ความคิดเห็น •

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 4 หลายเดือนก่อน +109

    Mpaka hapo nimejua babaLevo ni mtu Mzima na Una jielewa saana, Big Up

  • @user-is9kl3jn3v
    @user-is9kl3jn3v 4 หลายเดือนก่อน +41

    Baba levo uwa sikupendi na sikuelewi ila leo nimekuelewa big up sana

  • @denicdaud4702
    @denicdaud4702 4 หลายเดือนก่อน +26

    Kama umemskiliza b levo vzr Kuna kitu Cha kujifunza😊

  • @artist_mtulivu7799
    @artist_mtulivu7799 4 หลายเดือนก่อน +33

    Kama maelezo ni haya baba levo uko sawa 🙏

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa sasa atakua na adabu BABA levo..kama kadundwa kweli..☑️📌

  • @djstoppa2251
    @djstoppa2251 4 หลายเดือนก่อน +3

    Saf sana baba levo maelezo mazur sanaa na unauamuzi wa ki utu uzima hiy ndio akili muache mtoto ajifunze

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 4 หลายเดือนก่อน +24

    Baba Levo ni mtafutaji ndo maana hajapigana,Sasa hapa Hamo atamlipa pesa ambayo ni kama ameokota dodo chini ya mti wa mkwaju,kupiga Kuna madhara yake!,jamaa anaenda kuvuna pesa Kwa Hamo kimdhamdha tu,Hongera Baba levo

    • @user-mr1di6ex9x
      @user-mr1di6ex9x 4 หลายเดือนก่อน

      Kamali haina mashiko selikalini

    • @kibandachasimu
      @kibandachasimu 4 หลายเดือนก่อน

      unaijua Sheria wewe?!

    • @georgenzai1355
      @georgenzai1355 4 หลายเดือนก่อน

      Mwanzo umepigwa kasino 😂😂😂😂

    • @annieteddy3702
      @annieteddy3702 4 หลายเดือนก่อน

      Afu cameras zitasaidia sana kuonesha ushahidi

    • @sylivestermwasile4203
      @sylivestermwasile4203 4 หลายเดือนก่อน

      Jiloge sehemu kama izo uone kama kunasheria

  • @bonphacearon2428
    @bonphacearon2428 4 หลายเดือนก่อน +26

    B levo nakuelewa sn ila wapuuuzi hawawez kuelewa point yko...ugomvi sio kitu sahihi kweny maisha haya jmn hujui unaegombana nae kama unakichwa kigum kama mbao huwez elewa...

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 4 หลายเดือนก่อน +2

      Huyo baba levo mwenyewe mdomo wake hauna break wacha anyooshwe hawezi pigwa bila sababu kuna jambo hapo😂😂😂😂😂

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ww msenge na huyu mama level anamshobkea sana

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 4 หลายเดือนก่อน +3

    Levo ubahati mbaya sanaa ulikuwekwa ndani nw umepigwa na harmonize duuh Pole sanaa acha uoga harmonize maskini tu

  • @junelatifah1385
    @junelatifah1385 4 หลายเดือนก่อน +17

    You did good baba levo from +254

  • @Masta313
    @Masta313 4 หลายเดือนก่อน +11

    Kutumia Maguvu kushapitwa na wakati Respect B Levo

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 หลายเดือนก่อน +50

    Tatizo watazania hamuna uwelewa baba levu yupo sahihi ugomvi sio mzur

    • @mugishalaurian3311
      @mugishalaurian3311 4 หลายเดือนก่อน +3

      Nafikiri angeendelea kumsemea baba yake diamond bila kumkandia harmonize..ugomvi una chanzo ndgu😅😅

    • @user-vu6pd7pg9e
      @user-vu6pd7pg9e 4 หลายเดือนก่อน +1

      Akilet ujinga apigwe sio kilamtu anaitaj chaw

    • @BensonLukwambe
      @BensonLukwambe 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mzungu!?

