Tafakari Nzito Juu ya Maisha ya Padre Pio, Pd. Patris Aelezea kwa Uchungu Kusudi la Mungu Kwetu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

ความคิดเห็น • 79

  • @agnesedward5694
    @agnesedward5694 ปีที่แล้ว +3

    MUNGU MWENYEZI MUUMBA Mbingu na Nchi Akubariki Akulinde kwa DAMU ya Thamani ya Agano Jipya.
    Ni Jambo ambalo nilikuwa ninalitafuta sana kwa Mapadri wa Kanisa Katoliki kwa ajili ya Kuwavusha Waumini Wake.

  • @frankluswaga
    @frankluswaga ปีที่แล้ว +1

    Asante sana baba padre kwa homilia nzuri,binafsi nmebarikiwa sana.

  • @GraceMganga
    @GraceMganga 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana baba kwa kutufundisha kuhu madhara ya madhabahu, ubarikiwe sana mungu akupe afya ya roho na mwiri.

  • @fellytemba9064
    @fellytemba9064 ปีที่แล้ว +4

    Umenipa maarifa mengi ya kujitambua kupitia mahubiri yako Fr.Patris.Mungu akubariki sana.Mt.Padre Pio utuombee.

  • @egidymaliga6209
    @egidymaliga6209 3 หลายเดือนก่อน

    Baba Patrise hongera kwa wito na mafundisho yako.Nimejiona kama nimezaliwa upya.

  • @honorinaverani1057
    @honorinaverani1057 ปีที่แล้ว +2

    oooh my God. I am proud Catholic
    Mungu akubariki sana Baba padre.

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akutunze baba padre ,,how a young man can deliver a strong msg like this,be blessed baba padre

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 ปีที่แล้ว +1

      God has shown the uniqueness in him. Be blessed always Father Patris🙏🙏🙏

  • @patrickntalasha3956
    @patrickntalasha3956 ปีที่แล้ว +2

    Mungu azidi kukuinua Fr. Natamani uje parokiani kwetu mbweni mpiji DSM

  • @josephissob2076
    @josephissob2076 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana sana sana Baba Padre

  • @juliusmichael6191
    @juliusmichael6191 ปีที่แล้ว +2

    Amina....Fr. Patris ubarikiwe kwa mafundisho na ujembe mzuri

  • @idachristopher8592
    @idachristopher8592 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa tafakari Baba Padre, Mungu akutunze.. Mt.Padre Pio,utuombee 🙏

  • @emmaachiengradonji6336
    @emmaachiengradonji6336 ปีที่แล้ว +5

    Amen Amen thank you Padre for the enlightment. Wow ! St. Padre Pio pray for us

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana baba padre( PATRIS )kwakuturisha neno la mungu nimebarikiwa sana 🙏

  • @lucymwasu2615
    @lucymwasu2615 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Padre kwa mafundisho mazuri,Mungu azidi kukubariki

  • @user-fo3fh8ll8x
    @user-fo3fh8ll8x 11 หลายเดือนก่อน

    Amina baba Mungu akutunze

  • @revocatusfabian7399
    @revocatusfabian7399 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana Pd. Paris kwa mafundisho bora sana. Pd. Pio Utuombee

  • @juliusmichael6191
    @juliusmichael6191 ปีที่แล้ว +2

    Padre Pio Utuombee 🤲🏻🙏

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana Fr Uiso kwa chakula cha roho. Unanikumbusha mbali sana tulivyokuwa tunasoma falsafa pale Morogoro

  • @annanjau6716
    @annanjau6716 ปีที่แล้ว +3

    Asante Fr kwa content ambayo iko very unique Mungu aendelee kukubariki

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent9403 ปีที่แล้ว +2

    Waaaoh Mafundisho mazuri.. natamani kupata mwendelezo wake..

  • @assumptamassoi4134
    @assumptamassoi4134 ปีที่แล้ว

    Nakushukuru sana Padre Ndemasi! Mungu akubariki kwa neno hili na Mungu anisaidie kufahamu kusudio langu maishani🙏🛐

  • @isaackisahali8743
    @isaackisahali8743 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana baba Patrice,nimebarikiwa sana na tafakari yako,hususani kuhusu kujua kusudio la Mungu kwa kila mmoja wetu

  • @rosetemba9858
    @rosetemba9858 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema sana, I was longing to hear from catholic for so long. Una maarifa na karama kuu. Mungu akulinde ili uendelee kuponya roho za waamini kwa kuwapa maarifa ambayo waamini ndio wanayatafuta huko nje

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 ปีที่แล้ว +2

    Amina sana father Mungu akubaliki mpaka uchangae.

