Baba levo uwa sikupendi na sikuelewi ila leo nimekuelewa big up sana
Kama maelezo ni haya baba levo uko sawa 🙏
Kwa sasa atakua na adabu BABA levo..kama kadundwa kweli..☑️📌
Saf sana baba levo maelezo mazur sanaa na unauamuzi wa ki utu uzima hiy ndio akili muache mtoto ajifunze
Baba Levo ni mtafutaji ndo maana hajapigana,Sasa hapa Hamo atamlipa pesa ambayo ni kama ameokota dodo chini ya mti wa mkwaju,kupiga Kuna madhara yake!,jamaa anaenda kuvuna pesa Kwa Hamo kimdhamdha tu,Hongera Baba levo
B levo nakuelewa sn ila wapuuuzi hawawez kuelewa point yko...ugomvi sio kitu sahihi kweny maisha haya jmn hujui unaegombana nae kama unakichwa kigum kama mbao huwez elewa...
Huyo baba levo mwenyewe mdomo wake hauna break wacha anyooshwe hawezi pigwa bila sababu kuna jambo hapo😂😂😂😂😂
Levo ubahati mbaya sanaa ulikuwekwa ndani nw umepigwa na harmonize duuh Pole sanaa acha uoga harmonize maskini tu
You did good baba levo from +254
Kutumia Maguvu kushapitwa na wakati Respect B Levo
Tatizo watazania hamuna uwelewa baba levu yupo sahihi ugomvi sio mzur
Nafikiri angeendelea kumsemea baba yake diamond bila kumkandia harmonize..ugomvi una chanzo ndgu😅😅
Mkuu shida wote walikuwa wamelewa ata baba lovo alikuwa maji mzee
Angalia suala lako watanzania wangapi usikosee nchi adabu kaka wataje ambao hawana uelewa unajua wewe ,,alafu jifunze kuandika koment itakuja kula kwako
YES NAITWA BABAKE NA LEVOOO😂😂😂 LEO NIKO DUBAI NAHAKIKISHA MNAJUA KILA KITU😂😂WAPI LIKE ZANGU
daaaa nakukubali mkuu unajua kujieleza sanaaaa
Baba levo uko sahii ugomvi sio mzuri kiukweli.
Ugomvi sio mzuri wakati kila siku mjinga huyu anawasema maneno mabaya mitandaoni Kama msenge baradhuli. Hana anachokiweza. Lake ni domo tu. Kama mwanamme angepigana. Aone mm
Aaah ooooh ugomvi hauna maana ndio kwanza mjue leo wapumbavu wakubwa angetolewa meno hasa Akajua. Kumbe anajifanya Simba kumbe simba wa karatasi. Mjinga mmoja. Hakuna atakae mlipa. Polisi mambo ya ulevini ni yao wenyewe Hawaingiliii kati.
Asante baba lavo kugombana niushamba muache dogo ajione kashinda
Uposahihi baba levo, ugovi hauna faida yoyote zaidi ya hasara.
Huyo Harmonize Hamjui Baba Levo Akaulize Police Traffic wa Kigoma Ugomvi wa Baba Levo
Kweli Baba Levo ni Mstaarabu Halafu Harmonize Mbona Anajidhalilisha Kua Hana PESA Mpka Agombane Kisa Million 5
Wewe uwongo. Wewe bifu ilooo umeishiwa aa. Shogawewe Asante jeshii unge mfanyaa hakuna chupituu
Babalevo acha kamari
baba levo ulifanya jambo nzuri kijiepusha na shari❤
Mwenye akili atamuelewa baba levo. Wasio na akili watamtukana baba levo.big up bro b levo b
Safi sana baba levo mfundishe adabu huyo mtoto hajielewi mibange tuuu
Kuma. La mamako hawezi kumfundisha adabu jeshi subir uone inaishaje hii
Afundishwe ustaarabu..harmonise ni jinga fulani,tabia za ushamba.. mambo ya primary
Baba levo ana akili ndefu atapiga hela kwa kipigo kama nikweli amepigwa anazingatia maokoto 😂😂😂
Harmonize hana hakili bro thanks b levo boy
Braza we ni bonge la mwanamziki ila unafeli sana kwenye huu upande namkumbuka sana Yule Baba levo wa miaka ya 2000
Good job harmo anakuchafua sana kunabaki Yule echi baba naye
Ugomvi sio mzuri cha kufanya jiepusheni maneno maneno ili mpunguze maadui
Hapa baba level ame play smart sana,Nia na madhumuni nikumtoa upepo dogo,Watu wapo serious na maokoto so utamtishia kumpiga mwenzako anaibeba kama agenda mkamalizane mahakamani au mfanye mediation ale chake👍Big up sana lkn pia kusameheana ndio ubinaadam pia
Udhalilishaji na masimango plus fitina anazomfanyia harmonize kwanza ashukuru Mungu tu, aendelee kumsemea babake daimond bila kuingilia mkate na hustle za watu..ngoja achapwe apunguze mdomo
