ALIYEMUALIKA UPENDO NKONE KUIMBA AWATUKANA WACHUNGAJI | SIKIA MATUSI YAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 280

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile หลายเดือนก่อน

    Nampenda dada Upendo Nkone sijajua kilichotokea ninachokijua Injili ni kwa watu wote. Mungu atusaidie.

  • @RobertBitambaOfficial
    @RobertBitambaOfficial 3 หลายเดือนก่อน +22

    Kauli Zako zinaonyesha unamtumikia mungu wa baari
    Hatuimbii mtu yeyote

  • @HannahRichard-ru3rj
    @HannahRichard-ru3rj 3 หลายเดือนก่อน +16

    My people perish because of lack of knowledge mwenye macho na aonee mwenye masikio na asikie Thank you LORD JESUS your worthy to be praise ❤

    • @fettykange437
      @fettykange437 2 หลายเดือนก่อน +1

      Real true,..real sad I pray to God open their spiritual eyes so that the can see

    • @HannahRichard-ru3rj
      @HannahRichard-ru3rj 2 หลายเดือนก่อน

      @@fettykange437 By their fruits you will know them.

    • @fettykange437
      @fettykange437 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@HannahRichard-ru3rj oh yes

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 หลายเดือนก่อน

      Ohh 😂

  • @KanteMathias
    @KanteMathias 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yupo Mungu wetu na yesu wetu wa majeshi anakuweza dk mbili tuuu habari zako kwishq

  • @AnnaKabuni
    @AnnaKabuni 2 หลายเดือนก่อน +3

    Unawasaidia huku ukiwaita maskini mbwa takataka😂😂😂 MUNGU akurehemu broo

  • @PeterClaude-ym2nw
    @PeterClaude-ym2nw 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kaka yanguuu nakupenda katka jina la BWANA YESUU utajuta usipo tubu nakuacha kwa maana kuzimu na jehanamu na mbingu ni halisi

  • @BarakaMajura-m9v
    @BarakaMajura-m9v 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe pepo wa kuzimu ushindwe kwa jina la YESU

  • @PROSPERFRED
    @PROSPERFRED 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umeona wanapenda wali sana au😂😂😂😂

  • @deniskilumile612
    @deniskilumile612 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wa mbinguni atakupa hukumu ..hakunaga siri .mwenendo wako ni wà kuabudu miungu wengine..misaada inatumiwa sana kuwavuta watu motoni..hata samaki anaswaye kwa mtego wa chambo ni yule mwenye njaa..

  • @CharlesJumanne-zh4oz
    @CharlesJumanne-zh4oz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe kaa sawasawa,hatuna shida kushindana na wewe,Bwana akisimama,wewe na mungu[shetani] wako hamna cha kufanya,kujua biblia siyo kuwa na Mungu,hata shetani anijua sana tu,huenda kuliko viumbe wote,Bwana akukemee

  • @maryr4033
    @maryr4033 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo umedanganya Yesu yupo uchawi upo!!

  • @juvenalyfratherne8696
    @juvenalyfratherne8696 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna anae jiita kakangu... waala kusoma chuo cha bibilia sio kigezo cha kuongozwa na Roho Mt. Hvyo usipotoshe umma .. uchawi upo na ufree manson upo .. usiwavute watu kwa ujanja wako

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe hutatua shida au mungu ndio msaada wa watu mbona kwa maneno yako unaonyesha kibuli sana jamani umekwisha kabisa

  • @BarikiSeif-f1w
    @BarikiSeif-f1w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na hayo mapete

  • @drdd774
    @drdd774 3 หลายเดือนก่อน +7

    Jinga sana vevee😮😮

  • @brownsebastianmwibi5647
    @brownsebastianmwibi5647 3 หลายเดือนก่อน +9

    Kijana anatapatapa sana😂😂😂

  • @jamesrobare522
    @jamesrobare522 2 หลายเดือนก่อน +6

    Acha upumbavu,Mungu hachangamani na shetani hata siku moja,ulichofanya ulimuingiza upendo mkenge bila yeye kujua.

