Ninja akumbuka alivyopigwa DR Congo akitaka kumuona Hersi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 มิ.ย. 2024
- Baada ya beki wa kati, Abdallah Shaibu 'Ninja' kumalizana na Lubumbashi Sport ya DR Congo, ametaja mipango aliyonayo kwa msimu ujao, huku akisimulia kisa kupiga picha na Injinia Hersi Said.
Ninja alijiunga na Lubumbashi Sports kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea Yanga ameutumikia mmoja, kisha ameomba kuondoka akitoa sababu ni usalama mdogo wa maisha ya DR Congo.
"Japo kuna timu tatu za DR Congo zinahitaji huduma yangu, labda nipewe pesa ndefu, hata nikikaa kwa shida familia yangu Tanzania iwe salama, nje na hapo zipo timu hapa nyumbani zinahitaji huduma yangu nitazipa nafasi, kwanza Ligi Kuu Bara ni maarufu na inafuatiliwa na nchi mbalimbali," amesema na kuongeza;
"Wakati nafika mara ya kwanza, niliambiwa kutembea mwisho saa 3:00 usiku, kila mtaa unapita unakutana na askari, sasa kuna wakati mwingine unaweza ukatoka kutafuta chakula cha Kitanzania, saa 3:00 ikikukutia nje ya nyumba yako ni shida."
Hata hivyo, Ninja amesema hatosahau kipigo alichopigwa na walinzi wakati akiingia uwanjani kwenda kukutana na Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj - กีฬา
Sis wanayanga kuhusu Fei tulikuwa hatutaki kabisa apate chochote na mkeka umetiki.
Du na kipaji chake chote mmekichukuwa Hana kitu na sasa hajui mpira kweli utopolo kiboko
@@SaidJumanne-ue2jy Tatu mzuka tulieni hivyo hivyo dawa iwaingie.
Hakika mungu amejubu maombi yetu wana yanga mla sukari kashajua kama yanga ni kubwa kuliko yy bwabwa huyo
Kumbe kule Congo maisha ni mabaya hivyo.
Kumbe ulikuwa upande wa Fei basi Yanga utapasikia tu
Ninja yupo sahihi kabisa île nchi usalama mdogo.... Kule ligi inaendeshwa kisiasa
Kwa hiyo ww kumbe unafurahia matendo anayoyafanya Fei,Yanga utapasikia tu.
mchezaji sio shabiki na anahaki kuzungumza chochote kuhusu mpira
Ww Mtangazaji nenda kasone yani ww bado sn dada yngu
Binafsi nilitamani hivyo
Alaf wakina mayele wakija bongo wanajifanya fyoko fyoko hakun mchezj Kongo htak kuchez bongo
tanzania ipi kila kukicha mnapelrkwa FIFA kesi za mishahara hahahahaaaaa acheni kuwa sajili wa congo hahahahaaa bile wageni no football in tz
@@ruchusprospa7796hata nyinyi wakenya mnatamani kuchezea tz... na ligi yenu mbovu hiyoo 😂😂😂😂😂
Juhudi. Na. Nidham .ni kitu. Muhimu wachezaji. Wa. Kigeni. Wana. Wivu. Wa maisha. Na wabunifu. K.kazi wazawa. Tunaridhika
Eti timu yangu ilishika nafasi ya 5 nahisi, ina maana aqui timu yake ipo nafasi ya ngapi?
We ni shabiki sio mchezaji na umeshsjiaribia kuingilia mabifu
Ninja umesema vema.Lakini ishu ya fei, ingawa ni rafiki yako, mwambie aache utoto atakoseshwa raha.Asishindane na wanayanga
Ila waandishi wa bongo bwana 😅
Pambanenii mbona Mohammed Hussein kaitunza heshima yake2.
Mtangazaji bdo....
Huyu mwandishi arudi shule kudadeq hajui kitu 😂
U Zanzbary kwanza,
Aisee wandishi wengine vichefuchefu
😂sawa tff kwa tuzo yako ya mchezaji bora umekosa wee kuchukua uko kongo unaleta ujuaji uku ukija bila gadi utagawiwa wastani Kwa idadi 👂🤞🤞
Achana nao ndg wale wao wamezoea vita
Nukukosa fazila
Mtangazaji wahovyo kabisa
Kwanini MTU kibaruwa kinapo kwisha anaponda zaidi sehemu amekulia kaugali ?kwenda KWA Point Baana unatafuta unga tena 😅😅😅😅
Maisha ya Kongo ndiyoo hvyo hatarishi hawez kukusemea vizur sasa
Sasa atasemaje mabaya akiwa Congo unakujuwa lakin?
Ameponda nn sasa
Kama Huna cha kumuhoji bora unyamaze maana huna cha kumuhoji
Wewe mchezaji wa ndani cheza kama azizi ki na utuonhyeshe kile anachofanya uwone kama ujaimbwa ww dunianzima na tukakujengea na sanamu posta hahahaha hamjitumi mnaridhika tu afu mnalalamika mfano uyo fei tumpigie promo wakati ayuko kwenye club yetu na anatufunga mdomo nani amzungumzie hahahhaaha azam si wanamashabiki wampromot sasa,