HUU NI USHENZI HATA IBILISI HAWEZI KUFANYA ....SHEKH RUSAGANYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 101

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah5627 5 ปีที่แล้ว +17

    Wallah sheikh Ahmad Hashim Rusaganya nakupenda sana kwaajili ya Allah yani Allah shuhuda wanafsi yangu mana unavotuchana napenda sana unasema kweli kabisa sheikh Allah atusameh waja wake Allahumma Amiin

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 ปีที่แล้ว +12

    We we nikiongozi wadini kweli mw/mungu akulipe

  • @sulaymuallyuthumaniy3061
    @sulaymuallyuthumaniy3061 5 ปีที่แล้ว +11

    Allah akuhifadhi na Kila Baya na Macho ya Mahasidi Usiku na Mchans Alhabiyb Sheikh Ahmad Rusaganya Na atupe Istiqaamah ktik Dini

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 5 ปีที่แล้ว +12

    Jazaka allah khayraa shekh Ruzaganya Allah akujaalie afya na umri mrefu

    • @jamesbowie1022
      @jamesbowie1022 3 ปีที่แล้ว

      i realize it is kinda off topic but do anyone know a good place to watch new series online ?

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu264 5 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah maneno ya shekhe ni yakweli kabisa allah atuongeze katika njia ya kheir

  • @jumaali5293
    @jumaali5293 5 ปีที่แล้ว +8

    Bila shak sheikh unachokiongea kipo sahih maan asilimia kubwa ya waislam tumejisahau tunaendekez dunia cha msingi turudi kw Allah,,,Ahsant san sheikh wetu Allah akupe umri mrefu wenye hatima njem kwa sote kwa jumla ameen

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 ปีที่แล้ว +6

    امين للهم امين Shukran sheikh wetu kwa kutuwaidhia Allah akujalie umri wenye afya njema

  • @binlubawa8387
    @binlubawa8387 5 ปีที่แล้ว +8

    Hapo kwenye vigoma shekh Umenena yaani utakuta gari imepakiza kina mama ndani lkini makalio yanatolewa madirshani kwa lengo LA kutingisha ili walio nje wayaone Subhanallah ni mbalaa kubwa wallahi

    • @omanfox5762
      @omanfox5762 5 ปีที่แล้ว

      Allah akutangulie katika kuteleza kama alivyoamrisha Allah subukhana huwa taalaa

    • @saidiibrahimu3058
      @saidiibrahimu3058 2 ปีที่แล้ว

      Inshaallah mwenyezi Mungu akutangulie

  • @abdulrahmanmussalonka4935
    @abdulrahmanmussalonka4935 5 ปีที่แล้ว +10

    Sheikh umeongea mengi Allah akuongeze wewe pamoja na mimi, na atukutanishe pamoja peponi Aamiyn, ukweli umenifurahisha sana hapo kwenye nzi kutokutua kwenye mwili wa rasullullah Allah الله اكبر kweli mtume huyu ama kweli ana darja kubwa sana.

  • @FahadRajab-k1n
    @FahadRajab-k1n ปีที่แล้ว

    ALLAH akufanyie wepesi katika kulingania dini inshallah

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma5150 5 ปีที่แล้ว +6

    Shukrani sana Sheikh

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 5 ปีที่แล้ว +5

    Shukran shiekhe kwaujumbe

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o 8 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde shekh wetu❤

  • @ntakirutimanamaisara4529
    @ntakirutimanamaisara4529 5 ปีที่แล้ว

    wallah sheikh wangu namintakuwa shahidi na unawambia kilasiku allah akupe kila rakhreili sheikh wetu

  • @nafesamohamed7553
    @nafesamohamed7553 5 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah jazakAllah kheri sheikh