    • @erickAfricatz
      @erickAfricatz 2 หลายเดือนก่อน

      Tuliza kitako ..... Injili ni mahali popote walipo popote ulipo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 หลายเดือนก่อน

    Alikuwa haijui upendo nkone.na alivotengeneza Mungu atamsamehe

  • @lydiajoseph2571
    @lydiajoseph2571 3 หลายเดือนก่อน +10

    Unasema watu wanapewa hofu makanisani Kwa kiambiwa Kuna KUZIM, Sio kupewa hofu watu wanaambiwa ukweli ili wajiandae na maisha baada ya kifo, maana kweli KUZIM IPO na MBINGU ipo, hivyo ni lazima watu waambie ukweli ili wafanye uchaguzi mzuri. Na Kwa sababu ya KUZIM kuwepo ndio maana YESU alikuja duniani kuonuesha njia ya kuepukana na KUZIM. Na hii ndio injili watu watubu dhambi Kwa maana ufalme wa MUNGU umekalibia sasa .

    • @aidanikasembe8191
      @aidanikasembe8191 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna maisha baada ya kifo wazungu wamewadanganya maisha ndio hayahaya

    • @lydiajoseph2571
      @lydiajoseph2571 3 หลายเดือนก่อน

      @@aidanikasembe8191 Watu wengine ni mapepo in form of human being so sishangai Kwa hichi unachokisema. Neno la MUNGU ni kweli na niamini na ndilo litakalo Kuja kutuhukum.

    • @p.phareskalalu5924
      @p.phareskalalu5924 2 หลายเดือนก่อน

      Hapana kwenye maneno ya kuogofia mana tunatakiwa kuka mshukuru mungu na uimba kwa shangwe

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 หลายเดือนก่อน +1

      Baadae ya kifo Kuna maisha lakini hayo maisha ni ya kwenye paradiso ya mungu na shetan hatikuwepo tena atahukumiwa miaka miamoja hatokuwa na nafasi tena kwenye watakatifu lakin atakuwa na nafasi kwa waovu maan bibilia umeandika shetani atapewa waovu hao awatawale tena Kisha jehanamu milele kwa tutubu kabla ya paradiso ya bwana😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kwa aliyenielewa like kwa asiyenielewa ataelew siku ya kiama

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 หลายเดือนก่อน +1

      Soma kitabu Cha ufunuo utafunuliwa 🎉🎉

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jidanganye YESU ni mkuu kuliko wewe na atakugusa , kwanza mchungaji gan mwenye pete tatu

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie Mshawazoea Wachungaji Wenu Matapeli Ndio Mana Mnamuona Free Mason Huyu😂😂😂

    • @RahelSalumu-pm9qx
      @RahelSalumu-pm9qx 2 หลายเดือนก่อน

      @@officiallnobystar mchungaji wangu huniombea hata kama sina mia, kuhusu utapeli haunihihsu nachojali n kumwamini YESU ambaye , anasema mmepewa Bure toeni Bure, sijawahi kuongozwa na pastor tapeli

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 3 หลายเดือนก่อน +9

    Anaye paswa kuimbiwa ni Mungu tu basi,awaimbie wale kwa sababu gani, upendo nkone ni mwanamke anaye jielewa sana ndio maana ameomba msamaha na biblia inasema lifungwalo duniani na mbinguni limefungwa na linalo funguliwa duniani na mbinguni limefunguliwa. Mungu ampe neema upendo nkone na msamaha wake aukubali,,

    • @p.phareskalalu5924
      @p.phareskalalu5924 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe na upendo nimandondocha mana hanaye staili kuhobwa msamaha ni mungu sio mwanadamu jinga wewe na walio kufundisha

    • @jamesloshilunye414
      @jamesloshilunye414 2 หลายเดือนก่อน

      @@p.phareskalalu5924 biblia inasema "na jua lisizame mkiwa na utofauti na ndugu yako au jirani yako". Unafahamu hilo??? Ndondocha ni wewe unaye tukuza ushirikina unao fanyika waziwazi. Sisi na upendo tunamtukuza kristo pekee

    • @PeterGabriel-vm5yy
      @PeterGabriel-vm5yy 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@p.phareskalalu5924 unasoma biblia kweli wewe?

