Tafakari Nzito Juu ya Maisha ya Padre Pio, Pd. Patris Aelezea kwa Uchungu Kusudi la Mungu Kwetu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
MUNGU MWENYEZI MUUMBA Mbingu na Nchi Akubariki Akulinde kwa DAMU ya Thamani ya Agano Jipya.
Ni Jambo ambalo nilikuwa ninalitafuta sana kwa Mapadri wa Kanisa Katoliki kwa ajili ya Kuwavusha Waumini Wake.
Asante sana baba padre kwa homilia nzuri,binafsi nmebarikiwa sana.
Asante sana baba kwa kutufundisha kuhu madhara ya madhabahu, ubarikiwe sana mungu akupe afya ya roho na mwiri.
Umenipa maarifa mengi ya kujitambua kupitia mahubiri yako Fr.Patris.Mungu akubariki sana.Mt.Padre Pio utuombee.
Baba Patrise hongera kwa wito na mafundisho yako.Nimejiona kama nimezaliwa upya.
oooh my God. I am proud Catholic
Mungu akubariki sana Baba padre.
Mungu akutunze baba padre ,,how a young man can deliver a strong msg like this,be blessed baba padre
God has shown the uniqueness in him. Be blessed always Father Patris🙏🙏🙏
Mungu azidi kukuinua Fr. Natamani uje parokiani kwetu mbweni mpiji DSM
Ahsante sana sana sana Baba Padre
Amina....Fr. Patris ubarikiwe kwa mafundisho na ujembe mzuri
Asante kwa tafakari Baba Padre, Mungu akutunze.. Mt.Padre Pio,utuombee 🙏
Amen Amen thank you Padre for the enlightment. Wow ! St. Padre Pio pray for us
Asante sana baba padre( PATRIS )kwakuturisha neno la mungu nimebarikiwa sana 🙏
Asante Sana Padre kwa mafundisho mazuri,Mungu azidi kukubariki
Amina baba Mungu akutunze
Mungu akubariki sana Pd. Paris kwa mafundisho bora sana. Pd. Pio Utuombee
Padre Pio Utuombee 🤲🏻🙏
Asante sana Fr Uiso kwa chakula cha roho. Unanikumbusha mbali sana tulivyokuwa tunasoma falsafa pale Morogoro
Asante Fr kwa content ambayo iko very unique Mungu aendelee kukubariki
Waaaoh Mafundisho mazuri.. natamani kupata mwendelezo wake..
Nakushukuru sana Padre Ndemasi! Mungu akubariki kwa neno hili na Mungu anisaidie kufahamu kusudio langu maishani🙏🛐
Asante sana baba Patrice,nimebarikiwa sana na tafakari yako,hususani kuhusu kujua kusudio la Mungu kwa kila mmoja wetu
Mungu ni mwema sana, I was longing to hear from catholic for so long. Una maarifa na karama kuu. Mungu akulinde ili uendelee kuponya roho za waamini kwa kuwapa maarifa ambayo waamini ndio wanayatafuta huko nje
God is good,
God bless you
Amina sana father Mungu akubaliki mpaka uchangae.
Amina Fr🙏🙏🙏 MUNGU AKUBARIKI SANA KWA MAHUBIRI MAZURI.FR PIO NI MFANO WA KUIGWA .
Praise be to Jesus.May the Holy Spirit guide us to know what we were called for. Thank you Fr. Patris for your encouraging homily.
From Kenya
Barikiwa Sana Baba Padri
Ahsante sana Padre patris
I couldn’t blink my eye!! Powerful ! God bless you abundantly! I pray that I visit Tegeta Nyuki parish🙏🙏🛐
Padre Uiso nimesoma naye shule ya Sekondari Umbwe, alinitangulia vidato vitatu. Nafurahi kumwona akiwa na haiba ileile. Mungu ni mwema. 🙏🏼
Asante sana baba tumejifunza kwakweli. Mungu akutunze
Ni jambo jema kwa kila mtu kutambua kusudi la Mungu kwake,asante baba kutukumbusha
Asante Sana padre
Baba ubarikiwe
Oooooh My God 🙏🙏🙏Mungu akutunze daima Padre wangu,nmetamani usimalize kuhubur
Barikiwa sana Pd. Patris nimejifunza kitu.
