Nikweli kabisa kufa nilazima na baada ya kifo ni Hukumu ya milele kama hakumpa Yesu maisha nakutubu madhambi yake yote Jehnam ni halali yake moto kauanzia duniani na baadae milele na milele nawashauri wote ambao hawajampa Yesu maisha watubu wamfuate ili baada ya maisha ya hapa duniani wapate kuulithi Uzima wa Milele kwa Mungu aliye Hai.
Boss, msaidizi, sekretari, mtunza hazina, sijui nani na nani wa Freemason, wote lazima wafe. Shetani hana rafiki, kazi yake ndo hiyo anawasubiria na hao wengine muda wao ufike.
mamaaaaa #njooni muone wanaomwabudu shetani huwa wanathani wataishi milele haya ndio huyo kiongozi wenu ...msipo badilika mtamfuata mwende muanze group lenu la wassup kuzimu
Kitu pekee chenye uhakika wa kutokea mda wowote ni kifo. Hata mm kitu ninachoamini kwa asilimia zote ni kifo Ila sina uhakika wa kesho yangu. Hivyo naamini kabisa anayestahili kutoa hukumu ya mwsho ni yeye aliyeumba uhai.. Na siyo sisi watalii.
Laanatullah, Allah amchome vizuri na kesho siku ya hukum ndo achomwe kisawasawa kwenye moto wa Hawiya. Leo yuko wapi na uo ufremason wake watu wanacheza sana na Allah wetu mtukufu wanamuonaje sijui sasa haya ndo malipo yao wanajichoma wenyewe apa apa duniani na kesho akhera ndo watachomwa vizuri. kwann uo uchawi wake asifanye akazuia kifo? kakubalije kufa na yy ni freema?😂😂😂😂😁😁🙌🙌🙌chezea!!!!!!!
Habel Masinjisa huo uzima Kwa yesu sahau Allah alomuumba ndo mweny uamuzi na so hana mshirikika kama umekataa maamrisho ya Allah bc unahasara dunian na akher
Ndio funzo kwa wengine, ameacha magari, majumba, viwanja, mashamba, pesa, na vinginevyo! kwa nini asingewaomba hao freemason wake wamsaidie aishi milele? hapo ndio tupate ufaham kwamba rizika na kile ulicho kipata. nyie wengine mliobaki mtambue kesho kuna moto, na mungu apokei rushwa
unajua kila mtu analipwa hapa duniani kutokana na alichofanya...hivyo malipo ya kwa mungu hatuyajui yana utamu gani ,lakini kwa kuangamiza rohi za watu nadhani pana doge nono LA adhabu.
kwani ni mwislamu? bona anashindikizwa na waislamu ilhali dini ya uidlamu siyo ya freemason. ..may Allah guide us to that which is best. ..i seek refuge in Allah from the devil
Rukiya Bongo amsamehe kwa lipi huyo hasamehewi tena cz milango yatoba ishajifunga amekufa kafir jahannam ndiyo makazi yake mpaka parapanda lipulizwe na siku ya hesabu huko ndiyo kuna moto kuliko huo aliyochomwa hapo tumuombe ALLAH atujaalie mwisho mwema siku hiyo ni nzito sana jamani watu wanaona kma mchezo
Seif Abdullah mashallaaaaah Akhy kwa maneno yako mazuri,,, wanadhani wakichoma hivyo kazi imekwisha,,, hawajui kama nafsi imetangulia kabla ya kiwili wili
Tunatakiwa kuringa na kutoka kifua mbele,,, haina mashaka na Qur an imetuambia suratul imrani kama sikosei aya ya kumi na moja au 12 hakuna dini mbele ya Allah isipokuwa uislam
Jaman tumu ombee mungu safari bado mbichi ivi amjui kwamba hakuna dhambi ndogo Sasa Kama hakuna dhambi ndogo na Kum danganya mtu pia ni zambi ivi Kuna mtu kweli adanganyi apa dunian
mnaukumu kwani nyinyi ndio watoa hukumu siajabu nyinyi mnaoshabikia aende motoni nyinyi ndio mkawa kuni mungu atazami dini unaifata VP anatazama moyo unasema nini mpoooooo
+Amani Kapera,wewe nawe hujielewe,jua kua akhera Kuna maswali matatu,lakwanza,Nani MUNGU wako,pili hipi Dini yako,tatu niyupi nabii wako,vipi unasema mtu aangaliwi dini?kwa hiyo hawa wanaabudu ngombe na wanaamini huyo ngombe ndio MUNGU wao,je nisawa?
