Hakika Baraka Mpenja ni bonge la mtangazaji anaekuja kwa kasi sna ana sisimua sn na kuleta ladha kwenye mpira kama unamkubali uyu jamaa asilimia km zote 100% like apa
kumbe ndo wewe mpenja nilikuaga nakusikia tu all the best bro unajitahd kwakwel....ila naomba tu unijibu ni nani anae Teseka....hapa bongo kama n akina naniliii naomba uniambie
ahahahah...mpenja wewe sio wa mchezo mchezo.......mimi na wife tunaenjoy sana siku mpira ukitangazwa na wewe......@Fyekelea mbnali,@ macho yake yanaona kama mimi au macho yako yanaona kama yeye....hapo ulituchanganya sana....any way big up
Masha Allah Jaman kumbe ndoo wewe sijawhi kukuona unanipa raha sana unanitoa stress za mwarabu 😘😘😘😘 yako hiyo Baraka Mpenja mimi sauti yako kwenye utangazaji hoi kweli wewe sauti ya Radi nimejikuta nimeenda kuangalia mechi
Achana nao wewe Fanya kazi kila kazi ina vionjo vyake unamposifia anaefanya vizuri, asiefanya vizuri huumia BIG UP SANA MPENJA Yemwe yemwe yemwe,, marahabaa cloutus chota chama anafunga gori gani hili,, nani aliesema simba hawaendi hatua ya makundi, simba wanashangilia nitapima lamri magori kama haya yanaruhusiwa kweli,,,,
Da hongera sana mpenja maneno yako yanafundisha wenye uwelwa waelewe wewe ni mtangazaji bola kabisa mungu azidi kukulinda na wabaya wote na washilikina wote Fanya kazi yako kaka burudani kwa wote
Kumbe ni wew baraka mpenja wewe ni noma ukitangaza mpira na manjonjo yako unakosha mioyo ya watu nakpenda sana unapomwita mwl kashasha hii tunahiitaje hii ni hatarii big up sana brother endelea kufanya vitu adimu kama ivyo
Ww ni mzuri muno kwa kutangaza kaka hao mataahira wanaokudisi ni mataahira Wa ovyoo kabisaa na katika azam ww ndo nambari moja kwa utangazaji wa mpira Tz nzima kwa sasa hongera home boy Baraka mwanetu wa Mbeya
ahahaha wewe m2 wakuwache2.... et AAssalam alayku......gooooo a a a haya ni maajabu ivi macho yake yanaona kama mimi au macho yako yanaona kama mimi....ahahaha ulinichanganya sana apo.... bt u doing a great job, big up bro
Da mpenja unanitoa machozi ndugu 203 dalsa la 6 leo mtangazaji hongera sana kaka natamani nikuone liv hicho nikipaji mungu akulinde sana sana sana acha nilie inanihusu
Kaka we tania tu hata simba tukifungwa tania tu...mpira bila utani hauendi....kwanza me mechi usipotangazaga wewe huwa nakosa mzuka wa kuangalia...!!!TANIA TO THE MAXIMUM
Huyu jamaa fundi sana ningekuwa na zawadi hata milioni 6 ningempa anajua sana Hahahaha ndemla kaka utaua ndemla mwenzako anafamilia big up sana Fanya kazi usiyumbishwe bana
Mashabiki wa Simba na Yanga wanapenda sn timu zao kuliko mpira. Wamejaa washamba wengi wa mpira ndio maana wanamini sn maneno ya Manara na Kina Jerry Muro(enzi izo) wakati na wao wanaangalia mpira.Hovyo kabsa
william mussa kwani hawezi kutangaza bila kukera watu wamepita watangazaji wengi kina Charles hilari Ahmed Kongo omaro Kongo dominik chilambo walikua wazi hawaonyeshi kuegemea popote
Kama unamkubali huyu jamaa ngonga Like hapa
Pamoja mtaalamu wangu, naikubali kazi yako mkubwa baraka!
