HALI TETE KWA M23, MASHAMBULIZI MFULULIZO, KIKOSI CHA WANAJESHI WA TANZANIA JWTZ WALIOAUWA HUKO DRC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 146

  • @MwitaSenso
    @MwitaSenso ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Polen sana uko congo Kila sk mnalnda aman tz tuna pokea marehm tu kama vip ludishen askar wet bwan

  • @MakameRashid-j3n
    @MakameRashid-j3n 46 นาทีที่ผ่านมา +4

    Jamani kuuwawa au kuuwa vitani ni kawaida ila niwaahidi kama ni mwanajeshi wa Tzn mmetugusa pabaya na karibunu mtaijua sababu ya kuletwa congo nini kuuwawa kwa wanajeshi wetu imetupa hamasa kuisaka roho ya M23 popte ilipo na lazima tu ilipe kisasi hiki ✍️💪💪💪🦾🦿🦵

    • @mogrosso3500
      @mogrosso3500 36 นาทีที่ผ่านมา +1

      Kabisa m23 wanazinguwa inabidi tumalizane nao Tanzania 🇹🇿 congo 🇨🇩❤

    • @JacobMutiso-t9p
      @JacobMutiso-t9p 27 นาทีที่ผ่านมา

      Majirani zetu tz..Kaeni Tu kwenyu mutauliwa bure Congo..hawa M23 ni Hatari bin danger!!😭😭 Let Chisikedi fall.wa Zaire wachague Raisi anaeelewa😢😢

    • @HakizaPoly
      @HakizaPoly 22 นาทีที่ผ่านมา

      Unayo yaongea unaya jua kwani wa mekuja ktk disc tuna wa subili tu tumejipanga vilivyo m23 tuna tetea haki yetu nyie mnafia nn Mungu tupo na tuta wapiga by force mobailo mtajuta

    • @HakizaPoly
      @HakizaPoly 21 นาทีที่ผ่านมา

      ​@@mogrosso3500mu meingia Cha kike nyie

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 57 นาทีที่ผ่านมา +1

    Tunataka ndugu zetu warud MUNGU ibariki TANZANIA 🇹🇿❤️

  • @FrankElias-u9i
    @FrankElias-u9i ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Kweli nimeamin congo kunakitu kwann kila nchi inakimbilia kwenda linda Aman

  • @erodiasmallya2869
    @erodiasmallya2869 28 นาทีที่ผ่านมา +2

    Mmesema ni wawili ila msipoangalia watapotea wengi. Acheni huruma rudisheni wananajeshi wetu nyumbani.😭😭

    • @gegerenne897
      @gegerenne897 นาทีที่ผ่านมา

      Poleni. Ila iyo ni mchezo wa kikwete na thisekedi wanafanya izo deal. Raisi Samia amekua amekata lakini kikwete ndio ana force watoto wa tanz kwenda vita congo.m23 sio mchezo na bado

    • @gegerenne897
      @gegerenne897 47 วินาทีที่ผ่านมา

      Poleni. Ila iyo ni mchezo wa kikwete na thisekedi wanafanya izo deal. Raisi Samia amekua amekata lakini kikwete ndio ana force watoto wa tanz kwenda vita congo.m23 sio mchezo na bado

  • @VibeScott
    @VibeScott ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    M23 bola waichukue congo nasiyo choko chisekedi💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

  • @NepporSabith
    @NepporSabith 46 นาทีที่ผ่านมา +1

    M23 siyo jeshi dogo kama mnavyo wachukulia mwenye solution ni RAIS wa CONGO naselikari yake, waondokane na UBAGUZI, RUSHWA UKABIRA, namambo kibao yakitawala yasiyo na usawa

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kuweni makini sana Congo ni ngumu sana wazungu wameshaingia kitambo m23 hawako peke yao na hawana Cha kupoteza

