Mungu wa mbinguni atakupa hukumu ..hakunaga siri .mwenendo wako ni wà kuabudu miungu wengine..misaada inatumiwa sana kuwavuta watu motoni..hata samaki anaswaye kwa mtego wa chambo ni yule mwenye njaa..
Wewe kaa sawasawa,hatuna shida kushindana na wewe,Bwana akisimama,wewe na mungu[shetani] wako hamna cha kufanya,kujua biblia siyo kuwa na Mungu,hata shetani anijua sana tu,huenda kuliko viumbe wote,Bwana akukemee
Hakuna anae jiita kakangu... waala kusoma chuo cha bibilia sio kigezo cha kuongozwa na Roho Mt. Hvyo usipotoshe umma .. uchawi upo na ufree manson upo .. usiwavute watu kwa ujanja wako
Unasema watu wanapewa hofu makanisani Kwa kiambiwa Kuna KUZIM, Sio kupewa hofu watu wanaambiwa ukweli ili wajiandae na maisha baada ya kifo, maana kweli KUZIM IPO na MBINGU ipo, hivyo ni lazima watu waambie ukweli ili wafanye uchaguzi mzuri. Na Kwa sababu ya KUZIM kuwepo ndio maana YESU alikuja duniani kuonuesha njia ya kuepukana na KUZIM. Na hii ndio injili watu watubu dhambi Kwa maana ufalme wa MUNGU umekalibia sasa .
@@aidanikasembe8191 Watu wengine ni mapepo in form of human being so sishangai Kwa hichi unachokisema. Neno la MUNGU ni kweli na niamini na ndilo litakalo Kuja kutuhukum.
Baadae ya kifo Kuna maisha lakini hayo maisha ni ya kwenye paradiso ya mungu na shetan hatikuwepo tena atahukumiwa miaka miamoja hatokuwa na nafasi tena kwenye watakatifu lakin atakuwa na nafasi kwa waovu maan bibilia umeandika shetani atapewa waovu hao awatawale tena Kisha jehanamu milele kwa tutubu kabla ya paradiso ya bwana😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kwa aliyenielewa like kwa asiyenielewa ataelew siku ya kiama
@@officiallnobystar mchungaji wangu huniombea hata kama sina mia, kuhusu utapeli haunihihsu nachojali n kumwamini YESU ambaye , anasema mmepewa Bure toeni Bure, sijawahi kuongozwa na pastor tapeli
Anaye paswa kuimbiwa ni Mungu tu basi,awaimbie wale kwa sababu gani, upendo nkone ni mwanamke anaye jielewa sana ndio maana ameomba msamaha na biblia inasema lifungwalo duniani na mbinguni limefungwa na linalo funguliwa duniani na mbinguni limefunguliwa. Mungu ampe neema upendo nkone na msamaha wake aukubali,,
@@p.phareskalalu5924 biblia inasema "na jua lisizame mkiwa na utofauti na ndugu yako au jirani yako". Unafahamu hilo??? Ndondocha ni wewe unaye tukuza ushirikina unao fanyika waziwazi. Sisi na upendo tunamtukuza kristo pekee
Wachungaji wamezidi jmn pole kaka mungu akubariki kwa kuwakumbuka wajane na yatima ila naomba sana kuna mjane mmoja yuko machimbo mwisho wa lami buza haoni anasukali pursha mungu akuguse siku mmoja tu umutembelee na ubarikiwe sana
Ila mnamuinea upendo kwasababu kaimba nyimbo za kumtukuza MUNGU siyo shetani kwahyo alifaa kushukiriwa kwani ameenda kumuimbia mungu wake kule alikokuwa anapingwa kama mnavyo dhani sasa tatizo lipo wapi nyie mmeshindwa kwenda kukemea yeye kaenda kumtukuza MUNGU pale pale sasa shobo za nini
Kwani nani aliemsema Pendo kafanya kosa ? Uchawi upo frimason wapo kuimbia mayatima SIo kosa pia Sijui mmechafuana wapi ? Kuhudumia wajane pia ni huduma ya Mungu
Biblia inasema hivi YAKOBO 1:27 '' Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.
Wew ni mtoto wa Ibilisi Upendo Nkone hakutakiwa kuja hapo kakosea sana,Shetani uwa anasaidia mayatima na wajane ili wamtumikie na misaada yako yote ni ya matangazo na Kiki tuu,Kwani Huwezi kusaidia kimya kimya bila kurekodi?