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 3 หลายเดือนก่อน +11

    ACHA DHARAU WEWE UTAKUFA VIBAYA SANA WATU WANAIJUA DINI KULIKO WEWE HUIJUI KESHO YAKE

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 3 หลายเดือนก่อน +7

    Manabii na wachungaji wa kweli hawashambulii huduma za Kiroho au kijamii. Hata.mimi sikubali kimshambulia mkone kwa hilo. Ni ubinafsi.

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 3 หลายเดือนก่อน +4

    Chief Godlove " Ngoma ikilia sana"

    • @DainaNgonda
      @DainaNgonda 3 หลายเดือนก่อน

      Mapokeo ya umaarufu ni mtihani mkubwa sana

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 3 หลายเดือนก่อน

    Wachungaji wamezidi jmn pole kaka mungu akubariki kwa kuwakumbuka wajane na yatima ila naomba sana kuna mjane mmoja yuko machimbo mwisho wa lami buza haoni anasukali pursha mungu akuguse siku mmoja tu umutembelee na ubarikiwe sana

  • @thomasmartine3453
    @thomasmartine3453 2 หลายเดือนก่อน

    Ila mnamuinea upendo kwasababu kaimba nyimbo za kumtukuza MUNGU siyo shetani kwahyo alifaa kushukiriwa kwani ameenda kumuimbia mungu wake kule alikokuwa anapingwa kama mnavyo dhani sasa tatizo lipo wapi nyie mmeshindwa kwenda kukemea yeye kaenda kumtukuza MUNGU pale pale sasa shobo za nini

  • @RobertMshana-l5u
    @RobertMshana-l5u 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli na hata waliokula mchele wanatakiwa wautapika na watubu

  • @HappynesNickson
    @HappynesNickson 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yani ww jaman watu wa Mungu wapinga kristo wameshaingia kama huyu kaka Mungu amusamehe san lakn ipo siku utakuja kujua Huyu Mungu tunaemwabudu ni nani

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hakuna anayekugusa kivipi tena, kwani ukuhani ni kutaka atakavyo mtu au ni neema aitoayo Kristo, Braza unavuka mipaka.

    • @GeraldMyuku
      @GeraldMyuku 2 หลายเดือนก่อน

      Hatafika popote maana anachukua mpaka nafasi ya Mungu atakufa vibaya.. ndo hao akina nabii Tito Leo wako wapi

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani nani aliemsema Pendo kafanya kosa ? Uchawi upo frimason wapo kuimbia mayatima SIo kosa pia Sijui mmechafuana wapi ? Kuhudumia wajane pia ni huduma ya Mungu

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mpuuzi wa kupuzwa tu toka uwezo na wako unadha cheti ni ndio alama ya kuwa wewe ni wa Mungu hata shetani ana cheti

  • @Jerryminenewtony-fc5cp
    @Jerryminenewtony-fc5cp 2 หลายเดือนก่อน

    Yeremia 9:23.1 wakorintho 1:25-31.

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 2 หลายเดือนก่อน

    Elewa watanzania hawajasoma ..kenya hzo ni kawaida

  • @MissGee-ro6ej
    @MissGee-ro6ej 2 หลายเดือนก่อน +2

    Toka lini mwanaume akavaa cheni tena mtumishi wa Mungu! Mshindwe kwa jina la Yesu.

