EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA Ataja WACHEZAJI Anaowapenda BONGO, AJIB Yumo..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2019
- EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA Ataja WACHEZAJI Anaowapenda BONGO, AJIB Yumo..
Miongoni mwa watangazaji wa mpira wenye mbwembwe zaidi nchini ni pamoja na Baraka Mpenja, ambaye akiwa anatangaza mpira basi utatamani usiishe aendelee kutangaza tu...
Global TV imemtafuta Baraka Mpenja, na kuzungumza nae alianzia wapi kufanya kazi hiyo mpaka hapa alipo sasa..
#BarakaMpenja
th-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho - กีฬา
Baraka mpenja sauti ya radi.upo juu Sana anko.lets say keep it up
Hongera sana kijana,umejaaliwa kipaji...huwa napata mzuka sana unapokuwa unatangaza.
Ww unaatari xana nakukubali xana
Mpenja kazi unaiweza
Baraka unajua bhana, big up Sana mzee
Baraka mpenja ni
Hongera sana mpenja!wengi hawasemi ukweli kuhusu MAISHA yao walikotoka!Congratulate!!!!
daaaah kiukwel mm nakupenda san kaka mpenja yan
kaza boot mpenja nafasi hiyo inanyemelewa komaa hapa mjini bana Azam patamu. Good job
Baraka Mpenja sauti ya rad!!!!you are good guy keep it up!!!!!!
Utamsikia
Asallaam alleykum watz
Wenu barak mpenja
Safi sana mkuu hongera sana. Wewe ukiwa unatangaza basi mimi namkumbuka ezekiel mwalongo mungu marehemu hakika unakipaji mkuu
Akitangaza2 unajua mpira utamu wake, upo vizur sana big up
Nakukubali xana Baraka
Mi namkubali sana uyu jamaa baraka mpenja hongera bro
Mkuu we sio mchezo big up kwako.
Daaaa wewe brother unakipaji kama Mimi pia nakupenda sana unapo toa maneno yako ya kitaaa goli la kwanza ni tamu tamu
Uko vizuri baraka mpenja
kama umeona MPEnja kachangamka kuliko anayemuhoji
gonga like twende sawa
Namkubali sn huyu jamaa, katika utangazaji wke.
Ok
Namkubali baraka mpenja
Show mzeeeeeeeee
Nakukubali sana
Safi sana Baraka mpenja
Mwanafunzi wetu wa Isuto secondary wilaya ya mbeya mkoani mbeya
Wazidi Mahenge isuto ya umalila?
Victor Junior yes umalila kiongozi
Daah nilisoma itundu hapo those days
Victor Junior hongera sanaa
Good mate,umesahau tokea shule ulipenda kutangaza misosi
Hugo jamaa ndie kanifanya niwe nafuatilia mpira kwa utangazaji wake mashuhuri
yes sauti ya radi
Nataka mechi zote atangaze mpenja kiswahili chake kinakupa furaha sana uchoki kusikiliza
Upo vizur sana tu
Unaweza sana broooo mungu kakuteu kutupa rahaaaa
Bi up brother
Morrison.. Ndevu za Caranteen..
Shikalo Yanga Wanakutaka Kenya Wanakutaka kakaa.. Lilikua Bonge LA Goal LA Aidan
good boy
Nakuelewa sana kaka ile mechi ya Simba na Nkana
hujawahi kuniangusha toka nianze kukufatilia ,,,
Hahaaha hahahaah
Namimi nijaribu
Wayaaaa wayaaaa goli la mwisho ni tamu Kama mlendaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
mpenja nakukubari sana bro....uwa najaribu kwa Saut ya juu kurudia kile ulichokitamka....najua we ni msimbaz hahah....
Mpenja kama Kinyambe
Umejaliwa
Bhanyambalaaaa ebu tulike hapa
Namkubali Sana huyu jamaa
Namwelewa sana jamaa
Namba moja bongo
unajuwa sana kaka
Yaaan hayo mahojiano bas watyu watahusisha 👎 Usimba na Yanga
Mkn baraka mpenja
Macho yako yanaona kama yangu goli gani ilo
Goal limelia mbu mbuu Kama ngoma ya daku
Uko vizuri Kaká mpenja da
Hakuna Kama mpenjja wakati huu
Daaa no nouma
Safi sana mpenja uko vizuri
Leo naombeni lk zangu nimekuwa wa kwanza
Safii
Saaaaaan mzee kwtu isuto
aiseee unapo mpamba makobo bich najisikaa raha sana
pamoja mpenja nakuerewa sana kaka
Yan mpenja saut yak unafany mpira unoge mpenj ww ni shida
nakukubali san
Ilikua Sina time ya kuangalia mpora was bongo ila jamaa amenishawishi kwa utangazaji wake, sante mpenja
Huyu ni simba dam dam
Huyu Mpenja anafanana flani ivi na Hamad Ndikumana marehemu mume wa Uwoya
Korea ya Kusini na Japan. Siyo Korea ya Kaskazini
Edward Alex Mkwelele i
Good you heard that mistake and corrected
Mtangazaj WA mpira mweny vionjo rukuki, Hivi macho yake yanaona km mimi
Mbona hiyo mpenja tv siipati?