Umesoma ndio vyeti unavyo ndio lkn unahubiri nini na unamhubiri nani yesu aliambiwa kitu wewe nani huwezi ambiwa kitu @ najua hakuna adui wa kweli mdogo wala mkubwa me sina shaka na mtu simama juu ya unacho kifanya kweli itajulikana siku moja kweli ilijulikana kati ya Mungu na Lusifa ivo hata kwako kwenye huduma yako kweli itajulikana ni swala la muda tu ndugu mwaki...bete
@@JovinRichard-x3u au ndo wewe umekuja kwa JINA feki 🤣🤣 tulia dawa ikuingie, nenda kaangalie video zake uone ni njia gani inamsaidia kupata huo utajiri ailonao halafu ndo urudi hapa kuongea upuuzi wako.
Mpuuzi wewe,mnajiingiza kufungua makanisa mpigige hela,wenye macho ya rohoni na neno la Mungu tumekujua wewe mbwa mwitu uliyejiingiza kwa Jina la kristo
Wewe jamaa wewe unakiburi saaana kwa sababu ya pumzi ya uhai iliyo nayo. Ila kumbuka kwamba kuna watu walijisifu zaidi Yako, lakini kwa sasa tumzbeki tu n'a story zao. Kwa hivyo, tafuta hekima ya Mungu, na umpokeye YESU KRISTO kuwa bwana n'a mwokozi wa nafsi yako. Neema ingalipo ndugu
Ushikwe kwa kipiiii kwanza ? Na mipete yako kama wale matapeli wa kariakoo.na roho inakuuma ukute ulitumwa umhadae uyo Mama.baibo yenyewe umesoma miaka miwili tuu na utishie kushindana cjui na kina Nani
This clawn should also be investigated. Ni kalimbukeni na hata hela hakana! Wenye hela hawana makelele! Kanalazimisha validity ambayo hakawezi kuwa nayo! Pathetic
huyu jamaa anachukuliaje raia hata mashetani biblia wanajifunza vizuri tu mimi naamin kabisa huyu jamaa sio wa dunia ya Mungu wa kweli ana mungu wake anaemtumikia hiyo misaada isiwatishe watu ni masharti yake tu aliyopewa
Wew kijana ni Freemason acha kujitetea sana, mbona Wakristo mnawaonea sana na mnapenda kuwatumia wakati mkitaka kutangaza ushetani wenu!!, Sijui kwa nini mnataka kuuangamiza Ukristo😢😢😢. Alama za Pembe tatu kwenye zile madhabahu zilionekana Vizuri kwaiyo usitufanye sisi watoto bana we vipi!!!
Shimo majivuno kama Belshazzar Kilichokupeleka uko njaaa Injala Ukulile lnjala gwibhutile kunongwa ja njala Upotayari kuuza Utu Kwajili ya Kalatasi Unaogopa Maisha Wewe.
Jamani ktk haya Maisha usijione ww ni msafi kuliko wengine mungu ni wa wote jamani tusipende kuhukumu watu mungu alikuja kuokoa walipotea sio wasafi tusipende kuhumu watu jamani kila mtu angalia njia zake mungu ni wawote
@@AnethMushi-c3epoint yake si umeielewa lakin,ufundi wa sarufi na miundo unatokea wapi,,Mungu ni wetu sote bana,hata hivyo tunaokolewa kwa neema tu hakuna anaestahili,wala aliyestahili,wala atakayestahili.
Nampenda dada Upendo Nkone sijajua kilichotokea ninachokijua Injili ni kwa watu wote. Mungu atusaidie.
Kauli Zako zinaonyesha unamtumikia mungu wa baari
Hatuimbii mtu yeyote
Ww unamtumikia mungu gn???
My people perish because of lack of knowledge mwenye macho na aonee mwenye masikio na asikie Thank you LORD JESUS your worthy to be praise ❤
Real true,..real sad I pray to God open their spiritual eyes so that the can see
@@fettykange437 By their fruits you will know them.
