Pongezi nyingi kwa wachezaji wetu kamwe msilewe sifa muwe na wivu kufika mbali kama kina Samata, Ulimwengu, Msuva nk. Pongezi pia zimwendee Professor pekee wa mpira wa miguu hapa nchini (NABI) hakika anastahili sifa.
Cha msingi asilewe sifa kama yule ugari-sukari akazane mazoezi nidhamu kumsikuliza mwl na kutokuwa na tamaa ya pesa, ninahakika mazuri mengi yatakuja kwake menyewe tu
mzizee anaujua ila kuna wakat kinamjia kit akiwa kwenye move yakutojiamini akijiamin huyo dogo atakua anawazoa zoa kila mara kama vile jana kwenye goli la pili lile atulie aache presha mzize anaweza saana
Asanteni vijana wetu mmecheza vzr sana Allahamdulillah beki ilitulia vzr hongereni sana ln sha A llah tupo pamoja Mzidi kujiweka vzr muwe makini na wanao wafanyieni mabaya msifunge msifanikiwe ila mwenyezimungu yupo nasi Amiin Daima mbele nyuma mwiko 💚💚
Clement asipolewa sifa kama ugali sukari atafika mbali kikubwa atizame ndoto yake miluzi mingi isimpoteze MUNGU amsimamie🙏🙏🔰🔰🔰
Nmecheka kw sait
Awe karibu sana na mayele kwa kila kitu ikiwemo heshima
Kazi nzuri wachezaji wetu, nawaombea ushindi kaka zangu Kila wakati mungu awabariki amin
Uyo baka uyo baka namuelewa kishenziiii mungu akupe nguvu nakupenda bureeeeee kabisa nakuelewa sanaaaaa good job you doo
pigA KAZ Mzee babaaa Ibrahim Bacca na Golden bOy Clement Mzize noumaaa saàna 💯🔥💚🌟💛✨⚡💪👏💯
Ibrahim Bacca upo fresh bro
Kazi nzuri vijana wetu mmefanya kazi nzuri Sana . Bacca mipira ya kuslaidi hile nakukubali Saba ,. Mzize 🔥🔥🔥
Sema bacca iyoo misharubuu itowe bwanaaa umekaaa kama adui wa kihindi mwenetuuuu.
hahahahaha
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi, Daima mbele nyuma mwiko
Mashallah uko sahihi baga allah azidi kukujaza nguvu usikat tama wakati wa mungu njo wakati sahihi kk
Bacca anajituma sana na mzize mhhh moto mwingine💚💚💚💚
Yanga ya yangu💚💚💛💚🙏🙏
Hongera kinda wetu Mzize pambana MUNGU aendelee kukupambania na pongezi wachezaji wetu na benchi zima la ufundi kwa ushindi mnono 👏👏👏
Now 2kuite clementnyoooooo kazi nzur sana tena sana2 but pungunguza presha mdogo wangu komaa2 mbna utafka mbali sana
Tunashukuru Alhamndulilah kwa ushindi Allah atuzidishi Inshaallah
Clemeeeeeeeeeeeent fireeeeeee
Hongera I wachezaji wetu
Jamani mimi namkubali sana baca yani anakupokonya mpira bila kufanya fauro yoyoteile yuko vizur sana
Mzize nakukubali Sana hakika ni striker wa Tz
My team my loveness my dreams
Yanga tuna hazina kubwa ya vijana wanaojua boli ✊
Kijana wetu Yuko poa sanaa
Hizo ndevu za Bacca km za Carly peters( Germany explorer)😄😄
hahahaha unogii
🤣🤣
Wao
❤❤
Kazi nzuri Sana Alwatan
Mzize nijicho lataifa badae kiukweri
Well done boys
BG UP vijanawetu
Pongezi nyingi kwa wachezaji wetu kamwe msilewe sifa muwe na wivu kufika mbali kama kina Samata, Ulimwengu, Msuva nk. Pongezi pia zimwendee Professor pekee wa mpira wa miguu hapa nchini (NABI) hakika anastahili sifa.
Baka na mudathir tuna wa respect saana
Mzize abadilishe style ya kushangilia asicopy
👉 💚💛
Yanga rahaaaaa saana kwakweli
Daima mbeleee
Yes
Mamadou wapi jmn?