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 2 หลายเดือนก่อน

      Hao ndo wa kwenda kijionesha 2 kanisani ukiingia mtaani mambo yao utashangaabmno🎉🎉🎉 ubaya ubwela

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 3 หลายเดือนก่อน +7

    Biblia inasema hivi YAKOBO 1:27
    '' Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa 2 หลายเดือนก่อน

      Wajane wepi na yatima wepi kibibilia? Yesu aliwaambia wanafunzi wake, sintawaacha yatima. Kwahiyo jua maana ya yatima.

    • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
      @NATACIARAPHAEL-iz8kr 2 หลายเดือนก่อน

      Hata shetani huwa anajitia Malaika wa Nuru

  • @PatrickTarimo-f6d
    @PatrickTarimo-f6d 2 หลายเดือนก่อน

    Saidia wenye uhitaji

  • @LucyOgego
    @LucyOgego 2 หลายเดือนก่อน

    Unawasaidia ukiwaibia nyota. Na unawachagua wanawake manake wana nguvu nyingi kwa ulimwengu wa kiroho. Life is spiritual stop deceiving our parents 🙏

  • @ImmanuelNdeonakaC
    @ImmanuelNdeonakaC 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani tufanye kazi Sana nakumtanguliza mungu mbele kwa kilakitu tusipende vyabure ndo maana tunauzwa saivi
    4:53

  • @NebatiMgute
    @NebatiMgute 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bwana Yesu akukemee na ukafie mbali uko

    • @christenaandria6379
      @christenaandria6379 2 หลายเดือนก่อน

      Hao anao wasaidia utawasaidia wewe acha chuki Muachie Bwana wa hukumu ahukumu mwenyewe

  • @myself4128
    @myself4128 2 หลายเดือนก่อน

    Wew ni mtoto wa Ibilisi
    Upendo Nkone hakutakiwa kuja hapo kakosea sana,Shetani uwa anasaidia mayatima na wajane ili wamtumikie na misaada yako yote ni ya matangazo na Kiki tuu,Kwani Huwezi kusaidia kimya kimya bila kurekodi?

  • @GloriousMshingwe
    @GloriousMshingwe 2 หลายเดือนก่อน

    Chifu mimi $500 tu mbinguni apoooooooooo.....umepoa umepoa umepoa umepoa chifu umepoaaaaaaaaaaaaaa

  • @justinmwamloso7559
    @justinmwamloso7559 2 หลายเดือนก่อน

    Umesoma ndio vyeti unavyo ndio lkn unahubiri nini na unamhubiri nani yesu aliambiwa kitu wewe nani huwezi ambiwa kitu @ najua hakuna adui wa kweli mdogo wala mkubwa me sina shaka na mtu simama juu ya unacho kifanya kweli itajulikana siku moja kweli ilijulikana kati ya Mungu na Lusifa ivo hata kwako kwenye huduma yako kweli itajulikana ni swala la muda tu ndugu mwaki...bete

  • @LucyOgego
    @LucyOgego 2 หลายเดือนก่อน

    Unajiskia kweli?
    Unaraha moyoni?
    Unalala vizuri kwako?
    Achana na wazazi wetu wafe njaa. MUNGU ATAWAPIGANIA .
    Even the devil knows the word of God.

  • @reginaaloyce4055
    @reginaaloyce4055 3 หลายเดือนก่อน

    Nasikitika sana 😭, Bwana Yesu tusaidie Kwa kweli

  • @MaryGodwin-i5u
    @MaryGodwin-i5u 2 หลายเดือนก่อน

    Uka mundu ughwe

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hakuna anaye kuweza kwa lipi kwa utapeli,uchawi,ufreemaoni au nini kama ni haya basi hakuna anaye weza kukufikia kwa ushetani huo na ulaghai

  • @starlily07
    @starlily07 3 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu ameamua kukuweka wazi freemason mkubwa wewe, kwendraaaaaaaaà