@@HannahRichard-ru3rj oh yes
Ohh 😂
Yupo Mungu wetu na yesu wetu wa majeshi anakuweza dk mbili tuuu habari zako kwishq
Unawasaidia huku ukiwaita maskini mbwa takataka😂😂😂 MUNGU akurehemu broo
Kaka yanguuu nakupenda katka jina la BWANA YESUU utajuta usipo tubu nakuacha kwa maana kuzimu na jehanamu na mbingu ni halisi
Wewe pepo wa kuzimu ushindwe kwa jina la YESU
Umeona wanapenda wali sana au😂😂😂😂
Mungu wa mbinguni atakupa hukumu ..hakunaga siri .mwenendo wako ni wà kuabudu miungu wengine..misaada inatumiwa sana kuwavuta watu motoni..hata samaki anaswaye kwa mtego wa chambo ni yule mwenye njaa..
Wewe kaa sawasawa,hatuna shida kushindana na wewe,Bwana akisimama,wewe na mungu[shetani] wako hamna cha kufanya,kujua biblia siyo kuwa na Mungu,hata shetani anijua sana tu,huenda kuliko viumbe wote,Bwana akukemee
Hapo umedanganya Yesu yupo uchawi upo!!
Hakuna anae jiita kakangu... waala kusoma chuo cha bibilia sio kigezo cha kuongozwa na Roho Mt. Hvyo usipotoshe umma .. uchawi upo na ufree manson upo .. usiwavute watu kwa ujanja wako
Wewe hutatua shida au mungu ndio msaada wa watu mbona kwa maneno yako unaonyesha kibuli sana jamani umekwisha kabisa
Na hayo mapete
Jinga sana vevee😮😮
Kijana anatapatapa sana😂😂😂
Acha upumbavu,Mungu hachangamani na shetani hata siku moja,ulichofanya ulimuingiza upendo mkenge bila yeye kujua.
Tuliza kitako ..... Injili ni mahali popote walipo popote ulipo
Alikuwa haijui upendo nkone.na alivotengeneza Mungu atamsamehe
Unasema watu wanapewa hofu makanisani Kwa kiambiwa Kuna KUZIM, Sio kupewa hofu watu wanaambiwa ukweli ili wajiandae na maisha baada ya kifo, maana kweli KUZIM IPO na MBINGU ipo, hivyo ni lazima watu waambie ukweli ili wafanye uchaguzi mzuri. Na Kwa sababu ya KUZIM kuwepo ndio maana YESU alikuja duniani kuonuesha njia ya kuepukana na KUZIM. Na hii ndio injili watu watubu dhambi Kwa maana ufalme wa MUNGU umekalibia sasa .
Hakuna maisha baada ya kifo wazungu wamewadanganya maisha ndio hayahaya
@@aidanikasembe8191 Watu wengine ni mapepo in form of human being so sishangai Kwa hichi unachokisema. Neno la MUNGU ni kweli na niamini na ndilo litakalo Kuja kutuhukum.
Hapana kwenye maneno ya kuogofia mana tunatakiwa kuka mshukuru mungu na uimba kwa shangwe
Baadae ya kifo Kuna maisha lakini hayo maisha ni ya kwenye paradiso ya mungu na shetan hatikuwepo tena atahukumiwa miaka miamoja hatokuwa na nafasi tena kwenye watakatifu lakin atakuwa na nafasi kwa waovu maan bibilia umeandika shetani atapewa waovu hao awatawale tena Kisha jehanamu milele kwa tutubu kabla ya paradiso ya bwana😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kwa aliyenielewa like kwa asiyenielewa ataelew siku ya kiama
Soma kitabu Cha ufunuo utafunuliwa 🎉🎉
Jidanganye YESU ni mkuu kuliko wewe na atakugusa , kwanza mchungaji gan mwenye pete tatu
Nyie Mshawazoea Wachungaji Wenu Matapeli Ndio Mana Mnamuona Free Mason Huyu😂😂😂
@@officiallnobystar mchungaji wangu huniombea hata kama sina mia, kuhusu utapeli haunihihsu nachojali n kumwamini YESU ambaye , anasema mmepewa Bure toeni Bure, sijawahi kuongozwa na pastor tapeli
Anaye paswa kuimbiwa ni Mungu tu basi,awaimbie wale kwa sababu gani, upendo nkone ni mwanamke anaye jielewa sana ndio maana ameomba msamaha na biblia inasema lifungwalo duniani na mbinguni limefungwa na linalo funguliwa duniani na mbinguni limefunguliwa. Mungu ampe neema upendo nkone na msamaha wake aukubali,,
Wewe na upendo nimandondocha mana hanaye staili kuhobwa msamaha ni mungu sio mwanadamu jinga wewe na walio kufundisha
@@p.phareskalalu5924 biblia inasema "na jua lisizame mkiwa na utofauti na ndugu yako au jirani yako". Unafahamu hilo??? Ndondocha ni wewe unaye tukuza ushirikina unao fanyika waziwazi. Sisi na upendo tunamtukuza kristo pekee
@@p.phareskalalu5924 unasoma biblia kweli wewe?