  • @yolandaliyoya1839
    @yolandaliyoya1839 ปีที่แล้ว +1

    Amina Fr🙏🙏🙏 MUNGU AKUBARIKI SANA KWA MAHUBIRI MAZURI.FR PIO NI MFANO WA KUIGWA .

  • @jeanm.2973
    @jeanm.2973 ปีที่แล้ว +3

    Praise be to Jesus.May the Holy Spirit guide us to know what we were called for. Thank you Fr. Patris for your encouraging homily.
    From Kenya

  • @assumptamassoi4134
    @assumptamassoi4134 ปีที่แล้ว +1

    I couldn’t blink my eye!! Powerful ! God bless you abundantly! I pray that I visit Tegeta Nyuki parish🙏🙏🛐

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 ปีที่แล้ว

    Padre Uiso nimesoma naye shule ya Sekondari Umbwe, alinitangulia vidato vitatu. Nafurahi kumwona akiwa na haiba ileile. Mungu ni mwema. 🙏🏼

  • @elizabethshayo733
    @elizabethshayo733 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana baba tumejifunza kwakweli. Mungu akutunze

  • @faustanyambuli2813
    @faustanyambuli2813 ปีที่แล้ว +1

    Ni jambo jema kwa kila mtu kutambua kusudi la Mungu kwake,asante baba kutukumbusha

  • @zakayoelias9532
    @zakayoelias9532 6 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana padre

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 ปีที่แล้ว

    Baba ubarikiwe

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 ปีที่แล้ว +1

    Oooooh My God 🙏🙏🙏Mungu akutunze daima Padre wangu,nmetamani usimalize kuhubur

  • @joycemrosso1896
    @joycemrosso1896 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Pd. Patris nimejifunza kitu.

  • @lucianotodeschini
    @lucianotodeschini 6 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwa huko wiki iliyopita,kwa padre pio,kweli kuna maajabu sana.

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 ปีที่แล้ว +2

    🙏🔥🔥🔥🔥Mungu akutunze father, nimebarikiwa sana sana sana namafundisho haya

  • @poncegk5263
    @poncegk5263 5 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana

  • @maniratungageorge6797
    @maniratungageorge6797 ปีที่แล้ว

    Asant sana mutumishi wa Yezu, mafunzo yako imenisaidia sana Mungu akupariki muzazi wetu wakanisa yetu%%.

    • @edwinelias8554
      @edwinelias8554 ปีที่แล้ว

      Tumemupata muzuri padre muzazi mukanisa yetu kutoka Kinshaza Congo 😝

  • @racheljohn7185
    @racheljohn7185 ปีที่แล้ว

    Wawoo! Asante kwa mahubiri manzuri,, God Bless you

  • @yolandaliyoya1839
    @yolandaliyoya1839 ปีที่แล้ว +2

    Ndiyo Fr KWAJINA LA YESU NA DAMU YA YESU TUNAWEZA.MUNGU ÑI MWAMINIFU.

    • @tegemeajustice2602
      @tegemeajustice2602 ปีที่แล้ว

      Yesu apewe sifa!

    • @fellytemba9064
      @fellytemba9064 ปีที่แล้ว +1

      Hakika ndani mwako Mungu ameweka zawadi nzuri sana.Kipaji cha kuhubiri ni kikubwa na hata nguvu ya uponyaji ni kubwa sana.Mungu azidi kukubariki uendelee kuinjilisha.Nimejifunza mengi sana.