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 ปีที่แล้ว +5

    allah akupe umli wenye afya akulipe pepo

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 5 ปีที่แล้ว +8

    Kweli jamani hata mimi hizo ngoma sizipendi

  • @mohdissa8973
    @mohdissa8973 5 ปีที่แล้ว +4

    Subhanallah ya Allah tujuulishe waja wakoo tunapoteaa

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 5 ปีที่แล้ว +1

      Allah atuhidi atuongoe atuongoze ktk njia ya uongofu

  • @ndabadugaritseismael3937
    @ndabadugaritseismael3937 4 ปีที่แล้ว

    Huu Sarah Allah Amusameh kwa kutaka kuidhalilisha dini ya Allah na akizidisha porojo zake Allah Amudhalilishe na Amuaibishe hapa duniani na kesho akhela,

  • @nurdinhamisi63
    @nurdinhamisi63 5 ปีที่แล้ว

    Allah akupe afya njema na umri wa baraka Sheikh Hashim Rusanganya ili tuendelee kuapata faa'ida In Shaa Allah

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani8004 4 ปีที่แล้ว

    Jazakah Allah sheikh wetu

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 5 ปีที่แล้ว +4

    SUBHANA ALLAH. JAZAKALLAH KHAYRA.

  • @محسنأبوالخير-ر3ج
    @محسنأبوالخير-ر3ج 3 ปีที่แล้ว

    Jazakallah kheiri

  • @zuleiyahemed8226
    @zuleiyahemed8226 4 ปีที่แล้ว

    Manshaallah Mwenyezi Mungu akuweke shekhe unaongea ukweli kabsa 🤲

  • @sabunihassani3158
    @sabunihassani3158 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akulipe

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 5 ปีที่แล้ว +7

    Lakini Tanzania mmezidi,yani hao wenye vigodoro vyao charazeni viboko nadhani watakoma

  • @siwajibufarida3428
    @siwajibufarida3428 5 ปีที่แล้ว +2

    Ma shaa Allah

  • @twaharicco9427
    @twaharicco9427 4 ปีที่แล้ว

    Tawheed safi sana Sheriff....

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 10 หลายเดือนก่อน

    Amina wa badilike sasa

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 5 ปีที่แล้ว

    Tuwaombeeni sana mana kipindi chahija ndio kipindi chamavuno nashetani watapupa mamilioni yapesa kwaajili yakulipwa pepo kwaajili yakulipwa uchafu she he pitia maandiko mungu wenu ana pepo mtachomwa pamoja namungu wenu

  • @ashirafukhamisi424
    @ashirafukhamisi424 5 ปีที่แล้ว +7

    asante shehe kwa mawaidha

    • @yasinyusuphlosil222
      @yasinyusuphlosil222 5 ปีที่แล้ว +1

      It's true that in our sharia we don't have vunja junguu

    • @yasinyusuphlosil222
      @yasinyusuphlosil222 5 ปีที่แล้ว +1

      Muslims we should preserve our holy Ramadan

  • @ahmednafoo9391
    @ahmednafoo9391 5 ปีที่แล้ว +8

    Shekh amesema ukwel hapo

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 5 ปีที่แล้ว

      Huu ni msiba. Allah akulipe sheikh kwakutukumbusha

  • @allymadodo6437
    @allymadodo6437 5 ปีที่แล้ว

    shekh shukrani Allah akulipe pepo

  • @hadijabakari9025
    @hadijabakari9025 4 ปีที่แล้ว

    Shekhe Allah akulipe maneno mazuri sn

  • @nassorkisambale6970
    @nassorkisambale6970 4 ปีที่แล้ว +1

    manshaallah

  • @kasiyoamissi9327
    @kasiyoamissi9327 5 ปีที่แล้ว +2

    Ameen

  • @juwairiyajuma9816
    @juwairiyajuma9816 4 ปีที่แล้ว

    Seikh tunakuombea kilma cha Laailaha IIallah

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 ปีที่แล้ว +4

    mzee wakuchana n.a. kuku Bali piga jiweguzani a takae sema yalaaa limempata

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 5 ปีที่แล้ว

    Swadakta maneno matam sana hakuna mfano wadini ya hakki Kama uislam niraha sana Masha Allah sisi wanawake tumezidi lana ndio Mana Allah anatuhukumu hapa hapa duniani kwa maasi yetu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 ปีที่แล้ว

    shukran

  • @salmachege5225
    @salmachege5225 5 ปีที่แล้ว

    mashallah shekhe

  • @miltontembo8582
    @miltontembo8582 4 ปีที่แล้ว

    Hawa ndio viongozi wa dini tunaowataka wanajua kukeme ana kukaripia kwa lengo la kuturudisha ktk njia ilionyoka