  • @MwakaHappy
    @MwakaHappy 38 นาทีที่ผ่านมา +1

    Mama samia rudisha wanao nyumbani hayo makongo hayana shukrani mabishi yanaweza hata yakatugeuka schsna nayo mama yangu unspoteza nguvu zako kwa hayo maharamia

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 6 นาทีที่ผ่านมา

    Mara ngapi wanajeshi wameuwawa hata waape vp watakiona chamoti

  • @Biteme358
    @Biteme358 3 นาทีที่ผ่านมา

    Hii vita hatuiwezi, tukae nyumbani tutulie. Otherwise, tunapenda kuua kaka zetu kwa makusudi

  • @NshimirimanaSeleman-u5y
    @NshimirimanaSeleman-u5y 22 นาทีที่ผ่านมา

    Congo haina viongozi wote wanafiki

  • @MtumwaAli-r1p
    @MtumwaAli-r1p 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Waasinao wanakufa sana ap ila kwavile kuzipata tarifazao ningumu tumaona kama hawafi minaamini wanajeshi wa Tz hawakufa kizembe wamekufa kishujaa poleni sana ndugu wa marehemu

  • @AlindaAntony-fr9gt
    @AlindaAntony-fr9gt 19 นาทีที่ผ่านมา

    Tuludishie wanajeshi wetu 😢

  • @imanisaveri8921
    @imanisaveri8921 34 นาทีที่ผ่านมา

    Huko poleni wanajeshi wetu

  • @majondejohali5259
    @majondejohali5259 51 นาทีที่ผ่านมา +1

    Waacheni wapigane wakichoka watayamaliza wenyewe

  • @SakinaValy
    @SakinaValy 20 นาทีที่ผ่านมา

    Waelewane bhana mbona watuletea shida kwa jeshi letu kwa kutetea amani yao

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    SASA WAMEJICHANGANYA KWA JWTZ
    UWEZO TUNAO,NGUVU TUNAZO NA ASKARI MAHIRI TUNAO KAZI NI MOJA TU KUWAPIGA

    • @wiliamkatala
      @wiliamkatala 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unaonaje ukiwa msitar wa mbele.

    • @muj-c6p
      @muj-c6p 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      uwezo gani jeshi la tz limepigwa vibaya sana

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@muj-c6pUlikuwepo wakati wanapigwa,ujinga mwingine mkimbizi wewe Rudi kwenu toka tanzania

    • @Storyinkworldwide
      @Storyinkworldwide ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Waz

    • @OmariChanja
      @OmariChanja ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mdomo tu! Kwasbb ww sio mwanajeshi wala wanaouwawa sio ndugu zako. Jitu linaogopa kuandamana kudahi haki yake alafu linakuja kuleta mdomo huku kwny social media. Vita unafikiri ni kwapa heti. Bata Wahed

  • @RwagBudugu
    @RwagBudugu 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +12

    Tanzania vita ya mdomo mnaiweza ila kwenye bunduki bado sanaa😊

    • @fauzishabani2622
      @fauzishabani2622 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Tuwape muda wavamizi Pole pole ndio mwendo

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Unauelew finyu kivita...hebu nenda huko kwa wanaojua vita huko Russia na Israel wanajeshi wake hawafi...kinachoangaliwa si kufa kwa wanajeshi inaangaliwa nan atashinda vita

    • @Educationmedia-ih1th
      @Educationmedia-ih1th 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe kilaza sana, tulipeleka wanajeshi 10 wanpigana dhidi ya majeshi ya nchi nzima ya Rwanda, lakini wameuwa wajinga zaidi ya 500, so wao kufa na wapo huko kwa maka 2 sasa ni ujasiri

    • @robertmahenge3614
      @robertmahenge3614 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sana

    • @ProsperUlungi-p3t
      @ProsperUlungi-p3t 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Utakuwa sio mtanzania

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mbona sioni Taarifa za waasi wao hawafi ama kulikoni

    • @kwetuafrica2440
      @kwetuafrica2440 56 นาทีที่ผ่านมา

      Ukishindwa Huna uwezo wakujuwa hadui amepoteza waasi wangapi ...