ACHA DHARAU WEWE UTAKUFA VIBAYA SANA WATU WANAIJUA DINI KULIKO WEWE HUIJUI KESHO YAKE
Manabii na wachungaji wa kweli hawashambulii huduma za Kiroho au kijamii. Hata.mimi sikubali kimshambulia mkone kwa hilo. Ni ubinafsi.
Chief Godlove " Ngoma ikilia sana"
Mapokeo ya umaarufu ni mtihani mkubwa sana
Wachungaji wamezidi jmn pole kaka mungu akubariki kwa kuwakumbuka wajane na yatima ila naomba sana kuna mjane mmoja yuko machimbo mwisho wa lami buza haoni anasukali pursha mungu akuguse siku mmoja tu umutembelee na ubarikiwe sana
Ila mnamuinea upendo kwasababu kaimba nyimbo za kumtukuza MUNGU siyo shetani kwahyo alifaa kushukiriwa kwani ameenda kumuimbia mungu wake kule alikokuwa anapingwa kama mnavyo dhani sasa tatizo lipo wapi nyie mmeshindwa kwenda kukemea yeye kaenda kumtukuza MUNGU pale pale sasa shobo za nini
Ni kweli na hata waliokula mchele wanatakiwa wautapika na watubu
Yani ww jaman watu wa Mungu wapinga kristo wameshaingia kama huyu kaka Mungu amusamehe san lakn ipo siku utakuja kujua Huyu Mungu tunaemwabudu ni nani
Hakuna anayekugusa kivipi tena, kwani ukuhani ni kutaka atakavyo mtu au ni neema aitoayo Kristo, Braza unavuka mipaka.
Hatafika popote maana anachukua mpaka nafasi ya Mungu atakufa vibaya.. ndo hao akina nabii Tito Leo wako wapi
Kwani nani aliemsema Pendo kafanya kosa ? Uchawi upo frimason wapo kuimbia mayatima SIo kosa pia Sijui mmechafuana wapi ? Kuhudumia wajane pia ni huduma ya Mungu
Wewe ni mpuuzi wa kupuzwa tu toka uwezo na wako unadha cheti ni ndio alama ya kuwa wewe ni wa Mungu hata shetani ana cheti
Yeremia 9:23.1 wakorintho 1:25-31.
Elewa watanzania hawajasoma ..kenya hzo ni kawaida
Toka lini mwanaume akavaa cheni tena mtumishi wa Mungu! Mshindwe kwa jina la Yesu.
Hao ndo wa kwenda kijionesha 2 kanisani ukiingia mtaani mambo yao utashangaabmno🎉🎉🎉 ubaya ubwela
Biblia inasema hivi YAKOBO 1:27
'' Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.
Wajane wepi na yatima wepi kibibilia? Yesu aliwaambia wanafunzi wake, sintawaacha yatima. Kwahiyo jua maana ya yatima.
Hata shetani huwa anajitia Malaika wa Nuru
Saidia wenye uhitaji
Unawasaidia ukiwaibia nyota. Na unawachagua wanawake manake wana nguvu nyingi kwa ulimwengu wa kiroho. Life is spiritual stop deceiving our parents 🙏
Jamani tufanye kazi Sana nakumtanguliza mungu mbele kwa kilakitu tusipende vyabure ndo maana tunauzwa saivi
4:53
Bwana Yesu akukemee na ukafie mbali uko
Hao anao wasaidia utawasaidia wewe acha chuki Muachie Bwana wa hukumu ahukumu mwenyewe
Wew ni mtoto wa Ibilisi
Upendo Nkone hakutakiwa kuja hapo kakosea sana,Shetani uwa anasaidia mayatima na wajane ili wamtumikie na misaada yako yote ni ya matangazo na Kiki tuu,Kwani Huwezi kusaidia kimya kimya bila kurekodi?
