Kupigwa Risasi Tundu Lissu | Maelezo ya Waziri Bungeni
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametoa ufafanuzi bungeni kuhusiana na tukio la kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu , kupotea kwa watu mbalimbali akiwemo Azory Gwanda na Ben Saanane pamoja na matukio ya utekaji.
Msikilize
Bomba la Maji Machafu ni afadhali.
Kuna kitu najifunza je mkoloni mweupe na mweusi bola yupiii ......nini maana ya colonialism and nationalism we have to change the meaning
Mungu ni Mkuu sana...!..Alishawapa jibu... Mungu hapendi ujinga.
Huo sio uchonganishi,ni kudai haki
Ney wa mitego, umeimba kweli
wananchi tunaitaji majibu hao watu walipo atutaki siasa
Mhhhhhh napita
Iv waziri ukosirias kweliiiiii????? Maswali magumu mnajibu kirahis
Ulipaswa kuamlizi wa bunge.Haufahi kabisa.
Alikua anamfurahisha boss wake...
watanzania tunaakili na atuwez kuchonganishwa tunachotaka ni ukweli wa mambo yanayoendelea ndani ya nchi yetu acha siasa.
Magufuli kunawatu hawafai kuwekwa katika madaraka huyu hafai
Ukisikia. Propaganda ndio hzi...hta mtu ambae hajasoma anaweza kuelewa. Tulio soma Cuba tunajua....
Mbona pakuanzia Pako wazi TU auulizwe Boss Wa polis nani aliwatoa walinzi pale wakt pale panalindwa masaa 24 pili nani alitoa camera...pale...mtu wa kumbana alikua ni boss Wa polis aseme kwnn alitoa walinzi cku ya tukio hoja kutaka lisu arudi au dereva wake Ma mbugila utine TU ndio watukubali
Mungu anampenda lisu kuliko hata mnavomfikiria
mtu anapigwa risasi eneo LA serikali,ambalo CCTV camera zipo,chunguzeni au mliziondoa mapema,watanzania siyo wapumbafu kama mnavyofikiria na kujifanya kutumia maneno ya Bible, hakika nawambia hukumu iko palepale
alijisahau sana..sasa ANASAGA MENO na bendera ya..kaificha ..mkiwa angani mjue mtarudi CHINI..na siku c nyingi!
Mungu anabaki kua Mungu ukweli upo mkononi mwa Mungu Siri anafahamu yote tumwachiye Mungu
Yan we mzee kuna akili huna hv mnaona cc wananch akili hatuna
Semeni watu wako wapi. CCM wauaji, watekaji, wezi na wanafilisi Watanzania.
Waziri wa hovyo kuliko waziri yeyote aliyewahi kutokea hapa inchini
Huyu na hao wanaomshangilia Ni watanzania Kweli?Mungu atunusuru.
Mpigaji wa risasi anakuwa nani?huyu ni waziri kweli?mwendawazimu kweli kweli!uchunguzi gani wewe?mbunge amepigwa risasi ktk nyumba wanazoishi viongozi?wacha kuiaibisha serikali na vyombo vya ulinzi,wacheni uhuni!
Tupac alipigwa risasi kwenye nyumba za serekali au mtaani wewe kangi piaunahusika kuuuwa watu mpuuzi mkubwa
Teknelojia gani jeshi hilo linayo?!!! Kutesa watu ndio Teknelojia?
Lugola anatakiwa àchekiwe vizuri ubongo wake labda Kwa kuwa hakjampata yeye malipo yapo duniani hapahapa
Usitufanye si wajinga we mzee. Unatia kinyaa we mzee
Mawaziri wa Magufuli kama Mh Lugola mbunge wa Kibala Bunda
Hawajua kutoa hoja kwa kutetea hoja kwa sera na sheria za nchi
Anatumia biblia kuhalalisha kushambuliwa kwa Mh Lisu kwa risasi zaidi ya 36
nyakati za mchana
Ovyokweli
Uwezo wa waziri huyu kiufahamu na uelewa ulikuwa mdogo sana. Hakustahili kabisa kuwa ktk nafasi hiyo ya uwaziri. Nchi haiwezi kuendelea ikiwa na viongozi dizaini ya huyu waziri. Ni afadhali alipotea kabisa
Umenikwaza Sana shetani wew mwenye mpango mubaya na lisu
hii kitu ni wakati tu siku moja kila mtu atajibu peke yake
Duu hayo majibu ya kipumbavu sana sijaona jibu apo n kutuletea ujinga hapa Tuambie camera zilipelekwa wapi That is Big ishu co kumtaka dereva msituchoshe saiz Na walinzi wa bunge walikua wapi???
lewis kelvine mbona jibu la swali lako ni rahisi wanazo police kwa ajili ya ushahidi! problem solved.
