Magoli yote: Yanga walivyoichakaza Kurugenzi (8-0), Mzize apiga manne | ASFC 11/12/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ธ.ค. 2022
- HAT-TRICK: Clement Mzize amefunga magoli manne na kuondoka na mpira wa #hattrick katika ushindi wa 8-0 iliyoupata Yanga dhidi ya Kurugenzi FC inayoshiriki First League (Ligi daraja la Pili) kutoka Maswa mkoani Simiyu.
Mzize amefuga magoli hayo manne sekunde ya 15, dakika ya 8, 41, 45'+4 ..... Mengine yamefungwa Jefta John dakika ya 6 likiwa ni la kujifunga, David Bryson dakika ya 77 na Yusuph Athuman dakika ya 79 na 85.
Hii ni mechi ya raundi ya pili #AzamSportsFederationCup iliyopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. - กีฬา
No diara
No job
No bangala
No aucho
No feisal
No kibwana
No moloko
No twisila
No sure boy
No lomalisa
No mayele
No nabi
NO PROBLEM
THIS IS YANGA💥💥🔥💥💥🔥💥🔥💥🔥💥🔥💥🔥🔥
afu weweee 🤣🤣
Make kwanza ncheke
🤣
Kama no problem basi mkicheza na simba msiwaweke hao hahahha au na Tp mazembe ndio nitaona kweli no problem
Yanga tamu 💚💚💛💚💚💚💚💚💚💛💛💛
Mmetufurahisha mwaah
Huyu Mzize ni Mmachinga ajae
Ni mwendo wa kuchukua mipira tuu mpaka tutachua na ubingwa💚💛
Yule wa kwao alifunga 4 wa kwetu mdogo kuliko amejibu
@@mariajohn6214 Kwetu Raha Raha jamani
Sekunde tu imoooooo🤣🤣🤣
Mwamba huyu apa Clement mzinze
Katoka Mzinze kaingia Yusufu Athuman nae katupia
Mzize ni hatariii
Akuna MAYELE, muloko, lomalisa, feitoto, lakini tu piga tuu
Shida sio kipa kama mmeangalia vizuri kipa amejitahidi sana tatizo mabeki ambao yupo nao wabovu sana wanajisahau
Umenena kbx lakin yanga tanu jamn l love yanga💚💛💚💛
Kunawatu jana waliweka kikosichao chakwaza hhhhh makweli nimeamini yanga nikikosi kipana tofaufi nawale waliopanga kikosi chakwaza
Nchizi wewea aokina azizi k wanaanziaga yanga b
🤪
Yanga timu kubwa kwasipo MAYELE tuna piga paka
Muwe.mnawaacha hivyohivyo mkikutana na Simba
Na hapo atuja tinga Jersey nyeusi singekuw 16
Timu ya kikosi Cha pili duuuh jamn Sio poa
Aziz ki, Shaban Juma ni kikosi cha Kwanza ? Au mpka acheze mayele ndio kiwe kikos cha kwanza
Mmewatesa kurugenzi mpk si vizuri🤣🤣🤣🤣🤣🤣💚💚💛💚💛💛💪💪
Yanga raha jamani
Rede ya reo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂
Mnachelewa sana kupost cjui mnaendaga wapi
Mliona mnyama kapiga 8 mkaona muige bwana kazalisha watoto 8 na nyinyi mkataka muzalishe hao hao si ndio mtatom.... shauri zenu
Uzaz na mpira wap na wap ndg yang🚮
Golikipa Bwege sana
Gnabry xtyle
Azam ndo number one tz kwa michezo
Na kombe awachukui
@@lailaoman3856 Anamaanisha Azam Media bila so na sio Azam Fc
Mabena wakwanza like zenu
Polenii makolo
Yang yamoto
Kwani haya mashindano lazima yaanze uku si ipigwe tu namungo simba yanga na azam uku mnataka kuwazalilisha kina kurugenzi tu🤣🤣🤣
Nice 👍
Yanga kwa kweli kikosi kipana. Morison, Aziz, Nondo, zawadi, Farid ambundo. Hao ndo kikosi B. Mmetisha
Walikua Wana wapa joto vijana
Ulimuona Mayele,diara,Feisal,kibwana,aucho,Bangla,moloko,kisinda,job,lomalisa na sureboy
Dogo kapiga Hatrik ndani ya muda mchache zaidi
goli la pili mpira haujamgusa ni beki kasukumia nyavuni
@@philyjr7344 Sasa kwani kapewa hilo goli?,si limeandikwa OG {Opposite Goal} au mimi ndiye sijui!
hakun VAR thats why we angalia vzur mpira ka umemgusa ye pia hakushangilia why
Kumbe staili yakunyunyiza ni taaamu SAKHO utopolo wanakukubali wewe ni 🔥
Style ni ya Serge Gnabry fuatilia mpira my friend
@@namaraalexmbeikya1491 sasa mbona hawakufatisha mwazo?