    • @EdifonceSylvester
      @EdifonceSylvester 4 หลายเดือนก่อน

      Mkuu shida wote walikuwa wamelewa ata baba lovo alikuwa maji mzee

    • @makilimsimu2451
      @makilimsimu2451 4 หลายเดือนก่อน +1

      Angalia suala lako watanzania wangapi usikosee nchi adabu kaka wataje ambao hawana uelewa unajua wewe ,,alafu jifunze kuandika koment itakuja kula kwako

  • @elishamwakasege9794
    @elishamwakasege9794 4 หลายเดือนก่อน +44

    YES NAITWA BABAKE NA LEVOOO😂😂😂 LEO NIKO DUBAI NAHAKIKISHA MNAJUA KILA KITU😂😂WAPI LIKE ZANGU

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535 4 หลายเดือนก่อน +24

    daaaa nakukubali mkuu unajua kujieleza sanaaaa

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877 4 หลายเดือนก่อน +34

    Mungu mlinde Sana Harmonize🙏🏼

  • @user-jx7fc2ej6g
    @user-jx7fc2ej6g 4 หลายเดือนก่อน +10

    Baba levo uko sahii ugomvi sio mzuri kiukweli.

    • @juliusnyerere5393
      @juliusnyerere5393 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ugomvi sio mzuri wakati kila siku mjinga huyu anawasema maneno mabaya mitandaoni Kama msenge baradhuli. Hana anachokiweza. Lake ni domo tu. Kama mwanamme angepigana. Aone mm
      Aaah ooooh ugomvi hauna maana ndio kwanza mjue leo wapumbavu wakubwa angetolewa meno hasa Akajua. Kumbe anajifanya Simba kumbe simba wa karatasi. Mjinga mmoja. Hakuna atakae mlipa. Polisi mambo ya ulevini ni yao wenyewe Hawaingiliii kati.

  • @chonjohousesofdrinks
    @chonjohousesofdrinks 4 หลายเดือนก่อน +7

    Asante baba lavo kugombana niushamba muache dogo ajione kashinda

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 4 หลายเดือนก่อน +16

    Uposahihi baba levo, ugovi hauna faida yoyote zaidi ya hasara.

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo Harmonize Hamjui Baba Levo Akaulize Police Traffic wa Kigoma Ugomvi wa Baba Levo
    Kweli Baba Levo ni Mstaarabu Halafu Harmonize Mbona Anajidhalilisha Kua Hana PESA Mpka Agombane Kisa Million 5

  • @HappyDahliaFlower-cm6cl
    @HappyDahliaFlower-cm6cl 4 หลายเดือนก่อน +7

    Wewe uwongo. Wewe bifu ilooo umeishiwa aa. Shogawewe Asante jeshii unge mfanyaa hakuna chupituu

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 4 หลายเดือนก่อน +10

    Pole sana baba levo jembe letu

  • @georgeabdallah2897
    @georgeabdallah2897 4 หลายเดือนก่อน +15

    Babalevo acha kamari

  • @MuhammadNasra-jg7qc
    @MuhammadNasra-jg7qc 4 หลายเดือนก่อน +1

    baba levo ulifanya jambo nzuri kijiepusha na shari❤

  • @sidemelodytz6487
    @sidemelodytz6487 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mwenye akili atamuelewa baba levo. Wasio na akili watamtukana baba levo.big up bro b levo b

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 4 หลายเดือนก่อน

      Kwan nani anamshobokea mwenzie? Huyu amezd kumfata Harmonize

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 4 หลายเดือนก่อน +14

    Safi sana baba levo mfundishe adabu huyo mtoto hajielewi mibange tuuu

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kuma. La mamako hawezi kumfundisha adabu jeshi subir uone inaishaje hii

    • @fredykaitani595
      @fredykaitani595 4 หลายเดือนก่อน

      Utafirwaaaa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน +2

      Afundishwe ustaarabu..harmonise ni jinga fulani,tabia za ushamba.. mambo ya primary

    • @user-vb2tg3yt8i
      @user-vb2tg3yt8i 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mujinga tu ww

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli bangi hajielewi

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 4 หลายเดือนก่อน +23

    Baba levo ana akili ndefu atapiga hela kwa kipigo kama nikweli amepigwa anazingatia maokoto 😂😂😂

    • @emmanuelaben-df6yr
      @emmanuelaben-df6yr 4 หลายเดือนก่อน

      Kaisha jichanganya kwenye maelezo kusoma alikuwa amelewa

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

  • @user-bm9lu9qn2u
    @user-bm9lu9qn2u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Harmonize hana hakili bro thanks b levo boy

  • @HancyKabisama
    @HancyKabisama 4 หลายเดือนก่อน +1

    Braza we ni bonge la mwanamziki ila unafeli sana kwenye huu upande namkumbuka sana Yule Baba levo wa miaka ya 2000