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUHIFADH NA AKUPE MWISHO MWEMA

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 5 ปีที่แล้ว

    Allahu akbaru

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 ปีที่แล้ว

    Kweli nimtihani

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 5 ปีที่แล้ว

    Assallam Allekum shehe ungelifuga ndevu ungelipeza zaid zaid kiiman

    • @husnashariifu6249
      @husnashariifu6249 4 ปีที่แล้ว

      Huyo ndo wale wasiokuwaga na ndevu Yani zunatokeza kwa uchache

    • @chidyboy1349
      @chidyboy1349 4 ปีที่แล้ว

      Hana ndevu by nature siwez kumlaumu

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 5 ปีที่แล้ว

    Mtihani jamani yani huu mitihani hasa

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 5 ปีที่แล้ว

    Mimi mawaomba mashehe ikiwa hawaijui kweli mungu awajuze lakini wakiwa wanaijuwa kweli lakini hawataki kusema mungu wakweli alie juu huinuwa amtakae nakuinen kweli namimi nawambia.mashehe msiendelee kuwazuia watu nanjia yakweli yamungu alie juu mungu mnae muabudu waisilamu alie mshushia Muhammad kuruani nikafiri namakaz yake hayap juu mbinguni yapo hapa dunian Muhammad sio nabii wakweli kutoka kwamungu alie juu nakuruani sio kitabu wala maneno yamungu msidanganyike namaovu yaliokatwaza ndani yakuruani kuna makubwa yalio jifisha nyuma yapazia maana yakafiri nimpingaji nakuruani niyenye kupingana nasheria zakweli zamungu alie juu kuruani nidajali Muhammad aliawambia itafika wakat misikiti yenu ndio makabur yenu kabla msikiti haujawa kabur kwako toka uitafute kweli kweli itakuweka huru kuruani haihubiri injili yakweli napenda pia niwambie yesu sio is a alietwaja kwenye kuruani kuruani hata siku moja haitolitaja jina layesu mana kuruani haimkubali yesu yesu kwakiarabu yasua nawala sio is a kuruani imekop visa nasiku zote ukikop kitu hutakipata uhalisia wake nawala ibrahim wakweli kuruani sio baba waimani mashehe acheni kuendelea kupotosha umaa namaka sio mji mtukufu wamungu msipoteze hela zenu bur mnamuabudu shetani

    • @frednixon2319
      @frednixon2319 5 ปีที่แล้ว

      Sarah Abdulatif b

    • @shabanizuberi1603
      @shabanizuberi1603 5 ปีที่แล้ว

      Wewe una matatizo na usipo ziduka subiri ufe. Utayakubali maneno ya shekh.

    • @khumayraabdul3259
      @khumayraabdul3259 5 ปีที่แล้ว

      Ww kafir hujui unacho kitete wala hujui unachosema niambie yesu alikuwa dini gan

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 5 ปีที่แล้ว

      Unajina zuri ila nimshenzi mkubwa subiri siku yakutoka roho yako ndio utajua

    • @ahbabnour970
      @ahbabnour970 4 ปีที่แล้ว

      Huyu nae katokea wap haya maneno yenu ya kwenye vitabu vinavyofanyiwa marekebisho na watu tunayajua na pia tunayasoma.

