MBUNGE AMLIPUA GWAJIMA BUNGENI "ANGEKUWA MAGUFULI, UNGEKATAA?"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- MBUNGE AMLIPUA GWAJIMA BUNGENI "ANGEKUWA MAGUFULI, UNGEKATAA?"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kuti Mungu na kuti Mamulaka hilo ni kweli kabisaaa .....Gwajima Amekosea sana kwa Mungu na kwa mamulaka ....Aombe Musamaha na ..ache ..na amue kutumikia Mungu au siasa ...Amechanganyikiwa kwa sasa
Safi saàaana, huwezi changanya dini na Siasa, kama vipi aendelee kuiba Sadaka kanisani , Nchi ishaanza kupumua ,Sisi walimu tunacheka tu sasa maana tulikuwa kama tuko mahabusu ,tulieni tu Dawa iwaingie nyie msiomkubali Mama Samia, Kazi iendelee
Walimuu oyeeeeeee
Sio kila mamlaka yanatoka kwa Mungu...
Josphat umesema kweli, kuna mamlaka zingine za ibilisi
Gwajima hajielewi, dini asitumiwe kama kings yako, huo ni uelewa mdogo.
Ukialikwa kwenye harusi usikae kiti cha mbele
Mungu wangu wewe baba hujui hulisemaloo wewe angekuwepo baba waala atungechanjwaaa
MTU anatumia nyumba ya mungu kuchamba watu
kuongea kwake kunatoa ushahidi kuwa umelelewa kinafiki
Unatafuta kubwebwa badala ya kusema ukweli....unafiki hautakufikisha popote, wapiga kura wako tunakuangalia
Safi sanaaa
Mbona bado mnavaa barakoa na mmesha chanjua ?
Jamaa kaongea ukweli na point tupu safi sana
Hata sijui unazungumzia nini. Msikilize gwajima vizuri. Usilopoke mbunge. Gwaji boy hajasema rais asifanye kazi yake. Anataka vitu tofauti na unavyofikilia wewe.
Kaaa hatukuelewi
Huyu anajipendekeza tu...
Wakati mwingine jisikilize unachokiongea maana hujui alichokisema Gwajima nanukuu alisema tusikubariane na mambo amboyo wazungu wanatuletea tuzichunguze kwanza sio kwamba tusipige chanjo ila tusubiri kuona matokeo ya chanjo kwanza na sio kukimbilia chanjo ambayo haijachukua mda mrefu kwenye majaribio sasa hizo chanjo zimeanza kutumika kwa binadamu bila kujua kitakachotokea baadae
Hawa ndio machawa promaxx!unamnadi boss hata asipostahili kunadiwa
Wakati wa magu alikua kimya.
Nyie wabunge ni manyumbu kweli sabab.kumhoji mlimhoji kwa siri waandish wa habar mliwafukuza. Imekuwaje sasa Leo mnalijadili bungeni. Leo nipo upande wa mbowe katiba mpya lazima
Acheni nidhamu ya uoga mbona hamjajibu maswali ya Gwajima juu ya hiyo chanjo..Gwajima atawavuruga soon mkimbiane
Acha ujinga raisi hayupo juu kuliko Mungu'safari hii watanguka watu kama mafenesi chekeni tu
Makini Sana hio, waache tu watajuta
Kiburi siyo maungwana
Wew mbunge tahira xn
Nonsense...
Kwani mbona mtu akipinga chanzo mnamtuhumu , lkn nyie mnataka tuchanje mbn hatuwahukum
Wewe baba unaongea ujinga tu
Na ndo msitulazimshaa chanjooo mchajeee wenyeweee na familia zenuuu kipindi magufuli yupo mbona hakusema hayo yoote
wew
Yani gwajima Na slaa.angekuwepo magufuli ungekuta wako magereza au wamepotea.
Hawa ndio wabunge wetu? Ushabiki chuki nyingi
Gwajima oyeeeeeeeeeeeeeee
Oyeeee😄😄😄😄
We mbungu kupe tu we unapata pesa kupitia korona .ww unamjuwa mungu ww so washetani .kachanje na watoto wako.
Endeleeni kuchanjwa mkiwa zombi tuwapige mawe🦾
Ni Bahati mbaya sana ww umeshachanjwa hivyo vumilia tu huna namna nyingine maana huwezi kuitapika wala kuitema,tuombe Mungu isiwe na madhara, hiyo ongea yako yote ni kutafuta relief ya moyo wako juu ya inferiority complex inayokutafuna..
Ha😄😄😄
Gwajima asingesema kama Magufuli angekuwepo kwa sababu Magufuli pia alikataa toka mwanzo. Kwa nini hamkutoa mawazo hayo Magufuli alipokataa kuhusu Corona. Alikataza issue zote kuhusu Corona na viongozi wote mlifyata mkia. Wanafiki nyie. Mlishindwa kumshauri rais Magufuli sasa hivi mnapata vichwa vya ujinga. Mbona maswali ya Gwajima hamkujibu
Uyo mbunge kichaa kabisa
Ubunge sio lazima chama mwenyewe
Wekeni hakiba ya maneno waheshimiwa,uzakendo muhimu
Sasa Huyu Anaongea nini Mbona Hiii Nchi Inawatu Wapumbavu sana?
Siku zenu zinahesabika
Rais wa nchi ni kama meno ya ndovu, ngozi ya chui au nyara ya serikali yoyote lazima atetewe na kila mmoja
na magufuli alikataa chanjo