kama wao n freemason basi wakifa wacha pia wachifufue kama wako na nguvu kuliko Mungu??? achomwe kabisa na Mungu pia akija atachomwa pia potelea mbali na ushetani wenu.........
kweli ni kiongozi wa freemason hata kuna gazeti walimtoa anawaambia watu kwamba freemason ni shimo la hela wasiogope.Na ndo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kiwanda cha kioo limited kilichopo Dar.Hata wafanyakazi wote tunamjua kwa kujitangaza hadharani wala hakuhofia huo ufreemason wake.Sababu freemason watu wa dini zote wapo,waislam wakristo hata wapagani.Freemason ni mambo tu ya kidunia.Ni kweli alikuwa freemason.Mungu atunusuru
Wah maajabu hayo! na kweli hapo Kulikua na mwili au ni gogo tu!!!
Kuchomwa kwake moto ni ishara ya kuwa mtu wa motoni milele, Allah amzidishie adhabu kwa ukafiri wake.
subhanallah !hivi hi maneno ya freemasoon Ni kweli mm nadhani ni maneno tuu ya mitaani walahi hata siamini mm
acha roho mbaya
Ajali ya watoto wa lucy vicenty
Abu utheymiin Ameen
shaban abdallah wanawamaliza viumbe wasio na hatia kwa fanikisha yao ila Mungu nae anawasubiri
mm siamini kama kuna fremason duniani ...i believe in my God the creator lets God judge
Kama huamini kwanini unaangalia hii video
Yesu Kristo ndiye njia ya kweli na uzima
Hapo ni duniani tu bado kwa baba😮
(Kwa uwezo wa mungu)Na Akhera pia ateketee
Aamiin
Kwa Allah huyo bado nyama ni nzimaaa👌anangojwa Allahu akbar
Laanatu Llah alayhi, Walmalaikatu, Wannaas ajmayn! Ameen!
Mwili ni mavumbi lakini roho ni uzima wa milele, kama hakutubu na kumpokea Yesu aokolewe kwa neema, kuchomwa moto ni lazima.
Nikweli kabisa kufa nilazima na baada ya kifo ni Hukumu ya milele kama hakumpa Yesu maisha nakutubu madhambi yake yote Jehnam ni halali yake moto kauanzia duniani na baadae milele na milele nawashauri wote ambao hawajampa Yesu maisha watubu wamfuate ili baada ya maisha ya hapa duniani wapate kuulithi Uzima wa Milele kwa Mungu aliye Hai.
Boss, msaidizi, sekretari, mtunza hazina, sijui nani na nani wa Freemason, wote lazima wafe. Shetani hana rafiki, kazi yake ndo hiyo anawasubiria na hao wengine muda wao ufike.
Moto huo ni mtoto subiri wa Allah funzo kwa wengine shetani aki atakua na wenzake Pesa zako ziko wpi ss
Kutesa kwa zamu katesa duniani sasa anakwenda kuteseka yeye kwa Mungu laaaana ya Allah iwe juu yake daima milele
Hii Dunia jaman mmmh kumbe na waoo Wana kufa Wana jua kifo sijui wanaamini wanaenda wp wenyewe😢😢
wamemchoma moto duniani bado moto wa Mungu
Innalilahi wainnailaihi rajiuni laanatullahi alahi finnary jahaannam yarabi yarabi mtie jaahannam pamoja Na firauni
Shindwa freemason , shindwa shindwa shindwa Freemason...