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 4 หลายเดือนก่อน +16

    Good job harmo anakuchafua sana kunabaki Yule echi baba naye

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 4 หลายเดือนก่อน

      Aibu yenu kugombea pesa 😅😅

    • @MarizLucas
      @MarizLucas 4 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga we matako unashangilia ugomv

    • @rashowshine7849
      @rashowshine7849 4 หลายเดือนก่อน

      Kumbe msanii wenu ana njaa😂😂😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Posh kamchuna

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 4 หลายเดือนก่อน +52

    Ugomvi sio mzuri cha kufanya jiepusheni maneno maneno ili mpunguze maadui

    • @mwanaidhassan9977
      @mwanaidhassan9977 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa huyu anamdomo sana kiherehere sana

  • @icclcharters3389
    @icclcharters3389 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hapa baba level ame play smart sana,Nia na madhumuni nikumtoa upepo dogo,Watu wapo serious na maokoto so utamtishia kumpiga mwenzako anaibeba kama agenda mkamalizane mahakamani au mfanye mediation ale chake👍Big up sana lkn pia kusameheana ndio ubinaadam pia

    • @mugishalaurian3311
      @mugishalaurian3311 4 หลายเดือนก่อน

      Udhalilishaji na masimango plus fitina anazomfanyia harmonize kwanza ashukuru Mungu tu, aendelee kumsemea babake daimond bila kuingilia mkate na hustle za watu..ngoja achapwe apunguze mdomo

  • @user-rl4mm1vi2e
    @user-rl4mm1vi2e 4 หลายเดือนก่อน +1

    Muungwana akivuliwa nguo asimami uchutama👍

  • @sangbforever
    @sangbforever 4 หลายเดือนก่อน +29

    Good interview ❤
    Sang b forever best rapper 💪

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 4 หลายเดือนก่อน +3

    Baba levo his very mature ❤

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 4 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu mmakonde kumbe ana njaa mamae sema kupambana kizimbani na mtu ashakaa jela ajipange😂😂

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ajipange na nini nawe umesikiliza upande mmoja then unaanza hukumu kwanini hakupigwa mwingine kuna la kujiuliza hapi huyo baba leo ana mdomomdomo sana wacha aoneshwe😊😊😊😊😊😊

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂posh anamchuna

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani nani huwa ana msakama mwenzie kati ya huyu na Harmonize? Na hapo katunga stor tu kuhusu Harmonize ili amharibie brand. Katumwa

    • @habililailo271
      @habililailo271 4 หลายเดือนก่อน

      Tatizo unaachama sana siku nyingine watakutoa macho kama sio meno sheria itapita lkn ww huna meno au macho au whatever utakae pat harara ni ww

    • @user-vu6pd7pg9e
      @user-vu6pd7pg9e 4 หลายเดือนก่อน

      Manen mengi sio kilamtu anatak uchawa

  • @RamcyeeJunior254-nb9cj
    @RamcyeeJunior254-nb9cj 4 หลายเดือนก่อน +17

    Skiza story Wacha kukomet ujinga

  • @bakarially253
    @bakarially253 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana Muha mwezangu sisi waha sio wanjonge lakini sisi wasitarabu sana lakini tukiamua huwa sisi ni watoto sana

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 4 หลายเดือนก่อน

      Ila kuandika hamjui

    • @mzansi27
      @mzansi27 4 หลายเดือนก่อน +1

      Waha tangu eanza kufirwa, mjini, mmegeuka vituko vitupu

    • @kassioothemiracle1688
      @kassioothemiracle1688 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@deboramartin8111we unaejua kuandika umefika wapi?

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 4 หลายเดือนก่อน

      @@kassioothemiracle1688 wewe nina uwezo wa kulisha familia yenu yote na changanya na ukoo wenu alaaaaah

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 4 หลายเดือนก่อน

      @@deboramartin8111ww mshamba kg.ndoo habari ya mjini

  • @cngeze
    @cngeze 4 หลายเดือนก่อน +140

    Acha mdomo ,Asante Harmonize

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 4 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 4 หลายเดือนก่อน +4

