LIVE: Breakfast kwa Joseph Musukuma I Mbunge wa Geita Vijijini I Jambo Kubwa I Musukuma Anaongea

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • #CloudsDigital ipo mubashara kutoka Mikocheni Nyumbani kwa Mbunge wa Geita Vijijini Mhe. Joseph Musukuma

ความคิดเห็น • 95

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d ปีที่แล้ว +11

    Wema hauozi, uaminifu, hard working pay, sharing is caring, never give up na kuwa mkweli.. aloo msukum umeacha funzo jwa vijana wa kileo. 😊

  • @lucialeonard2675
    @lucialeonard2675 ปีที่แล้ว +11

    Hii interview ilibidi afanye na Millard ayo ndo ingekuwa nzur huku mnamkatisha sana kunabaadhi ya vitu tunakosa

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 ปีที่แล้ว +4

    Hii story ni nzr sanaaa,na ni ukwelii,aliway kuhojiwa na wasaf,maelezo hayajapishana kabisa,big up msukuma

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 ปีที่แล้ว +1

    Noted
    Uaminifu, kupambana bila kukata tamaa, Wema unalipa, kujiamini na ujasiri. Asante Musukuma nimekuelewa wewe mpambanaji

  • @ozcanrawaah6426
    @ozcanrawaah6426 ปีที่แล้ว +6

    Alisema ruge kwenye maisha chakwanz tafuta nafasi ukipa nafasai onyesha uwezo ukionyesha uwezo utatengeneza jina na jina. Ndo litakalo kupa pesa sema sisi vijana tuna jisahau sana ukipat nafasi unatak pesa ndo ifuate that's why Tuna feli sanaa

  • @mbelwakyaruzi1493
    @mbelwakyaruzi1493 ปีที่แล้ว +4

    Dha!!story inafanana na yakwangu kabisa nilipotoka jerq japi bado cjakutana na biashara kubwa ya mamilioni ila naona kabisa naelekea uko,nadhan baada ya magumu uqa ni baraka ila ni kama utamtegemea mungu lakin jitiada pia

  • @ramadhanishabani1738
    @ramadhanishabani1738 ปีที่แล้ว +5

    Kama na wewe matangazo yanakuboa nikutakie siku njema..

  • @bworldpro
    @bworldpro ปีที่แล้ว +4

    Nimejifunza wema ukifanya unakufuata, na uaminifu ni kitu muhimu nacho kitafuata...Msukuma amebarikiwa

  • @mhidinijuma1206
    @mhidinijuma1206 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma is very intelligent......

  • @thomasmhindi
    @thomasmhindi ปีที่แล้ว +2

    clouds mnamkatisha sana king..
    matangazo mengi sana .jamaa mpeni sku nzima mnawahi kunywa chai2 badala kutugawia hayo madini

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d ปีที่แล้ว +4

    Achoongea msukuma ndicho wanachokifanya wachina japani na wahindi, coz wanasoma wanapata elimu na wanaigeuza elimu kuwa pesa na ndio wanafanya vizuri dunia ktk maendeleo duniani.

  • @revocatucamon7439
    @revocatucamon7439 ปีที่แล้ว +3

    Msukuma ni very intelligent

  • @kulvetiaseli3569
    @kulvetiaseli3569 ปีที่แล้ว +1

    interview nzuri sana uyu jamaa inabid ajekugombea urais yup vizuri sana magufuli ajae

  • @naseershiner6738
    @naseershiner6738 6 หลายเดือนก่อน

    Daah hii interview nimeiludia Mara Tatu ukiachana na ile sku ya kwanza. Naisikiliza kwa radio 2023 but amini menifungua vitu vingi saana vijana wengi walio soma hawajui utofaut wa degree kuibadilisha kuwa lak moja ni kitu kikubwa sana hata msanii #fidq aliwahi sema katika mashail yake kuwa kufanikiwa siyo elimu ni maujanja ujanja frani tu hivi ko Msukuma ni mtu mmoja ambae anapenda kupambana yaan kwa ujumla wasukuma wengi tupo hivyo hata mimi ni hustler 💪🏻 saana japo bado sijafanikiwa ila naamini

