Mimi nawaombea tu MUNGU MSAFIRI SALAMA,SIPENDI MNAVYOSAFIRI FAMILIA WATU WENGI,GARI MOJA,YAANI BASI TU,MNAPOPATA AJALI MNAKUFA WENGI SANA FAMILIA MOJA KWA PAMOJA.
Waseme wa mkoani mbeya kwenye ma kanisa mpaka chooni waimbaji wazuli wahubili wazuli mfano mwakasege abiudi mbalikiwa mgogo uko ndyo yesu pengine alizaliwa Moshi labda shetani maana nimakuhani wa pombe nakafara yambuzi kilamwaka😂😂
Kwa namna hii mkoa huu hauwezi kuwa maskini kama mikoa mingine inayoendeshwa kwa kile kinachoitwa "remittance" yaani hela ya kutumiwa tena kwa vipindi!! Hapa watu wamepeleka mihela inayoingia kwenye uchumi wa mkoa. Hongera zao
Wachaga bana ndiyo wanakwenda kuonesha jeuri ya pesa. Japo januari wanangukia kwenye mikono kwa wskopeshaji. Hili ni tatizo kwa ndugu zetu hawa. Wajaribu kutafuta namna nyingine ya kusherehekea sikuku hizi. Yote kwa yote MUNGU MKUU AWASAIDIE NA KUWAPA KWENDA NA KURUDI WATOKAKO KWA AMANI NA UPENDO. AMEN.
Welcome to Kilimanjaro wachaga tunakikao chetu cha kuhakikisha tunabeba uchumi wa nchi bila sisi uchumi usimame uwekezaji tuliofanya sasa tuuzidishe mara100 zaidi
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kilimanjaro na mikoa mingine huko kwetu ukienda unaweza usirudi niamini mm usitulaum sisi tusiorudi watoto wetu watateseka 😢
Halafu waislamu wanasherehekea idd wanaacha kusherehekea chrismas sikukuu ya kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu yesu kristo kweli waislamu wamechelewa sana 😂😂😂😂
@@alisuleiman9627 ndomana nasema waislamu wamechelewa kusherehekea idd badala ya kusherehekea chrismas kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu yesu christ mwana wa Mungu aliye hai
@@AshuraAbeid-qw3ko ni kama nyie waislamu mnavyo sherehekea Maulid kuzaliwa mwarabu wa makka kwani ndo huwa anazaliwa siku mnayo sherehekea? mbona mmekuwa wajinga sana nyie watumwa wa warabu??
Hiyo ndo chaga bhana, kama gari yako haifiki milioni 15,we panda tu basi maana kina Buffalo wapo kwa ajili yenu au pakia jety faster, ila yote msisahau ndugu zangu MUNGU ni wa wote, nendeni salama na mrudi mjini salama tuje tuzitafutee tena
Raha ya skukuu ni kujumuika na ndg jamaa na marafiki pamoja na wazazi kurudi nyumbani kipindi cha skukuu ni zaid ya skukuu Nawapongeza wachaga ktk hili👏👏
Nimejaribu sana kushawishi makabila mengine hasa ya mwanza kurudi nyumbani kipindi hiki ,ila wamenishinda tabia,nachokiona sasa hivi watanzania wote kila mwezi wa 12 tuwe tunaenda moshi tu.maana hamna namna nyingine
Mwandishi muuliza maswali umezingua ety unauliza idadi ya watu waliofika moshi ilo swali mbona kama sio la msomi aise anawezaje kujua uyo dogo ilo swali la idadi ya watu.