      Kumbe maisha yenu wasani ni ya kisenge😂😂😂😂

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 4 หลายเดือนก่อน +8

      Acha uchoko harmonize mshamba tu

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 4 หลายเดือนก่อน +10

      Endeleeni kumchochea na kumfanya aone yupo sahihi kuvunja sheria ila sheria itapomrudi msije kumhukumu au kumlaumu Baba levo na kumwona hana busara huruma na hekima kwamba ingefaa wamalize nje ya mahakama whereby hawa ni public figure kitendo cha kuwaacha wafanye watakavyo mbele ya uso wa sheria ni kuudhalilisha utawala wa sheria wa nchi hii. Ikumbukwe hakuna aliye juu ya sheria plus kupigana ni mambo ya kishamba tena ya kizamani

    • @kini8076
      @kini8076 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @mjukuuwasembuzi
    @mjukuuwasembuzi 4 หลายเดือนก่อน

    😅😂puñguza uwongo wew ni kihelehele sana hongera jeshi🙏

  • @joshuajilani5532
    @joshuajilani5532 4 หลายเดือนก่อน +1

    You'hv proved us the you real kumbee midomoo matupigiaa mtandaoni mnaa helaa kumbee hamnaa kituu hadi mwapiganiaa pesaaa Bure kabisa

  • @obedymwilenga7490
    @obedymwilenga7490 4 หลายเดือนก่อน +4

    Babaelevo upo vizuri

  • @HamisRamadhani-uq3bt
    @HamisRamadhani-uq3bt 4 หลายเดือนก่อน +13

    Pesa mwanaharamuuu daaaah mungu atusaidie katka kutafta lizikiii

  • @ericko-254
    @ericko-254 4 หลายเดือนก่อน

    Big up Temboo,,ungepoga mdomo🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @zenamshana8140
    @zenamshana8140 4 หลายเดือนก่อน +9

    Jaman, pesa haina undugu 😢

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri5311 4 หลายเดือนก่อน +6

    Ukiacha uteam fundi majumba ametudhihirishia artists wetu ni njaa yaaani Sio pombe 3m ni ya number one artists kupigania na kuleta unable ni njaa inatusumbua

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hiyo ndo point mzee hawana pesa wanalilia milioni tatu 😅😅

    • @rerisamba
      @rerisamba 4 หลายเดือนก่อน

      Tena ameenda nyakua pesa za omba omba

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 4 หลายเดือนก่อน +7

    Aibu sana mmakonde Naye wa kugombania Hela! Pamoja na kumiliki Magari na majumba ya kifahari!,na umaarufu wote huo!,angewaachia hao machawa wagawane,mjinga sana ndo maana anaoa wanawake wazee!.

    • @user-md9iy9qn1k
      @user-md9iy9qn1k 4 หลายเดือนก่อน

      Hana kitu njaa tupu hana cha gari wala nyumba za mikopo zote hizo

  • @subilagamwaibanje5375
    @subilagamwaibanje5375 4 หลายเดือนก่อน +1

    MIMI NASEMAGA USTAR KAZ SAANA …. JUST IMAGINE HARMONIZE ANAKUA CHAWA HUKO CASINO ANI ANASUBIRI BOSS ASHINDE NDIO YEYE APATE MTAJI WA KUCHEza …. Na Ukiona mpaka mtu anapigania Million 3 TUJIFUNZE KITU APO …😅😅 maisha Yana rank kwa kwel mtu anakula hela kwenye kamali 1B PLUS DUH nimelia😢

  • @kiya0910
    @kiya0910 4 หลายเดือนก่อน +8

    Huyo harmoniza ana ushamba Sana ajifunze kuishi nawatu jiga yy mpuzi moja yy

  • @TausAbasi-jf2xx
    @TausAbasi-jf2xx 4 หลายเดือนก่อน +3

    Omba omba wa kasino mamba moja harmonize

  • @kaindooreld-ej2kg
    @kaindooreld-ej2kg 3 หลายเดือนก่อน

    Armoniz Kakosea sana Baba levo wanakigoma tukonyumayako

  • @EmmanuelMoses-pb1zh
    @EmmanuelMoses-pb1zh 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nimeipenda tu kwenye Take This Man

  • @user-uh5ly3ye2v
    @user-uh5ly3ye2v 4 หลายเดือนก่อน +6

    Pole ndugu umepigwa na kitu kizito

    • @LeahGibebe
      @LeahGibebe 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 4 หลายเดือนก่อน +3