Mayele chezea tope mfungaji ameshapatikana yanga huna nafasi tena
Huyo Gori keeper ana stahili adhabu kabisaa maana hakuwa Sirius huyo 🙆😄😄🙌🙌
unaumwa kikosi b icho haupo xawh
Kulugenzi Hanna timu hapo mmewaletea yanga watoto wakuwapikia uji wanywe
Mm mambo jaivyo
Sawa sawa
Sasa mngewalipa na Azam basi waliopiga 9 desemba hatariiiii wanasimbaaaa hata hatulingiiiii
Unamaanisha siku hizi Morrison,Azizi k,na wengine hao ni timu B hataree sana.
Wengi ni timu b
Kwa mliozaliwa Leo hii staili ya kunyunyiza yussuf ndio mwenyewe sio ya soko
Hata kutetema ni mayele sio Kagere mnahatari sana mashabiki wa yanga.
Yanga kanunua mechi iyo
Ikishinda simb haijanunua yanga tyy mbwa nyie bas n nyie mmenunua
Tumewachoka
Sakoh
Wee dada umwii aziza ki Morrison jum shabani
Asa wanafungwaje ivi bao nane inamaana haweaezi kucheza jamani
Kikosi B ten kwan azizik yup kiko B ukmbe
Huyo mzizi nae achangamke kdg bas kapoa poa afadhal Ht John bocco WANANCHI hatuko hvy
huyu si kafunga goli 5?
Wanacho fanya simba yanga lazima waige
Khaa we dada ovyo kumbe😏
A.Kumanina unanyunyiza kwani wewe ni Sakho?🤷
Alianza yeye biashara united sakho kaiga tu
Safi
huyo Aziz ndio uvaaji gani huo?
Mbona hazikubar???
Kinacho wauma makolo kuona tumewalipa goli zao na kikosi B
Namwona Aziz kikosi B nae
Kumbe kina Azizi ki na Morrison wako B? Hongereni
Ww hauna akili
Kumbe Aziz k nae yupo kukosi B shaban naye yumo aise kwl mnakikos kipana
@@loishiyesamwel1374 u huu
Mlipe na na ligi ya caf
kibaash kimetembea apo
Afadhali tumelipa magoli ya mtan
Uoneaji tu shabiki wa kweli atushangiliag mech kama izi
Clement tafuta staili ya kushangilia
Jifunze kuongea kiarabu gusa maandishi ya bluu
th-cam.com/video/8FXdjTk2ciw/w-d-xo.html
Kikosi b macho yako hayaoni
Mbona kunyunyiza?
Alianza kunyunyiza akiwa biashara united
Kikosi b Cha timu gani?
Makolo popote pale walipo Tanzania na wale pia tuko nao nje ya Tanzania akiwemo massawe swai kolo maarufu wa Simba 🤣nikiwa nae huku Tajikistan anaumia sana vile makolo wenzake kule Tanzania wanavyo umia na kinachomuuma huyu kolo swai ni juzi kolo ilishinda nane na Leo yanga tumewarudishia na kikosi b🤣🤣🤣🤣
Bro I need to talk to u!!
Kwa goli kipa huyu hata pazia ingewasaidia
Ushuzi waende
Kikosi B lkn magori ya kiufundi
Jaman tukubal yanga wako vzur afu morison katoa pas isyo na uvhoyo kbs wakapata gol
kerementi kaza buti bogo
Yan yanga kwa kuiga 😂😂
nyie huyo pili babe wake Clement aachane na mayelee
hawa ni wakufunga ili waweze kujifinza kutokana na udhaifu wao hapo ndio wajue bado wap chini
Yanga tunabeba makombe yote insha'Allah
Yaan hizi timu zinafungwa magoli mengi mpaka nacheka
Hadi afe mtu
Sjapenda huyo Alienyunyuzia yeye si Sakho
hahaaahaahaaaha yanga bhana lazima muwaige simba hahahahahahahaahaaa karibuni simba najua watamani kuja simba
Muangalie yusuph akiwa biashara Halafu uliza sakho alikuwepo?
Kumbe sakho wanamkubal
Si unajuwa yanga kwa wigo
Hyo style ni ya Halaand sio sakho,
Af kingine usichokijua sakho pia amepaste kwa Serge Gnabry
@@libramuziq Halaand kamuiga sakho
Kwa taarifa tu ng'olo kante Naye kuna kipindi unyunyiza akuna cha kuiga hapa
Kuna mtu amesema hii ni Yanga B
Hiviiii........
Bernard Morrison
Aziz k
Zawadi mauya
Juma Shaban
Bigilimana
Bakari nondo
N.k Bado ni kikosi B au huyu mtu anamatatizo ya Akiliii????🤔🤔🤔😇😇😂🤣🤣🤣🤣🤣
Ee bro sis kwetu hao n kkosi B😀😀. UNAWAONA wakali sana🤭
yaani hapo A ungewaona Diara, Lomalisa, Kubwana, Aucho, Feisal, Mayele, Moloko, Bangala, Tuisila, Job.
First eleven hapo ni shaban, aziz ki, na malachache Morrison,faridi huanza game
Tatizo hizi Tim kubwa hazinaga uluma .
iyoo ya kunyunyiza so ya sako bali yee mwenye yusuph kipindi yupo biashal kafanya iv san
Sidhani kama sakho anamjua huyo yusuph kusema hamfatishe ahahah
Safi