  • @mushjosephat
    @mushjosephat ปีที่แล้ว +2

    Kuna kitu nmekiona hapa "Magufuli alikuwa anaendesha Tax usiku" Dereva anaendesha mchana....Duh

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 ปีที่แล้ว +5

    Mimi HUYU jamaa tusimhukumu kwa suala la bandari. He is just a natural talented person. Hebu tutumie kichwa hiki.

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe2643 ปีที่แล้ว

    Kiukwel msukuma asilimia kubwa ndio hua ananimaliziaga bundle langu.yaan namkubali xn,huyo ni mwamba.namfuatilia xn,kwanza hafake maisha,wala kujisifia kitu ambacho hana.kwanza anajiamin hta akiongea ni burudan.big up xn kiongoz.

  • @godfreychaba9673
    @godfreychaba9673 ปีที่แล้ว +2

    Masudi unamkatisha sana msukuma, story hainogi,
    Irudiwe na milard ayo

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 ปีที่แล้ว

      Inabidi Sky Walk airudie ndani ya SnS itabamba sanaa

  • @unclefrance4662
    @unclefrance4662 ปีที่แล้ว

    Namuoneaga mbali Sana huyu mwamba hongera kwake iwish one day akawa present

  • @LawrenceKakuba-xe5zm
    @LawrenceKakuba-xe5zm 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa wewe ni mbunge wa kipekee ,kwa simulizi zako nimejifunza mengi na nimekuelewa vizuri tofauti na nilivyokua nakufikiria awali mheshimiwa mbunge

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia4758 ปีที่แล้ว +3

    Anashida moja tu ya kuunga mkono uzwaji wa bandari yetu, af Cha ajabu alikuwa anawakemea wanaotetea bandari yetu bungeni.

  • @Amiboy425
    @Amiboy425 ปีที่แล้ว +2

    Back Town ugweno moja iyo

  • @yonamfangavo6413
    @yonamfangavo6413 ปีที่แล้ว +3

    Darasa la saba la kipindi cha msukuma ni elimu ya digrii ya kipindi hiki

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 ปีที่แล้ว +1

    Nguvu ya kofi daaah haya maisha ni shida sana

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 ปีที่แล้ว +1

    Duuh hii clouds amna kitu yaan ni zero kipindi nikizur lakn mmeshindwa kukiendesha vizur mpangilio ni mbovu mno

  • @thomasmn2723
    @thomasmn2723 ปีที่แล้ว

    Asante msukuma

  • @beniegasped7307
    @beniegasped7307 ปีที่แล้ว +2

    Asee mejifunza namna moja sisi wasom tunashndwa kucomvert education into moneyyy

  • @GerradNkonyozi-eo3cm
    @GerradNkonyozi-eo3cm ปีที่แล้ว

    Saluti msukuma, at Mimi uliwahi kuwa boss wangu,

  • @mann9460
    @mann9460 ปีที่แล้ว +1

    watangazaji maandz haw sasa mnamsimulia nan muache aongeee

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 ปีที่แล้ว +2

    Clouds mna vifaa vibovu sana. Camera mbovu, maiki mbovu, interview nzuri

  • @kevinmtasiwa5703
    @kevinmtasiwa5703 ปีที่แล้ว

    Born entrepreneur.. kwanza kapiga ndala

  • @elianeirakoze8562
    @elianeirakoze8562 ปีที่แล้ว +1

    Mimi pamoja n'a degree ya university n'a hock mitumba Nairobi

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 ปีที่แล้ว +1

    umeniongezea ujasiri sana mwamba

  • @zakiaramadhan8284
    @zakiaramadhan8284 ปีที่แล้ว +1

    Sauti

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 ปีที่แล้ว

    Isee msukuma mungu anakupenda

  • @josephmakonga3201
    @josephmakonga3201 ปีที่แล้ว +2

    Wajina unanifanya nizidi kupambana sana

  • @stevensostenes7985
    @stevensostenes7985 ปีที่แล้ว +1

    Ndo media tunayoitegema hila mmeonesha udhaifu mkubwa saaan yaan live lkn matangaz humo humo, afu mara saut inakata mara haituliii. Poor poor pooor