Yupo simba
Simba. uyo
Kwani kuwa simba tatizo
Umeeleweka ndugu asiekuelewa xi mzalendo
Hongera mpenja
Napitia kanuni za FIFA hiv magoli kama haya yanaruhusiwa kweli chama? Yemweyemwe......! Duu...! Ile cku bas tu kwakweli
Hivi MAULID WA kitenge yupo wapi?
Wanao xemaa huy jamaa yanga naomben like zen hap
Huyujamn
Kaka mpenja nakukubali unahamacxha xna maxhabiki kwenye Gome unajitambua xna bro
Upo vzr
Hahaha ivi macho yako yanaona kama mimi?
Mpenja mtanzania na mtangazaji anaongoza kwa kupendwa na watu
Mpenja we noooooama saaana kama Ezekielly Malongo vile
Baraka mpenja Nimoja ya watangazaji Duniani ninaempenda kuliko Mtangazaji mwingine yeyote Duniahii
Kweli Mpenjaweninoma maanaulimuulizachama chamaanataka kufanyann na akakupajibu
nakubali brother
Baraka Mpenja anazingua kitu kimoja tu na najiuliza Sana kwanini yeye utangazaji wake ni MKAPA STADIUM au UHURU STADIUM tu!?? Atangaze na Nje ya mkoa sio game za DSM tu.
Anawapenda? Is this guy ok? I can’t believe sometimes hawa mastaa wa bongo. Admiring and loving are 2 different things!
good kaka
Aseee mtangazaji mahiri
We nihatar baraka mpenja
Unajibu vizuri kaka
nakubary mpenja
Bao la Morrison kuifunga simba ulitangaza vema sana
mpenja buuaana noumaa sana
Wewe nakufananisha na marehemu Hassan Mkumba na Dominic Chilambo hao ndio size yako dogo sauti safi, vionjo makini kabisa. Hongera sana ongeza bidii. Ukiweza tafuta CD za Hassan mkumba utanielewa.
upo vizur
Swali la technique sana kuhusu wachezaji uwapendao ko unaweza kuwataja kumbe Simba wengi alafu tunajua sana we simbaaaaaa
Fei totooooooo kiungo fundi
Sauti ya radio mwamba wa lumarila doze doze
Mpenja fundi
We ni yanga damu haina ubishi maana kila ukiongea lazima utaje timu ya wananchi mpenja wapo wapo watangazaji mpira wanaonyesha mapenzi ya wazi kama enock bwigane, hadi anapoozesha mpira ,
Kuna kitu nimejifunza na namna ya kuwachukulia watangazaji nisamehe sana mpenja
Mpenja pamoja
Yani ukiwa unatagaza ww ata kama tim yang imefugwa unafariji sana
Kweli
Mapenzi
Sawa dogo lakini wewe ni mashabiki wa simba
Bro uko vizur
jackson bulugu yupo vzr
Good interview 😂
Yaani Mpenja hua nakukubaligi sana
I know I'm kind of randomly asking but do anyone know of a good place to watch new series online?
@Jayden Davian Flixportal xD
@Tristan Justice Thanks, I went there and it seems like a nice service =) I really appreciate it !
@Jayden Davian no problem xD
Kuna jamaa flan anajiita zungu yule mtangazaji wa mechi za Corona na tz 😜😜 naye yuko vzr apewe nafas
Kwa kweli unajua
Unajua sana broo
Nakulola wakuhaya ulihinza uimishilwaje mwene
Mwewemwe
Baraka ni moto wa kuotea mbali bigap sana Mpenjaaa.
Aah.. ila mkamia alikua mnazi wa simba shahri dhahiri
At a hivo we baraka n simba sana tunafaham ila ktk kaz yako unajitahd sana kutangaza bila mapenz tangu unasoma tunakufaham
Timothy Laitoni !
Unajuwa hata juma ngamea hakufkii kaka mpenja
kaza kiongoz tunakukubali sana
Komaa na hiyo nafac kaka utupe burudan
Kweli mpenja lakini huku uingereza mtangazaji wa TV za vilabu hawajifichi wanaongeza masham sham
Nakukubali mpenja nakukalibisha sumbawanga by Pasco msomi na kipaji
😀m2 makn
P moenja nakubar
Nakubar mpenja
ww n mashine mwanangu PGA kaz
ww simba mechi nyingi unatangaza za simba