we mmalila pungza mzuka bhana
vipi sanatu
Natka no barak mpenja ninao uwezo
*Ewaaa, Yemwe yemwe yemwe, clatous chama... marhabaaa, marhabaaa... one love mpenja*
Kama unamkubali mbaraka kama me embu fany kama una like twende sawa
Duh nani anateseka nani alisema Simba haend hatuwa ya makund yemwe yemwe
chama nichama tu nimwamba walusaka jamani
Nan kama mpenja bongo? Kama hakuna kama yeye gonga like twende xawa
Winifrida Lucas hakunaaa
Baraka huyu fundiii kwl kwl🔥🔥🔥like zake hapa💙💙💙
upande wangu nakukubali sana, yani kama Rey Hudson
Hakika Baraka Mpenja ni bonge la mtangazaji anaekuja kwa kasi sna ana sisimua sn na kuleta ladha kwenye mpira kama unamkubali uyu jamaa asilimia km zote 100% like apa
kumbe ndo wewe mpenja nilikuaga nakusikia tu all the best bro unajitahd kwakwel....ila naomba tu unijibu ni nani anae Teseka....hapa bongo kama n akina naniliii naomba uniambie
ahahahah...mpenja wewe sio wa mchezo mchezo.......mimi na wife tunaenjoy sana siku mpira ukitangazwa na wewe......@Fyekelea mbnali,@ macho yake yanaona kama mimi au macho yako yanaona kama yeye....hapo ulituchanganya sana....any way big up
Dickson Aroka hahahah yemwe yemwe, clatous chama, marhabaa marhabaa...
mpenja kwanni hua unaiita Yanga Timu ya wananchi? pia unatubagua bwana
Anaeteseka ni yupi ka sio yanga 😁😂😂
Utapata majbu vry soon
yani simba wakicheza ukitangaza ww Mimi kwang buludani
Masha Allah Jaman kumbe ndoo wewe sijawhi kukuona unanipa raha sana unanitoa stress za mwarabu 😘😘😘😘 yako hiyo Baraka Mpenja mimi sauti yako kwenye utangazaji hoi kweli wewe sauti ya Radi nimejikuta nimeenda kuangalia mechi
Yes yes yes
Uko vizuri Sana brother
Yaaan kaka upo fresh lazima uamshe hisia za mashabiki,mie nakukubali sana
Nakukubali mzee baada ya mwalimu kashasha komaa kaka mungu mmoja siku zote usiwe kama shafiih daudi
Brother you have talent aiseee. Hongera sana
Unapitia mengi ila vumilia ndo kaz Ila una kipaji saana
Humble boi nime enjoy interview
Achana nao wewe Fanya kazi kila kazi ina vionjo vyake unamposifia anaefanya vizuri, asiefanya vizuri huumia BIG UP SANA MPENJA
Yemwe yemwe yemwe,,
marahabaa cloutus chota chama anafunga gori gani hili,, nani aliesema simba hawaendi hatua ya makundi, simba wanashangilia nitapima lamri magori kama haya yanaruhusiwa kweli,,,,
Brother unajua ahse mungu akutangulie Sana.
Yote kwa yote me goli la feisali salumu yanga vs ruvu shooting, Cleotus Chama Simba vs Nkana, Yale yalikuwa balaa bhana
lafei lakawaida
Zidisha utundu kaka hakika wew no mtangazaji mzuri na unaipenda kazi yako
Da hongera sana mpenja maneno yako yanafundisha wenye uwelwa waelewe wewe ni mtangazaji bola kabisa mungu azidi kukulinda na wabaya wote na washilikina wote Fanya kazi yako kaka burudani kwa wote
Dah uwezo wako wa utangazaj hauendan na umbo lko nilifikil ww ni bonge la baba uko poa xna brooo
Kwel ndugu Sauti yake ya utangazaji utazani ni bonge la baba kumbe kadoogo2
Ur the best#😂😂😂wacha tukasilike huwez fulaisha dunia nzima# piga kazi tuh mkuu#🙏🙌👏
Nakukubali sans Mpenja,kwa slogans na mbwembwe za utangazaji wa soccer uko juu sana kuliko watangazaji wote!.
Big up kaka hicho ni kipaji!
Kaka Baraka wewe ni fundi sana, nakukubali sana mkuu, Mungu akupe kibali kikubwa zaidi mbele zake na za wanadamu.