    Omba omba haooo wanagombani 10m za boss

  • @user-ts2gf9zv9b
    @user-ts2gf9zv9b 4 หลายเดือนก่อน

    Kafanya vzulii hmz ❤❤❤❤

  • @dismasgomano268
    @dismasgomano268 4 หลายเดือนก่อน +2

    I am Form+225 thanks

  • @luqash_luqman9744
    @luqash_luqman9744 4 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂mkiambiwa wasani wa kenya ni Matajiri kuliko wa bongo hamwaminii onenii sasa ukwlii😅😅😅😅wanangangania za watu njaaaaaa itawauwaaa

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 4 หลายเดือนก่อน +10

    Baba Levo pole

  • @samngala128
    @samngala128 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baba levo ,I win today take this money

  • @Timoclement
    @Timoclement 4 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana Baba levo mda mwingine status yake asitumie vibaya mfundishe kidogo

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 4 หลายเดือนก่อน +4

    Anajifanya na Tajili kumbe Harmonize n masikini Kama masikini wengine ...!!!!!

    • @user-vu6pd7pg9e
      @user-vu6pd7pg9e 4 หลายเดือนก่อน +1

      We zako zko wap

    • @user-vu6pd7pg9e
      @user-vu6pd7pg9e 4 หลายเดือนก่อน

      Nawe jifanye tajili tukuone

  • @shau-macgyver8603
    @shau-macgyver8603 4 หลายเดือนก่อน +9

    Yaani amekufikia sehemu ya kukukunja mwehu wewe bado Yule jinga la mwanza

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 4 หลายเดือนก่อน

      Msijitoe ufahamu ni aibu kwenu 😅😅😅 kugombania pesa

    • @Gyptechne_001
      @Gyptechne_001 4 หลายเดือนก่อน

      Baba levo mjanja.,hicho kipigo anatengeneza hela..siku hizi watu hawapigani.

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Hana pesa aibu gan hii kugombania 5milion😂alafu anajiita tajiri

    • @dotojohn9316
      @dotojohn9316 4 หลายเดือนก่อน

      Mm nakutaka wew mbwa nipo mwanza

  • @user-pi6lb6nx3m
    @user-pi6lb6nx3m 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sheria ifate mkondo wake, tukianza na bqbq levo unauhakika Gani kama huyo tajir hamjui, watu ote anaojuana nao we una wajua,kutwa umekuwa ukimtolea mqneno ya kejer nq dhalau khamonizi mala umuite kilandage,Hana pesa nyadundo, Sasa kakunyoosha ndo unasema kesi ipo mahakamani safi sana.

  • @kingsleynsshukuru2693
    @kingsleynsshukuru2693 4 หลายเดือนก่อน

    Baba levo uo niuashamba mwenzako daaa ukamucukia wewe vipi sababu diamond anakuliasha vipi mwanangu

  • @franccoz94
    @franccoz94 4 หลายเดือนก่อน +3

    TATIZO wasani wa bongo wanafeki sanaaa maisha,hawaa wasin s ndoo wanatuaminisha kua wanapesaa sasa wagombaniana mil 10 ya kupewa kweli

    • @robertulaya6419
      @robertulaya6419 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @gracejerome7147
    @gracejerome7147 4 หลายเดือนก่อน +12

    Nimefurahi sana kubondwa uyu mkaka😊

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 4 หลายเดือนก่อน +6

    B Levo umefanya poa sana tu kutokumrudishia kipigo hii ni Tz bana sio nchi ya Vita kama kakushambulia kweli ataadhibiwa tu

    • @SambweteMtepa
      @SambweteMtepa 4 หลายเดือนก่อน +2

      Babalevo Hana uwezo wakumpiga harmoniz

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ulikuwepo???😅😅😅

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 4 หลายเดือนก่อน +37

    Ugomvi hauna maana kabisa.

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu 4 หลายเดือนก่อน +3

    Harmo kaonyesha ushamba wa hali ya juu sanaaaaa

    • @hidayaally9977
      @hidayaally9977 4 หลายเดือนก่อน

      Kashachunwa hana kitu

    • @dicksonmoshi7480
      @dicksonmoshi7480 4 หลายเดือนก่อน

      usimlaumu harmonize , ikiwa mpaka sasa hajatoa kauli yeyote

    • @RahmaAwadh-ul9yu
      @RahmaAwadh-ul9yu 4 หลายเดือนก่อน

      @@hidayaally9977 🤣🤣🤣

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Baba Levo utawacha Ufala,,,, lazima umuheshimu Jeshi