  • @bayombejean3959
    @bayombejean3959 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Wote mnao wa ona wana comenti vibaya wala muzijuilize jueni ni wanyarwanda sisi wa congo 🇨🇩 tuna wajua vizuri hata waki geuza majina. Ndungu zetu watazania musiwasikilize hao wanataka kuwa vunja moyo ili musi tusaidie

    • @salehsaleh1305
      @salehsaleh1305 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Na nyinyi mumelegea sana mnaonewa kila siku jikazeni kidogo

  • @JosephMugala-yv5sb
    @JosephMugala-yv5sb 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +14

    Wanajesh wa tz ni migambo tu
    Endeleeni kuitumikia ccm
    Mpaka muishe.M23 siyo chadema fara nyinyi. Ali kibao ameuwawa hakuna msaada wowote ila kwa majirani mumeona ni bora sn
    Mungu wasaidie M23 wawamalize hao wanao jifanya kimbelembele

    • @RaheemaMosa
      @RaheemaMosa 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      😂😂 wewe

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mdomo uliponza kichwa acha ujuaji wa kipumbavu sms yako inaweza kuku gharim

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mdomo uliponza kichwa acha ujuaji wa kipumbavu sms yako inaweza kuku gharim

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Mdomo uliponza kichwa acha ujuaji wa kipumbavu sms yako inaweza kuku gharim

    • @muj-c6p
      @muj-c6p 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      wewe ni mtaalam

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Rudisheni askari wetu, upuuzi wa TSHISEKEDI unagharimu ndugu zetu!

  • @mwajabuYusuph
    @mwajabuYusuph ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hii vita zita malizwa na Rais wa congo hao wengine ni kutafuta visa zaidi

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 43 นาทีที่ผ่านมา

    Hatuwapi moyo jeshi letu lirudi hao wakongo hawaeleweki kbsaaa

  • @Aiuoex
    @Aiuoex ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Wa Tanzania muko bi wele wele kama Kisekedi. Mumenda Congo kufanya Nini!!

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 44 นาทีที่ผ่านมา

    Mnaenda kusaidia mijitu mikaidi isiyotaka amani rudisheni jeshi letu jamani pls pls hapana inauma sana yani wanaenda kupotea kwenye nchi ya watu jamani😢😢

  • @HumuraRwanda
    @HumuraRwanda 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watanzania wandugu musifuwate uwongo wa Tchisekedi basi musikie shawuli ya Late Mwalimu Nyerere

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Vita aiwezi ueka amani kaeni chini mzungumze bila ivyo mtakufa kama njiwa

    • @JackieMichael-q7x
      @JackieMichael-q7x 19 นาทีที่ผ่านมา

      @@rogerabdallah439 kwani ni tz tu ndio wapo huko, walikufa wa South A mbona hamkukashifu iweje kufa watz imekuwa nongwa, kuna nini hapa sielewi mnifumbue jicho.

  • @WillyKanj
    @WillyKanj 53 นาทีที่ผ่านมา

    Nyie wakings hakikishen kichwa Cha habar kinaendana na taarifa yenu matako nyie

  • @abelCHILDOFGOD
    @abelCHILDOFGOD 17 นาทีที่ผ่านมา

    Hi

  • @enockRocky-p2y
    @enockRocky-p2y 49 นาทีที่ผ่านมา

    Mumesema wawili mtapoteza wengi sana zaidi ya wawili unajua mtu akiwahajaingia kwa vita anaonanga ni rahisi lakini muende mtakiona

  • @wiliamkatala
    @wiliamkatala 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Waliokufa sio jwtz tu pekee yao hata wengne wanakufa.RIP

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    tutaelewana tu ngoja muda utaongea .., mtajua kwa nini inaitwa Bongo..

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Alosema eti wanakuja kuwapiga "Kunguru"yupo wapi?