Muungwana akivuliwa nguo asimami uchutama👍
Good interview ❤
Sang b forever best rapper 💪
Baba levo his very mature ❤
Huyu mmakonde kumbe ana njaa mamae sema kupambana kizimbani na mtu ashakaa jela ajipange😂😂
Ajipange na nini nawe umesikiliza upande mmoja then unaanza hukumu kwanini hakupigwa mwingine kuna la kujiuliza hapi huyo baba leo ana mdomomdomo sana wacha aoneshwe😊😊😊😊😊😊
Kwani nani huwa ana msakama mwenzie kati ya huyu na Harmonize? Na hapo katunga stor tu kuhusu Harmonize ili amharibie brand. Katumwa
Tatizo unaachama sana siku nyingine watakutoa macho kama sio meno sheria itapita lkn ww huna meno au macho au whatever utakae pat harara ni ww
Skiza story Wacha kukomet ujinga
Hongera sana Muha mwezangu sisi waha sio wanjonge lakini sisi wasitarabu sana lakini tukiamua huwa sisi ni watoto sana
@@kassioothemiracle1688 wewe nina uwezo wa kulisha familia yenu yote na changanya na ukoo wenu alaaaaah
Acha mdomo ,Asante Harmonize
Endeleeni kumchochea na kumfanya aone yupo sahihi kuvunja sheria ila sheria itapomrudi msije kumhukumu au kumlaumu Baba levo na kumwona hana busara huruma na hekima kwamba ingefaa wamalize nje ya mahakama whereby hawa ni public figure kitendo cha kuwaacha wafanye watakavyo mbele ya uso wa sheria ni kuudhalilisha utawala wa sheria wa nchi hii. Ikumbukwe hakuna aliye juu ya sheria plus kupigana ni mambo ya kishamba tena ya kizamani
😅😂puñguza uwongo wew ni kihelehele sana hongera jeshi🙏
You'hv proved us the you real kumbee midomoo matupigiaa mtandaoni mnaa helaa kumbee hamnaa kituu hadi mwapiganiaa pesaaa Bure kabisa
Babaelevo upo vizuri
Pesa mwanaharamuuu daaaah mungu atusaidie katka kutafta lizikiii
Big up Temboo,,ungepoga mdomo🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jaman, pesa haina undugu 😢
Ukiacha uteam fundi majumba ametudhihirishia artists wetu ni njaa yaaani Sio pombe 3m ni ya number one artists kupigania na kuleta unable ni njaa inatusumbua
Aibu sana mmakonde Naye wa kugombania Hela! Pamoja na kumiliki Magari na majumba ya kifahari!,na umaarufu wote huo!,angewaachia hao machawa wagawane,mjinga sana ndo maana anaoa wanawake wazee!.
MIMI NASEMAGA USTAR KAZ SAANA …. JUST IMAGINE HARMONIZE ANAKUA CHAWA HUKO CASINO ANI ANASUBIRI BOSS ASHINDE NDIO YEYE APATE MTAJI WA KUCHEza …. Na Ukiona mpaka mtu anapigania Million 3 TUJIFUNZE KITU APO …😅😅 maisha Yana rank kwa kwel mtu anakula hela kwenye kamali 1B PLUS DUH nimelia😢
Huyo harmoniza ana ushamba Sana ajifunze kuishi nawatu jiga yy mpuzi moja yy
Omba omba wa kasino mamba moja harmonize
Armoniz Kakosea sana Baba levo wanakigoma tukonyumayako
Mm nimeipenda tu kwenye Take This Man
Omba omba haooo wanagombani 10m za boss
Kafanya vzulii hmz ❤❤❤❤
I am Form+225 thanks
😂😂😂mkiambiwa wasani wa kenya ni Matajiri kuliko wa bongo hamwaminii onenii sasa ukwlii😅😅😅😅wanangangania za watu njaaaaaa itawauwaaa
Baba Levo pole
Baba levo ,I win today take this money
Safi sana Baba levo mda mwingine status yake asitumie vibaya mfundishe kidogo
Anajifanya na Tajili kumbe Harmonize n masikini Kama masikini wengine ...!!!!!
Yaani amekufikia sehemu ya kukukunja mwehu wewe bado Yule jinga la mwanza
Baba levo mjanja.,hicho kipigo anatengeneza hela..siku hizi watu hawapigani.
Sheria ifate mkondo wake, tukianza na bqbq levo unauhakika Gani kama huyo tajir hamjui, watu ote anaojuana nao we una wajua,kutwa umekuwa ukimtolea mqneno ya kejer nq dhalau khamonizi mala umuite kilandage,Hana pesa nyadundo, Sasa kakunyoosha ndo unasema kesi ipo mahakamani safi sana.
