Kaka Tundu Lisu, nikutie moyo, kufa nilazima lakini kwa wakati Mungu alio upanga, uovu uliotendewa na kwanini hukufa, ni Mungu alitaka tu kuonyesha ukuu wake, pole sana... Mungu akulinde na Mungu atakulinda sikuzote za maisha yako wala mkono wa mwanaadamu hautakuweza, Hesabu 6 24-26.
Et marehemu hasemwi me namsema hapa njooni mnishambulie,,magufur alishajionaga Mungu,,,na hii mbiinu yote yy alikuwa anaijua,,kiko wap aliyemtaka atangulie katangulia yy shwain,,,Acha Mungu aitwe Mungu
Best interview genius ameongea fact nyingi sana👏👏mungu akulinde sana akupe miaka mingi sana🙏 thanks clouds kwa kuwa open sasa naanza kuuona uhuru wa vyombo vya habari.
Ukivaa viatu vya lissu ndio utajua kitendo alichofanyiwa ni kitendo cha kinyama Yani na msikiliza mpka mwili unasisimka kwa uoga .mungu akulinde na akupe afya njema
Wazanzibari kwa maelfu iliwabidi kutoroka na kulikimbia Taifa lao la Zanzibar na kuacha jamii zao kwa taabu kubwa sana sana tena sana basi kwa hivyo tunayafahamu Mheshimiwa Tundu Lissu
Pole Sana mr Lissu Umepitia magumu mengi Lakini hujawahi isaliti Tanzania ww sikuzote husimama Na wananchi inatosha kusema Mungu nimkubwa mungu ni m/kuu Nawe ni mshindi
Umeuliza swali zuri sana ingetokea ukafa je wasingefanya upelelezi? Swali zuri sana sana Mh, wakupe Nchi uongoze we ni kichwa wa tz amkeni Mungu ana maksudi yake kutokumchukuwa Lisu. Kura yangu unayo baba🙌
Tulio rudia rudia kumsikiliza lissu tujuane✌️✌️✌️✌️✌️
Clouds mkiwa mnamuhoji mh Lisu msiwe mnaweka lisaa limoja weka masaa kuanzia matano,uyu mh.ana ladha ya maneno.Tanzania tumebarikiwa kuwa naye🙌
Kaka Tundu Lisu, nikutie moyo, kufa nilazima lakini kwa wakati Mungu alio upanga, uovu uliotendewa na kwanini hukufa, ni Mungu alitaka tu kuonyesha ukuu wake, pole sana... Mungu akulinde na Mungu atakulinda sikuzote za maisha yako wala mkono wa mwanaadamu hautakuweza, Hesabu 6 24-26.
Yaani huchoki kumsikiliza. Lisu anajua kujenga hoja sana. Majibu yake yamekua ya ufasaha sana. Hongera sana kaka.
Et marehemu hasemwi me namsema hapa njooni mnishambulie,,magufur alishajionaga Mungu,,,na hii mbiinu yote yy alikuwa anaijua,,kiko wap aliyemtaka atangulie katangulia yy shwain,,,Acha Mungu aitwe Mungu
Uncle Tundu Lisu tunakupenda natunaamini wewe nizawadi kutoka Kwa MwenyeziMungu kwaajili ya wa Tanzania. Long life muheshimiwa
Interview Pekee Niliyorudia Kuiona Na Kuisikiliza Mara 4 Bila Kukifu. Tundulissu Mungu Akulinde Daima
Best interview genius ameongea fact nyingi sana👏👏mungu akulinde sana akupe miaka mingi sana🙏 thanks clouds kwa kuwa open sasa naanza kuuona uhuru wa vyombo vya habari.
Nimeisikiliza interview nzima na nltaman iendelee kwa masaa matano zaidi. Tundu Lisssu amebarikiwa.
Ukivaa viatu vya lissu ndio utajua kitendo alichofanyiwa ni kitendo cha kinyama Yani na msikiliza mpka mwili unasisimka kwa uoga .mungu akulinde na akupe afya njema
Mungu ambariki huyo dereva.. dahh ahsante mungu we have a storyteller
Wazanzibari kwa maelfu iliwabidi kutoroka na kulikimbia Taifa lao la Zanzibar na kuacha jamii zao kwa taabu kubwa sana sana tena sana basi kwa hivyo tunayafahamu Mheshimiwa Tundu Lissu
Mungu akutunze baba yangu yaani hadi machozi yamenitoka
Pole Sana mr Lissu Umepitia magumu mengi Lakini hujawahi isaliti Tanzania ww sikuzote husimama Na wananchi inatosha kusema Mungu nimkubwa mungu ni m/kuu Nawe ni mshindi
Unaweza kumsikiliza Lissu siku nzima bila kuchoka. Ahsante sana Clouds 360 kwa hii interview bora kabisa
Mungu ambariki sana, amejieleza vizuri sana, haswa swala la ushoga kalifafanunua vizuri
Pole sana Lisu kwa yote yaliyokukuta ,kweli maisha ni changamoto na tunamuhitaji Mungu kwa kila jambo
Mungu atabaki kuwa mungu tu aliyetaka ufe kwa mtutu wa bunduki ukapona yeye mungu akamchukua
AKILI kubwa Sana T. Lissu
Umeuliza swali zuri sana ingetokea ukafa je wasingefanya upelelezi? Swali zuri sana sana Mh, wakupe Nchi uongoze we ni kichwa wa tz amkeni Mungu ana maksudi yake kutokumchukuwa Lisu. Kura yangu unayo baba🙌