WALIOIBA FEDHA ZA SERIKALI KUSOMEWA AL-BADIL, MFANYABIASHARA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WAZIRI MKUU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Hongera zako Baba yetu MH waziri mkuu kudhibiti wazurimaji wanaotutesa waache wizi wanatuumiza wavuja jasho WA nchi hii _ wakomishwe kbsaa !
Ukosawa nduguyetuu munguu akubarikii sanaaa
Baba mungu akubariki kuitetea tanzania
Maskani poleni sana Wafanya Biashara na Wafanya kazi mnaonewa na T. R. E kupewa Rushwa hii inauma sana lazima Serikali ichukuwe hatua
Dah huyu baba alikuwa anataka kulia
Jamaa kaongea point sana yaani genius, awa mawaziri wanacho jua wao ni kuiba tu, yule Waziri wa Biashara uozo mtupu, viongozi wetu Degree zao co za ubunifu, ziko kwa ajili ya kukandamiza watanzania na kuiba, viongozi wengi bogus
Nchi ya dhuluma sana hii😢😢😢😢 mwenyezi mungu awalaani kabisa mnavyo wadhulumu watu alafu mnaenda kuinjoyi na familie zenu. Mungu awalaani kabisa
Daaah jamaa kaumia mno 😮😮😮
ismail masoud kamaliza 😁😁😁😁
Jamani kuna watu wana uchungu na nchi yao...watu wamejaa maumivu!! Huyu ameamua kujilipua liwalo na liwe!! Kajitoa muhanga...
Masudi umeweza Sana.
Yap good safi mzee
Pole Sana Wanya biashara.
Yaani ushuru wa vitenge kontena futi 40, kenya ushuru M 45, Zambia M 24, Tanzania M 400 na Nnchi ina Bandari, yaani hii Nnchi ya ajabu sana, na izo ela wanazila tu,Kina mwigulu wala rushwa
Aibu sana
kula chuma hicho kutoka #tanga😁😁😁😁
Sijui mbwayi
Mimi namuelewaga sana mheshimiwa Majaliwa, ni mtetezi wa wanyonge na sio kiongozi mkalia kiti ofisini akipulizwa na kiyoyozi..
Mama Samia hakukosea kumuacha ktk nafasi yake, na natamani baada ya mama kumaliza muda wake ampe kijiti Mhshmw Majaliwa...ni kiongozi bora anaiweza hii nchi
Mtanga mwenzangu umeamua kujilipua kabisa
Elimu haitumiki vizuri
👊🙏 mzee kaupiga mwingi mno
Mwigulu mungu mtu!!
Watu ni vichwa hata sio viongozi wala nini dadeki
Sema baba tumechoka
Tanga oyeeee
Maskn baba wawatu anauchungu bora kuyasomea majizi yote
Jamaa apewe maua yake
Hakika
Maguli alipanda ujasili katika mioyo yetu ila mwingulu sio mtu mzuri Mimi sijui huyu jamaa mwingulu anapendewa nini
Ni Freemason ndomana anapendwa ,
Mwambie ajielewi tai kama mganga wa kienyeji
Nguvu za viume🤣🤣🤣ctaki mtu aguse comment yng
Masudi wa tanga , all facts .
Tanga wana kiongozi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂
Mvueni uaziri
Wafanyabiashara ni wasomi kuliko wasomi wa mchongo
Atasoma albadiri Tanga😂😂machungu mzee wa watu
😂😂😂
Msambaa kachalukwa
Mwamba kachefukwa
Albadiri
Hayo ndio matokeo ya kuingia kwenye uongozi bila kuchaguliwa na wananchi.
Yap good safi mzee
Mtanga mwenzangu umeamua kujilipua kabisa
Msambaa kachalukwa