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 3 หลายเดือนก่อน

      Manabii wako wote wa kleo nao n grp moja

    • @JovinRichard-x3u
      @JovinRichard-x3u 3 หลายเดือนก่อน

      Unaushahid gani kama huyu ni Freemason imeandikwa usihukumu muacheni maana anaepaswa kuhukumu nimungu pekeake

    • @starlily07
      @starlily07 3 หลายเดือนก่อน

      @@JovinRichard-x3u au ndo wewe umekuja kwa JINA feki 🤣🤣 tulia dawa ikuingie, nenda kaangalie video zake uone ni njia gani inamsaidia kupata huo utajiri ailonao halafu ndo urudi hapa kuongea upuuzi wako.

    • @kennomondi5154
      @kennomondi5154 3 หลายเดือนก่อน

      We kwenda

    • @starlily07
      @starlily07 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@kennomondi5154 🤣 tulieni dawa iwaingie, dadeeki mmepigwa kwenye mshono mtakoma na ndo mwisho wenu, mwaka hii hamtoboi KWA JINA LA YESU.

  • @rosemachui8949
    @rosemachui8949 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba za huyu kaka

  • @MeryPapi
    @MeryPapi 2 หลายเดือนก่อน

    Mpuuzi wewe,mnajiingiza kufungua makanisa mpigige hela,wenye macho ya rohoni na neno la Mungu tumekujua wewe mbwa mwitu uliyejiingiza kwa Jina la kristo

  • @richardamswetyjesus8017
    @richardamswetyjesus8017 2 หลายเดือนก่อน

    miyeyusho

  • @KideNetworks
    @KideNetworks 2 หลายเดือนก่อน

    By the way rice removes money blocks

  • @bienfaityehova-nissi2842
    @bienfaityehova-nissi2842 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe jamaa wewe unakiburi saaana kwa sababu ya pumzi ya uhai iliyo nayo. Ila kumbuka kwamba kuna watu walijisifu zaidi Yako, lakini kwa sasa tumzbeki tu n'a story zao. Kwa hivyo, tafuta hekima ya Mungu, na umpokeye YESU KRISTO kuwa bwana n'a mwokozi wa nafsi yako. Neema ingalipo ndugu

  • @EsauBakari
    @EsauBakari 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini tusiogope unasema hakuna mtu wa kukusimamisha hicho ni kibuli

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hivyo vyakula ndiyo mktaba yenyewe

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 2 หลายเดือนก่อน

    sawa. acha hivyo Mimi siwezikujakwako wewe. Nimshilikina mtu wayusifa mtumikietu huyominguyoka nasisi tunajiju tunajitambua. Wewe siyo

  • @Jamalabdala-k1b
    @Jamalabdala-k1b 3 หลายเดือนก่อน

    Weww ni frimason tu,,,watu ambao wanakukubali niwaginga....😂😂😂 Wapotoshe

  • @RehemaFredrick
    @RehemaFredrick หลายเดือนก่อน

    Hizo Pete ni za nini?

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 3 หลายเดือนก่อน +3

    Piga kaz dogo 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @esterpeter8556
    @esterpeter8556 2 หลายเดือนก่อน

    Ushikwe kwa kipiiii kwanza ? Na mipete yako kama wale matapeli wa kariakoo.na roho inakuuma ukute ulitumwa umhadae uyo Mama.baibo yenyewe umesoma miaka miwili tuu na utishie kushindana cjui na kina Nani

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo sindio sadaka enyeweeee!!! Mimi sikulaumu Ila ninakupongeza kwakuwatambua wahitaji WA mungu

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 2 หลายเดือนก่อน

    jamani ee yesu tusaidie

  • @Nguvuyaasili
    @Nguvuyaasili 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe umesema sahihi kweli ww unatoa huduma na sio kanisa na umesema kweli hiyo sio ibada asante kwa kutufungua .

  • @SamuelOpingoM
    @SamuelOpingoM 2 หลายเดือนก่อน

    Neno litasimama

  • @minyoosho1860
    @minyoosho1860 2 หลายเดือนก่อน

    Ndugu okoka umjue Yesu

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira8966 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akukemeye wewe.