Huu siutani jamani hii nn? Majb mepes kiivo kwer!
Bomu kabisa huyu waziri
Sisi sio wajinga labda muwateke wajinga wenzenu mnao wahonga pombe mataputapu
Cjui mmefia wap?
Kila kitu na zama zake !!!
Kunguru Hawa walitamba sana !!!
Kweli utawala huu tumepatinaka..."
😆😆na tunanyooshwa haswa..
Lkn yana mwisho haya si yakudumu
Mwajuma Seleman 😀😀😀😀😀😀🙌
Wafrika tunalaana yakutojiamini tunatabia yaubinafusi unafiki uroho uchoyo nafitina zabure kwasabbu yaakili duni,kufikili kidogo bila kujikumbusha maisha yabadaye kwa jamaa ndgzetu nawatoto vijukuuvyetu,
Hela zetu zinaliwa kirahisi Sana huko bungeni...KWa hiyo hapo kabisaa anaona anaongea point?
Kweli mnataka tusema kuwa eti Mungu hayupo ndio manana mnafanya mnafanya mnavotaka ngoja niwambie damu za Mwanadamu haipotei bure Mungu atawajibu wale wanaowaotea na kuwaua kwa malipo ya hukumu sisi hatuwezi lakini Tunamkabidhi huyo Farao Mungu atamwajibisha na watu kushuhudia Kama ilivyo kwa farao na wamisri ili iwe fundisho hata siku ya wao kuishi bila kutenda jambo hilo tena kamwe
Yanatimia sasa
Leo yameibuka
Ama kweli mwovu hakosi kujidanganya. Mungu atakushughulikia na bado.
Watu Kama huyu waziri kangi wanapaswa kuja kuwajibika hata baadae ya miaka 100 kufuatia tukio la tundu lissu.
Kama wewe inavyo chonganisha mwogope mungu yanimchanakweupe unaeanganya
Mmmmm acha hizo baba yangu towa maelezo kufuata swali lilivyo uluzwa
Acha mbwe mbwe mzee ni damu iliyomwagika siyo maji
Mkundu cctv zilienda wapi huo ulikua ishahidi wa kutosha hili senge tu
Halafu mbona anaongea Kwa ukali na anapaniki km yeye aliye husika jamani mbona nchi hii imeanza kutisha Sana yaani ni hatari tuiombee Sana Kwa maana viongozi wetu wamekuwa kama mashetan
Dont panic,,,,Jibu Hoja, WATZ c wajinga wanaona, wanasikia, wanaelewa hayo makofi ya wabunge wa ccm yatawaponza msipo kuwa wakweli
Kwa kweli wewe mungu anakuona
maneno mengi lakin pumbaaaa tena za mtamana
Hata kuku Hali
Hahahaa
Mmmmmmmmmmmm sihamini macho na masikio yangu.
Chadema ni wachonganish na ndomaana hawavuk kijito kile
Heeee kangeee cjakuelewa unamansha unafcha wahalif kwa kauli hiyo
Huyu alikuwa mpumbavu kupindukia. Vip alisha kufa au. Huyu mbwa
Huyu anao ushahidi wakati ukifika popote alipo atatoa ushirikiano
Lugoda ni mpumbavu na hana hutu
Anatoa Taarifa zisizomhusu kimtazamo wangu....kwasababu ...kwasababu Yeye hakuwa kwenye Madaraka....Mwigulu Nchemna ndio anaukweli ...Ni mtazamo tuu lkni....
Huyu atateseka sna huyu mtu maana hathamini uhai wa mungu kiporo huyu
Yesu alipokuwa akijaribiwa, shetani alitumia maandiko matakatifu kumshawishi lakini shetani alimshinda kwa neno.. kumbe shetani anaijua biblia ili apotoshe watu. sasa ameshindwa kupotosha, anatamani tupotoke na sisi tumeujua upotofu wake hatuufuati tena.shetani we baki kuwa shetani lakini ukweli utabaki na Mungu wetu. we Mungu unamjua mtekaji na aliyempiga lisu risasi.