    • @kwetuafrica2440
      @kwetuafrica2440 50 นาทีที่ผ่านมา

      Ndo najiuliza😂😂😂

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli Joseph Mugala

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ulinzi wa aman ? Amani ipi? wanajesh wetu wanauawa kisa maslahi ya watu wengine na sio kwa maslahi ya wananch ya Congo" wanacho kifanya kulinda marais wanao shirikiana na mabeberu wanasain mikataba ya ovyo na kuhujumu mali za wananch wananch wanabakia maskin lakin raslimali zao zinabebwa na nchi zingine" wanajeshi wetu warudishwe nyumbani

  • @GerardMurenzi-p4l
    @GerardMurenzi-p4l 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Bunduki yenu,SABASABA ukitizama vizuri siyo bunduki tena,ni mkokoteni,nenda mlibebe uwanja wandege Goma,kunguru nyinyi,rudisha wanamgambo wenu Tz

  • @Mwenyemali2
    @Mwenyemali2 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Aty mnakuta nyoka kwashimo😂 kama mnaendelea kunganga Bado muko navilio.

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sisi wa Tanzania mndomo dio wetu wa na jeshi wa Tanzania ni 10000 tu Wana jeshi wa ruawanda. Ni laki bili

  • @SijaonaYasiniMilanzi
    @SijaonaYasiniMilanzi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watu hawajuwi kwanini JWTZ kwenda kusaidia congo ila kwa sababu nchi za kiafrika zimeanzisha cooperations ambapo members wanasaidia katika nyanja zote the same tanzania ikivamiwa members wa cooperation watakuja kusaidia sio kwamba JW imejipeleka hapana

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 40 นาทีที่ผ่านมา

    😢🇹🇿

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa tumejua ukweli wa TPDF yetu...wanaloweza ni kubeba korosho, kulinda maduka ya fedha za kigeni...labda na kujenga ukuta mererani....tusisahau kutishia raia pia🙂

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ninyi kazi yenu ni kulinda aman na sio kupiganana vita. Labda muwapige vyama vya upinzani tanzania 🇹🇿 hyo ndo kazi yenu, washenz wakubwa, kaeni uko mutakufa nyote

  • @salumramadhan6271
    @salumramadhan6271 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kuna watu humu wanapenda kuongelea vitu ambavyo hawana uelewa navyo huwezi tegemea kupambana na maadui kisha ww usipate maumivu ni vita ya vikosi viwili hivyo ni kawaida kuona kuna watakaokufa pande zote mbili ama kuumia sio kwamba hawana uwezo la hasha ni uhalisia tu

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tunajua mmejiandaa na plopaganda nyingi Sana adikwenye mitandao ya kijamii lakini jeshi letu kamwe alitoludinyuma Wala kukata tamaa nanyie endeleeni kujiunga na mabando Tena ondokeni nchini kwetu mbwa nyie mnawatukana wanajeshiwetu uku mmeng'ang'ania kwetu

    • @OmariChanja
      @OmariChanja ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwsbb ww sio mwanajeshi na wala hao waliouwawa sio ndugu zko si ndio

  • @Humphrey-z8c
    @Humphrey-z8c 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Vita ni gharama
    Anaye umia ni mlip Kodi Sasa Kuna watu humu
    Sio Wana Jeshi
    Sio walipa Kodi
    Wao ni kufurahi vita ambayo hatuna sababu ya kupigana.
    Hatupaswi kuwa Congo sababu Flexi hataki Amani ktk nchi yake

  • @charlesthomas9587
    @charlesthomas9587 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watu wanaandika ujingaujinga sana. Mnashangaa wanajeshi wa TZ kwenda CONGO, na mnasema vita ile haiwahusu. Hivi ni lini mtakuwa na akili nyie?

