PADRE AMIGU ANENA HAYA KUHUSU MIUJIZA|TUJIEPUSHE NA KUPENDA MIUJIZA MAANA NI MTEGO WA KIROHO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2021
- -Homilia imeletwa Kwako Na Padre Titus Amigu Wa Jimbo Katoliki La Lindi anayefanya utume wake Chuo Kikuu Cha Mt.Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki La Mwanza.
-Picha Ya Video Kwa Hisani Na Ukurasa wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC)
www.radiomaraia.co.tz
Mungu wa mbinguni akulinde na kukujalia moyo wa upendo kwetu kwa mafundisho yoko
Padre Amigu Mungu mwenyezi akutimizie hitaji la moyo wako. Nazipenda Sana homilia zako
Asante sana baba napenda sana mafundisho yako huwa sichok kabisa kukaa na kukuskiliza nataman kipind kisiishe nikae nikuskilize tuu barikiwa mno zid kutufundisha baba tumsifu Yesu kristo
Baba nakupenda sana karibu Tena Ukonga
Tunakushukuru sana Padri
Mungu akubariki baba.
Nampenda sana huyu mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yake,,sometimes huwa nachekaga mwenyewe tu..hasa kile kipindi chake kwa Radio Maria. May God bless him.
Asante sana kwa mafundisho fasaha. Najivunia sana kuwa Mkatoliki
Hongera Sana fr
Amina baba
Asante baba Pd Amigu kwa mafundisho. Ni kweli watu was sikuelewi iz wapenda miujiza kuliko kuelewa ndo maana leo utashangaa maprotestant kuchipuka ka uyoga. Tudum ktk imani
Asante sana Mwalimu Padre Titus Amigu. Mungu atubariki wote.
Nikisema yoote hayatoshi vile navohusudu na kupenda mafundisho yako,,,zaidi Mungu akutunze Baba uendelee kututoa giza,,,
Amina
Asante sana babs nakukubali m mafundisho yako
Asante kwa mafundisho yako. Sisi wakatoliki tunajivunia sana kwa ajili yako Pd. Titus Amigu. Mungu akulinde siku zote za maisha yako. Ubarikiwe sana.
AMINA BABA PADRE
NAKUPENDA KATIKA IMANI NA KATIKA KRISTO YESU
Najivunia sana baba yangu huyu. Mungu akubariki sana Pd. Amigu jalimu wangu
Fr TitusAmigu nampenda Sana kwa mafundisho Kama ya Fr. Faustine Kamugisha paroko was minziro bukoba
Sauti ya kinabii. Ubarikiwe sana kwa mafundisho yako. Mazuri sana yanatujenga kiimani 🙏🙏
Mafundisho mazuri ubarikiwe baba padre
Ahsante baba
Mechi za leo
Ahsante kwa kutufundisha mwenye masikio na asikie asikubali kudanganywa
Kanisa Lina madini hili ugumu upo kwenye kuyatafuta madini yapo wapi..Asante kuhani barikiwa
Tuleleeni wachungaji wetu kwenye misingi imara kama ya Baba huyu. Ndio dawa pekee ya uasi na mafundisho feki ya dunia ya kileo
Ng'ing'i au numbu hazishibishi hahhaha