Bro davistar, unatupumbaza sana na mikasa ya dunia unatufunza mengi njia rahisi ya kujiepusha na mambo haya, ni kuswali sana kwa mungu, hakuna zaidi ya mungu. 🇸🇦+🇰🇪
Davistar try cleansing yourself after sometimes because kazi yako iko na challenge mengi sana na these people unawahoji ni watu wamepitia mengi sana kwanzia kushiriki na mengine mengi...
Pole kaka,kazi nzuri Davistqr mata
Arobaini na mbili Leo, Asante #DM kwa Mikasa
Bro davistar, unatupumbaza sana na mikasa ya dunia unatufunza mengi njia rahisi ya kujiepusha na mambo haya, ni kuswali sana kwa mungu, hakuna zaidi ya mungu. 🇸🇦+🇰🇪
Mzee Davistar ,, we si mchezo nomaaa
Mi niko naishi RSA Capetown
Thanks Davi Part 2 mapema Please
Dooh pole kaka
Mtihani mkubwa mungu akuongoze
Wewe wakupigwaaaa tuuuuu jamani hapo ulipo uximaa kweli🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️ watakuozeshaa mwili
Sasa wewe ulikuwa mchawi bs mana hufungui mlango naunaingia wewe kama unatumiwaa tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaah hatari sana maisha yana changamoto zake
Huwenda ukawa yamekutokea lakin huwez kupangilia kujielezea ungetulia ungekaa Sawa mwanzon hapa umebolonga story
Pamojaa japoo nimechelewa...😊😊
Daaaah! huku bongo mtandao ulikua shida ndo tunaanza kuzitazama
Naona hajatulia kujieleza kdgo.....!! Ila inaonekana anavitu vingi kapitia vizito....!! But safi kw kaz nzuri DM....
Mxkilize kwa makin
yulee jaaamaa wa mabatini alie enda kuzim vipi ujaludi tena ludi bana mata
Nasikia hamna internet tanzania tangu juma tano 😔
😁😁siyo kwa kipigo jaman
Pole
🔥🔥🔥🔥
Kabsa
Dunia inamambo mengi Sana ya siri
Safi
Nimewahi Leo
Maskin watoto wanapitia misikosuko mingi
Allah akusaidie na awasaidie wanyonge wote duniani
Amiin
amiin
Amiin
Amina
Amin🙏🙏
🤔🤔🤔🤔
Yule mbeba mikaa aliishia wapi na story yake?
Atuleteee
Yule alieogopa kutekwa na paka😃
Davistar alisema alipoteza memori alioweka
Huo Nazani Uchawi Wa Mmbwa Mwitu Ikifika Usiku DJ.Mack Acheche Wanaume Mmbwa Mwitu Wanaamka Sasa Kwenda Kusaka Damu
Wewe kitu kipya hicho😣
Hivi huyu kijana si tulishawahi kumsikia hapa hapa, manake sura hii naikumbuka, hata hii story tulikwisha wahi kuiskia.
Niliiweka part 1 kisha nikaifuta sasa nimeweka upya ili tuendelee nayo mpaka iishe
@@DavistarMataMediaDM ok sawa, si umeona mimi ni mfuatiliaji mzuri wa simulizi zako,ila nakushukuru kunifahamisha.
@@DavistarMataMediaDM pamoja bro
Hii story ya huyu jamaa naona imerudiwa tena kulikoni Davistar?
Wamwisho like kwa wing
Haaaaa
Davistar me mkenya nataka number tafadhali ,kindly requesting please
Unataka namba ya nani
Ulirushiwaa jini mxururo 😫😫😫😫😫😫😫huyo USIKU UKO KAZI hicho kichapo
Nimekwambia davistar hiyo maikk mpe huyo anozungumA
Davista nikama huu mkasa umeurudia
Wa 10
Hongera
@@ayshamahariq6665 asante
@@pilimusa7770 karbu
Mimi mimi kaogopa kuchekwa🤣🤣 🇪🇭🇪🇭 leo
@@ayshamahariq6665 😂😂😂😂😂
Au one
🤔 Afadhali Leo amejaribu kuongea Ile siku alishindwa kabisa, kujieleza.
Sijui kama ni mimi naona hivyo, lkn kama hii imerudiwa.
Ata mm nafikiri ivyo
ni kweli imerudiwa
Davistar try cleansing yourself after sometimes because kazi yako iko na challenge mengi sana na these people unawahoji ni watu wamepitia mengi sana kwanzia kushiriki na mengine mengi...
Wamaanisha nn yaani
@@zuhuraimran3659 namaanisha body cleansing...inatumika kama kinga kwa maisha ya binadamu
@@realmulky5383 ndiyo nini hiyo
@@realmulky5383 kumbe
@@pilimusa7770 waulizaaaa🤣🤣
2011 unamiaka 24🤣🤣🤣
Sasa siulikua mdogo Kama kweli unepata kipigo cha mbwa koko siungekufa
J.BOYS.F.C 1999
jangombeboys1999
Awwwwww
Nasikiliza niliwai nafac
Ugonjwaa ama majaribu sijawai sikia unajaa maizii nahuna kidonda loo mitihani hiyo ya secondary mana ndohayaanagaa majibu wewe tuu ujitafutie jibu
🇰🇪🎤
Bibi hakua😥 mtumzir
Et eee
Davistamata naomba uniunqanishe na yule kaka mwenye jinsia 2 nimekutax dm Instagram nijibu naomba no za yule kaka
🙄🙄🙄
Sikuchelewa sana .jamani naombeni likes please zinakuwa zinanifanya nalala usingizi mzuriii na ndoto nzuriii
Pamoja
🤣🤣
Nombeli 2
Oiiiii
Hii kali
Kweupeeeee
😃😃😃😃
🤣🤣🤣🇪🇭🇪🇭
@@sitikitsui2155 🤣🤣🤣
@Aysha Mahariq wakwanza