Nilikuwa huko wiki iliyopita,kwa padre pio,kweli kuna maajabu sana.
🙏🔥🔥🔥🔥Mungu akutunze father, nimebarikiwa sana sana sana namafundisho haya
Barikiwa sana
Asant sana mutumishi wa Yezu, mafunzo yako imenisaidia sana Mungu akupariki muzazi wetu wakanisa yetu%%.
Tumemupata muzuri padre muzazi mukanisa yetu kutoka Kinshaza Congo 😝
Wawoo! Asante kwa mahubiri manzuri,, God Bless you
Ndiyo Fr KWAJINA LA YESU NA DAMU YA YESU TUNAWEZA.MUNGU ÑI MWAMINIFU.
Yesu apewe sifa!
Hakika ndani mwako Mungu ameweka zawadi nzuri sana.Kipaji cha kuhubiri ni kikubwa na hata nguvu ya uponyaji ni kubwa sana.Mungu azidi kukubariki uendelee kuinjilisha.Nimejifunza mengi sana.
Amina baba mungu adumishe utume alioweka ndani mwako
Sisi wakatoliki huwa hatutafakari Biblia Bali tunapenda sana kitafakari watakatifu mtu unaweza kuta anajua Mt flani na mara nyingi yuko naye,mara nyingi ukimfuatilia unakuta huyu mtu ana maumivu ya ndani maana hamjui Mungu anajua watakatifu hata mstari mmoja kwenye Biblia hajui lakini watakatifu usiseme
@@theresiamateru6426 watu wa namna hiyo ni wale wasioyaelewa mafundisho ya kanisa. Kanisa alihimizi kukariri tu watakatifu, bali kujua mema waliyotenda na kuiga, watakatifu kwetu ni mifano (role models)ya mema ya Mungu waliyofanya wakati wao ili nasi tuige kutenda hayo kwa wakati huu na huwezi kuwajua watakatifu pasipo kwenda sambamba na neno la Mungu kutoka kwenye biblia. Unaona hata pd Patris hapo anamtumia mt Padre Pio kama mfano wa kuigwa katika kutafuta kusudi la Mungu katika kuubwa kwetu na anaelezea maisha ya pd Pio akitumia mistari ya biblia pia. Kwahiyo ni muhimu kuwajua watakatifu kupitia mafundisho ya biblia.
mungu mwema sanaa asante kwa mahubiri mazuri mt pio utuombee
You show committiments good
Baba barikiwa sana
My father God bless you to sms
Amina baba,you are so blessed kwakweli homily inaponya mioyo
Honger sana
Thank father
Ameniumba Kwa jinsi ya ajabu
May the lord continue to empower u so that u may continue blessing us. I'm really blessed by this message. Watching from Kenya
MAY GOD BLESS YOU DEAR
Kwa kweli Parokia ya Baruti tumepata neema kuwa paroko Baba Ndemasi
Amina
Amina Baba asante kwa chakula cha Roho...binafsi naomba namba yako baba kwa maombezi zaidi
Nakuona fr
Mungu nisaidie nijue ulichoweka ndani yangu barikiwa pd Patrick
Amina 🙏🙏 Mungu nisaidia niweze kusali kama Mt pio
Proudly rc🙏🙏
Let us rediscover ourselves. you are Blesses and you bless us even more.
Ubarikiwe sana Father❤🙏
God bless u Fr
Amina baba
Amen Fr
Nimepata kitu
Naomba contacts padre
Mapadre km wewe ndani ya kanisa katoliki ni wachache sana unapatikana wapi father
Padri patrice yupo parokia gani
Kunduchi.
Amina