ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mungu aendelee kukusimamia Kwa Jina la Yesu
Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai
Ushuhuda mzuri sana 🇰🇪
Praise God
Duuh! Ngosha ulikua mgumu Yesu kakutokea mara zote izo. Mimi natamani aje niongee nae hata mar 1 tu. Wewe mara zote na bado ulikua unakimbia!
Kwani naww ni mfuasi wa kuzimu? Huyo alifikia hatua mbaya ndio maana
Ngosha Masanja
Hongela kwanenolako mungu ak7linde
Ubarikiwe Mtumishi Masanja!
Amen and amen mutumishi
Mungu akupe nguvu
tupe mwe mwendelezo
Part 3 please
Unaongeza na chumvi
Acha uwongo
Part 3 iko wapi
Jamani nyoka alikumeza akakutapika tenaa😝😝
Hongera sana kwa ushindi mtumishi.
Aliye kuombea siku 3 alikuwa Josephat Gwajima wa UFUFUO na Uzima au ? Barikiwa.
Part 3 ikuje...na huyu bwana wa zambia,,,nitamuona aje?
Ulizima simu mchungaji alikupataje
😅😂🤣
Tunasubiri muendelezo
EE MUNGU nisaidie kinywa changu hiki kisiwe kinasema uongo mbele ya Kadamnasi, ni bora nikaoengee uongo chumbani kwangu nikiwa peke yangu kama nimebanwa sana na uo uongo
😂😅😂😅😂😅pa1
Lakini mbona huonekani kuwa mkweli maana story haendani lakin pia jambo la pili Freemason wanachagua sana watu wa kuwachukua
Una uhakika km wanachaguwa?
@@peterrulagora7403 ndio tunachagua.
@@jinikisirani7928 we liongo wewe unaejiita jini kisirani
Huu ushuhuda hakuna muendelezo?....Atlas tupe Majibu...
Duh🙏
Ila mch bangi bado imo kidogo 🙂
Muongo ww unatuzingua
Mkuu unadhani haya mambo hayapo ee,yapo sana tu.
Mungu aendelee kukusimamia Kwa Jina la Yesu
Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai
Ushuhuda mzuri sana 🇰🇪
Praise God
Duuh! Ngosha ulikua mgumu Yesu kakutokea mara zote izo. Mimi natamani aje niongee nae hata mar 1 tu. Wewe mara zote na bado ulikua unakimbia!
Kwani naww ni mfuasi wa kuzimu? Huyo alifikia hatua mbaya ndio maana
Ngosha Masanja
Hongela kwanenolako mungu ak7linde
Ubarikiwe Mtumishi Masanja!
Amen and amen mutumishi
Mungu akupe nguvu
tupe mwe mwendelezo
Part 3 please
Unaongeza na chumvi
Acha uwongo
Part 3 iko wapi
Jamani nyoka alikumeza akakutapika tenaa😝😝
Hongera sana kwa ushindi mtumishi.
Aliye kuombea siku 3 alikuwa Josephat Gwajima wa UFUFUO na Uzima au ? Barikiwa.
Part 3 ikuje...na huyu bwana wa zambia,,,nitamuona aje?
Ulizima simu mchungaji alikupataje
😅😂🤣
Tunasubiri muendelezo
EE MUNGU nisaidie kinywa changu hiki kisiwe kinasema uongo mbele ya Kadamnasi, ni bora nikaoengee uongo chumbani kwangu nikiwa peke yangu kama nimebanwa sana na uo uongo
😂😅😂😅😂😅pa1
Lakini mbona huonekani kuwa mkweli maana story haendani lakin pia jambo la pili Freemason wanachagua sana watu wa kuwachukua
Una uhakika km wanachaguwa?
@@peterrulagora7403 ndio tunachagua.
@@jinikisirani7928 we liongo wewe unaejiita jini kisirani
Huu ushuhuda hakuna muendelezo?....Atlas tupe Majibu...
Duh🙏
Ila mch bangi bado imo kidogo 🙂
Muongo ww unatuzingua
Mkuu unadhani haya mambo hayapo ee,yapo sana tu.
Part 3 please