JUA LA ELIMU - Historia ya Sheikh MUHAMMAD AYOUB wa Tamta - Tanga | Kuzaliwa | Kusoma hadi Kufariki

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Wengi katika wanazuoni wa leo hapa Tanzania na nje ya Tanzania ukizifuatia silsila za elimu zao basi mwisho utakutana na Kigogo huyu wa elimu aliyeishi Miaka ya nyuma kidogo na si mwingine bali ni Sheikh MUHAMMAD AYOUB
    Huenda ukawa humfahamu lakini umeshawahi kumsikia. Alikuwa ndiye muanzilishi na mudiri wa chuo cha elimu ya Dini ya Kiislamu cha TAMTA - TANGA
    Hii hapa ni historia yake kwa ufupi ambayo itakupa mwangaza na kumfahamu Mwanazuoni huyu wa Afrika Mashariki na kati.
    Asante kwa kuamua kuwa nasi - BUNDUKI TV
    #bundukimedia, #uislamu

ความคิดเห็น • 48

  • @murtadhwangereza4208
    @murtadhwangereza4208 9 หลายเดือนก่อน +3

    Maashaa Allah sanad nzuri sana ,Allah amuhifadhi almarhum sheikh M Ayoub

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 ปีที่แล้ว +6

    Hiyo ndio sanad mzuri ya sheikh wetu MaashaAllah.

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa taarifa nzuri ya uchambuzi wa kihistoria
    Akhiy nawe MWENYEZI MUNGU ASIKUACHE KATIKA KUNDI LA WAJA WAKE ANAOWAPENDA KWA BARAKA ZAO AAMIIN

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah mzungumzaji ni fasaha sana.

  • @MamuZahran
    @MamuZahran 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alykum ndugu zangu waislamu.kwa majina naitwa Mariam Zahran Dina.nimeipenda historia ya shekhe Muhammed ayoub.me nipo zanzibar.naomba Namba yako ya CMU Kwa mawasiliano na maongezi Zaidi

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 ปีที่แล้ว +5

    Allaah amrehemu shekhe wangu. Alikua akinipenda sana. Niko Oman 🇴🇲 lakini simsahau

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 2 ปีที่แล้ว +2

    INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN Allah amfanyie wepesi katika safar yetu hii na ATUPE mwisho MWEMA YAARAB. Wanafunzi wa sheikh kuweni wenye kuipeleka mbele Dini WACHENI mizozo isiyokuwa na maana katika DINI. Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @HatibuMashombo
    @HatibuMashombo 7 หลายเดือนก่อน

    Maashaallaah

  • @fatumabakariki8417
    @fatumabakariki8417 ปีที่แล้ว

    Mungu amrehemu amueke pema peponi jina zuri la kwetu mnyanjani Shekh kannena wele wa mnyanjani watajua hilo neno

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran Sana nimefurahi kwa tarehe hii mola akubariki sana

  • @kassimfundi2326
    @kassimfundi2326 2 ปีที่แล้ว +3

    Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah

  • @salamapwepwe8857
    @salamapwepwe8857 ปีที่แล้ว

    Mashaallah alla amuondeshee kiza ktk kabri yake

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Sana sheikh

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 ปีที่แล้ว +1

    Allah alifanye kaburi lake ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi.

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amrehem shekhe wetu na afanye kaburi yake kuwa viwanja vya peponi amin isnaallah

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 ปีที่แล้ว +1

    قد مات قوم وما ماتت مكارمهم
    وعاش قوم وهم بين الناس أموات
    رضي الله عنه .. 🌹

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi8124 3 ปีที่แล้ว

    allah akuhifadhi uzidi kutupa ilimu

  • @mohamedahmed-yj5rq
    @mohamedahmed-yj5rq 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 ปีที่แล้ว

    بارك الله فيك

  • @harounabdallah9036
    @harounabdallah9036 2 ปีที่แล้ว

    jazakallahu khayran

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wanavyooni wengi wamepitia kwa sheikh Ayoub na ukiwaona aliowasomesha ni mashikh wakubwa

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 ปีที่แล้ว

    اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @MOMMEDIA1
    @MOMMEDIA1 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka mungu akujaarie Mana unaturisha Sana neno la mungu

  • @MAGICSTONESTZ
    @MAGICSTONESTZ 3 ปีที่แล้ว +1

    Wa kwanza

    • @bundukitv1322
      @bundukitv1322  3 ปีที่แล้ว

      😆😆😆 hongera mzeee💪

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi8124 3 ปีที่แล้ว

    naomba historia ya muasisi wa mahawa na muasisi wa zahrau

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 ปีที่แล้ว

    Kasida yangu ipo hapo makao makuu. ان نجا مجتلاء × في ذالهدي

  • @mwanyukmwanyuk7769
    @mwanyukmwanyuk7769 ปีที่แล้ว

    Kaswida za tamtaa deeii

    • @kassimamiri4131
      @kassimamiri4131 ปีที่แล้ว

      اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @jumaaruwa8793
    @jumaaruwa8793 2 ปีที่แล้ว

    Tunaomba historia ya shekh Shaban Mohammed harir muasis wa maawal islam

    • @bundukitv1322
      @bundukitv1322  2 ปีที่แล้ว

      Inshaallaah. Tutaifuatilia sheikh

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 11 หลายเดือนก่อน +1

    isisahaulike kuwa Tamta ni chuo cha Masufi.Haifai Kusoma hapo.
    Allah awaongoze.

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c 8 หลายเดือนก่อน

    ENZI HIZO HAPAKUWA NA MAWAHABI MAANA KWA SASA ANGEONEKANA MJINGA HAFAI WALA HANA ELIMU
    MAWAHABI AKILI ZAO SIJUI ZIKOJE YAANI WAMEANISHWA KUWA WAO NDO WANAJUA KILAKITU ILA WENGINE WOOOOTE HAWAJUI KITU

  • @YahyaSahala
    @YahyaSahala ปีที่แล้ว

    Mbona kidevu umekikwangua sasa😂😂