Dah! Nimecheka lkn na machozi yamenitoka maana tulipita ktk kipindi kigumu sana 🤔 acha tufurahi kwa sasa jamani Mungu ni mwema kwetu🙏🏻🙏🏻🙏🏻💚💚💚💛💛💛🔰🏆🏆🏆🥉🥉🥈🥇🥇🎖🎖🎖❤❤❤
Kama Kuna mechi ya yanga iliwahi kumtia ukichaa huyu jamaa, Vs ruvu shooting 3-2 hiyo. Tambwe anaanza kufunga, Shaban msala anaweka pasi matata kwa jamaa hivi sijui dilunga yule anaweka kamba, lile shuti la Feisal baraka alipiga mwano kabisa kabla ya free kick ya ajib na makambo kuuweka mpira kambaani! Kwangu Mimi ndo mechi bora ya YANGA kuwahi kutangazwa na mpenja
Sawa Yanga timu yangu pamoja na ku-dominate mpira kuna tatizo la kutoheshimu mastraika yaani kuwapelekea mipira ya kufunga hasa wanapokuwa wamekaa eneo zuri. Tatizo hilo naliona sana kwa Aziz Ki anapenda kufunga yeye tu. Huo sio mpira heshimu nafasi ya mwenzako. Alakini kama upo sehemu nzuri ya kufunga unaweza kufanya hivyo. Vinginevyo wachezaji wanatakiwa kuheshimu nafasi za wenzao.
Kama umeinjoi stor ya mpenja achia like yako hapa👍
❤❤❤❤ ilove you so much yanga MMwaaaaaaaaaaaaaaa yanga
Aaa huyu jamaa mpenja bwana namuelewa sana hodari
Sijawahi kujutia kuwa Yanga Priva unajua unajua tena💚💛💚💛💚🙏🙏🙏
Asante kwa kunipa story ya timu yangu ya YANGA hongera Baraka wetu CHUKUA MAUA Yako bro 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah tumetoka mbali sana aisee duh
Kweli zahera alihamasisha na kutupa moyo Yanga mbele nyuma mwiko
Sina neno Mimi mjaluo wawatu Mungu wambinguni ibariki yanga mungu wambinguni mbariki baraka mpenja mwamba waumalila
Hakika yangatv ina tukosha sana tuna taka mahojiano leo na washezaji
Kwa maelezo ya mpenja,nakubali maneno ya fei kama walikula ugali sukali
Nashukulu kwa historia ya timu ninayoipenda, asante sana!
Stori hii inagusa sana, wananchi tunatakiwa kuvijua vitu kama hivi ili tuwe na uchungu wa kuipenda timu yetu hata inapopoteza tuwe wamoja.
Kama hatutaki😂
@@user-ql2ie4gv2hkolo weweee
Tulipe ada za uanachama
Kila la kheri wachezaji wetu na benchi la ufundi katika mchezo wa kesho
Hakika Shafii sio mjivuni katoa watu wengi sana❤
Priva nimependa Subaru miongon mwa gar nazozipenda maishan mwangu inachanganya kwa haraka sana
Mh huy mpenja hat sijawah mwelewa an Bora hat angetangaza Pascal kabombe
Yanga daima mbele nyum mwiko
Baraka mpenja sauti ya radi wooooooooooooooowwwwwwww😄😄😄😄😄😄
this is Young Africans
Eti boo alikosa chai nilimwambia asifanye mazoezi🤣🤣🤣🤣
Kwa wiki hii imeifanya TH-cam ichangamke jmn❤❤❤❤
Mpenja nakuelewa sana
Yang hii nitam sana c❤❤
Namkubali Sana mwamba umarila baraka mpenja
Mpeja..ni mmoja tu..mwamba wakubatiza wachezaji majina na yakapita...na kukubali😂😂
Nawatakia afya njema mzunguko mzuri WA bench zima bira kusahau wachezaji wetu wote siku ya kesho wapate ushindi mnono WA goal 5
💐🌻 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 💚🖤💛
Ki Master Day 🔥🔥🔥🔥🔰🔰🔰💚💚💛💛🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅✅
Safi sana Mpenja
Allah nakuomba tuepushie na hali mbaya km hiyo kwenye timu yetu na tuzidishie baraka nyingi Inshaallah
Dah! Nimecheka lkn na machozi yamenitoka maana tulipita ktk kipindi kigumu sana 🤔 acha tufurahi kwa sasa jamani Mungu ni mwema kwetu🙏🏻🙏🏻🙏🏻💚💚💚💛💛💛🔰🏆🏆🏆🥉🥉🥈🥇🥇🎖🎖🎖❤❤❤
😢😢😢yanga tulikotoka ni kama wana wa islael na MUNGU ametuvusha pakubwa kutoka utumwa wa kuombaomba mpk kufika juu na wakuu Asante YESU🙏
Mpenja amebless 🔰🔰🔰🔰✅
Yanga kama yanga ❤
Story nzuri sanaa mzee #mwamba__wa#umalila upo vizuri sana kaka
Mpenja nomà saana aisee 🔥💥🌟🖐️⚽🔝💪💚💛Aziz Ki Mwamba Wa Ouagadougou ⚽🦵
