Nakukubali sana Zahera kwa kuwa mkweli na muwazi toka enzi zile za vibakuli, pia nakupongeza na kukushukuru kwa moyo wako mwema kwa wachezaji hiyo ni asili yako, leo mzize anakutungua ila ulimbeba sana na umemfikisha alipo, endeleza moyo huohuo Mungu atakubariki BO
Uwe unajiongeza kwani hakuna watoto wa miaka 14 street wanaendesha boda boda au wengine mafundi pikpik au Wewe ni Mama ake Mzize bac ndo unajua miaka ake uongo ? Basi hatukupingi
Inawezekana hata labda aliendesha hata miaka michache tu Kwan miaka ya mafanikio ni mingapi unaweza kua ulikuwa unasoma la saba ulivyomaliza hukutaka kuendelea ukajiunga na mambo ya mpira mwaka tu unakipiga hapo utakua una miaka mingapi la saba miak12 academ ya mpira miaka miwil ukaonesha kipaji miaka mitatu ukacheza ligi kuu. Waliocheza kombe la dunia tunaona wakijisema wana miaka 18 isitoshe mzize na mwakan anacheza tim ya taifa ya wakubwa
Bro, binamu yangu kakataa shule form 1 kapewa boda, anamiaka 14 anaenda 15 now so inawezekana hasa km Ana mwili mkubwa coz km binadam yng ni mrefu xn akisimama na mm unaweza kusema yy ni mkubwa wakt namzid miaka km 6 ivi
Nakukubali sana Zahera kwa kuwa mkweli na muwazi toka enzi zile za vibakuli, pia nakupongeza na kukushukuru kwa moyo wako mwema kwa wachezaji hiyo ni asili yako, leo mzize anakutungua ila ulimbeba sana na umemfikisha alipo, endeleza moyo huohuo Mungu atakubariki BO
Dats football
Barakoa ya nin wee mzee wa mpiya!!
Me nikajua bado kuna korona
Clement Mzize yuko vizur saàna ⚽⚽🏅💚💛🏅🔥🔥💯
Barakoa ya nn we mzee😂😂😂😂😂mpiya mpiya
barakoa ime kuponza
Hahaa muzize
Alikua boda boda akiwa na miaka 10 sasa ivi ana 18 duuu utopoloo mko powa😁😁😁😁
Uandishi wa habari tz shida iko
Acha zako kwan una kisa gan na djuma
Kwani umesikia anasema ana kisa na djuma?
Msemaji wa uto
Mzee na barakoa lako unaboa 😀😀. Unajikubal kulko uwezo wako
Mzee na barakoa lako unaboa 😀😀
Huyu hana bahati mbeya kwanza ilishuka c alikuwa nayo
Mtu alikuwa bodaboda ila bado ana miaka 18 saa hv alianza kupambana mapema sana😂
Uwe unajiongeza kwani hakuna watoto wa miaka 14 street wanaendesha boda boda au wengine mafundi pikpik au Wewe ni Mama ake Mzize bac ndo unajua miaka ake uongo ? Basi hatukupingi
Inawezekana hata labda aliendesha hata miaka michache tu Kwan miaka ya mafanikio ni mingapi unaweza kua ulikuwa unasoma la saba ulivyomaliza hukutaka kuendelea ukajiunga na mambo ya mpira mwaka tu unakipiga hapo utakua una miaka mingapi la saba miak12 academ ya mpira miaka miwil ukaonesha kipaji miaka mitatu ukacheza ligi kuu. Waliocheza kombe la dunia tunaona wakijisema wana miaka 18 isitoshe mzize na mwakan anacheza tim ya taifa ya wakubwa
Bro, binamu yangu kakataa shule form 1 kapewa boda, anamiaka 14 anaenda 15 now so inawezekana hasa km Ana mwili mkubwa coz km binadam yng ni mrefu xn akisimama na mm unaweza kusema yy ni mkubwa wakt namzid miaka km 6 ivi
Asa mbona havuagi hilo barakoa lake
Tukolona tunaua
😂boooo