Nmetazama interview hii nkiwa na tabasam mwanzo mwsho,nmekupenda bro
Huyu jamaa kabeba kipaji cha juma Nkamia
I think tumepata mrithi wa kina Charles Hillary.......!! Good work bro, endelea kukaza utafika mbali mnoooo....
jamaa alivyo hapa na sauti yake tofuti na akitangaza mpila
Miminibaraka mwanawampenja!! Niazimemasikioyako nikusimulie mtanangehuukwadakika90, noumasana mpenja atamm nimewahi kukuchikia ila baadae nikakulewa pa1sana bro. waliomuelewa mpenja like zenuapa
sio siri una kipaji kaka wanaokuponda sio watu wema na Mara nying ndo huwa wanakwamisha ata maendeleo ya Taifa,nakukubali kwel unakipaji ubarikiwe
mm kaka nakukubali sn baraka mpenja mwenye sauti ya radi
hakika baraka ww ni mbunifu tena sana,allah akujaalie kipaji zaidi,uko kama peter drury mtangazaji wa uingereza,viva to you guy
Kumbe ni wew baraka mpenja wewe ni noma ukitangaza mpira na manjonjo yako unakosha mioyo ya watu nakpenda sana unapomwita mwl kashasha hii tunahiitaje hii ni hatarii big up sana brother endelea kufanya vitu adimu kama ivyo
your the best my lovely brother move in the Grace of GOD
E bhan baraka mpenja ww ni zaid ya mtangazaji upo juuuu Mungu akulinde na uendeleeeee kupata mafanikio makubwa you are very active
Hongera Baraka Mpenja...unajua kutufurahisha kny soka
km Baraka Mpenja kwako nizaidi ya mtangazaji kama yote gonga like apa
Nakukubali zaidi ya sana mpenja mungu akulinde zaid inshaallah uendelee kutupa radha maana unatenda haki ya kila aina ya goli hujawah kuniangusha
busara nying sana bigup braza
Ww ni mzuri muno kwa kutangaza kaka hao mataahira wanaokudisi ni mataahira Wa ovyoo kabisaa na katika azam ww ndo nambari moja kwa utangazaji wa mpira Tz nzima kwa sasa hongera home boy Baraka mwanetu wa Mbeya
Piga kazi brother 💪💪
Uko vizuri brooo Nakuombea Mungu akupe watoto watakaorithi kipaji chako....... Big up....... Goli pilauuuuuuu
❤️
ahahaha wewe m2 wakuwache2.... et AAssalam alayku......gooooo a a a haya ni maajabu ivi macho yake yanaona kama mimi au macho yako yanaona kama mimi....ahahaha ulinichanganya sana apo.... bt u doing a great job, big up bro
Wabeja kupa
Yamwe yamwe yamwe ndio msemo ninao ukubali
hiiyo ndo maana ya mtangazaj bora maana peter Drury na Baraka tofauti yao majina
Namuitaaa maradona of football
Upo vizuri Baraka Mpenja Endelea utafika utakapo Inshaallah. Nakukubali sana mwanangu.
Wauti ya radiii. I salute you Brother. Keep it up!
ww ni noma
Da mpenja unanitoa machozi ndugu 203 dalsa la 6 leo mtangazaji hongera sana kaka natamani nikuone liv hicho nikipaji mungu akulinde sana sana sana acha nilie inanihusu
You're the best
Ngoja nikufagilie kizamani,,wa wa wa brother,,unajua saaaaaaana,,mungu akulinde ,ila ninapenda ukitangaza simbaaaaaaaa yanguuuuuuuh
Da hongera sana kiongozi upo god sana wacha wanafiki waendelee kutokuelewa
Dah ...............
Yaani ndivyo ulivyo Brother ha ha ha ha ha.
Ongera sana Brother, big up
Upo vizuri brother piga kazi maneno yapo tu!