  • @mugishayahyaomar6573
    @mugishayahyaomar6573 4 ปีที่แล้ว

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh nivipi ntaweza kupata number ya sheh Rusaganya? Ambay anajuw anisaidiy ainiandikiy hap kweny comment itakuw bora na Allaah atamlip

  • @khamisseif6395
    @khamisseif6395 5 ปีที่แล้ว

    Mvua zanzibar

  • @mikidadibonifacsiwa4666
    @mikidadibonifacsiwa4666 5 ปีที่แล้ว

    Subhanallah

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt 4 ปีที่แล้ว

    nyundo wa Bongo

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 5 ปีที่แล้ว

    Maana yaneno dini ninjia haiwezekani kuwe nanjia mbili njia yakweli nimoja tu yakumfuata yesu alie mbinguni njia yamuhammad haikupelek mbingon inakusogez kwenye moto Muhammad mwenyewe anawambia mumswalie maana yakumswalia nikumuombea ukisoma kuruani yeye kasamehewa madhambi yote sasa aombee nini nyinyi atawaombea nani tokeni usingizini mupitie maandiko Muhammad ninabii wauwongo alie simamisha dini kwaupanga

    • @alihassani1323
      @alihassani1323 5 ปีที่แล้ว

      Na nyinyi mnaosema yesu ni mungu ni kigezo gani ulitumia au ulisoma sehem gani

    • @khumayraabdul3259
      @khumayraabdul3259 5 ปีที่แล้ว

      Ww unaongea usiyoyajua na uliza swali kwan yesu alikuwa dini gan

    • @husnashariifu6249
      @husnashariifu6249 4 ปีที่แล้ว

      Mh uujielewi wewe

    • @johnmacha8190
      @johnmacha8190 2 ปีที่แล้ว

      Huna akili wewe na wakristo woote motoni ndomaana mnaabufu MTU aliezaliwa yesu mtoto wa maryam . Mara miungu wenu ni nafsi tatu . nafsi baba mwana na roho mtakatifu . ibadani mwenu mnaruka kama disco mnvaa nguo za mipasuo . yaani kifupi hakuna watu mataila kama nyinyi.

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 5 ปีที่แล้ว

    Nataka niwafunuw macho waisilamu mana yapepo niuchafu nawao ibada zao zote wanalipwa pepo inamana wanalipwa uchafu nakila alipwae uchafu nimfuwas washetani nakila kilicho kichafu mwisho huchomwa wao wanaabudu kwaajili yapepo ndio mana waisilamu hawamkubali yesu mana wao wachafu yesu utakatifu mungu wao nipepo naamini wakiyatafakar hay maneno kutaabika kwao kote mwisho wanalipwa pepo nasote tunajuwa shetani ndie pepo yey ndie mchafu amken wapwenda safina yambinguni niukovu nafas mnayo bado hao maulamaa bad wanaipigia kampeni pepo hao wam ufalme washetan

    • @husnashariifu6249
      @husnashariifu6249 4 ปีที่แล้ว

      Ahaha Sarah uliama dini nini naona umepegawa poole

    • @kokunulajudie7544
      @kokunulajudie7544 4 ปีที่แล้ว

      Maskini Sarah mwenyezi mungu akuongoze,

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 5 ปีที่แล้ว

    ..ulipaswa kuwa Mkristo!..karpia,kemea ili watu waogope!safi sana!

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 5 ปีที่แล้ว +2

      Hiyo ni njia moja ya maamrisho ya uislam basi ikiwa wewe ujui na hivyo ndivyo Allah anatuambia,hau wewe unafagilia unacho kitaka wewe? Hapo alipo panatosha na nimahali sahihi kwake

    • @festosamweli1845
      @festosamweli1845 5 ปีที่แล้ว

      Kwel kabsa ungekuw mkristo

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 5 ปีที่แล้ว +2

      @@festosamweli1845,haita wai tokea hilo sahau,apo alipo ndipo mahali sahihi na yuafanya alioamrishwa na Allah

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 5 ปีที่แล้ว +2

      @@festosamweli1845 alikua huko lakn baada ya kusoma akagundua kwamba uislam ndio njia sahihi kwakwe.

    • @ramazubery8396
      @ramazubery8396 5 ปีที่แล้ว +1

      Aache uislam afate dini iliyoanzishwa nawapagani subhana llah.bakia wewe panakufaa.

  • @hadijabakari9025
    @hadijabakari9025 4 ปีที่แล้ว

    Shekhe Allah akulipe maneno mazuri sn

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 5 ปีที่แล้ว

    Mashaallah