  • @fredrickmapunda3110
    @fredrickmapunda3110 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kunamtu alikuwa anaitwa ginimbi alishindana na profet java uliza Yuko wapi ?

  • @fredyleonardmaths2546
    @fredyleonardmaths2546 2 หลายเดือนก่อน

    My people perish for the lack of knowledge

  • @benny4345
    @benny4345 2 หลายเดือนก่อน

    This clawn should also be investigated. Ni kalimbukeni na hata hela hakana! Wenye hela hawana makelele! Kanalazimisha validity ambayo hakawezi kuwa nayo! Pathetic

  • @elicanaambweni8666
    @elicanaambweni8666 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂injili inavamiwa sana

  • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
    @NATACIARAPHAEL-iz8kr 2 หลายเดือนก่อน

    Hata Wewe Ni Waajabu chunya si Ulinawa Pombe Enesi wewe ukasema nani mwenye hela Watu Wa Mungu Hajingambi mtandaoni kuwa wana Hela

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ila mungu wa mbinguni atakushika tu

  • @hakilitoyi
    @hakilitoyi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani watoa vyeti wao ni watakatifu?

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 3 หลายเดือนก่อน

    Acha kiburi;Mungu anawapinga wenye kiburi lakini anawapa neema wanyenyekevu

  • @christenaandria6379
    @christenaandria6379 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dini iliyo safi nikuwasaidia yatima na wajane

    • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
      @NATACIARAPHAEL-iz8kr 2 หลายเดือนก่อน

      Na zile Enesi Pale Chunya Alinawa aka sema nani mwenye hela ndo training eti

  • @goodluckstephanmasige3450
    @goodluckstephanmasige3450 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 huyu jamaa anamajigambo sio poa, angekuwa anajua na kingereza ndio tungekoma kwa code mixing.

  • @erickmillanzi4391
    @erickmillanzi4391 2 หลายเดือนก่อน

    Na hayo mapete ya kuzimu vidoleni mwako vp.

  • @IdrisaAbdallah-pf4mw
    @IdrisaAbdallah-pf4mw 2 หลายเดือนก่อน +1

    Piga kazi mdg wng wasikuzubaishe mamae saidia watu kama wao hawataki kusaidia qatu its up to wao

  • @DevothaMahajile
    @DevothaMahajile 2 หลายเดือนก่อน

    Acha kujitetea

  • @alexjuve3837
    @alexjuve3837 2 หลายเดือนก่อน

    huyu jamaa anachukuliaje raia hata mashetani biblia wanajifunza vizuri tu mimi naamin kabisa huyu jamaa sio wa dunia ya Mungu wa kweli ana mungu wake anaemtumikia hiyo misaada isiwatishe watu ni masharti yake tu aliyopewa

  • @veroniquegershomu9197
    @veroniquegershomu9197 2 หลายเดือนก่อน

    KWA YESU KRISTO HAKUNA USASA DIHA SHETANI HUKU KWA YESU NIKUJIKANA KWAKUBEBA MIZIGO YAKO YOTE NA KUMFATA MAISHA YAKO YOTE

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 3 หลายเดือนก่อน

    Wew kijana ni Freemason acha kujitetea sana, mbona Wakristo mnawaonea sana na mnapenda kuwatumia wakati mkitaka kutangaza ushetani wenu!!, Sijui kwa nini mnataka kuuangamiza Ukristo😢😢😢. Alama za Pembe tatu kwenye zile madhabahu zilionekana Vizuri kwaiyo usitufanye sisi watoto bana we vipi!!!

  • @hassanyohna6121
    @hassanyohna6121 2 หลายเดือนก่อน

    Shimo majivuno kama Belshazzar Kilichokupeleka uko njaaa Injala Ukulile lnjala gwibhutile kunongwa ja njala Upotayari kuuza Utu Kwajili ya Kalatasi Unaogopa Maisha Wewe.