Kuna dada ameolewa ironga naamuliza Huwa Xmas mnaenda iringa ni muoldmoshi akanambia mbutaaa nani aende hukoo, jamaa ashazoea mbona na tulishajenga Moshi so December huwa tupanda na baba Moshi mpaka na mawifi huwa napanda nao hahhhaha, iringa tuna nyumba tunendaga kukiwa na msiba tuu haa sioo diceember ila kiriisimas Moshiiiiii
Sehem sahihi na kipindi sahihi chakupata mwenza ndio hiki wahi rombo, kibosho ,yani moshi kiujumla 😂😂😂😂 tuachane na hawa wa mjini wanatudanganya jamani😂😂😂
nawapongeza kujari kwao.. ila uchumi wa mosh upo chini sana. kiukwel hawawekezi kwao. wamejenga magorofa mikoani, kwao vyumba za kawaida na mazizi ya ngombe. nimekaa rombo, wanamaisha magumu sana waliopo rombo, wamekata tamaa wanalewa tu pombe za kienyeji
@@Aminmwansile-we8vn wengi wao wamepata mafanikio ya ukubwani.hawajazaliwa kwenye mali.ndiyo maana wakichuma town wanakimbilia wote nyumbani kuonyesha.sasa utaonyesha vingapi eeeeeh.
Unatakiwa umuhoji mtu ambae ana maisha sa uyo unamuhoji wa nn hoji watu wenye hadhi zao ye ndo mshamba sasa umeelewa ndugu mtangazaji hoji watu wenye hadhi si walevi kama hao be serious na kazi yako umeelewa nimemalza
Mzee huna exposure hata airlines kubwa duniani kama emirates, KLM, Delta, Virgin airlines, etc msimu huu ndio wakati wanatengeneza pesa nyingi kuliko wakati wowote sababu ndio kipindi abiria wanakua wengi
Ila siku izi sio wachaga tu wanaopenda kwenda likizo za mwisho wa mwaka kwao. Hata mikoa mingine, Mbeya, Mwanza, Iringa, Dodoma, Bukoba, hali ni hii hii.
Hzo gar zao ukipanda na Imani kubwa utaona maajabu miskule iko uko ndani😂😂😂😂anyway muwah kurud mjini mlishe miskule na manyoka yaliyopo kwenye maduka yenu😂😂
Nyumbani ni nyumbani,wachaga Huwa wanapenda kwao Sana kula na wazazi,
th-cam.com/video/6VA-oLqU_JM/w-d-xo.htmlsi=PbDvAtrp_2BCdLtJ
Arusha napo hapapitiki yani
Mimi nawaombea tu MUNGU MSAFIRI SALAMA,SIPENDI MNAVYOSAFIRI FAMILIA WATU WENGI,GARI MOJA,YAANI BASI TU,MNAPOPATA AJALI MNAKUFA WENGI SANA FAMILIA MOJA KWA PAMOJA.
KILIMANJARO WOYEEEE 👌🥳🤸🔥🔥🔥🔥NAWATAKIA CHRISTMAS NJEMA WOTE 🥳🥳🌲🌲🥳🥳🌺🌺
Kwani makabila mengine ayafanyagi kazi. Msijisifie nyie wachanga wengi wengi pesa zenu sio za halali. Wengi mnamiliki ma bar. Na mabucha ya Nguruwe.
Nawapongeza sana wote mliyokwenda kujumuika na Ndugu na jamaa kwa sikuu ya christmas na mwaka mpya mungu awabariki❤❤
Am proud to be a chaga girl 👧 tuko vizur
Wachaga ni Waisraeli haswa
Kabila lililo barikiwa na Mwenye Enzi Mungu milele! 🤲🏽🤲🏽🤲🏽❤️
Hayau mma
mpaka wamakonde tutaanza kwenda kilimanjaro. FASHION
Hauwezi kuamini kuna marafiki zangu wengi wameshazoea kuja huku maana ni kula mbuzi kwa kwenda mbele
@@user-bl4sy5ei1k asee kwakweli Ata mazingira ni mazuri sanaa
Ni jadi yetu kujumuika na wazee, jamaa na kula vyakula vya asili yetu
Mpaka wakenya wanakuja kaskazini December hii, hotels nyingi kuanzia Arusha na Kilimanjaro zimejaa wakenya
Hiyo ndio moshi Tanzania huu ndio mkowa wenye matajir🔥🔥
❤❤
Sio mkowa ni mkoa ,matajir ila hamjui kuandika
@@user-ue5ek3vu6wKwendaaaaaa