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kongo italindwa na wakongo wenyewe kama Kongo hawataweza haipaswi nchi nyingi kuingia na mitutu sidhani kama ndo watakuwa salama

  • @imanisaveri8921
    @imanisaveri8921 34 นาทีที่ผ่านมา

    Komaeni

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Na kueni makini upannde wa msumbiji jama anaingiza sílaha sana msumbiji

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    M23 hawajaanza Leo kutuulia askari wetu kifupi serikali zote za Africa mashariki na kusini mwa Africa wamchape kagame Moja Kwa Moja

    • @NepporSabith
      @NepporSabith 45 นาทีที่ผ่านมา +2

      Kumchapa KAGAME siyo solution,Bali mwenye solution ni RAIS wa CONGO mwenyewe aache UBAGUZI ,RUSHWA UKABIRA namambo kibao yakitawala yasiyo na usawa.

    • @NepporSabith
      @NepporSabith 43 นาทีที่ผ่านมา

      Kumchapa KAGAME siyo solution Bali mwenye solution ni RAIS wa CONGO naselikari yake ,waondokane na UBAGUZI RUSHWA UKABIRA namambo kibao yakitawala yasiyo na usawa

    • @bashayabenjamin-ot7xi
      @bashayabenjamin-ot7xi 16 นาทีที่ผ่านมา

      Kwanza M23 siyo Wanyarwanda wale ni Wakongo waliosahauliwa. Tanzania itoe jamaa zetu maana hivyo ni vita ya kikabila waliopo nchi moja ya Drc

  • @hopemwalemwale2100
    @hopemwalemwale2100 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    kwan walifata nn
    na rwanda haipo pekee yake mukiendelea chokochoko mutaisha kwel

  • @JustinaBalige
    @JustinaBalige 55 นาทีที่ผ่านมา

    Warudishwe wanajeshi wetu jamani..

  • @alimwalimu1127
    @alimwalimu1127 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hamna adabu watanzania..Mnalia nini hamana ujuzi wa vita nyinyi rudini nyumbani, Nyinyi ndio mshayaoga aisee

  • @Kwarasi
    @Kwarasi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huwezi kupona ukiwa unaachanisha ugomvi wa ndugu ambao wote wana hasira halafu wewe ukakae katikati eti achaneni msigombane, aiseee tuache ujinga tanzania tumejitakia kwa hiyo tusiwe na hasira tukajikuta badala ya kufuata kilichotupeleka tukaanza kulipiza kisasi.

  • @GodfreyFish
    @GodfreyFish 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Poleni mlio umia na shabulizi

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe acha uongo wanahudumu nini na niwafunga sahizi kwenye makambi

  • @shukurujeanpierre2034
    @shukurujeanpierre2034 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Sio wawibiri karibu batayo imekwisha

  • @PatrickRukumza
    @PatrickRukumza 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tumeni majina walio fariki uko congo .

  • @AmirAbbas-if8xe
    @AmirAbbas-if8xe 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ndugu zangu aceni vita haiwahusu mtaisha

  • @shebemakey2349
    @shebemakey2349 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hawawezi huo mtiti wambieni warudi nyumbani wapambane na maandamano ya chadema

  • @mawazopeter3484
    @mawazopeter3484 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hizi no siku za mwisho

  • @banajuliana758
    @banajuliana758 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hivi mmefata nini ?
    Amani si mlinde ya kwenu?
    Muache kuingilia wasio wa husu.
    Wakati tunauliwa na kuporwa mali zetu mlikua wapi?
    Mbona mtauliwa tu😊

    • @Mpawenayofabien
      @Mpawenayofabien ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Je Tanzania 🇹🇿 tukisumbuliwa msaada unategemea wapi ndugu yangu hizo nchi zipo kwenye mikataba ya kusaidiana jeshi la nchi flani linaposhindwa kumaliza mgogoro na ndo sadc

  • @hassanrashid-l3u
    @hassanrashid-l3u ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mi naona m23 wazidi tu kuwagonga askari wa tanzani mana wamejazana tu na vitambi vyao kaz hawafanyi

  • @DeograciasManariyo
    @DeograciasManariyo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    hakuna kusema kuusu 23 sasa wenyewe hawaoni?