Mungu awangamize
@@shifaaal-baity4503 ameen
@@husseinyhassany5696 ya rabb
@@shifaaal-baity4503 ashindwe na shetani wanaa budu shetani
@@husseinyhassany5696 tena ni wabaya sana ni mashetani wa kibinadamu
mungu amueke milele motoni shitani ww
Aende tu, ili wanao kwamisha maisha ya watoto wa MUNGU wapunpue .
noma xnaaa ,boc w Freemason mbn hatar kchz
Mungu tuepushie pia na vizazi vyetu
mamaaaaa #njooni muone wanaomwabudu shetani huwa wanathani wataishi milele haya ndio huyo kiongozi wenu ...msipo badilika mtamfuata mwende muanze group lenu la wassup kuzimu
Esther Wangare well said mundu wa nyumba
pole wema
waidi kuchomwa ni dini hayo eee mungu tuepushe na tamaaa za dunia kwani waja wako tunapotea
Mwanaisha Mbili amin
watu mjueni mungu maana yy ni njia ya kweli na uzima
Nyie wambea sana wakat mwengine wahindi ndo wanavyozika kuchomana moto
Wanakufuru xna mungu wa kihindi
Kitu pekee chenye uhakika wa kutokea mda wowote ni kifo. Hata mm kitu ninachoamini kwa asilimia zote ni kifo Ila sina uhakika wa kesho yangu. Hivyo naamini kabisa anayestahili kutoa hukumu ya mwsho ni yeye aliyeumba uhai.. Na siyo sisi watalii.
Laanatullah, Allah amchome vizuri na kesho siku ya hukum ndo achomwe kisawasawa kwenye moto wa Hawiya. Leo yuko wapi na uo ufremason wake watu wanacheza sana na Allah wetu mtukufu wanamuonaje sijui sasa haya ndo malipo yao wanajichoma wenyewe apa apa duniani na kesho akhera ndo watachomwa vizuri. kwann uo uchawi wake asifanye akazuia kifo? kakubalije kufa na yy ni freema?😂😂😂😂😁😁🙌🙌🙌chezea!!!!!!!
Acha Wafu wawazike Wafu wenzao....
KWA YESU KRISTO UZIMA UPO
Amina
chanda
Hakija kW Yesu uzma n tele
Habel Masinjisa huo uzima Kwa yesu sahau Allah alomuumba ndo mweny uamuzi na so hana mshirikika kama umekataa maamrisho ya Allah bc unahasara dunian na akher
Okay
kufa kabisa ibilisi mkubwa ,bado moto ya jehanamu lakungojo,tokomea mbali na wana wa mungu
Ndio funzo kwa wengine, ameacha magari, majumba, viwanja, mashamba, pesa, na vinginevyo! kwa nini asingewaomba hao freemason wake wamsaidie aishi milele? hapo ndio tupate ufaham kwamba rizika na kile ulicho kipata. nyie wengine mliobaki mtambue kesho kuna moto, na mungu apokei rushwa
Napenda kuchomwa pia.
Heee yani huyo amemkufuru sana mungu ata maombi akustahil
Wanaisi wakichoma moto watakuwa wamesha mtoroka Mungu.
Yarabiii tunusuru utupe mwisho mwema mola wetu tusamehe mola wetu tusiingie humo
Moto mapema ww mpaka cku ya kiyama muongopeni mungu moja hana mshirika wala hashirikishwi na chochote dunia ni yake pekee yake
unajua kila mtu analipwa hapa duniani kutokana na alichofanya...hivyo malipo ya kwa mungu hatuyajui yana utamu gani ,lakini kwa kuangamiza rohi za watu nadhani pana doge nono LA adhabu.
Miriam Abineri
kwani Freemason wanakufa? wao si no mungu pia? au mungu hawawameishiwa nguvu? basi badilikeni .mliobakia na muhujue uwepo wa mungu wa kweli .
kwani ni mwislamu? bona anashindikizwa na waislamu ilhali dini ya uidlamu siyo ya freemason. ..may Allah guide us to that which is best. ..i seek refuge in Allah from the devil
hii ni dini ya kihindi huvaa nguo nyeupe wakizika
allah akbar ,allah akbar ,
mungu amsamee tu
Rukiya Bongo amsamehe kwa lipi huyo hasamehewi tena cz milango yatoba ishajifunga amekufa kafir jahannam ndiyo makazi yake mpaka parapanda lipulizwe na siku ya hesabu huko ndiyo kuna moto kuliko huo aliyochomwa hapo tumuombe ALLAH atujaalie mwisho mwema siku hiyo ni nzito sana jamani watu wanaona kma mchezo
aisee nomaa sana
wajue Boss ni M'Mungu tu,kama boss kweli angekufa? kazi kupotosha umma tu Laanatullahi alal kaafireen
Tarehe 7/4 INA siri kubwa kwa hawa watu! naona member wawili waliofahamika wamefariki tarehe hiyo!