Chifu mimi $500 tu mbinguni apoooooooooo.....umepoa umepoa umepoa umepoa chifu umepoaaaaaaaaaaaaaa
Umesoma ndio vyeti unavyo ndio lkn unahubiri nini na unamhubiri nani yesu aliambiwa kitu wewe nani huwezi ambiwa kitu @ najua hakuna adui wa kweli mdogo wala mkubwa me sina shaka na mtu simama juu ya unacho kifanya kweli itajulikana siku moja kweli ilijulikana kati ya Mungu na Lusifa ivo hata kwako kwenye huduma yako kweli itajulikana ni swala la muda tu ndugu mwaki...bete
Unajiskia kweli?
Unaraha moyoni?
Unalala vizuri kwako?
Achana na wazazi wetu wafe njaa. MUNGU ATAWAPIGANIA .
Even the devil knows the word of God.
Nasikitika sana 😭, Bwana Yesu tusaidie Kwa kweli
Uka mundu ughwe
Hakuna anaye kuweza kwa lipi kwa utapeli,uchawi,ufreemaoni au nini kama ni haya basi hakuna anaye weza kukufikia kwa ushetani huo na ulaghai
Mungu ameamua kukuweka wazi freemason mkubwa wewe, kwendraaaaaaaaà
Manabii wako wote wa kleo nao n grp moja
Unaushahid gani kama huyu ni Freemason imeandikwa usihukumu muacheni maana anaepaswa kuhukumu nimungu pekeake
@@JovinRichard-x3u au ndo wewe umekuja kwa JINA feki 🤣🤣 tulia dawa ikuingie, nenda kaangalie video zake uone ni njia gani inamsaidia kupata huo utajiri ailonao halafu ndo urudi hapa kuongea upuuzi wako.
We kwenda
@@kennomondi5154 🤣 tulieni dawa iwaingie, dadeeki mmepigwa kwenye mshono mtakoma na ndo mwisho wenu, mwaka hii hamtoboi KWA JINA LA YESU.
Naomba namba za huyu kaka
Mpuuzi wewe,mnajiingiza kufungua makanisa mpigige hela,wenye macho ya rohoni na neno la Mungu tumekujua wewe mbwa mwitu uliyejiingiza kwa Jina la kristo
miyeyusho
By the way rice removes money blocks
Wewe jamaa wewe unakiburi saaana kwa sababu ya pumzi ya uhai iliyo nayo. Ila kumbuka kwamba kuna watu walijisifu zaidi Yako, lakini kwa sasa tumzbeki tu n'a story zao. Kwa hivyo, tafuta hekima ya Mungu, na umpokeye YESU KRISTO kuwa bwana n'a mwokozi wa nafsi yako. Neema ingalipo ndugu
Kwa nini tusiogope unasema hakuna mtu wa kukusimamisha hicho ni kibuli
Hivyo vyakula ndiyo mktaba yenyewe
sawa. acha hivyo Mimi siwezikujakwako wewe. Nimshilikina mtu wayusifa mtumikietu huyominguyoka nasisi tunajiju tunajitambua. Wewe siyo
Weww ni frimason tu,,,watu ambao wanakukubali niwaginga....😂😂😂 Wapotoshe
Hizo Pete ni za nini?
Piga kaz dogo 🎉🎉🎉🎉🎉
Ushikwe kwa kipiiii kwanza ? Na mipete yako kama wale matapeli wa kariakoo.na roho inakuuma ukute ulitumwa umhadae uyo Mama.baibo yenyewe umesoma miaka miwili tuu na utishie kushindana cjui na kina Nani
Hiyo sindio sadaka enyeweeee!!! Mimi sikulaumu Ila ninakupongeza kwakuwatambua wahitaji WA mungu
jamani ee yesu tusaidie
Wewe umesema sahihi kweli ww unatoa huduma na sio kanisa na umesema kweli hiyo sio ibada asante kwa kutufungua .
Neno litasimama
Ndugu okoka umjue Yesu
Mungu akukemeye wewe.
Kunamtu alikuwa anaitwa ginimbi alishindana na profet java uliza Yuko wapi ?
My people perish for the lack of knowledge
This clawn should also be investigated. Ni kalimbukeni na hata hela hakana! Wenye hela hawana makelele! Kanalazimisha validity ambayo hakawezi kuwa nayo! Pathetic
😂😂injili inavamiwa sana
Hata Wewe Ni Waajabu chunya si Ulinawa Pombe Enesi wewe ukasema nani mwenye hela Watu Wa Mungu Hajingambi mtandaoni kuwa wana Hela
Ila mungu wa mbinguni atakushika tu
Kwani watoa vyeti wao ni watakatifu?