  • @georgerichard6706
    @georgerichard6706 ปีที่แล้ว +1

    Hii interview haija fanyiwa hakiii

  • @brownkira1332
    @brownkira1332 ปีที่แล้ว +4

    Naomba millard ayo amuhoji ndo ingeeleweka sana maana story imekatishwa sana

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 ปีที่แล้ว

      Pia Kuna mtu wakuitwa Sky Walk ndani ya SnS nimtu hatari kwa interview mcheki ndani ya SnS

  • @mrsmile5425
    @mrsmile5425 ปีที่แล้ว +1

    Millard Ayo airudie...Msukuma anajieleza vizuri nyie mnazingua

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 ปีที่แล้ว +1

      Pia Sky Walk ndani ya SnS itabamba Sana!!

  • @princebaissa2506
    @princebaissa2506 ปีที่แล้ว +2

    🙏🇹🇿

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 ปีที่แล้ว

    Hii interview angepewa millard ayo.

  • @thomasdimme7899
    @thomasdimme7899 8 หลายเดือนก่อน

    Tunajifunza dk king

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 ปีที่แล้ว +2

    Haya ndio maisha halisi ya mtaftaji wewe ni taikuni msukumaa

  • @ushauriwabureubaoniefmradi3856
    @ushauriwabureubaoniefmradi3856 ปีที่แล้ว

    Program nzuri, mahojiano mazuri, Ila sound bado boresheni hapo zaidi

  • @user-hc4qk8nj8x
    @user-hc4qk8nj8x ปีที่แล้ว

    Msukuma ni mtu nzuri Sana Ila kamuombe msamaha spika mstaafu Mr Job Ndugai na kwenye suala la bandari amefichwa ukweli kupitia lugha ya kingereza,Ila angeelewa kilichomo kwenye mkataba Nina imani angeupinga kinagaubaga.

  • @charlessmashaka9859
    @charlessmashaka9859 ปีที่แล้ว

    dah msukuma umepambana sana

  • @hezronvuhahula3839
    @hezronvuhahula3839 ปีที่แล้ว

    Akili na elimu ni vitu viwili tofauti

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 ปีที่แล้ว

    Clouds mnafeli mno yaani mtahaba aliko anasikitika xn. Mpngilio mbaya sauti hakuna duh!!

  • @helpers10
    @helpers10 ปีที่แล้ว

    Inabidi uandike kitabu Mheshimiwa! Hii stori ina mafunzo mengi kwa vijana.

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 ปีที่แล้ว

    Ebwana mic sio nzuri,sound boresheni,

  • @luisevarist4819
    @luisevarist4819 ปีที่แล้ว

    Matangazo ni mengi sana muacheni atupe materials yake

  • @georgenathanael
    @georgenathanael ปีที่แล้ว

    Clouds mnazngua

  • @kamaleckfkeihulakfkeihula939
    @kamaleckfkeihulakfkeihula939 ปีที่แล้ว

    Huanakuku barisana dk king huyu jamaa

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 ปีที่แล้ว +1

    Matangazo yenu yanahalibu

  • @josephdionis4290
    @josephdionis4290 ปีที่แล้ว

    Dah msukuma ni jini nyie acheni jmn, namkubali sana mwamba huyu

  • @user-ol7du9in3w
    @user-ol7du9in3w ปีที่แล้ว +1

    Vijana wa tl

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 ปีที่แล้ว

    Nikipata namba ya Msukuma Kuna kitu cha kuongea nae

  • @sirajbakari104
    @sirajbakari104 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mbaruku hani han kazi yeye anachat tu

