Flixportal xD

    • @jaydendavian4410
      @jaydendavian4410 2 ปีที่แล้ว

      @Tristan Justice Thanks, I went there and it seems like a nice service =) I really appreciate it !

    • @tristanjustice1071
      @tristanjustice1071 2 ปีที่แล้ว

      @Jayden Davian no problem xD

  • @jimmy24276
    @jimmy24276 4 ปีที่แล้ว

    Kuna jamaa flan anajiita zungu yule mtangazaji wa mechi za Corona na tz 😜😜 naye yuko vzr apewe nafas

  • @juliethkigalamtima4671
    @juliethkigalamtima4671 4 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli unajua

  • @msafirijisai9167
    @msafirijisai9167 4 ปีที่แล้ว

    Nakulola wakuhaya ulihinza uimishilwaje mwene

  • @saadaabdullah9981
    @saadaabdullah9981 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwewemwe

  • @rashidmughairy6456
    @rashidmughairy6456 4 ปีที่แล้ว +1

    Aah.. ila mkamia alikua mnazi wa simba shahri dhahiri

  • @timothylaitoni895
    @timothylaitoni895 4 ปีที่แล้ว

    At a hivo we baraka n simba sana tunafaham ila ktk kaz yako unajitahd sana kutangaza bila mapenz tangu unasoma tunakufaham

  • @bakarimaogo6812
    @bakarimaogo6812 4 ปีที่แล้ว

    Unajuwa hata juma ngamea hakufkii kaka mpenja

  • @yesetarimo921
    @yesetarimo921 4 ปีที่แล้ว

    kaza kiongoz tunakukubali sana

  • @paskaliibrahimu8062
    @paskaliibrahimu8062 2 ปีที่แล้ว

    Komaa na hiyo nafac kaka utupe burudan

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 4 ปีที่แล้ว +2

    Kweli mpenja lakini huku uingereza mtangazaji wa TV za vilabu hawajifichi wanaongeza masham sham

    • @dayanapaschaly9972
      @dayanapaschaly9972 4 ปีที่แล้ว

      Nakukubali mpenja nakukalibisha sumbawanga by Pasco msomi na kipaji

  • @guccij3549
    @guccij3549 4 ปีที่แล้ว +4

    😀m2 makn

    • @allyk5947
      @allyk5947 4 ปีที่แล้ว

      P moenja nakubar

    • @allyk5947
      @allyk5947 4 ปีที่แล้ว

      Nakubar mpenja

  • @innocentsalim9303
    @innocentsalim9303 4 ปีที่แล้ว +1

    ww n mashine mwanangu PGA kaz

  • @suleyahyasule3665
    @suleyahyasule3665 4 ปีที่แล้ว +5

    ww simba mechi nyingi unatangaza za simba