  • @avax5717
    @avax5717 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baba Levo bwana.. 😂😂 jisemeage wee

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekuelewa kbs

  • @user-zp7zs8gk7y
    @user-zp7zs8gk7y 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe Baba levo ni mwanaume sikuwai jua Kama baba levo ni mwanaume me huwa najua ni mwanamke juu ako na mdomo sana harmonize amefanya kitu yenye nlitaka afanye anakuanga mwanamke house girl huko WCB Baba levo ni mtu anapenda ugomvi kwa wasanii wengine akipigwa ni vizuri

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mwambieni uyooo amonaIzi cjui acheee kuxhezaa naa warevi akumbukee a,k,a Yuko wp stivuu 2kei Yuko wp aepukee michezo naa watuu wenginee awachezewi

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 4 หลายเดือนก่อน

      Nenda zako ww nyie ndio walewale

    • @user-rf7ni6tr2o
      @user-rf7ni6tr2o 4 หลายเดือนก่อน

      @@karimjuma4019 wendaa ujijui unajinsia gani mana mwanaumee akiongea kakojoee ukararee choko mmoja wewe

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Anajiita tajiri😂

  • @Kaweza-mu6hy
    @Kaweza-mu6hy 4 หลายเดือนก่อน +6

    Alafu amonaize anasema anayo Hela unagombea milioni 5 tajili gani

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa million tano ndogo 😂😂

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 หลายเดือนก่อน

      Harmonize kumbe hela hana😂 unanyang'anya hela walizopewq wenzio

  • @alristv3599
    @alristv3599 4 หลายเดือนก่อน

    Baba levo fanya kweli, ajifunze

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 4 หลายเดือนก่อน +10

    B Levo amna mambo ya police 👮‍♀️ kila siku unamtukana kila siku

    • @muhamedyhusseni-ey5ui
      @muhamedyhusseni-ey5ui 4 หลายเดือนก่อน

      Mbn mwijaku anamtukna diamond amuongei

    • @esthermutabuzi4582
      @esthermutabuzi4582 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani yeye Harmonize huwa hatukani? Alimtukana Diamond, Rayvanny, Kajala na mtoto wake...tena huyu kaka ana matatizo acha ashughulikiwe kisheria

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@esthermutabuzi4582hao unaowataja aliwatukana wapi?Casino kulikuwa na watu wengine mbona hawakufanyiwa hivyo kwanini baba Levo? Eti ooh yule Tajiri hamjui Harmo inahusu? Mwambieni apunguze mdomo akiendelea hivyo atadundwa sana😂😂😂😂😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa tusi gani?

    • @esthermutabuzi4582
      @esthermutabuzi4582 4 หลายเดือนก่อน

      @@taseleli9181 Harmonize amshukuru sana Babalevo kwa busara alizozionyesha. Sidhani kama kuna mtu anaamini kwamba Harmonize anaweza kumpiga Babalevo🙄. Kama hujakomaa akili huwezi kumwelewa Babalevo.

  • @user-kg7of9fr5x
    @user-kg7of9fr5x 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hahahahaha Wana utopolo wote wawili mtajijua wenyewe

  • @francisdjkakras3255
    @francisdjkakras3255 4 หลายเดือนก่อน

    Wew baba levo unafaa unyoshwe vizuri hio mdom itaisha

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 4 หลายเดือนก่อน +1

    Si watu wa harmo pia wanamtusi Diamond Kila siku ila diamond hana huo ujinga

  • @ngoymulunda3978
    @ngoymulunda3978 4 หลายเดือนก่อน +4

    Harmo kweli baba levo anashida ya millioni 5

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hana pesa harmo... ni mshamba tu harmo...kupigana ni ujinga

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa
      Nashangaa wanaomtetea hapa
      Kumbe ni mpumbavu hivi

    • @HedielJohn-xo9ec
      @HedielJohn-xo9ec 4 หลายเดือนก่อน

      Hana pesa na anamiliki demu anahitaji hela anaona adhulumu

  • @john_1trader
    @john_1trader 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dah mtu alimpiga mwenza eti millioni 5 na mnajiita wasanii hivi unashindana na chawa maokoto