Mzize atakuja kuisaidia sana Yanga na hata National Team
Cha msingi asilewe sifa kama yule ugari-sukari akazane mazoezi nidhamu kumsikuliza mwl na kutokuwa na tamaa ya pesa, ninahakika mazuri mengi yatakuja kwake menyewe tu
Kak mbn ata hapa Anaisaidia sana tim ndo Top wa azam federation
@@japhetelius712 kwa sasa Mzize yupo kwenye kujifunza zaid Atakapofikia Ubora ambao watu tunamtabilia atakuwa hatar sana
Mzize mungu amsaidie ASILEWE SIFA kama yule UGARI -SUKARI na mama yake.
@@raybirry3816 Tuombe mungu asibadilike kama Feisal Salum Abdalah Fei toto
💛💚💛💚
Hawa hata wakosee vipi siwezi kuwalaumu kwa sababu ni vijana bado wanajifunza mbeleni ni hazina kwa club na taifa kwa ujumla ❤
Khaswaa
Khaswaa
Bye bye 👋 BOCCO WELCOME MZIZE💪🏻💚💛
Great job
💚💚💚💛💛💛💛
Mamluki wasje wakawadanganya vjana wenzetu mpo njia sahih
😊😊
💚💛💚💛💚💛
katuli saana kijana huyuu yaan adi raha alitulia sana bacca
Alhamsulilah kwa tulichokipata
Hi yanga Bahana Ila wachezaji wetu chezeni kijudi siyo kutegeana
My team is 🔥🔥🔥🔥
Champion loading 29
🔥
Refa pia alikuwa vzr sana
Magoli tunayofungwa kwasasa yanafanana sana ipo cku tutajutia
Namuona amrish kapul
Mwambie bacca izo ndevu za kihindi anyoe
Bacca hiyo midevu aitoe bhana
Allah awape uzima muendeleze kushinda
Nawaogopa wazanzibar mm sa hv
Nyoa hizo ndevu
Mzize atakua mkubwa sana
Yanga timu yangu raha sana ila sasa ndevu za Baka kama chilbulpande wa kihindi
Mzize kajifunze kupiga penalty dogo utakuja kukosa kiatu kizembe Kama Mayele 😣
Asant
Ibrahim bacca anajua uyu jamaa
Leo mnatmia camera gani iyo
Hiyo ndo yanga jamani
Usiache ku-subscribe
mzizee anaujua ila kuna wakat kinamjia kit akiwa kwenye move yakutojiamini akijiamin huyo dogo atakua anawazoa zoa kila mara kama vile jana kwenye goli la pili lile atulie aache presha mzize anaweza saana
Clement katoa siri ya kocha yake ni maelekezo tu kutimiza ni mchezaji
Penati ya ziza kapiga Kama Askari shoga yule mzazibari
Nawaponheza lakini kale kadhabu kabmaguu kumi na mbili, alikakamia ndiyo maana kakaota mbaaa.
Nkubaliii
Ayo mashuti atakuja kuvunja viuno vya makipa
Mtangazaji bwana eti wamekula mkono wakati ni goli 4, hivi waandishi mtaacha lini uongo wakati mko kwenye media kubwa.
Backa bonge la beki, ila hicho kimustachi kama Charlie Chaplin.
😂😂😂
😄😄😄😄😄😄😄😄
Penda sana yanga
izo sharubu sasa za Bacca 😂😂😂
Mzinze usije badilika kama fei
Yaani mzize hatakuja kuwa mchezaji mkubwa
Muajiri na mtu wa kuangalia unyoaji wa nywele staili baca nyoa hizo ndevu
Mi nakubali ila farid tu apewe nafas hivyo kisinda ni Bora kuliko farid?
Yeah wamefanya vyema sana yanga Ni tishio
Huyu baca cannavaro mtupu
Baka anauwezo mkubwa sana nikama inonga
Alafu wwe ziza mbona Kama mzee , wwe na fesali mkubwa wewe Ila umecherewa kutoboa sura Kama mavi
Asee kaka anafanana na wakina vascoda gama
Yaani watakuwa waliacha mbegu zanzibar kule yalikuwa makazi yao
Yanga app haifunguki inadai password iliotumwa na password yenyewe haituwi
Munanisaidiaje
ynga damu damu
Ibrahim Bacca upo fresh bro
mash'Allah ALLAH Azidi kuibariki yanga tufike mbali zaidi insha'Allah na awatie nguvu viongozi ,wazamin,walim,wachezaji ,wasaidizi ameen🤲
Well done boys
Usiache ku-subscribe