Waache wamchome moto hapo na moto wa Mungu unamsubiri laanatullah, kafiri kubwa. 😅😅😅
Seif Abdullah mashallaaaaah Akhy kwa maneno yako mazuri,,, wanadhani wakichoma hivyo kazi imekwisha,,, hawajui kama nafsi imetangulia kabla ya kiwili wili
Seid Salim tumshukuru Allah kwa kutujaalia neema ya Uislam
Wallah Akhy tuna haki ya kumshukuru Allah
Tunatakiwa kuringa na kutoka kifua mbele,,, haina mashaka na Qur an imetuambia suratul imrani kama sikosei aya ya kumi na moja au 12 hakuna dini mbele ya Allah isipokuwa uislam
Wacheni ujinga sababu freemason siyo dini,ila ni timu kama la mpira,watu wama dini zote wako kwa timu la freemason
Ilalilah wainailah rajiun jamani unakuafa kisha adhabu unaiyanza hapa hapa duniani hawa jamaa wamajabu sana viereje unauogopa moto wakibirti tu kunguza kidole chako leyo umekufa unazikwa kwakuchomwa moto huohuo kweli hiyi niakili jamani
laana za mungu zimshukie ata kama umekuwa majivu amepoteza umma sana kafiri mkubwa sana uyo mbona uyo shetani wao awarudishi
uuwiih! freemason hua n ukweli, tena alikufia KENYA in my country heeee maajabu haya
Miriam Akoth imagine our country
Miriam Akoth alikuwa anafanya nini Kenya. .ashidwe in Jesus name
Alienda kumuaga "beshte" yake Kibaki, Carolina Jane.
Metal Combat was he one of them? ?....God forbids
Miriam Akoth Ati what
Wanjua kuhusu azabu ya kaburini ndomana muchoma moto na azabu yamwenuye zimungu huwezi kui epuka
😂😂😂😂😂jaman hatari wallah
Jaman tumu ombee mungu safari bado mbichi ivi amjui kwamba hakuna dhambi ndogo Sasa Kama hakuna dhambi ndogo na Kum danganya mtu pia ni zambi ivi Kuna mtu kweli adanganyi apa dunian
Daaa hatar sana
kumbe hii freemason ipo.kwel😩😩😩
Laana Tullah
na anamoto unaomngoja
Uo ni uongo ni tamaduni za wahindi wote maziko yao ni kuchoma moto.
Pole Diamond Platnumz
Nijuavyo mm baniani au wahindi wakifa lazima wachomwe moto, hizo ni mila zao na tamaduni zao, na majivu huwa yanatupwa baharini
Duuuh afe kabisa huyoo
cliff malik nani hatokufa dunia hii???
safi
heee kumbe iyo dini ipo kweli na mm nataka niwatowe roho wanga
Maryam Maryam hahahaha
Maryam Maryam freemason siyo dini,ila ni timu,watu wama dini zote wako kwa timu la freemason
Hahahaha nimecheka uwatowe wanga bora
bola ufe maaan nyie hua mnaamini hiyo dini mkijiunga labda mtaishi milele kapambane na mashetani wenzio uko
W
Yap
Mtu mwenywe fremason afu wanaenda muongezea motoo 😂😂😂
hata usipokua FREEMASSON utakufa 2
Judgement day a waits them, that's the kind of live he chose so be it.
Wakuchome vizuri kabsa na mwoto wa milele unakusubiri. mbona sasa mwakubali kufa kama nyinyi mna uwezo...?