    • @user-qq4wg7ib4k
      @user-qq4wg7ib4k 4 หลายเดือนก่อน

      Mm ndipo ninaposhangaa msanii mkubwa tena

  • @jindamjukuu8440
    @jindamjukuu8440 4 หลายเดือนก่อน +1

    😊😊😊wamekuchapa 😅😅😅 pole

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baba Levo Leo unamuita Harmonize tajiri😂😂😂 si unasemaga Hana kitu kabisa, gawaneni tu😂😂😂

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 4 หลายเดือนก่อน

      Na Hana kweli ila baba levo anasemaga sasa hi I harmo ana pesa ila sio zamani

  • @Lukukula
    @Lukukula 4 หลายเดือนก่อน +12

    Umeongea point

  • @jumaibrahim9773
    @jumaibrahim9773 4 หลายเดือนก่อน +8

    Waambie unaijua jela

    • @khatibumasudi
      @khatibumasudi 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe pia ni chawa kama vile babalevo machawa wa wasafi

  • @josephusekwelas9743
    @josephusekwelas9743 4 หลายเดือนก่อน +2

    Harmonize sio wa iyo ali weye fala story za uongo mke wewe mama levi

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c 3 หลายเดือนก่อน

    Upo sawa bos

  • @daudykasherente8667
    @daudykasherente8667 4 หลายเดือนก่อน +5

    Safi levo

  • @matutaathman5660
    @matutaathman5660 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baba levo wacha uchawa , vijana watakudharau

  • @dianawalter7903
    @dianawalter7903 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kupigwa ushapigwa hiyo ndo point😂😂😂 Sheria itachukua mkondo Atalipa faini ila kichapo umekipata🤣🤣🤣 Hilo ndo la msingi. Asante

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ww baba LEVO acha kumdisi kwenye nyimbo zako punguza

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 4 หลายเดือนก่อน +2

    Leo kawa mpole

  • @wizzy200
    @wizzy200 4 หลายเดือนก่อน +8

    baba levo ni.kama mtoto yani duuh

  • @user-wp4hl1mu9p
    @user-wp4hl1mu9p 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana bado daimondi

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 4 หลายเดือนก่อน +1

    Harmonize anagombania mil 5 na baba levo? Hii ni aibu afu anajiita msanii mkubwa😂😂😂

  • @user-px8mx1ce4o
    @user-px8mx1ce4o 4 หลายเดือนก่อน +3

    kuma wewe kondeng boy kafanya muzuri kuku piga wewe muongo kuma wewe ni djuma shaban nikia cape Town south Africa kondeng for life 🔥👑🔥🇺🇸🇿🇦🙏

    • @slymsameer5415
      @slymsameer5415 4 หลายเดือนก่อน

      Huna akili unasifia ujinga

    • @dotojohn9316
      @dotojohn9316 4 หลายเดือนก่อน

      Kafrwe matakon huko ama nije nikufre mm matakoni

    • @HipHop_2024
      @HipHop_2024 4 หลายเดือนก่อน

      Mavi kunuka matako ya mama ako

  • @user-cr5kr1vm2x
    @user-cr5kr1vm2x 4 หลายเดือนก่อน +17

    Huyo mapuwa mara kwa mara unamsema vibaya harmonize

    • @silviocimo3948
      @silviocimo3948 4 หลายเดือนก่อน +3

      Diamond ametukanua marangapi, na watu wangapi, mbona aje mpiga ntu wala kumshtaki ntu?

    • @festovenas502
      @festovenas502 4 หลายเดือนก่อน

      Mashabik wake mpo kama yy 😅😅😅 Moshi sana

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 หลายเดือนก่อน

      Anajiita tajiri alafu anagombea hela😂

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 4 หลายเดือนก่อน

    Angevunjwa pia,,mwehu

  • @majaliwamaginyula9327
    @majaliwamaginyula9327 4 หลายเดือนก่อน

    Iv kweli wewe baba levo na uzima huo na ujanja wako unaeleza kupigwa na harmonizer acha longolongo Mzee big up harmonizer unetukomeshea kenge ya kigoma

  • @mjumbewakristo8677
    @mjumbewakristo8677 4 หลายเดือนก่อน +8

    Kumbe harmonize ombaomba 😂😂😂😂

    • @rerisamba
      @rerisamba 4 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣alisikia casino matajiri wanapeana pesa akaenda nae apewe

    • @mjumbewakristo8677
      @mjumbewakristo8677 4 หลายเดือนก่อน

      @@rerisamba 🤣🤣🤣🤣