Unapoteza mda ongea uriotumwanawananchi
Yan hii nchi ilianza ujinga cku nyingi sanaaa huyu alikuwa waziri mjinga sana cjui yuko wap sa iv
Umevuna ulichopanda naona saiv unalima kijijini
ivi mh.raisi huwa anamsikiliza huyu waziri na anamuelewa kabisa
Masheteni wakubwa nyinyi . Mungu atawahukumu hapa duniani na kesho akhera.hawa walio hai wapelekwe mahakamani wafungwe kwa kosa la kutakumua lisu na watanzania wote walio potea
Adamu Atoe maelezo gani Wakat mlipgiwa cm kuwa Kuna gar linawaftilia na hamjafanya msaada had tukio limefnyika ndo mmefka .. Na kwann cctv zmetolewa kwa majirani kwa lissu..? ... Mtu mfupi mnono round unabwabwaja tu ka kuku anaetaka kutaga😂😂😂😂.. Unaeleza Kam vle unaimba ngonjera shule ya msing
Mpango wenu kwa lisu umegoma kwa uwezo wa mungu
Ivi huyu jamaa yuko wapi sasa hivi? na huko aliko anajifunza nini?
Hivi huyu jamaa yup wap baada ya kutumwa na shetan kuiba Mali ya uma
Futuhi
Kwa dereva kutopata jeraha wala sio hoja ya maana hapo
Huna issue wew matako tu
Kalipeni pesa za korosho kusini na mpk sasa na vimbunga vinakuja hali mbaya uko
Unatufundisha Kazi sio
Unatufundisha Kazi sio
Nchi hii Ina viongozi wajinga sana mfano wake ni kama awa
Chizi Kama machizi wengine huyo lisi
upelelezi umefikia wapi sasa? 3yrs now......!!!!
Wewe umezeeka vibaya.....
Hv.hua.tunatumia
Vigezogani
Kuchagua.Au.kuteua.viongozi
Ujinga TU amekuuliza yupo kwa ajil ya din TU au wananchi
Wakupige wewe tuone lisansi tuone
Kumbe jeshi la polisi Tz walitaka dereva afe ndipo wajue hiki kitu kilikuwa kikubwa jamani mimi CCM ila kwenye uhai wa mtu tuacheni siasa dunia inazunguka mjue
Chama Chao kijitasmini juu ya lisu kupigwa lisasi. Unaijua siasa si Lele mama mungu Naye anawaona waliotaka kumuondoa. Wamlete huyo dereva basi kieleweke maana...............
Waziri kichaa kuwahi kutokea Tanzania
Mwoogope mungu we kauzu
Haya majibu yanaleta kero sana, hivi wangekufa wote ingekuaje?
Acha ujinga Sasa si hawajafa inatakiwa wawajibike
Rahema Adinani uwezo wangu wa kufikiri hauniruhusu kujibizaba nawewe
Rahema Adinani everybody can comment but few think deep before they comment
Wa ovyo tu wewe huna jipya CCM ya ovyo
lengo la ccm nikumpoteza tundu Lisu
lakin watanzania tuna jua kabisa ipo siku ccm ita potea milele
Ugeonja wewe Kama nimwogo mungu akuone
We walewale waliokunywa uji wa mgonjwa
Lugola wewe ndio shetani you
Mzee mm nakuombea ww mwenyewe upoteee kwanza na watu wasiojulikana
Utawala bora huo
Polisi na serikali ilitumiwa kumpiga twende Lissu na wewe waziri walijua hilo utakuwa jasiri ku cover hio kesi hapo lkn Ole wako ukifa hutompata mungu wako magufuli kukuteyea huko mbele ya hakii
saf
Shetani ni mlaghai.Mungu anaona
Uyo wazili anaongea hicho nyinyi
cctv zilikuwepo mzee baba na askar walikuwepo kbs ss cjui mnachotaka ni nn hasa
umekufia wapi.lugola?
Wangekufa wote je ?
Manake mcngefanya uchunguzi !!!
Laana kum kangi.
Taifa lilipitia kipindi kibaya sana
Tunataka Majibu
CCTV camera mlizipeleka wapi tunaziombaa
Ivi ilijinga lipo wapi saiv maana ata uchawa auwezi sijui kama litateuliwa na wajumbe 2025 maana enzi ya mwendazake lilikua linajichetua mpaka akalitumbua
Uyu mwehu saiv linasubiri pensheni ya ubunge tu urudi kwenye ukoro
Huyu hovyo kabisa hana maana
umeaigia paka umeachwa yatima
Mabaya yote mnayomuombea lisu yatawakuta nyie
wewe bweka tu ila siku imefika
Mbona unajificha na mwani
huyu maskini wa kugikiri