Subuhanallah
noma sana
fremanso ndio nini jameni mhh naskia tu kwa mitandaoo
Endelea kuskia
Uwongo mwezi wa nne bado mzee tafuta kikizingine
Yupo anaipata fresh huko jehanam
mnaukumu kwani nyinyi ndio watoa hukumu siajabu nyinyi mnaoshabikia aende motoni nyinyi ndio mkawa kuni mungu atazami dini unaifata VP anatazama moyo unasema nini mpoooooo
+Amani Kapera,wewe nawe hujielewe,jua kua akhera Kuna maswali matatu,lakwanza,Nani MUNGU wako,pili hipi Dini yako,tatu niyupi nabii wako,vipi unasema mtu aangaliwi dini?kwa hiyo hawa wanaabudu ngombe na wanaamini huyo ngombe ndio MUNGU wao,je nisawa?
+Amani Kapera,Pia wakati wanachoma mtu mwenye amekufau uwa wanasema, mungu kosa na Mimi nikose,hawa amini kua roho uwa hai na urudi kwa MUNGU
hahaaaaaaa
Mbona kanumba hamkumnad freemason
kama wao n freemason basi wakifa wacha pia wachifufue kama wako na nguvu kuliko Mungu??? achomwe kabisa na Mungu pia akija atachomwa pia potelea mbali na ushetani wenu.........
only Jesus can save
hiyo. sio dini.
Makafiri moton
nilijuaga hawafi .kumbe wanakufa waiii...bora nitafute kwa jasho tu😱
Kwa wale wanaobisha kuwepo kwa cult ya Freemasons... Then naomba mnielezee kuhusu uwepo wa Freemasons hall dar es salaam karibu na bandarini!
freemason hall dar haipo jirani na bandarini bali ipo jirani na B.O.T na IFM na SUKARI HOUSE
Jamaa ameteseka duniani na akhira anakwenda kuteseka pia hiyo haina shaka kabisa
mhh mwanzo nilizani mdhaha kumbe sawa subili namie nijiunge huyo dini kisha nitowe wanafiki na mashoga na vibaka na majambazi au watakuwa hawatakiwi
Maryam Maryam hahahah
+Maryam Maryam,wanatakiwa,pia ukifanikiwa toa na wabakaji pia
bado utapata tabus ana kwa ALLAH
hakuna msamah kafa kafir finnar jahannam khalidina fihaa
kwani wewe ni mungu
Kani Veri jahanam hiyo iko wazi hapo hamna ubish dini gan inayoruhusu mtu akifa achomwe moto😆😆 nacheka km mazuri😢😢
Mwanaidi Hussein Kwan si muhindi huyo au hujui Mila za kihind
fii nar khalidina fih abadan w
kweli ni kiongozi wa freemason hata kuna gazeti walimtoa anawaambia watu kwamba freemason ni shimo la hela wasiogope.Na ndo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kiwanda cha kioo limited kilichopo Dar.Hata wafanyakazi wote tunamjua kwa kujitangaza hadharani wala hakuhofia huo ufreemason wake.Sababu freemason watu wa dini zote wapo,waislam wakristo hata wapagani.Freemason ni mambo tu ya kidunia.Ni kweli alikuwa freemason.Mungu atunusuru
uwez jua usihukumu umekuwa mungu mbuz kwel ww
sio wahind wote wanachoma wengine huzikwa kama kawaida Ila kwa mabaniani tu
makubwa!!
madogo yana fuu yanabebeka
hawo ndomira zao kuchoma moto
sawa
mabaniani bwana mungu kosa na mimi kosa
Heeeh achomwa moto heeeeh haya.
Yapo sio wote
Kumbe Kelvin ulikua huku
what Kenya wacheni maneno
Ati freemason
kachomwa na bado......
sasa hao mnaosema wasanii freemanson jawaona kwa boss wao
laa amakwelimungu niwamajabu. acawuyitwemungu filimasoni afe kweli shetani mukubwa
kufaaa kabisa kumbafuu
Dah!!
Loo hamxikani mwachoma
yesu tosha
Wahind asa mabanyani ndo mazishi yao, mpaka uko kwao india ndivyo ilivyo mazishi yao,