@@user-ue5ek3vu6w ukome wakati elimu imeanzia kilimanjaro
Mkoa tena ndugu
Jam ni kubwa sana yaweza kuwa Yesu alizaliwa Kilimanjaro 🎉
Waseme wa mkoani mbeya kwenye ma kanisa mpaka chooni waimbaji wazuli wahubili wazuli mfano mwakasege abiudi mbalikiwa mgogo uko ndyo yesu pengine alizaliwa Moshi labda shetani maana nimakuhani wa pombe nakafara yambuzi kilamwaka😂😂
Yesu alikuwa mchaga
@@SophlaJackson-nt1ncWivuuuu😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mungu awanusuru na Ajali wamalize Salama skukuu yao warudi salama majumbani kwao inshaAllah MUNGU awaongoze❤🙏🙏
Nawakubali saaana Wachaga, mko makini na hii Sikukuu
Kwa namna hii mkoa huu hauwezi kuwa maskini kama mikoa mingine inayoendeshwa kwa kile kinachoitwa "remittance" yaani hela ya kutumiwa tena kwa vipindi!! Hapa watu wamepeleka mihela inayoingia kwenye uchumi wa mkoa. Hongera zao
Wachagga tujuane❤❤❤❤
Nipo hapa mchaga mbishi mbali na nyumbani njee ya nchi
Kaka yetu uko vizuri yani jana magari ni mengi
Wakristo wana Hela sana 🎉
Hapana bwana mbona matajiri 10 wote top ni waarab na Wahindi
Bharesa Moo na wakina Rostam Azizi ni wakristo?
Hizo Hera ni za kwenu sisi inatuhusu nini?
@@frankngoloka5416mjinga huyo maana kujifaharisha si kua na pesa na kua na pesa si kujifaharisha
Hujielewi na huelewi unachosema
mianya ya pesa iko open na wachaga sio legelege wajanjajanja
ABOOD kama ABOOD katuwakilisha moro 🔥🔥✅
Nawakubali sana wachaga
🎉🎉🎉🎉🎉
Wachaga bana ndiyo wanakwenda kuonesha jeuri ya pesa. Japo januari wanangukia kwenye mikono kwa wskopeshaji. Hili ni tatizo kwa ndugu zetu hawa. Wajaribu kutafuta namna nyingine ya kusherehekea sikuku hizi. Yote kwa yote MUNGU MKUU AWASAIDIE NA KUWAPA KWENDA NA KURUDI WATOKAKO KWA AMANI NA UPENDO. AMEN.
Uongooooo acha wivuuuuuu😂
Wivu Tu
😂😂😂😂kama wanakopa na kulipa huoni wanaongeza mzunguko wa pesa.Big up wachagga😊
Welcome to Kilimanjaro wachaga tunakikao chetu cha kuhakikisha tunabeba uchumi wa nchi bila sisi uchumi usimame uwekezaji tuliofanya sasa tuuzidishe mara100 zaidi
Hongereni saana Mungu awabarik
th-cam.com/video/6VA-oLqU_JM/w-d-xo.htmlsi=PbDvAtrp_2BCdLtJ
Hama kitu mbona Moshi Bado ni kugumu na maisha magumu?
Hata bila fedha nyingi ndugu kuonana mara moja kwa mwaka ni Baraka
Mtatupenda tu sisi ndiyo wachaga!
Wachaga safi sana 🎉
Vibe kama lote mburaaaa
👏
😂😂😂😂
I am so glad I am Chagga tribe!
alloh 🎉🎉wachag manbo yetuuu❤
Huyo wapili anaonekana maji sana network hamna hamna hv😂😂😂
Mchaga pure 😂😂😂
@@kingmakavely9861au sio
Huyu jamaa hua anaokota sana habari zisizo ata na maaana
Acha wivu
@@azizawaziri1507 wivu wanini wa mapenzi au upi
Hizi habari ni za maana kwa wachaga wenye mwezi wao
Kwanza niwapepole watanizangu muendao manyumbani mwenu kusherekea sikukuu ya Mungujua tamuzi Mtoto wa mwanamke kahaba poleni sana ndungu
Ndugu, wahi kwa dakiari haraka sana, kabla hali yako ya afya ya akili haijafikia ngazi ya ukichaa. Puuzia kwa hasara yako mwenyewe
@@josephlango5591😂😂😂😂 kabisaaa
Wewe unayesema mtoto wa kahaba huna jipya la kusema kaa kimya wazee wakushughulikie.