    • @lucylucyan5947
      @lucylucyan5947 ปีที่แล้ว

      Amina baba mungu adumishe utume alioweka ndani mwako

    • @theresiamateru6426
      @theresiamateru6426 ปีที่แล้ว

      Sisi wakatoliki huwa hatutafakari Biblia Bali tunapenda sana kitafakari watakatifu mtu unaweza kuta anajua Mt flani na mara nyingi yuko naye,mara nyingi ukimfuatilia unakuta huyu mtu ana maumivu ya ndani maana hamjui Mungu anajua watakatifu hata mstari mmoja kwenye Biblia hajui lakini watakatifu usiseme

    • @venancemsigala1701
      @venancemsigala1701 ปีที่แล้ว +1

      @@theresiamateru6426 watu wa namna hiyo ni wale wasioyaelewa mafundisho ya kanisa. Kanisa alihimizi kukariri tu watakatifu, bali kujua mema waliyotenda na kuiga, watakatifu kwetu ni mifano (role models)ya mema ya Mungu waliyofanya wakati wao ili nasi tuige kutenda hayo kwa wakati huu na huwezi kuwajua watakatifu pasipo kwenda sambamba na neno la Mungu kutoka kwenye biblia. Unaona hata pd Patris hapo anamtumia mt Padre Pio kama mfano wa kuigwa katika kutafuta kusudi la Mungu katika kuubwa kwetu na anaelezea maisha ya pd Pio akitumia mistari ya biblia pia. Kwahiyo ni muhimu kuwajua watakatifu kupitia mafundisho ya biblia.

  • @petromalimi6667
    @petromalimi6667 ปีที่แล้ว +1

    mungu mwema sanaa asante kwa mahubiri mazuri mt pio utuombee

  • @sospetermpuya8217
    @sospetermpuya8217 ปีที่แล้ว +1

    You show committiments good

  • @agnesmanonga3084
    @agnesmanonga3084 ปีที่แล้ว +1

    Baba barikiwa sana

  • @mcparoko6186
    @mcparoko6186 ปีที่แล้ว +1

    My father God bless you to sms

  • @olivaellahenordm1742
    @olivaellahenordm1742 ปีที่แล้ว +1

    Amina baba,you are so blessed kwakweli homily inaponya mioyo

  • @geraldtadeo4819
    @geraldtadeo4819 ปีที่แล้ว +1

    Honger sana

  • @polycarpedward-oo3iy
    @polycarpedward-oo3iy ปีที่แล้ว

    Thank father

  • @ekahensa
    @ekahensa ปีที่แล้ว +1

    Ameniumba Kwa jinsi ya ajabu

  • @winjoymakena2864
    @winjoymakena2864 ปีที่แล้ว +1

    May the lord continue to empower u so that u may continue blessing us. I'm really blessed by this message. Watching from Kenya

  • @paskalinakilave4795
    @paskalinakilave4795 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli Parokia ya Baruti tumepata neema kuwa paroko Baba Ndemasi

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @frankzulu5901
    @frankzulu5901 ปีที่แล้ว +1

    Amina Baba asante kwa chakula cha Roho...binafsi naomba namba yako baba kwa maombezi zaidi

  • @igulampoki6312
    @igulampoki6312 ปีที่แล้ว +1

    Mungu nisaidie nijue ulichoweka ndani yangu barikiwa pd Patrick

    • @mariselaraulent3687
      @mariselaraulent3687 ปีที่แล้ว

      Amina 🙏🙏 Mungu nisaidia niweze kusali kama Mt pio

  • @ibrahimkatonkola1144
    @ibrahimkatonkola1144 ปีที่แล้ว +1

    Proudly rc🙏🙏

  • @upendoj
    @upendoj ปีที่แล้ว

    Let us rediscover ourselves. you are Blesses and you bless us even more.

  • @dativambaga6206
    @dativambaga6206 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana Father❤🙏

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 ปีที่แล้ว

    God bless u Fr

  • @michaelmagembe5069
    @michaelmagembe5069 ปีที่แล้ว +1

    Amina baba

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 ปีที่แล้ว

    Amen Fr

  • @melkizedeckminja9322
    @melkizedeckminja9322 ปีที่แล้ว +2

    Nimepata kitu

  • @josephinemaina1536
    @josephinemaina1536 ปีที่แล้ว

    Naomba contacts padre

  • @user-fj5dy9hh5v
    @user-fj5dy9hh5v 2 หลายเดือนก่อน

    Mapadre km wewe ndani ya kanisa katoliki ni wachache sana unapatikana wapi father

  • @petertarimo5819
    @petertarimo5819 ปีที่แล้ว

    Padri patrice yupo parokia gani

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว +1

    Amina