Acha kiburi;Mungu anawapinga wenye kiburi lakini anawapa neema wanyenyekevu
Dini iliyo safi nikuwasaidia yatima na wajane
Na zile Enesi Pale Chunya Alinawa aka sema nani mwenye hela ndo training eti
😂😂😂 huyu jamaa anamajigambo sio poa, angekuwa anajua na kingereza ndio tungekoma kwa code mixing.
Na hayo mapete ya kuzimu vidoleni mwako vp.
Piga kazi mdg wng wasikuzubaishe mamae saidia watu kama wao hawataki kusaidia qatu its up to wao
Wakusanye baba Baba
Acha kujitetea
huyu jamaa anachukuliaje raia hata mashetani biblia wanajifunza vizuri tu mimi naamin kabisa huyu jamaa sio wa dunia ya Mungu wa kweli ana mungu wake anaemtumikia hiyo misaada isiwatishe watu ni masharti yake tu aliyopewa
KWA YESU KRISTO HAKUNA USASA DIHA SHETANI HUKU KWA YESU NIKUJIKANA KWAKUBEBA MIZIGO YAKO YOTE NA KUMFATA MAISHA YAKO YOTE
Wew kijana ni Freemason acha kujitetea sana, mbona Wakristo mnawaonea sana na mnapenda kuwatumia wakati mkitaka kutangaza ushetani wenu!!, Sijui kwa nini mnataka kuuangamiza Ukristo😢😢😢. Alama za Pembe tatu kwenye zile madhabahu zilionekana Vizuri kwaiyo usitufanye sisi watoto bana we vipi!!!
Shimo majivuno kama Belshazzar Kilichokupeleka uko njaaa Injala Ukulile lnjala gwibhutile kunongwa ja njala Upotayari kuuza Utu Kwajili ya Kalatasi Unaogopa Maisha Wewe.
Upendo ameomba musamaha tayari
Wewe ni Mungu mtu😢😢
Kusomia bibilia sio tatizo hata shetani anajua bibilia lkn bado ni shetani,wew ni mtumishi wa shetani
1:58 1:59 1:59 1:59 2:00 2:00
Kaka kuongea unaongea sana lakini Mungu hadhiakiwi apandacho mtu ndicho avunacho,Usipotubu Hukumu inakuhusu
Huyu jamaa ana miungu y uchaw n uganga kwahiyo ndugu zang usipotoshwe n huyu jamaa n tapeli 2 mshamb
Duuuh mungu tusaidie maana hii dunia daaaa
Hahaaa umetisha fungua kanisa tuje tulambe mafuahahaaaa
Unapigwa chata ya mnyama 666 hivi hivi take care peoples
Baba ako mchungaj kabisaa sijui anaonaje unavo ongeaga huku au hana Smart aonag utumbo unao ongeaga
Wanahofu ya wateja wao kuhamia kwako.maana waumini wamefanywa kuwa wateja wa makanisa
Fact Mana Ni Matapeli Wakubwa Tu
MUNGU wetu ni mwingi wa rehema,
Wakristo hatuchangamani na washirikina
Mimi ninakuelewa Sana mtu wa Mungu, na ninakukubali Sana, big up Sir,
Hizo dini wanachowaaminisha ni utakufaje na maisha mazuri. Dini zimekuwa km kitisho
Nabaki so mchungaji na umemwasi unamdhalilisha banako na mungu
Jamani ktk haya Maisha usijione ww ni msafi kuliko wengine mungu ni wa wote jamani tusipende kuhukumu watu mungu alikuja kuokoa walipotea sio wasafi tusipende kuhumu watu jamani kila mtu angalia njia zake mungu ni wawote
Hapana sio hvyo!
Mungu wa"M"kubwa ni WA wote wenye mwili huyu wa m ndogo sio wa wote
@@AnethMushi-c3epoint yake si umeielewa lakin,ufundi wa sarufi na miundo unatokea wapi,,Mungu ni wetu sote bana,hata hivyo tunaokolewa kwa neema tu hakuna anaestahili,wala aliyestahili,wala atakayestahili.
YESU AKUKEMEE EWE SHETANI
Kabla umuite mtu shetani jichunguze njia zako na moyo wako