Kaka we tania tu hata simba tukifungwa tania tu...mpira bila utani hauendi....kwanza me mechi usipotangazaga wewe huwa nakosa mzuka wa kuangalia...!!!TANIA TO THE MAXIMUM
Kabisa napenda san akitangaza
Fanya kazi brother lawama haziishi joh keep it up home boy
yanga ni kenge kwisha kazi
Baraka uko vzur sana kaka
Mbunifu sana Katika kuinogesha kazi yake ili aonekane tofauti #amefanikiwa big up bro binafsi nakubali
Una kipaji kikubwa Songa mbele kamanda
hahahahahaha Baraka mpenja kwan wew haujui mashabiki n sawa na mala.................. a, leo hivi kesho vile 😃😃😃
namkubari sana baraka aise
Kaka your the best keep it up@baraka_mpenja
We love you brother,
Keep it up
Hv macho yake yanaona kama mm au macho yako yanaona kama mm? Big up saut ya radi
Nakukubali saaaana Mpenja fire
Jamaaa unajielewa saaaaana unajua kubalance saaaaana naqubal saaaaana
Simba
Juma nkamia simba damu
good job brother keep it up!
wanateseka sana
Huyu jamaa fundi sana ningekuwa na zawadi hata milioni 6 ningempa anajua sana Hahahaha ndemla kaka utaua ndemla mwenzako anafamilia big up sana Fanya kazi usiyumbishwe bana
Kazi nzuri sana kaka.
Nakukubali sana broo aisee shikamooo nakupenda bureee braza ntmn niwe kama ww
God Bless Mpenja
Nilianza kukubali wakat wa secafa kenya zanzibar heroes wanabebana kwa furaha
Me nakukubali sana Baraka wajinaaa mzee Wa ngapi ukooo!
Magori kama haya yanaruhusiwa kwel chama nakuoenda sana kk natamani hata sku moja nikuone kalbu tanga kk
Ongera brother
nakukubali sana mpenja maneno yasikuogopeshe piga kazi mbaba
Mpenja balaa sana we jamaa una mzuka na utangazaj god bless you
Mpenja wewe ni nomaaaaah nakukubali snaaaa VYURA FC WASIKUKATISHE TAMAA
pamoja sana Bro Mbenja, tuzoee tu wabongo hatuna dogo😃😃😃
Daah kaka mkubwa webabukubwa sanah!
Hongera unajua sana mpenja maana ukitangaza Mpira unachangamsha sana!
Jamaa ananikumbusha Marehemu Ezekiel Malongo.
Mashabiki wa Simba na Yanga wanapenda sn timu zao kuliko mpira. Wamejaa washamba wengi wa mpira ndio maana wanamini sn maneno ya Manara na Kina Jerry Muro(enzi izo) wakati na wao wanaangalia mpira.Hovyo kabsa
Mpenja umemtaja kaka angu wa damu kabisaaa @Habib kyombo....shukhran kaka
Barack mpenja nakukubali Sana me nishabiki wa yanga dm dam
Respect brother
Jah bless More Life
Nakukubali sana
Me binafsi nakupenda haujawai kuniangusha na sijaona upendeleo kwenye utangazaji wako maana kila utanagazapo unafanya vile kazi yako inataka
Nimekuelewa Sana bro
nakukubal sana bro
william mussa kwani hawezi kutangaza bila kukera watu wamepita watangazaji wengi kina Charles hilari Ahmed Kongo omaro Kongo dominik chilambo walikua wazi hawaonyeshi kuegemea popote
Wa kuteseka na kusumbuka ni nani?twambie kjn hodari
Like nyingi kwa sauti ya raad ..mpenja boy
akuna mtangazaji mzuri kama ww unaweza ongeza mbwe mbwe zaidi pia natamani kesho 15/november 19 ungetangaza ww kaka
Mpeeeeenja Mimi nakuelewa saaana bro,japokuwa wewe Ni Simba, wee Ni noooma
Tumemsahau Juma nkamia
mpenja kaka mi nakuelewa sanaa nikikosa sauti yako azam aaaaah bora nikae home
Baraka we ni fundi sana una uwezo mkubwa kapa Peter drury
haaaa nauliza kwani kunamtu anateseka
Kaka fanya kazi yakoooooooo usiwasikilze haooo vyulaaaaaaa
Mungu azidi kukulinda. Tuendelee kupata burudani kutoka kwako.
cn work