Daah ilikuaga huzuni kwakweli😢😢😢
Baraka mpenja ongera sana kwautangazi bola
Mwamba wamarira baraka mpenja sauti ya radi pamoja sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga kwa sasa hana mpinzani kwenye masuala ya maudhui kam unaungana nami Gonga like yako hapa
Hakika yanga yetu imetoka mbali Sana kongore Sana kwa viongozi wetu
Nakukubali swahba
Yanga media 🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Kwenye simulizi kama hizi mfano hapo kwenye freekick basi mnatakiwa kuziweka japo kwa ufupi😂😂
Duuu mpenja amenikumbusha mbali sana😂😂
Nankubali sana uyu jama anajua kutangazia boli nipo Mozambique😮😅😊
We love you mpenja ❤
Acha tufurahi. Tumepitia magumu sana
Tunaisubir siku ya doctor KHALID AUCHO tutoke ki doctor zaid
Mwamba huyooooo🔥🔥🔥
Yanga chama kubwa
Naipenda yanga
Baraka anaongea kutoka ndani ya moyoni
I know dat Mpenja ww ni kolo fun bt ur thé best brother chukua mauwa yako
Ndomaan atangazag vzr Kam kabombe kwenye mechi za yanga
Much love bro Mpenja
Naitakia ushindi nyanga Leo ndo Leo naipenda xana yanga
Nakubar sana tuwe na moyo mweupe kwa timu yetu
Yaan linatoka mtu linamatege eti oh kama unanipenda acha kushabikia yanga. Ww bora uniache😊
Edna...tuchangie timu yetu kwa kujiunga uanachama
😂😂😂😂😂 Edna
Story Nzuli sana.
Wanachama na wananchi na wapenzi tuzidishe dua Kwa Mungu Inshaallah
Dua pekee hazitoshi...tuchangie klabu yetu jamani
Mpenja noma sana keep it up
Allaah Akbar
Kwnn yanga hisiwe no: 1 africaa
Safi sana
Aamina Inshaallah
Kama Kuna mechi ya yanga iliwahi kumtia ukichaa huyu jamaa, Vs ruvu shooting 3-2 hiyo. Tambwe anaanza kufunga, Shaban msala anaweka pasi matata kwa jamaa hivi sijui dilunga yule anaweka kamba, lile shuti la Feisal baraka alipiga mwano kabisa kabla ya free kick ya ajib na makambo kuuweka mpira kambaani! Kwangu Mimi ndo mechi bora ya YANGA kuwahi kutangazwa na mpenja
Aisee mech yetu apewe kabombe pachal atangaze
Wow😮❤
Yelowei hii ni ndo yanga bhn
😃😃😃😃😃hapo kwa zahera daaah
Asante mpenja.nakupenda sana
Good timing kunwa
Daaaa😂😂😂😂
"...we are 🔰🔰🔰
Yanga kama yanga kwa ss ni level nyingine
🔥🔥🔥
Daima mbele ❤❤❤❤🎉🎉
Ushindi ni kawaida kwa nyanga🎉😂
Si nyanga 😂😂😂😂n yangaa adve😅😊
Mwamba wa Umalila
yanga atunaga jambo dogo
Huyu bwana mdogo atafika mbali, namkumbusha ajivute kadiri ya mwenyezi mungu atakavyomjalia ana Vitu ambavyo wengine hawana
Mwamba kweli
Moto utawaka
Mwamba kweli mpenja
Sawa Yanga timu yangu pamoja na ku-dominate mpira kuna tatizo la kutoheshimu mastraika yaani kuwapelekea mipira ya kufunga hasa wanapokuwa wamekaa eneo zuri. Tatizo hilo naliona sana kwa Aziz Ki anapenda kufunga yeye tu. Huo sio mpira heshimu nafasi ya mwenzako. Alakini kama upo sehemu nzuri ya kufunga unaweza kufanya hivyo. Vinginevyo wachezaji wanatakiwa kuheshimu nafasi za wenzao.
Umpra unamamuzi mengi sanaa
Upo sawa kaka💛💚💛
Dah ile YANGA sitasahau 😭😭😭tuliumiaaa
😢huwez amani nlikua nalia naichangia napata mshahara napata 110000 kwa mwezi lakin nilikua nachangia
Gyule😅😅😅
Nilikua mwanachuo ila nilikuwa nachangia 4000 kila wiki aiseee😅😅
@@ednambata9503 that is what we call really love congratulations dear
oooo vilevile
Mtoto wa nyok ni nyoka ko mpenja ni mwananch au !!???
Kolo uyo
Kolo damu uyo,kwanza asitutangazie mechi zetu Ana ukolo mwingi tukicheza na makolo
🙏🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥
ha hahaaaaa
❤❤❤
tunakupenda
Hii imeenda hawajasema bado mpk waseme
😂😂😂😂😂
😂
hatari san
Isuto idumu milele
Tumemic sauti yake tunataka atangaze mpira
Naaaaaam
😂😂