Baba levo uo niuashamba mwenzako daaa ukamucukia wewe vipi sababu diamond anakuliasha vipi mwanangu
TATIZO wasani wa bongo wanafeki sanaaa maisha,hawaa wasin s ndoo wanatuaminisha kua wanapesaa sasa wagombaniana mil 10 ya kupewa kweli
B Levo umefanya poa sana tu kutokumrudishia kipigo hii ni Tz bana sio nchi ya Vita kama kakushambulia kweli ataadhibiwa tu
Ugomvi hauna maana kabisa.
Baba Levo utawacha Ufala,,,, lazima umuheshimu Jeshi
Baba Levo bwana.. 😂😂 jisemeage wee
Nimekuelewa kbs
Kumbe Baba levo ni mwanaume sikuwai jua Kama baba levo ni mwanaume me huwa najua ni mwanamke juu ako na mdomo sana harmonize amefanya kitu yenye nlitaka afanye anakuanga mwanamke house girl huko WCB Baba levo ni mtu anapenda ugomvi kwa wasanii wengine akipigwa ni vizuri
Mwambieni uyooo amonaIzi cjui acheee kuxhezaa naa warevi akumbukee a,k,a Yuko wp stivuu 2kei Yuko wp aepukee michezo naa watuu wenginee awachezewi
@@karimjuma4019 wendaa ujijui unajinsia gani mana mwanaumee akiongea kakojoee ukararee choko mmoja wewe
Alafu amonaize anasema anayo Hela unagombea milioni 5 tajili gani
Harmonize kumbe hela hana😂 unanyang'anya hela walizopewq wenzio
Baba levo fanya kweli, ajifunze
B Levo amna mambo ya police 👮♀️ kila siku unamtukana kila siku
Kwani yeye Harmonize huwa hatukani? Alimtukana Diamond, Rayvanny, Kajala na mtoto wake...tena huyu kaka ana matatizo acha ashughulikiwe kisheria
@@esthermutabuzi4582hao unaowataja aliwatukana wapi?Casino kulikuwa na watu wengine mbona hawakufanyiwa hivyo kwanini baba Levo? Eti ooh yule Tajiri hamjui Harmo inahusu? Mwambieni apunguze mdomo akiendelea hivyo atadundwa sana😂😂😂😂😂
@@taseleli9181 Harmonize amshukuru sana Babalevo kwa busara alizozionyesha. Sidhani kama kuna mtu anaamini kwamba Harmonize anaweza kumpiga Babalevo🙄. Kama hujakomaa akili huwezi kumwelewa Babalevo.
Hahahahaha Wana utopolo wote wawili mtajijua wenyewe
Wew baba levo unafaa unyoshwe vizuri hio mdom itaisha
Si watu wa harmo pia wanamtusi Diamond Kila siku ila diamond hana huo ujinga
Dah mtu alimpiga mwenza eti millioni 5 na mnajiita wasanii hivi unashindana na chawa maokoto
😊😊😊wamekuchapa 😅😅😅 pole
Baba Levo Leo unamuita Harmonize tajiri😂😂😂 si unasemaga Hana kitu kabisa, gawaneni tu😂😂😂
Na Hana kweli ila baba levo anasemaga sasa hi I harmo ana pesa ila sio zamani
Umeongea point
Harmonize sio wa iyo ali weye fala story za uongo mke wewe mama levi
Upo sawa bos
Safi levo
Baba levo wacha uchawa , vijana watakudharau
Kupigwa ushapigwa hiyo ndo point😂😂😂 Sheria itachukua mkondo Atalipa faini ila kichapo umekipata🤣🤣🤣 Hilo ndo la msingi. Asante
Ww baba LEVO acha kumdisi kwenye nyimbo zako punguza
Leo kawa mpole
baba levo ni.kama mtoto yani duuh
Safi sana bado daimondi
Harmonize anagombania mil 5 na baba levo? Hii ni aibu afu anajiita msanii mkubwa😂😂😂
kuma wewe kondeng boy kafanya muzuri kuku piga wewe muongo kuma wewe ni djuma shaban nikia cape Town south Africa kondeng for life 🔥👑🔥🇺🇸🇿🇦🙏
Huyo mapuwa mara kwa mara unamsema vibaya harmonize
Diamond ametukanua marangapi, na watu wangapi, mbona aje mpiga ntu wala kumshtaki ntu?
Angevunjwa pia,,mwehu
Iv kweli wewe baba levo na uzima huo na ujanja wako unaeleza kupigwa na harmonizer acha longolongo Mzee big up harmonizer unetukomeshea kenge ya kigoma
Mpaka hapo nimejua babaLevo ni mtu Mzima na Una jielewa saana, Big Up
😂😂😂😂umelogwa weweee
Wapi mkorofi tu huyo