  • @Augustinojohn-pf3pg
    @Augustinojohn-pf3pg 2 หลายเดือนก่อน

    Upendo ameomba musamaha tayari

  • @LovelyCoastalBeach-sn5uc
    @LovelyCoastalBeach-sn5uc 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni Mungu mtu😢😢

  • @jamesrobare522
    @jamesrobare522 2 หลายเดือนก่อน

    Kusomia bibilia sio tatizo hata shetani anajua bibilia lkn bado ni shetani,wew ni mtumishi wa shetani

  • @EnockMvanda
    @EnockMvanda 3 หลายเดือนก่อน

    1:58 1:59 1:59 1:59 2:00 2:00

  • @elishaLukumay-ug4fx
    @elishaLukumay-ug4fx 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka kuongea unaongea sana lakini Mungu hadhiakiwi apandacho mtu ndicho avunacho,Usipotubu Hukumu inakuhusu

  • @Ishaka-n4x
    @Ishaka-n4x 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ana miungu y uchaw n uganga kwahiyo ndugu zang usipotoshwe n huyu jamaa n tapeli 2 mshamb

  • @AllanKabuga-k2d
    @AllanKabuga-k2d 2 หลายเดือนก่อน

    Duuuh mungu tusaidie maana hii dunia daaaa

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 2 หลายเดือนก่อน

    Hahaaa umetisha fungua kanisa tuje tulambe mafuahahaaaa

  • @richardmoses5891
    @richardmoses5891 2 หลายเดือนก่อน

    Unapigwa chata ya mnyama 666 hivi hivi take care peoples

  • @robertathuman9242
    @robertathuman9242 3 หลายเดือนก่อน

    Baba ako mchungaj kabisaa sijui anaonaje unavo ongeaga huku au hana Smart aonag utumbo unao ongeaga

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wanahofu ya wateja wao kuhamia kwako.maana waumini wamefanywa kuwa wateja wa makanisa

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 2 หลายเดือนก่อน

      Fact Mana Ni Matapeli Wakubwa Tu

  • @estherpaul3864
    @estherpaul3864 3 หลายเดือนก่อน +5

    MUNGU wetu ni mwingi wa rehema,

  • @HanceNgaya
    @HanceNgaya 2 หลายเดือนก่อน

    Wakristo hatuchangamani na washirikina

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ninakuelewa Sana mtu wa Mungu, na ninakukubali Sana, big up Sir,

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 3 หลายเดือนก่อน

    Hizo dini wanachowaaminisha ni utakufaje na maisha mazuri. Dini zimekuwa km kitisho

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nabaki so mchungaji na umemwasi unamdhalilisha banako na mungu

  • @WitinessJoseph
    @WitinessJoseph 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani ktk haya Maisha usijione ww ni msafi kuliko wengine mungu ni wa wote jamani tusipende kuhukumu watu mungu alikuja kuokoa walipotea sio wasafi tusipende kuhumu watu jamani kila mtu angalia njia zake mungu ni wawote

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hapana sio hvyo!

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu wa"M"kubwa ni WA wote wenye mwili huyu wa m ndogo sio wa wote

    • @nobeziguguya8936
      @nobeziguguya8936 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@AnethMushi-c3epoint yake si umeielewa lakin,ufundi wa sarufi na miundo unatokea wapi,,Mungu ni wetu sote bana,hata hivyo tunaokolewa kwa neema tu hakuna anaestahili,wala aliyestahili,wala atakayestahili.

  • @veroniquegershomu9197
    @veroniquegershomu9197 2 หลายเดือนก่อน +9

    YESU AKUKEMEE EWE SHETANI

    • @nobeziguguya8936
      @nobeziguguya8936 2 หลายเดือนก่อน

      Kabla umuite mtu shetani jichunguze njia zako na moyo wako