Wachagaaa oyeeeee🔥🔥🔥🔥
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kilimanjaro na mikoa mingine huko kwetu ukienda unaweza usirudi niamini mm usitulaum sisi tusiorudi watoto wetu watateseka 😢
Hongera kwa kuwa muwazi na sio kuonesha chuki kama wengine
Dah acha nijitafute na Mimi awamu ijayo niwepo😊
❤
Tuacheni Wachagga jamani!!! Tunapenda Kwetu🤣
Kisha mnasema Mama Samia mbaya angalieni hii yote ni tafsiri ya kuwa mzunguko wa hela upo hapa Tanzania
Miaka yooooote unayoijua wewe Wachaga wanaendaga kwao Xmass...😎😎
@@mamboshepea8888 kwani nimesema hawaendagi?
Hasidi utamjuwa tu hata ukimtia ndani ya chupa ya soda atatoa kidole ili ajulikane
Mama Samia amekujaje hapa ? Hawa watu achana nao kabisa kaka ,ni kama mafuriko
Nani kakuambia huyo mama yako ndie kasabbisha wachaga warudi home hiyo ni kawaida kila mwaka usituletee siasa kama unamkubali ni kivyako vyako
Nchi huru kilimanjaro, republic of chagga land❤❤❤
Juzi mashirima wa Rombo aliwaalika mashabiki wake wote😊😊
Tatizo hujataja yangu nlipita na IST hapo 😂😂😂
Wanataja magari sio vyombo vya usafiri😂😂😂
@@mgayamgaya😂😂😂
@@advocatekarama4917 jamaa kamind kausafir kake hakajatajwa😀😀😀
@@mgayamgaya Hahahaaa
@@mgayamgaya 🤣🤣🤣🙌
"Go East Go West home is the best" alisema Baba mkwe Wangu
Halafu waislamu wanasherehekea idd wanaacha kusherehekea chrismas sikukuu ya kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu yesu kristo kweli waislamu wamechelewa sana 😂😂😂😂
Usiwataje waisilamu hii ni yenu idi ni yao lakini muhimu heshima ya kila mtu anapochagua
@@alisuleiman9627 ndomana nasema waislamu wamechelewa kusherehekea idd badala ya kusherehekea chrismas kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu yesu christ mwana wa Mungu aliye hai
Kwahiyo mungu wako ndio kazaliwa December?
@@AshuraAbeid-qw3ko nakumbuka kuzaliwa kwa mwokozi wa ulimwengu siyo kazaliwa desember 25 kuwa na akili usiwe kama ng'ombe asiye na akili ya uelewa
@@AshuraAbeid-qw3ko ni kama nyie waislamu mnavyo sherehekea Maulid kuzaliwa mwarabu wa makka kwani ndo huwa anazaliwa siku mnayo sherehekea? mbona mmekuwa wajinga sana nyie watumwa wa warabu??
Home is best
Jamaa kachiwa manyoya na mjeruman
Hiyo ndo chaga bhana, kama gari yako haifiki milioni 15,we panda tu basi maana kina Buffalo wapo kwa ajili yenu au pakia jety faster, ila yote msisahau ndugu zangu MUNGU ni wa wote, nendeni salama na mrudi mjini salama tuje tuzitafutee tena
Aminaaaaaa 🎉
CHRISTMAS NJEMA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Yani 25 vyuku mbuzi ngombe vingekua vinajua vingeanza kusepa mapema😅
Raha ya skukuu ni kujumuika na ndg jamaa na marafiki pamoja na wazazi kurudi nyumbani kipindi cha skukuu ni zaid ya skukuu
Nawapongeza wachaga ktk hili👏👏
Home land❤
Hata na sisi Bukoba wahaya wamekuja na Ma Helicopter na ma Private Jet kula sikukuu😮
Tusitishane
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂waambie...
@@ellybrown5989 wasije wakawasifia sana wachaga kumbe na sisi huku tuna hakina Rweyemamu,Rugabela,Rutahiwa na Rweyabula kibao wana minoti kichizi
😂😂😂
😂😂😂😂
Shimboni
Shimbonyi mae
Nimejaribu sana kushawishi makabila mengine hasa ya mwanza kurudi nyumbani kipindi hiki ,ila wamenishinda tabia,nachokiona sasa hivi watanzania wote kila mwezi wa 12 tuwe tunaenda moshi tu.maana hamna namna nyingine
😂😂😂😂 kwakwel
Waohojiwa tayari washameza kali za plastiki...sungura wa kutosha
Mwandishi muuliza maswali umezingua ety unauliza idadi ya watu waliofika moshi ilo swali mbona kama sio la msomi aise anawezaje kujua uyo dogo ilo swali la idadi ya watu.
Tamaduni nzuri mnohongereni
Milard kwangu njiapanda..nimesikitika mno kukukosa nami ningeongea asee.mwl mfinanga
Baada ya miaka kadhaa mkoa huu utakuwa wa matajiri sana
Hawajengi kwao wote wako Dar na Dodoma.
Kwani wanalala nje?@@gibsonjosephat6352
dar unaiacha wapi
@@hallin9561si ndo wenyewe wachaga ,kwani wenyeji halisi wa dar ni wachaga ? Dar ya wazaramo na wanani sijui😂😂😂
@@gibsonjosephat6352nani kakuambia ,kwao wanajenga na huko kwingine wanajenga
Home sweet home
Sasa v8 ziko wapi
Ni sawa muosha uoshwa. We fanya Dunia ndo Akhera yako ila siku ya kiama mtajua amjui.
Kwa hiyo wewe na umaskini wako unafanya Dunia ni moto au?
Kizuri kula na ndugu yako
Ameni mungu awatangulie klm
Chaggas run Tanzania
They are mere opportunists ad thieves…
Not chaggas, Hayas
@@jofreykabobe Hayas wanaongoza kwa sifa tu ila mfukoni empty
take lessons from us na wewe uwe tajiri uache kutusi watu mitandaoni
@@mimiraia2531
Huko bukoba kuna tia aibu mkajenge @@jofreykabobe
Kuna dada ameolewa ironga naamuliza Huwa Xmas mnaenda iringa ni muoldmoshi akanambia mbutaaa nani aende hukoo, jamaa ashazoea mbona na tulishajenga Moshi so December huwa tupanda na baba Moshi mpaka na mawifi huwa napanda nao hahhhaha, iringa tuna nyumba tunendaga kukiwa na msiba tuu haa sioo diceember ila kiriisimas Moshiiiiii
Sehem sahihi na kipindi sahihi chakupata mwenza ndio hiki wahi rombo, kibosho ,yani moshi kiujumla 😂😂😂😂 tuachane na hawa wa mjini wanatudanganya jamani😂😂😂
Oyooooooooo nyumbani kumenoga
Mtu kwao jaman pia ukikaa na wazazi ukishangilia inafurahisha
Woyooooooooo🎉🎉🎉🎉🎉
nawapongeza kujari kwao.. ila uchumi wa mosh upo chini sana. kiukwel hawawekezi kwao. wamejenga magorofa mikoani, kwao vyumba za kawaida na mazizi ya ngombe. nimekaa rombo, wanamaisha magumu sana waliopo rombo, wamekata tamaa wanalewa tu pombe za kienyeji
Kiruuu wachaga waenda kanyii
Mbona kagera,mbeya na songea hiyo hali ipo.
Ila zaidi ni Moshi😂
@@jescajonsson8579 kaskazini hakuna idadi kubwa ya watu kama kanda ya ziwa na nyandA za juu kusini.
WACHAGA WASHAMBA WANAPENDA MATANGAZO WATU WA HUKU KUSINI NA NYANDA ZA JUU KUSINI HATUJUI KUJITANGAZA
@@Aminmwansile-we8vn wengi wao wamepata mafanikio ya ukubwani.hawajazaliwa kwenye mali.ndiyo maana wakichuma town wanakimbilia wote nyumbani kuonyesha.sasa utaonyesha vingapi eeeeeh.