  • @kashindijeanmarie6207
    @kashindijeanmarie6207 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwani wa najua vita kweli mana vita sio chips zege

    • @SijaonaYasiniMilanzi
      @SijaonaYasiniMilanzi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hiyo ndo njia ya kujifunza vita sasa unaweza kujuwa vita bila kupambana

    • @OmariChanja
      @OmariChanja ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@SijaonaYasiniMilanzikwa kuwa ww sio mwanajeshi ukiambiwa uwe mstari wa mbele utakubali?

  • @GerardMurenzi-p4l
    @GerardMurenzi-p4l 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hamna jeshi,toka Congo rudieni Tz,Sabasaba yene itabaki Goma.

    • @DaviaLeroi
      @DaviaLeroi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwani babako yuko huku ?acha unyarwanda wewe unataka kujifanya wa TZ

  • @AyubMuthee-r1l
    @AyubMuthee-r1l 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    It's vry had Tanzania army to defeat m23 is like a dream plz waruback kwao😂😂😂😂

  • @samelychesham3309
    @samelychesham3309 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakuna kitu nyie waongo

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Roho za watu zinateketea ndani ya ardhi ya congo kwa maslahi ya watu wachache wanajeshi wetu wanakufa na kuna watu wanajua chanzo cha mzozo na wanajua tukifanya hivi amani itapatikana bali kwakua wanataka kuchukua mali za wa congo kwa dhulma ndio maana hawawezi kufanya ipatikane amani Allaah atawalaani watu hao

    • @muj-c6p
      @muj-c6p 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      sasa tz inafanya nini Congo, ni pesa Samia na kikwete wanakula wanatumia jeshi la taifa wa tz amkeni

    • @ATANASMINDE
      @ATANASMINDE 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ni kweli ungekutaga vita imekwisha siku nyingi tuu😢

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Msifikiri M23 ni Idd Amini. Hao ni LEVO kubwa. JWTZ ina mafunzo ya kuipiga chadema TU, Vita hawaiwezi. Watakufa wengi tu. Kimbelbele kitawaponza. Vita haiwahusu halafu mnajichanganya.🤔🤔

    • @charlesthomas9587
      @charlesthomas9587 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unaandika kipumbavu sana!

    • @zushjef6529
      @zushjef6529 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Mwanaume kua muoga n mbaya sana

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Nipo na wewe

    • @OmariChanja
      @OmariChanja ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@zushjef6529we mwenyewe muoga kuandamana tu kwa ajili ya kudahi katiba mpya unakimbia vita na M23 utaweza ?
      M23 sio Iddi Amini wale, ni balaa nyingine kbs wana silaha za kisasa kwahy usichukulie pw kbs

    • @kkhalifairumba2932
      @kkhalifairumba2932 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ww ni kima tu haijui jwtz wamekomboa kusini mwa afrika sio hao m23 kajiunge na ww uwasaidie halafu uone itakuwaje fala ww

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    WAMEJIKANYAGA WATZ, KWANI Vita inawahusu au kimbelembele tuuuuu. Hapo mtakufa wengi siyo IDD AMINI hao.🤔

    • @MaryNalimi
      @MaryNalimi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Hivi wewe ni mtanzania au?

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Nawewe pia utakufa maana unaongea usichokijua mkimbizi wewe

    • @abdulsakibu
      @abdulsakibu 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Jifunze kwanza ni kwanini JWTZ ipo nchini congo lakini pia ujue kuna majeshi mengi tu yasiyo ya congo nchini kule

    • @DIEUMERCI123
      @DIEUMERCI123 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unasema ukweli kabisa 👍

    • @asifiwedeus4122
      @asifiwedeus4122 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Inawahusu maana baada ya kongo tz inakamatwa

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 40 นาทีที่ผ่านมา

    😢🇹🇿