  • @reubenmasanja30
    @reubenmasanja30 ปีที่แล้ว

    msukuma ni mfano kwa vijana kufocus na kupambana

  • @joshuamabubu-bs3tc
    @joshuamabubu-bs3tc 8 หลายเดือนก่อน

    Muongo huyu mwaka 80 unamamilion Sawa lakn ni miaka mingap (Umuri)
    Ukisema miaka 18 bas now una 60 je ni kweli?

  • @josephjila957
    @josephjila957 ปีที่แล้ว

    Umetoka mbali

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 ปีที่แล้ว +1

    kila mtu ana historia yake tena zingne zetu zinatosha kabisa

  • @printingtanzania
    @printingtanzania ปีที่แล้ว +1

    Kwanini mko live na mnaweka story nje ya mada na wala sio matangazo

    • @husseinalladin8797
      @husseinalladin8797 ปีที่แล้ว

      Nahis Kwa wanaoskiliz kweny radio au pia tv inakua imeenda matangaz nilazima

  • @user-qf7uv1hx6b
    @user-qf7uv1hx6b ปีที่แล้ว +1

    UAMINIFU UNALIPA

  • @davidfrancis8582
    @davidfrancis8582 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa anapaswa kuandika kitabu

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 ปีที่แล้ว

    💪🤓🕴

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 ปีที่แล้ว

    Kwenye kuhoji Kuna mmbo mnafel Mara mkate saut Mara nn mnaboa

  • @emanuelkisanga3429
    @emanuelkisanga3429 ปีที่แล้ว

    Vyombo vyenu vimetuangusha.

  • @ngerejangwala2295
    @ngerejangwala2295 ปีที่แล้ว +1

    Mafundisho hayo mazuri

  • @Diamondtikto
    @Diamondtikto ปีที่แล้ว

    hawa jamaa kuhoji hawajui

  • @LawrenceKakuba-xe5zm
    @LawrenceKakuba-xe5zm 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna jambo la kujifunza ,kuhusu maisha ,

  • @mushjosephat
    @mushjosephat ปีที่แล้ว +2

    Eti ka Magufuli kakaja Hahahahaha

  • @ngerejangwala2295
    @ngerejangwala2295 ปีที่แล้ว

    Nalidaka nayombe nanho

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 ปีที่แล้ว

    Sifa ya Msukuma ilikuwa nzuri sana, lakini imekuja kuporomoka ghafla kwa kupigia chapuo la Bandari!

  • @benedictpatrickwilliam2758
    @benedictpatrickwilliam2758 ปีที่แล้ว

    Poor....

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 ปีที่แล้ว

    Cluoz mnatumika mshanunuliwa nyie wa hivyo sana, kama chambo la fei toto mlitumika iweje mamilioni ya DP WOURD

  • @jacksonmayunga199
    @jacksonmayunga199 ปีที่แล้ว

    Sound system ijaakaa poa ila interview iko poa

  • @stevenswai4639
    @stevenswai4639 ปีที่แล้ว

    Aseee mna matangazo marefu mno mpaka yanaboa

  • @user-kt3cv4qq9h
    @user-kt3cv4qq9h ปีที่แล้ว

    VERY POOR,hakuna sauti

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว

    ILA WASUKUMA KONYO😀,SAA YA 450K NDO AITEST KWA KUKANYAGA NA GARI😃😄🤗,ME NIMESHUKA DAKIKA YA 9 YA INTERVIEW

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma.umehongwa.ukubali.usikuli.bali.umehongwa.warabu.wana.hela.sio.wewe.na.tu.mabunge.menzio.mmehongea.tukutane.2025

  • @user-qf7uv1hx6b
    @user-qf7uv1hx6b ปีที่แล้ว +1

    UAMINIFU UNALIPA