@@erickchitumbi1308 wachagga wengi wamezaliwa kwenye pesa sio pesa za ukubwani maana tangu enzi za mkoloni mchagga anajua kutafuta..
Wamebeba na manguruwe hapo hawakosi
Wivuuu
Utaachaje nyama tamu kama nguruwe? 😂😂😂
Moshi kwetuuuuuuuuu🎉
Waaaambieeeeeee tupo fuulu kilimanjaro
Ayo tv🔥
Wachaga wanafanyaga kazi sana huwa hawapumziki.
Huu ndio muda wao wakupumzika
Kabisaa
Unatakiwa umuhoji mtu ambae ana maisha sa uyo unamuhoji wa nn hoji watu wenye hadhi zao ye ndo mshamba sasa umeelewa ndugu mtangazaji hoji watu wenye hadhi si walevi kama hao be serious na kazi yako umeelewa nimemalza
Acha makasiriko
Nilipita hapo na toyoya Glanza😂😂😂😂
Jaman sikukuu ipomoshi bana dimchezo eti wachaga tunatisha kinoma
Kilimanjaro home sweet land kcmc moj ap
Wamakonde na nyinyi mje.
Jmn nitumieni nauli mchaga mwenzenu sn nauli jmn mwaka huu
Nendeni pale Mwanga mkaone yanayopanda kule juu *USANGI*😅😊
Wakatambike upya warudi kwa kasi kuzisaka upya
Kahawa hous
Njiapanda mahom kwetu
Hata wapare tunaendaga sana
Gari zetu vimbeni nazo salama ziludi salama...
Wachagire
Wana wa Israel wanarudi nyumbani
Hawo wachaga bana wengine msiige mtakufa vibaya
Niko huko na lambo, mumeona lambo mjini??
This is Chagga migration
Yesu alikua mchaga 😂😂😂
Actually huu ni aina ya Ukimbukeni
Nenda kwenu. Ulimbukeni which!😂😂😂😂
@@hellendaniel3809 aaagh, ulimbukeni bhanaa, nyie vp, mmekua nyumbu wa Serengeti..
Mzee huna exposure hata airlines kubwa duniani kama emirates, KLM, Delta, Virgin airlines, etc msimu huu ndio wakati wanatengeneza pesa nyingi kuliko wakati wowote sababu ndio kipindi abiria wanakua wengi
Dah ni ushamba sana yaani
Mburula kwenda !!!!!???
Mbwa ww kafe mbele
Mshamba mwenye Prado Bora niwe mshamba na mimi
Hamuwezi kurudi kwenu sababu ukitoka Dar kurudi kwenu ni sawa na kutoka peponi kwenda kuzimu
Waisrael lazima warudi kwao
Ila siku izi sio wachaga tu wanaopenda kwenda likizo za mwisho wa mwaka kwao.
Hata mikoa mingine, Mbeya, Mwanza, Iringa, Dodoma, Bukoba, hali ni hii hii.
Hongera zao pia
Sherekea tu sikukuu yako acha kusema waislam huko kwingine
Hzo gar zao ukipanda na Imani kubwa utaona maajabu miskule iko uko ndani😂😂😂😂anyway muwah kurud mjini mlishe miskule na manyoka yaliyopo kwenye maduka yenu😂😂
Fuga misukule na nyoka wako wewe utembelee V8
Tunawajua c tuko nao sehem za biashara asee😀😀
hawa wanaenda kutambika
Maela yao ya ndagu ukija hku Arusha kwenye maduka yao kuna matoto mazezeta mara matunguli yametundikwa vtu vya ajabu ajabu kwel
@@user-yy9jp3ll8pmmmh uongo 😂😂😂😂😂 hivi kwanini mnasema uongo ml
Napaona DID
Sijui nitoke kuwa muhaya niwe mchaga da!
😂😂😂 Karibu Mangi Meli
🙄🙄🙄
Moshi naakubali sn sie watoto mjini 2mebaki dar.
😂😂