Baraka Mpenja: Nilikuwa nazungumza mwenyewe barabarani, watu walidhani nimechanganyikiwa - Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ธ.ค. 2020
- Mtangazaji mahiri wa mpira, Baraka Mpenja wa Azam TV, anasimulia historia yake hadi leo kuwa kipenzi cha mashabiki wa soka Tanzania na nje. Fuatilia sehemu hii ya kwanza ya #ChillnaSky
Kati ya watangazaji mahiri east Africa kwenye mpira ni mpenja namkubali sana 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Ndg yangu,Baraka mpenja.mwamba wa umalila.mm nikutakie happy bathday! Namungu akupekila laheri.nakazizako ziwenabaraka zaidi.ninakufuatilia Sana,ndg yang mm Daimoni malillah.mtt wakiwanji og.nikiwa dar!! Nakushukur sanamung awenawe kwakilajamb.
Na mkubali Sana Baraka waga ninaenjoy Sana anapo tangaza Mpira fundi wa kuwapa majina wachezaji
Tayari imewekwa checkout
Nawa kubali sana ckay pamoja na baracka mpenja
Media in veins......one day tutafanya kazi nae❤️❤️
Bonge moja la story,big up mpenja
Mpenja kijana mwenye bidii👍🏻👍🏻
Saf sana brother baraka
🤩🤩sky kama sky uko juu.
Leo umechekeshwa sana Sky
Sauti ya Radi🔥
Mshkaj yupo vzr
🔥❤️🇧🇮
Bro unaweza
Part 2 wekeni
Tayarii checkout.
Hivi sns mnaskika mkiwa wapi
Huko dar cu mwnza ?
Tupo Dar
Poa
Adi raha jamn
Daaaah hayo makochi makali sana aiseee nimeyapenda saana nayaapataje ?????
Matai kalambo
Nimecheka mpaka machoziii gmdaaah
Isikilize hii hapa
th-cam.com/video/hur9ZtUkVaA/w-d-xo.html